Happy aache kumpost huyo mtoto ILI kuepusha kelele na kunyamaza ni jibu zuri kuliko malumbano Ila wafundishe watoto wamtambue na kumpenda dada Yao mengine yatakuwa sawa tu.
Faiza Hana akili Yule MTT wa sugu happy mama wa Sasha kupitia baba faiza unajua unamkomoa mtu lkn unamharibu mtoto mahusiano ya baba na mwanae unauweka sio mzuri ambayo sio sawa.
Umeongea pointi sana Dida . Mtoto anapoenda kwa baba yake akitoka huko unaanza kumuuliza mtoto eti mama yako wa kambo amekufanyia Nini? Hapo unakuwa unakosea hutakiwi kumuuliza mtoto kitu chochote.
Mtoto hanyimiki, ni wetu sote, kuna siku mmoja wetu atafumba macho halafu mtamweka mtoto kwenye wakati mgumu, nimewahi kukaa kwa mama yangu mkubwa wao wanachelewa kula, mlo saa 10 jioni na usiku saa 5 niliiona nateswa sana lakini kumbe wao ndo utaratibu wao wa kula, mtoto asisikilizwe sana
Unaposema mtoto hali kwa wakati maana yake nini? Mana kuna watu wanakula mara 4, mara 5, Hadi 8 sasa yeye anaongelea kulaje. Kama anawapa watoto wake hampi Sasha hapo Sawa. Hata hizi nyumba Zetu tunatofautiana malezi kuna mtu mtoto wa miaka mitatu ana chakula chake na nyingine mtoto WA miaka hiyohiyo anakula mlo WA nyumbani wa wengine.
Ni kwel alichofanya Happy ni km kajibu khs kuambiwa mtt hampos ndio mana kawekwa tena kuonyesha kwamba hii iliyoleta tafran kua c Mara Ya kwanza kupost
Dida kavaa ya pink au ya njano mara kajifunua ooh nina ya njano, kaadhirika hajaadhirika?? Anyways mama wa kambo wengi wana roho mbaya hawapendi watoto wa waume zao, n that’s periodt!
Sheria ya mtandao mtoto wa chini ya umri wa miaka 18, usiweke picha za mtoto yeyote mitandaoni bila idhini ya wazazi wote wawili kama wapo hai. Na hata wawe hai ni picha za maadili. Kwani huwezi kuishi bila kuturushia picha za watoto mitandaoni? Mtoto akiwa mkubwa anaweza kukushtaki. Na hata asipokuwa mkubwa anawezakushinikizwa na mzazi mmoja na sheria ikachukua mkondo. Acha.
Mtoto wa MTU ni MTU tu hata ufanyaje bado utaonekana mbaya tu.ila namshauri faiza Ally aachane nae pia Happy aachane na huyo mtoto Kuna cku atajikwaa mguu ataambiwa amemkata.kuachwa kunauma
MHHH MUJUWE TUU KAMA MTOTO NI AMANA YA MUNGU WACHENI KUMTIA MIDOMONI KIUMBE CHA MWENYEWE M/ MUNGU SAWAAA NA JUMA LOKOLE WACHA UCHOCHEZI SUBIRI WAKOO UMTIE MIDOMONI KITIMBAKWIRI MKUBWA WEWE LOKOLE BWABWA😳😳😳
Mbona kila mwaka alikuwa hampost toka ampost 2015hapo katikati alikuwa wap mpk ampost leo kuwa na rais huu ni unafiki kwel angetakiwa kila mwaka ampost
🤣🤣🤣😃wabongo hovyo kabisa!! Si mlisema hajawahi kumpost!? Kawaonesha sa hiz mmegeuka kua kwanni toka 2015 ndio aposti leo!!!!! Angalieni maisha yenu acheni kua mahakimu wa mahusiano ya wenzenu 😠😠
Kinachomuuma faiza wala sio malezi ya mwanae akiwa mbeya...kinachomuuma ni kwamba JONGWE Kampiga chini...na mbaya zaidi pingu za maisha na Bi HAPPY
We umeongea
Yn ana umia sugu kuowa
Sawasawa
Dida hongera sana huyo mama achane na mtoto akae haya ni maisha amuachie mungu ndio uweza yote
Faiza jaman anauchungu mwingi sana...MZEE JONGWE KILA SIKU YUKO HEWANI KAMA RUBANI AKIWA NA BI HAPPY...FAIZA ANASUMBULIWA NA WIVU
Wivu ndio unamsumbua Faiza, na mtoto ndio muongo anamlisha matango pori mama yake
Happy aache kumpost huyo mtoto ILI kuepusha kelele na kunyamaza ni jibu zuri kuliko malumbano Ila wafundishe watoto wamtambue na kumpenda dada Yao mengine yatakuwa sawa tu.
Sawa kabisa
Watoto waongo sana tuwe makini hizi story .
Kabisaaa happy ishi maisha yko mengne muachie maulana
Faiza Hana akili Yule MTT wa sugu happy mama wa Sasha kupitia baba faiza unajua unamkomoa mtu lkn unamharibu mtoto mahusiano ya baba na mwanae unauweka sio mzuri ambayo sio sawa.
Kweli kabisa
Upendo uko moyoni mbona wakati Faidha analalamika kuwa hampost mwanae ulimsupport juma Leo unasema upendo uko moyoni. Juma yuko upande WA Faidha.
uyo Faidha muongo na Wivu unamsumbua tu uyo mke wa Sungu awezi kumtesa mtoto ata siku moja Faidha acha wivuuuu kubari umeshaachika
Mimi nashangaa maisha ya watu na familia zao kuongelea mitandaoni ebu kuweni wastaarabu kwa maisha ya wengine please!!
Happy ni Super Woman Big up
Tatizo sio mtoto roho inauma kuachwa na sugu, apunguze makasiriko anampandikiza mtoto chuki
Nina wasi wasi mkubwa sana Faiza ndo tatizo kubwa sana maana siku alipoojiwa na ICU nimeona makasiliko meengi kuhusu sugu
Happy yupo vizuri sana ukiwa karibu na mtu mbaya we mjaze upepo
Tatizo sio mtoto jamani tatizo ni faiza anataka sugu ndio chuki yote hio
Umeongea kweli
Dida umeongea point Sana dada, so faiza na happy msipo muelewa dida basi.
Umeongea pointi sana Dida . Mtoto anapoenda kwa baba yake akitoka huko unaanza kumuuliza mtoto eti mama yako wa kambo amekufanyia Nini? Hapo unakuwa unakosea hutakiwi kumuuliza mtoto kitu chochote.
Mtoto hanyimiki, ni wetu sote, kuna siku mmoja wetu atafumba macho halafu mtamweka mtoto kwenye wakati mgumu, nimewahi kukaa kwa mama yangu mkubwa wao wanachelewa kula, mlo saa 10 jioni na usiku saa 5 niliiona nateswa sana lakini kumbe wao ndo utaratibu wao wa kula, mtoto asisikilizwe sana
Kama ni kweli anafanyiwa vitu vibaya mbona anaendelea kumruhusu mwanaye kwenda kwa mama wa kambo
Unaposema mtoto hali kwa wakati maana yake nini? Mana kuna watu wanakula mara 4, mara 5, Hadi 8 sasa yeye anaongelea kulaje. Kama anawapa watoto wake hampi Sasha hapo Sawa. Hata hizi nyumba Zetu tunatofautiana malezi kuna mtu mtoto wa miaka mitatu ana chakula chake na nyingine mtoto WA miaka hiyohiyo anakula mlo WA nyumbani wa wengine.
Hiyo kweli my binfs mwanangu ana miaka 3 chakula tunachokula naye anakula tn kashazoea
Dida Leo umeongea vitu vya msingi, feiza anamtengenezea mtoto mazingila magumu
Watoto wabaya jmn, na tabia za wazazi kuuwaulizia Watoto wao umekula ni uchonganishi
Ni kwel alichofanya Happy ni km kajibu khs kuambiwa mtt hampos ndio mana kawekwa tena kuonyesha kwamba hii iliyoleta tafran kua c Mara Ya kwanza kupost
Dida uko right sometimes watoto Ni wachonganishi hapo faiza anatakiwa kutumia busara sana
Dida umeongea vizuri sana sana
Hongera sana dida umeongea point jmn
nilicho kiona hapa Juma wacha umama, watoto wote hasa wa kike pia tabia zao ni za kike kike, ateswi wala nini wivu tu wa Faiza, post tu ndio nongwa,
Wabongo nyoso mie mwenyew mtanzania
Juma unapenda ushabiki Sana siku zote mtoto ukimuliza mama yako huwa anakufanyia Nini kibaya atakachokwambia utakichukulia vibaya
Dida unaakili sana
Inaweza kuwa sio mtoto kaongea labda faiza ni wivu tu' Kumpost kwani kunashida gani
Dida kavaa ya pink au ya njano mara kajifunua ooh nina ya njano, kaadhirika hajaadhirika?? Anyways mama wa kambo wengi wana roho mbaya hawapendi watoto wa waume zao, n that’s periodt!
Vanessa na wewe utakuwa mama wa kambo trust me
@@nurdinkisaria9476 no mie mwanangu ndo huenda kwa mama wa kambo. Mie sina mume mwenye mtoto
Sheria ya mtandao mtoto wa chini ya umri wa miaka 18, usiweke picha za mtoto yeyote mitandaoni bila idhini ya wazazi wote wawili kama wapo hai. Na hata wawe hai ni picha za maadili. Kwani huwezi kuishi bila kuturushia picha za watoto mitandaoni? Mtoto akiwa mkubwa anaweza kukushtaki. Na hata asipokuwa mkubwa anawezakushinikizwa na mzazi mmoja na sheria ikachukua mkondo. Acha.
Mungu awabariki nimeweelewa mnoongea maneno ya akili sana
Juma lokole utadhani alikuwepo. Eti kamsukuma, toka wee nenda ukalale 😅😅😅
Wewe mtoto anauma sana afu mama ni mama eeeeee wakambo walikuwepo zamani saivi nishida
Dida unaongea point
Sana
Dida punguza sauti si unaongea kwny microphone mamy 😂😂😂😂
Dida MTU wa mana kabisa umeongea vizuri sana
Mtoto wa MTU ni MTU tu hata ufanyaje bado utaonekana mbaya tu.ila namshauri faiza Ally aachane nae pia Happy aachane na huyo mtoto Kuna cku atajikwaa mguu ataambiwa amemkata.kuachwa kunauma
Mke wasugu mpumbavu Sana aaaa
Anamkomesha Faiza ,,
Hapa dida uko sawa kabisa may
Dida upo vizuri na unatambua unachokiongea
nimekupenda dida unaongea point tu
Huy faiza ni kichaa mkubwa
Ana kipele
Dida ntangu nikujuwe leo umeongeya maneno yamana🍹
Dida uko sahihi Nimekupenda bure
Dida leo umeongeya point kabissa
Happy msenge
Uyu dada anataka kiki kwa sasha mbona Lulu ana watoto wakambo hawaposti ila Hekima niaache tu kumpost
Wewe haujawi ona lulu ameposti hao watoto wengine?
Watoto nao sio wakuwaamin
Dida.umeogea.pot.zuri.sana.hogera.faiza.hajielewi
Dida kwani hapo wote mliopo hapo wote ni wanawake?
🙆
Anacho takiwa kutambua watoto ni wachonganishi sanaa
Nice
Sioni ubaya wa kumpost mtoto wa mumewe.
Dida leo naona pua imekuwa kama ya Kumbi la moto kulikoni?🤣🤣🤣
Hata mm nimeiona 🤣🤣🤣🤣
Nyie n waandishi why should you side!!!!!
Mama wa kambo wanajuaga kuigiza hehehehh ata mm ningekua Faiza
Hamkutakiwa kuwa upande wowote ninyi watangazaji.
Kama hapendi muwacheni mimi siwamini mama wa kambo
Muogope mungu kuna mama wengine wakambo ni wanaiman kuliko mama wazazi
Juma kwani upo upande gani
MHHH MUJUWE TUU KAMA MTOTO NI AMANA YA MUNGU WACHENI KUMTIA MIDOMONI KIUMBE CHA MWENYEWE M/ MUNGU SAWAAA NA JUMA LOKOLE WACHA UCHOCHEZI SUBIRI WAKOO UMTIE MIDOMONI KITIMBAKWIRI MKUBWA WEWE LOKOLE BWABWA😳😳😳
Juma mchochezi sn hasie jielewa yy anamtetea yule rafiki yake tu bila kujua huyo rafiki yake Ndio mwenye makosa
Post za uongo ana roho mbaya kwa mtoto wa mwenzie
Wew unaishi nao huyo heppy na mtoto wa Faiza?
Uyo faidha ni mpuuz ss kachelewa kula ndo nn ujinga tu
Lokole anaonekana Yuko na faiza
tatizo kubwa anamuhoji mtoto ilo kosa sana
ata mtoto wanamtia husda
Kukaa kimya pia jibu. happy acha kumpost mtoto mpende tu ndani ya moyo wako.hakuna haja ya malumbano.
Happy hana ttz anataka tu amuumize zaidi vile anavyomzungumzia vibaya kila akiojiwa anafundisha kisomi happy oyeeeee
Happy awache ku post mtoto a post wakwake nonsense
Dida una akili sana wewe umenena kweli mtoto hatakiwi kuulizwa ulizwa mambo
Kwahiyo Happy anawapa chakula watoto wake kwa muda huyu Sasha anakula badae nje ya Muda
Sidhani huo ni uwongo
Dida hujambo vp hali waumezako hawajambo Maana ya wenzenu midomo juu yenu kimya mfyuuu
Mbona kila mwaka alikuwa hampost toka ampost 2015hapo katikati alikuwa wap mpk ampost leo kuwa na rais huu ni unafiki kwel angetakiwa kila mwaka ampost
Picha n rais mchezo
🤣🤣🤣😃wabongo hovyo kabisa!! Si mlisema hajawahi kumpost!? Kawaonesha sa hiz mmegeuka kua kwanni toka 2015 ndio aposti leo!!!!! Angalieni maisha yenu acheni kua mahakimu wa mahusiano ya wenzenu 😠😠
Ongereeni mambo ya msingi sio kuongerea maisha ya watu wambea nyie
Common sense needed
Mmh faidha wivu wako tu una lolote
b.
b
This woman lokole is very dull.
bhv vv