Ni kigezo gan unatumia kusema miji mizuri? Ni hayo majengo au? Coz kila mkoa ukijengwa utaonekana mzuri!! Acha kutupotosha! Tena kuna baadhi ya miji ikijengwa n mizuri kuliko hata baadhi ya hayo majiji ulotuonesha! By then hayo n majiji sio miji..nenda kwny miji usitupotoshe!
Where the hell is Tanga City's attractiveness comparing to these newly upcoming ones with the exception of Dar es Salaam? Tanga mnafeli wapi. What a pity!
Compatible sijamaanisha majengo namaanisha uchumi.sasa hayo ya Arusha kuingia dar mara kumi au mia ni yenu. Dar ndiyo mji au mkoa mdogo kabisa kieneo kuliko mkoa mwingine, Ni mji uliojengwa na serikali na ni kama dodoma inavyojengwa na serikali. Kwa hiyo tunapopambanisha miji tusiangalie tu majengo na miundo mbinu pia tuangalie ni gdp ya mkoa na mtu mmojammoja
Mwanza is my dream city to live and to do investment l.like mwanza more than dar
mwanza kwa arusha bado sana
Acha ujuaji wa kaskazini
Mwanza jiji la kisukuma, hii imependelewa sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
The rooooooock city mwanza hatari na nusuuuu7
We mwenyewe hujatembea waekaje mijimizur wasahau tanga yanikama huji baharitu yajitosheleza mjikuwa mzur pumbavu
Unguja piahujaiweka ivi umefika unguja hakuna mkowowote tz bara unafikia uzur waunguja isipokuwa dar es laam
Iko vizuri
Musical sound in back ground kills me..
Hiyo ngoma. Kali Sana ya mbea kawimbo kazuri
Sana
Hilo song vipi
Mbeya sio jiji kabisa mji mzima nyumba za chini gorofa chache Sana haijafikia jiji.
Ddm bado sana shamba
Jamaa muongo sana,tangu lini Arusha kuna bahari??
Arusha wee
Mbeya kama mkoa ni mzuri ila Mbeya kama mji hamna kitu kiukweli.
Mbona pengine hujachukua video umechukua picha tu video ndo zinaleta muonekano mzuri wa mji, umebugi sana
Mkumbuke na kugoma jamani
Kaka unajua kupanga kweli ila umesahau iringa ,,,, kaka
Dodoma kubaya afadhar nafac yake ingkaliw hta na mbeya green cty
Ni kigezo gan unatumia kusema miji mizuri? Ni hayo majengo au? Coz kila mkoa ukijengwa utaonekana mzuri!! Acha kutupotosha! Tena kuna baadhi ya miji ikijengwa n mizuri kuliko hata baadhi ya hayo majiji ulotuonesha! By then hayo n majiji sio miji..nenda kwny miji usitupotoshe!
Amia kwenye jiji wewe sio unakaa unamakasiriko kwasababu unatokea kwenye vimiji uko
Ulitaka singida iwepo au
Asa mbona Dodoma umepiga picha ya mbali
Where the hell is Tanga City's attractiveness comparing to these newly upcoming ones with the exception of Dar es Salaam? Tanga mnafeli wapi. What a pity!
Chuga kumbe kama iringa tu
Majiye nyeubora tz
Iko vizuri sana ila Currently Dodoma na Mbeya haziko hivyo, tupe updates za hivi karibuni,
Nilipo oma arusha kuna bahari nikagaili kuendekea kuangalia 😂 😂 😂 😂 😂
Song lanani hilo au linaitwaje
Curious By Romy Wave
We jamaa hufai, mbona.dodo hujapiga picha za video zinazotembea hata kidogo kama ulivyopiga mbeya, pia picha za dodoma umepiga kwa umbali sana.
Jamaa mpumbavu anatembea na takwimu za zaman mwelekeze aje maeneo ya morena ,kambarage tower inshortly makulu road
Dodoma umeichukua vibaya sana
Dodoma mbona sjjaelewa ulivoichukua wewe
zanzibar iko wapi Haiwez kua Tanzania bila ya zanzibar pumbavu wewe
kabisa
Dodoma ilipaswa kushikilia nafas ya pili
Wacha upuzi nanii . you don't even know your country well 😀😀😀
@@natureworld295 kaa kwa kutulia kijana cameraman amechukua visubpart vilivyotolewaga kitambo tuulize sis tunaoifahamu well
@@phillymassawe2254 dodoma naenda karibu kila wiki
Tatizo hamtembeagi vijana njoo Mwanza ujionee, me kote nimetembea ni Halali kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi Iringa na mwanza wapi pa ukweli mi sijawai kufika hizo sehem kabisa.
Mwanza ni Jiji la pili Tanzania ,Iringa haijafkia ata nusu ya mwanza ,nimewahi fika Iringa saiv naishi mbeya
hao
Arusha na dar ndiyo compitative cities
Arusha ni mjini mdogo huwez linganisha na Dar Arusha kwa Dar inaingia mara 10
Hapo Arusha city centre ni sawa na mitaa ya Morocco na makumbusho tu hapa Dar mitaa ambayo cc hapa Dar tunaona ni nje ya city centre
Tanzania hakuna mji wa kucompire na Dar Dar ni New York ya Tanzania
Compatible sijamaanisha majengo namaanisha uchumi.sasa hayo ya Arusha kuingia dar mara kumi au mia ni yenu.
Dar ndiyo mji au mkoa mdogo kabisa kieneo kuliko mkoa mwingine,
Ni mji uliojengwa na serikali na ni kama dodoma inavyojengwa na serikali.
Kwa hiyo tunapopambanisha miji tusiangalie tu majengo na miundo mbinu pia tuangalie ni gdp ya mkoa na mtu mmojammoja
Haina haja ya kubishana jombaa maana cc wote ni wa Tz so miji yetu ikidevelop ni nzuri kwetu sote wa Tz
Mbona hamuwekagi na unguja na pemba au huko si Tanzania 😡😡😡😡😡
tatizo pachafu patachafua picha
@@samirahassan3212 😭😭