MAZITO! VIGOGO MAARUFU ARUSHA WAFIKISHANA MAHAKAMANI, Watupiana MANENO - "KAVAMIA ARDHI YANGU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • MAZITO! VIGOGO MAARUFU ARUSHA WAFIKISHANA MAHAKAMANI, Watupiana MANENO - "KAVAMIA ARDHI YANGU"
    Mfanyabiashara Philemon Molley wa jijini Arusha amenyang'anywa eneo la hekari 7 na kituo cha mafuta alichokuwa anamiliki kutokana na kushidwa kwake kesi
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 46

  • @henrytomohty6593
    @henrytomohty6593 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyu wa taitaz ndo mwizi mzee filemon yuko sahihi watoto wa taitaz walipoishiwa walikua wanauza nadhani jimi ndo aliuza

  • @josephatjordan5560
    @josephatjordan5560 3 ปีที่แล้ว +5

    HUYU MZEE WAPILI MAONGEZI YAKE ANAONEKANA NI MKOSAJI

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 3 ปีที่แล้ว +2

    ARUSHA MATAPELI NI WENGI SANA KUNAJULIKANA

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 3 ปีที่แล้ว +2

    potelea mbali fanyeni mnachoweza

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 ปีที่แล้ว +3

    Km alivamua alikuwa wapi miaka yoote hiyo kwenda kushtaki mpaka mtu anajenga sheli wanamuangalia tu, wanataka kumfilisi tu mzee wa wawatu hakuna Cha maana hapo, hao watu waliuza Sasa wamekula zimeisha njaa zinawauma wameanza utapeli

    • @cavoo4get649
      @cavoo4get649 3 ปีที่แล้ว +1

      Uwe unasikiliza maelezo vizuri siyo unaropoka tu kama umevimbiwa maharage

  • @ainesndubula8361
    @ainesndubula8361 3 ปีที่แล้ว +3

    Watu wa Arusha matapeli

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda kazi unayo

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 ปีที่แล้ว

    Ila ndugu mwandishi wa habari maswali yako bado machanga kuhoji

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285 4 หลายเดือนก่อน

    Kijana tafuta mali zako shida za vijana hamufanyi kazi

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 3 ปีที่แล้ว

    Hivi ninyi mnapambana na mambo ya dhuluma,hamuendi kanisani?

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 2 ปีที่แล้ว

    Hata hayo macho yako yanaonyesha unawalakini. Acha DHULUMA

  • @simkotec3091
    @simkotec3091 3 ปีที่แล้ว +1

    Kilakitu ametengeneza👌🤔🧐😒😂😂

  • @onesmojohnny2172
    @onesmojohnny2172 3 ปีที่แล้ว +1

    Seiteru

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza5434 3 ปีที่แล้ว +1

    Acha kutumia pesa kama fimbo mzee

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa naye ni wizi tu.

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 3 ปีที่แล้ว +1

    MMMMMMH NA MSHUA BEI HIYO ULIYO NUNUA KWA MIAKA HIYO DUUU HAINIINGII AKILINI

  • @moonaamli6835
    @moonaamli6835 3 ปีที่แล้ว

    Khaaaaa we mzee maneno yako 2 yanaonesha ni muongo

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 3 ปีที่แล้ว +2

    Arusha ni kituo cha mafisadi, wakwepa kodi, na wafanya biashara wadanganyifu.

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa Ogopa sana hawa watu nakwambia hata ulinunua ardhi jichunge sana

  • @saidkhan6174
    @saidkhan6174 3 ปีที่แล้ว +2

    kwani kiwanja kinasemaje

  • @amanam2735
    @amanam2735 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwizi. Acha mali za yatima

  • @onesmojohnny2172
    @onesmojohnny2172 3 ปีที่แล้ว +1

    Monabani seiteru acha hizo mzee hapo siyo kwako

  • @danielx8
    @danielx8 3 ปีที่แล้ว +2

    Sabaya yupo wapi..

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 3 ปีที่แล้ว

      Sabaya kaondolewa. Mafisadi wanarudi kwa kasi.

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 ปีที่แล้ว +1

    Ni wahuni? Au wewe ni ndo muhuni mzee?.

  • @mimitijara4806
    @mimitijara4806 3 ปีที่แล้ว +1

    Dawa za kulezie ndio sasa tanzania ndio kiwete ana chafua tanzania mungu mungu muadhibu kiwete na wanawe kiwete laaniwa sasa watanzanie mtalie mutetezi kesha uliwa na kiwete

    • @nurumushi2226
      @nurumushi2226 3 ปีที่แล้ว

      Mtetezi ni mungu Acha ujinga

  • @dorisgao7403
    @dorisgao7403 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo pande zote mbili mnavamiana😂😂.Arusha shkamooo

  • @demycratia2567
    @demycratia2567 2 ปีที่แล้ว

    Ulitoa wapi mipesa yote hiyo jamanii

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 3 ปีที่แล้ว

    Nawasalimia kwa jina la muungano Kazi iendelee yajayo yatachukiza

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว +1

    Eeeh

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza5434 3 ปีที่แล้ว

    Mzee unazeeka vibaya .mpangaji unsjimilikisha acha umaskini mzee

  • @shumasteelworks8170
    @shumasteelworks8170 3 ปีที่แล้ว

    Monaban amenirusha 3million

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว

    Mbona hulipi rent ya mahali ulikodisha eeh, mwongo nani sasa?

  • @hadijalukas5959
    @hadijalukas5959 3 ปีที่แล้ว +1

    sasa huyo kaka alieanza kuongea na kuwafundisha mahakama waseme eneo siyo la huyu mzee ni mvamizi yeye ni nani mbona cjamuelewa point zake?

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyo aliyeanza kuongea abasema eneo ni la baba yake ambaye sasa ni marehemu nafikili. Na huo mzer pale aliingia kama mnavyowsita wawekezaji awe analipa rent. Tangu aliingia aliwahi kulipa Tshs 500,000.00 halafu inaonekana alicheza mchezo wa kubsdili hati..umeelewa sasa. Mimi kiswahili sikijui vizuri lakini nafikili nimrmuelewa huyo bwana mdogo.

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 ปีที่แล้ว

      @@dorahy1579 oo ok sawa kwahiyo huyu mzee katengeneza mazingira ya zuruma ya mali ya marehemu sasa kakata rufaa ili azidi kuangiza family ya marehemu?
      nyie matajiri Walla mungu anawaona.ila nazani mwisho wa siku mahakama itatenda haki stahiki kwa mhusika moja wapo

    • @nurumushi2226
      @nurumushi2226 3 ปีที่แล้ว

      Eneo sio la huyu mzee ndio maana kashindwa kesi

    • @nurumushi2226
      @nurumushi2226 3 ปีที่แล้ว

      @@hadijalukas5959 tayari ishatenda haki

    • @ahmedh9882
      @ahmedh9882 3 ปีที่แล้ว

      @@hadijalukas5959 l

  • @khadijarashidi9777
    @khadijarashidi9777 3 ปีที่แล้ว

    L

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 ปีที่แล้ว +1

    Maisha ya wenye nacho huwaga hayana amabi wala raha. Bora ni huu ugali ninao pata wa mchicha lakini wa amani.