MAZITO! VIGOGO MAARUFU ARUSHA WAFIKISHANA MAHAKAMANI, Watupiana MANENO - "KAVAMIA ARDHI YANGU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- MAZITO! VIGOGO MAARUFU ARUSHA WAFIKISHANA MAHAKAMANI, Watupiana MANENO - "KAVAMIA ARDHI YANGU"
Mfanyabiashara Philemon Molley wa jijini Arusha amenyang'anywa eneo la hekari 7 na kituo cha mafuta alichokuwa anamiliki kutokana na kushidwa kwake kesi
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Huyu wa taitaz ndo mwizi mzee filemon yuko sahihi watoto wa taitaz walipoishiwa walikua wanauza nadhani jimi ndo aliuza
HUYU MZEE WAPILI MAONGEZI YAKE ANAONEKANA NI MKOSAJI
ARUSHA MATAPELI NI WENGI SANA KUNAJULIKANA
potelea mbali fanyeni mnachoweza
Km alivamua alikuwa wapi miaka yoote hiyo kwenda kushtaki mpaka mtu anajenga sheli wanamuangalia tu, wanataka kumfilisi tu mzee wa wawatu hakuna Cha maana hapo, hao watu waliuza Sasa wamekula zimeisha njaa zinawauma wameanza utapeli
Uwe unasikiliza maelezo vizuri siyo unaropoka tu kama umevimbiwa maharage
Watu wa Arusha matapeli
Makonda kazi unayo
Ila ndugu mwandishi wa habari maswali yako bado machanga kuhoji
Kijana tafuta mali zako shida za vijana hamufanyi kazi
Hivi ninyi mnapambana na mambo ya dhuluma,hamuendi kanisani?
Hata hayo macho yako yanaonyesha unawalakini. Acha DHULUMA
Kilakitu ametengeneza👌🤔🧐😒😂😂
Seiteru
Acha kutumia pesa kama fimbo mzee
Huyu jamaa naye ni wizi tu.
MMMMMMH NA MSHUA BEI HIYO ULIYO NUNUA KWA MIAKA HIYO DUUU HAINIINGII AKILINI
Khaaaaa we mzee maneno yako 2 yanaonesha ni muongo
Arusha ni kituo cha mafisadi, wakwepa kodi, na wafanya biashara wadanganyifu.
Kabisa Ogopa sana hawa watu nakwambia hata ulinunua ardhi jichunge sana
kwani kiwanja kinasemaje
Mwizi. Acha mali za yatima
Monabani seiteru acha hizo mzee hapo siyo kwako
Sabaya yupo wapi..
Sabaya kaondolewa. Mafisadi wanarudi kwa kasi.
Ni wahuni? Au wewe ni ndo muhuni mzee?.
Dawa za kulezie ndio sasa tanzania ndio kiwete ana chafua tanzania mungu mungu muadhibu kiwete na wanawe kiwete laaniwa sasa watanzanie mtalie mutetezi kesha uliwa na kiwete
Mtetezi ni mungu Acha ujinga
Kwa hiyo pande zote mbili mnavamiana😂😂.Arusha shkamooo
Ulitoa wapi mipesa yote hiyo jamanii
Nawasalimia kwa jina la muungano Kazi iendelee yajayo yatachukiza
Eeeh
Mzee unazeeka vibaya .mpangaji unsjimilikisha acha umaskini mzee
Monaban amenirusha 3million
Mbona hulipi rent ya mahali ulikodisha eeh, mwongo nani sasa?
sasa huyo kaka alieanza kuongea na kuwafundisha mahakama waseme eneo siyo la huyu mzee ni mvamizi yeye ni nani mbona cjamuelewa point zake?
Huyo aliyeanza kuongea abasema eneo ni la baba yake ambaye sasa ni marehemu nafikili. Na huo mzer pale aliingia kama mnavyowsita wawekezaji awe analipa rent. Tangu aliingia aliwahi kulipa Tshs 500,000.00 halafu inaonekana alicheza mchezo wa kubsdili hati..umeelewa sasa. Mimi kiswahili sikijui vizuri lakini nafikili nimrmuelewa huyo bwana mdogo.
@@dorahy1579 oo ok sawa kwahiyo huyu mzee katengeneza mazingira ya zuruma ya mali ya marehemu sasa kakata rufaa ili azidi kuangiza family ya marehemu?
nyie matajiri Walla mungu anawaona.ila nazani mwisho wa siku mahakama itatenda haki stahiki kwa mhusika moja wapo
Eneo sio la huyu mzee ndio maana kashindwa kesi
@@hadijalukas5959 tayari ishatenda haki
@@hadijalukas5959 l
L
Maisha ya wenye nacho huwaga hayana amabi wala raha. Bora ni huu ugali ninao pata wa mchicha lakini wa amani.