MFANYABIASHARA MAARUFU ARUSHA MONABAN ABOMOLEWA KANISA LAKE "NI MVAMIZI TU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 166

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 4 หลายเดือนก่อน +18

    Ukishinda kesi ongera lakini ukikashifu Kazi ya Mungu jipapange kushindwa ktk ulimwengu huu na ujao

  • @Robbinjohn
    @Robbinjohn 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera kwakuipambania haki dhuluma inamwisho

  • @beckhmediaproduction7624
    @beckhmediaproduction7624 4 หลายเดือนก่อน +7

    hivi kweli kwa Tanzania yetu tena kwa watu wenye uwezo kama hawa mtu anaweza vamia tu na kuchukua ardhi yao bila maridhiano ?sijui ila ukweli wanajua waliotangulia mbele ya haki nacho amini mimi hawa watu walikaa mezani bila kuwashirikisha watoto na kama kweli monaban alitoa pesa yake nahamini Mungu atamlipa tena mapema wakati tupo hai ili tushuhudie.

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 4 หลายเดือนก่อน +7

    Namfahamu Baraka Titus (William Titus) ni mtu mwelewa na mstaarabu sana na Hana Tamaa ni Msomi pia, asingeweza kuhangaika na kitu kisichokuwa na Ukweli ndani yake, swala la watu kuogopa kuwa kabomoa kanisa ni kuwa hakitampata chochote kibaya jama Waliotaka kupora pia wapo kinyume na Matakwa ya Mungu kwa Watu wake❤❤

    • @severamunishi1253
      @severamunishi1253 4 หลายเดือนก่อน

      Mbona kama moshono relini

    • @RajabuMkonje
      @RajabuMkonje 4 หลายเดือนก่อน

      Acha uchawa wa kisenge ww! hupewi ata 10

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 3 หลายเดือนก่อน

      Unatetea Ujinga pumbavu

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband 3 หลายเดือนก่อน

      @@FrankMushi-cs5js hahahahaaa

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekuhurumia sana mungu akukemee

  • @newchemchem5251
    @newchemchem5251 4 หลายเดือนก่อน +7

    Kaka nikuambie tu Kwa swala la Imani usikejeli Mungu hazihakiwi palipo wawili watatu na Mungu yupo ktk Yao acha usitukane Mungu Kwa ajili ya pesa ndugu polee Yako siwajui ila hapo umejikoroga ndugu polee usitukane Mungu ukafa mapema,

  • @godwinnguyaine5699
    @godwinnguyaine5699 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hekalu ni hekalu bro hatakama umeshinda kesi usidharau hekalu la mungu wewe ungefanya kazi yako na kumshukuru mungu wako

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 4 หลายเดือนก่อน +3

    Utajuta usimkufuru mungu utaachaiyo.ardhi

  • @onestkasmir4297
    @onestkasmir4297 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukweli nashangaa mnaosema anakejeli ongeeni to maana akuna jema kwa watu ilaa maumivu yaliyoko ndani yakee yanasababisha aseme ayoo unakuta mtu ni malii yako lakini mwizi anakutesa miaka aizaa mitano maakamani sasa ukipata haki yako utaacha kusema hayoo acha mungu aitwe mungu ongea kaka utoe nyongo

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka yangu umekosea sana sana kaka kuita wahuni hiyo ni nyumban ya mungu kaka

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 4 หลายเดือนก่อน

      Sio kila anaejenga kanisa ni mtu mzuri

    • @GilgariMinistryTanzania
      @GilgariMinistryTanzania 4 หลายเดือนก่อน

      @@rumdeesonsoa1811 ungetumia Staha tu ndugu yangu mpwndwa ktk bwana sawa ni haki yako ila isitumie maneno magum

    • @jolitabukabengwe3070
      @jolitabukabengwe3070 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo mwenye kanisa ni mdhulumati.
      Amedhulu ndugu yake wa damu..
      Tapeli yule acha jengo livunjwe tuu

  • @juliananasari2526
    @juliananasari2526 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze sana monabani

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Siku zote wezi na majambazi hutafuta sehemu zawatu wema na kujichanganya ndani yao na kujifananisha nao.huyu haja kashifu au kudhihaki kazi ya Mungu bali yeye akataa hilo kanisa kwa sababu ya namna gani limekuja hapo na misingi iliyojengwa kwayo.muhuni alichokifanya nisawa na kwenda kuiba na kuja kutowa sadaka ya pesa ambayo umeiba. hailuhusiwe

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 4 หลายเดือนก่อน +1

      Unajua watu wengi wanamkashfu uyu jamaa kwakuwa hawajaelewa ana zungumza nini kwa kifupi uelewa wao ni mdogo uyo ajakashfu kanisa ata kidogo ila kajaribu kuelezea uhalisia wa uyo mmiliki wa kanisa na ilo kanisa lenyewe kama nitakuwa sijakosea

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 4 หลายเดือนก่อน +13

    We ungebomoa tu ila usikejeli kanisa wala watu wake

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband 4 หลายเดือนก่อน +2

      Elewa hapakuwa na Kanisaa hao ni WAHUNI,😅😅😅

  • @erwinkitali1883
    @erwinkitali1883 4 หลายเดือนก่อน

    😢Dah!..masikini mbunge wa zamani Arumeru-East.

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hzo kashfa hazitakuacha salama

  • @amanam2735
    @amanam2735 4 หลายเดือนก่อน

    Safi Sana. Mhuni kanyooshwa.

  • @dorrynnamdi3424
    @dorrynnamdi3424 4 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu baba ni mmiliki kweli, lakini kiukweli ana kiburi, hana hekima hata kidogo! Kwa leo ameshinda lakini ana hatari kweli mbele yake.

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 4 หลายเดือนก่อน +1

      Umenena vyema aliye shindaleo atashindwa kesho, nambaya kuwaita wa huni, hata kama ameshinda hapaswi kuwatukana na kuwa kshifu Kuwa wahuni sio, yeye ni mwenyewe lakini atakutana na Mwenyewe Mungu sio muda,

    • @praygodkombe3956
      @praygodkombe3956 4 หลายเดือนก่อน +2

      Kabsa Mungu hadhihakiwi nimepata shida san nafsin mwangu kuona kanisa linabomolewa hizi mali tunaenda nazo wapi?????😢😢😢

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 4 หลายเดือนก่อน

      @@praygodkombe3956 hata angetumia hekima asiongee matusi au dhihaka, nandio mana mabaya hayaishi Tanzania kwaajili ya watu kumdhihaki Mungu ,hata Mimi nimeumia utafikiri nipo Arusha lakini saa inakuja upanga wake utamuumiza mwenyewe sio muda

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanza kanisa sio jengo Tu ,ila kanisa ni watu ambao mnaweza kuamua kukusanyika Mahali popote mkamtukuza mtu, sio kila jengo lenye msalaba ni jengo la kanisa hapan ila ni maficho ya uhalifu fulani kupitia dini hzi

    • @loveness5780
      @loveness5780 4 หลายเดือนก่อน

      Yea hata kama mmiliki ni mvamiz lkn wale waliokuwa wakiabudu watatawanyuka na hujui wataenda kuanza maisha gan baada ya hapa huenda hizi roho zikapotea kabisa oooh my goodness 😢maan kuna mwingine akishaanza kusali sehem flan hawez hama km akishindwa je atakuwa na maisha gan?? Anyway

  • @JamesMunisi
    @JamesMunisi 4 หลายเดือนก่อน

    Well said
    Smart dude

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 4 หลายเดือนก่อน +3

    Acha kejeli wewe Kaka muogope mungu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kiroho walokole wana vijitabia . Pole Wiliiama , hawa waroho ukiacha imani ya kweli mahakama iko hapa hapa duniani, akhera no mbali saana.

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nashangaa sana mtu anatumia dini kificha maofu yake huyu monaban nafahamu Serikali ilisha mnyang'anya eneo la bodi ya chakula na mazao mchanganyiko alitaka kujimilikisha na kujenga maduka kilicho mkuta hayati JPM akalirudisha eneo hilo kwa kwa nguvu akakutana na Chuma JPM zuluma tu hizo.

  • @trendings1293
    @trendings1293 3 หลายเดือนก่อน

    Titus alikuwa na pesa sana no wonder watoto wake wameweza kupambana na monaban,monaban ni mtu mwenye nguvu sana,so hawa wako vizuri

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweri kaka Mungu anapenda haki,

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nihaki yako ila punguza kejeli kwenye mambo ya mungu maana hata uwe na hekari 10000 utazikwa kwenye hatua chache sana

  • @optimumafrica1243
    @optimumafrica1243 4 หลายเดือนก่อน

    Matendo ya Mitume 17:24
    Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono;

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 4 หลายเดือนก่อน +1

    Umeshinda ni sawa. Na je ukibomoa inakuwaje? Tena ni kanisa. Ni bola mngekubaliana kuliko kubomoa

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safi

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hayo maneno ni mabovu sana

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe elezea suala la kesi achana na kuingilia wito wa mtu na mungu

  • @user-qq6zu3no4z
    @user-qq6zu3no4z 4 หลายเดือนก่อน +2

    VITA HII SIYO YA MONABAN NIYA KRISTO VITAHII NIYAKIROHO PALE TU ALIPO APISWA VITA VILIAMKA MARA SABA SABINI
    KAKA WEKA AKIBA YA MANENO MIMI NILIYEGEMEA USEME TU NAMSHUKURU MUNGU BASI. HAYA YOTE MMMMH KWAMIMI APANA

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu aponye kinywa chako. Usijitape. Kama umepewa haki yako, nyamaza. Usije ukaanza kula nyasi

  • @hatibumsaki5446
    @hatibumsaki5446 4 หลายเดือนก่อน

    Wahunii haoo broo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wanaiba ktka jina la Yesu kiristo.Balaa😮

  • @emanuelmassawe1984
    @emanuelmassawe1984 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kusema ukweli huyu kaka hawezi kua salama

  • @mariahmollel1258
    @mariahmollel1258 4 หลายเดือนก่อน

    Dah.

  • @Noelywiliam
    @Noelywiliam 4 หลายเดือนก่อน +3

    We bomoa tu kanisa, na kutoa maneno ya kejeli na kiburi cha uzima

    • @hanspop6961
      @hanspop6961 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani kama nimemuelewa anamaanisha Kujenga kanisa ni kama Ngao yao ya kutaka Kufanya Dhulma kwa kutumia Madhabahu na ni zambi kubwa Sana na Ndio mana jamaa kaona Alitoe

  • @obedmasaki3565
    @obedmasaki3565 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tutafutieni na huyo Monabani atuambie alipataje hilo eneo please.

  • @LilianLoth
    @LilianLoth 4 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuuuh sijapenda eti si kanisa ni wahuni, daaah

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka hao ni wahuni kama wahuni wengine na wapo wengi sana kama hao

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kaa alizulumu apo nisawa maana hakuna kitu kibaya Kaa kuzulumu

  • @SamsonMalisa
    @SamsonMalisa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeona mpaka kapu la sadaka😂😂😂😂

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana jengo la kiuni livunjwe😅

  • @samwelpaul-mx5bo
    @samwelpaul-mx5bo 4 หลายเดือนก่อน

    Hayo maneno yatakuponza mungu asemwagi vibaya

  • @user-yu1op6rl1w
    @user-yu1op6rl1w 3 หลายเดือนก่อน

    kama umehalibu mazabahu hiyo imekula kwako Kaka nakama aliuziwa umepindisha Haki umejitakia shida mungu yupo hayayÿyyyyyyyyyykiiiiiîiiiiiiiiiiiiiîiif

  • @DotoLemako-np3lp
    @DotoLemako-np3lp 4 หลายเดือนก่อน

    Ubabe tu kukashfu mwaanzilishi wa madhabahu kila mkristo anafaa kuwa muhubiri vyeti ni vya duniani tu. Mitume walio tutangulia hawakuwahi kwenda chuo, unatumia ubabe sana kaka, shuka kidogo we ni mwanadamu tu,

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo usemayo bro tunaojua ukweli tunakuangalia ila utalipia danganya watanzania wasiojua ukweli ila muda utaamua ndani ya moyo wako unajua nini ufanyacho

  • @dorrynnamdi3424
    @dorrynnamdi3424 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huwezi kuongea kwa kejeli kiasi hicho, yaani ni kama ametumwa.

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 4 หลายเดือนก่อน +1

      Askofu feki tena dini ina tumika vibaya na wachungaji hawa shenzi sana

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hata kama unahaki,usitumie maneno yakudharau Imani ya mtu au watu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani kuna miji2 inavamiaga ardhi xa wa2,yanasumbua wa2 mahakamani unapotexa pesa juu ya pesa kisa ji2 lathulumu.Km hakuthulumu angeelewana na Titus anunue.

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 4 หลายเดือนก่อน

    Si kweli hakuna Mtu anaweza kuvamia sehemu bila makubariano na Mtu yeyote, haiingii akilini na unakuta Kila Mtu ana hati au nyaraka mbalimbali nilizoidhinishwa na serikali 😢

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 3 หลายเดือนก่อน

    MTAJUANA Nawaombea Salama tu.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 หลายเดือนก่อน

    2litapeliwaga na michungaji miwili tofauti,2kagundua cku yamejileta kila m2 kivyake na hayajuani,2litandika fimbo xa kutosha,lingine lilidanganya sadaka 2naxompa linapeleka ki2o cha watoto yatima kumbe uongo,likajileta kuja kuchukua misaada ili apelekee yatima,fimbo alixokula nadhani aliokoka kweli.Kwa hyo udhulumu ardhi kisa kanisa?,

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n 4 หลายเดือนก่อน

    Umefanya vizuri asitokee mwingine kama huyo

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 4 หลายเดือนก่อน

    Ameni

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 4 หลายเดือนก่อน +1

    Upo sahihi na Mungu akusimamie maana wengi wanajificha kwenye kitu kinaitwa kanisa

  • @philipsilayo
    @philipsilayo 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 kichaka,duu ya

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 4 หลายเดือนก่อน

    Anaongea kwa mbwembwe hivyo ni Mali yake kaitafuta au ni urithi Mali iliyotafutwa na wazazi...
    Tena eti ni ndugu wa baba mmoja.,..au nilisikia vibaya..,.
    Hutakuwa salama kwa kubomoa kanisa....

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nadhani mngejikita katika kubomoa na si katika kijimwanbafai

    • @wangaeliwilfred2919
      @wangaeliwilfred2919 4 หลายเดือนก่อน

      Hizo tabia Ameridhi toka kwa marehemu mzee Titus

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka usikejeli waache mungu awalipe wewe umepata eneo lako achana nao tu

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni muislam Ila uhuyu jamaa alieshinda kesi anakiburi utadhani afi aisee 🤔

  • @roseanderson2760
    @roseanderson2760 4 หลายเดือนก่อน

    5:44

  • @joshuanyange2737
    @joshuanyange2737 4 หลายเดือนก่อน

    Mwamini yesu yeye aliyekuja kwa habari ya haki
    Dhambi
    Na hukumu hayo ni mambo matatu tu ebu yazingatieni tunaweza kupotea kwa sababu hatuyajui maarifa jinsi yalivyo

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe shaidi.

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 3 หลายเดือนก่อน

    Utalipa ghatama zao zote

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa.kwnn nao wavamie huyo kaka anaongea kwa hasira wtu wengi aiku hizi wanavamia maeneo na kvamia kuweka makanisa hili tu ionekane.mtu umemdhihaki Mungu kwa.kunyqnganya eneo lililojegwq kanisa lakini hata Mungu pia yupo na utaratibu katuwekea Mungu anataka amani Mungu apendi dhuluma wizi kwann utumie neno.la Mungu kudhulumu aifsi Mungu pia spendi anakataza dhuluma katika amri zake 10...sasa usilitumie jina lake Mungu kama kivuli cha kufanya uharibufu then usihadhiiwe yasn kwa sasa neno la Mungu limekuwa ngao kwa watenda maovu ujificha humo. Tafuta eneo halali la kwako fanya upendacho kwenye eneo lako knn uvamie eneo la mtu marneo ni.mengi mnoo..wapendwa Mungu ni mwema na adhihakiwi na jina lake litukuzwe nyakati zote lakini kwenye haki..itampendeza. amjadhulumiwa jamani hasa maswla ya ardhi inakera umeweka eneo lako hapo unakuta uvamizi na kanisa limejegwa fasta hapo..kwnn uvamie hii si sawa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 4 หลายเดือนก่อน

    Monobani sura lake ilo

  • @mcbennehemiah8088
    @mcbennehemiah8088 4 หลายเดือนก่อน

    BALANCE STORY @Ayotv mtafuteni na huyo monaban

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 4 หลายเดือนก่อน

    Dogo ana nyodo sana ila aende akaondoe hiyo madhabahu kama ni kweli ilikuwa kanisa huyu dogo kazi anayo

  • @chire4574
    @chire4574 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wacha uongo iyo ni kanisa ...sema tu walivamia eneo lako....ww fata sheria...acha kuongolea kanisa vibaya.....ww chukuwa eneo lako

  • @gililwise
    @gililwise 4 หลายเดือนก่อน

    kanisa na ninyi mna shida kwa nini hamkufanya utafiti kabla hamjajenga? .Mungu hapendi malumbano

  • @Mr-GMB
    @Mr-GMB 4 หลายเดือนก่อน

    Alooo si naona hapo kanisa la zamani na kanisa jipya ambalo limebomolewa? Mungu baba naona unipe umri nishuhudie ya malimwengu

  • @mcback4384
    @mcback4384 4 หลายเดือนก่อน

    Alimradi kuna msalaba punguza ukali wa maneno, msalaba ni ishara ya ukombozi wa mwanadamu, hivyo tu

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 4 หลายเดือนก่อน

      Msalaba ndio kitu gani😂😂

    • @mcback4384
      @mcback4384 4 หลายเดือนก่อน

      @@fatmafatu1128
      1 Wakorintho 1:18-19
      [18]Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
      [19]Kwa kuwa imeandikwa,
      Nitaiharibu hekima yao wenye hekima,
      Na akili zao wenye akili nitazikataa.

  • @mtemilowasa
    @mtemilowasa 4 หลายเดือนก่อน

    👍

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 หลายเดือนก่อน

    Ningekuwa ni mimi ningealiacha kanisa ili watu waendelee kuabudu.

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 4 หลายเดือนก่อน

    Watu hawaogopi Kanisa la Mungu jamani mbona watalaanika.

  • @edwardkishimbo8111
    @edwardkishimbo8111 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmm

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 หลายเดือนก่อน

    Safii sana wahuni kama hawa ni wengi mno. Vunjilia mbali.

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 4 หลายเดือนก่อน

    Amefanana na monaban

  • @mpinga_kristo-
    @mpinga_kristo- 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wahuni

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe kanisa biashara😊😊😊haya

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji tapeli 😂kanaswa kweli sijawahi sikua askofu kuburuzwa mahakamani

  • @TumainiAkyoo
    @TumainiAkyoo 4 หลายเดือนก่อน

    Hayo mashavu tu mh

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyie watu wa sheli ya mafuta si mummwagie petrol huyo mdudu mumtie moto anajiamini nini hivyo? BANGLADESH mkubwa ww!!!

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 4 หลายเดือนก่อน

    Hiyo haitaki kuitwa kanisa linafaa kuitwa duka la wizi

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f 4 หลายเดือนก่อน

    Sku yako ipo.na mwisho wako upo ww jitambe tu.iyo ni nyumba ya MUNGU.na MUNGU ndo aliokupa iyo pumzi.

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kanisa apo kuna godown wezi hao aibu tupu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 หลายเดือนก่อน

    Arusha sehemu gani? Nimekazana kukodoa macho nipaelewe ni wapi

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 4 หลายเดือนก่อน

    Kibuli Cha uzima

  • @jastinnkya
    @jastinnkya 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU mwenyewe hakusamee tuu hilo nikanisa lamungu wewe useme kwekujamin sana

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 4 หลายเดือนก่อน

    Acha kujitapa wahuni wewe ni Mungu

  • @valentineshirima1658
    @valentineshirima1658 4 หลายเดือนก่อน

    halafu jengo halijakidhi viwango vya ujenzi

  • @helenastephan7091
    @helenastephan7091 4 หลายเดือนก่อน

    Ushindwa tena ushindwa kabisa

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 4 หลายเดือนก่อน

    Wahuni au sio kiburi cha uzima icho sawa tena usijifanye unaongea bila kutulia duniani tunapita sawa

  • @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
    @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM 4 หลายเดือนก่อน

    Kicheko cha zarau hicho

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe nani

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 4 หลายเดือนก่อน

    Hilo kanisa limesajiliwa kisheria ila acha matusi

  • @wamisangi2801
    @wamisangi2801 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona unachukua hivyo vitu vya ujenzi wa jengo na vilivomo ndani ya jengo??? Ardhi si ndio mali yako? Kwenye Biblia iko kitu inaitwa kiburi cha uzima, hapa nimekishudia live.

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 4 หลายเดือนก่อน

    Utaraniwawewe

  • @MaxSarakikya-pt3po
    @MaxSarakikya-pt3po 4 หลายเดือนก่อน

    Neno biashara

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 4 หลายเดือนก่อน

    Acha matusi bomoa tu