UISLAM DINI YA KWELI, TIZAMA MIUJIZA 5 INAYOTHIBITISHA QUR AN KITABU CHA ALLAH NA UISLAM/SHK SLEIMAN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- #AdilAbdallah #ShkSuleimanBinAbbas#DarsaLaShekhShahran #SheikhMselemBinAly
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246
MashAllah, Mwenyezi Mungu ametupendelea kuwa na Sheikh anaejuwa vizuri Qur'an na Sayansi ya Kidunia. Hakika hii ni Hazina kwetu Waislamu wa Tanzania
Allah akufungulie milango ya ilmu.... Nasisi tuone umuhimu wa kuwafunza watoto wetu dini na dunia...
Mashallah Allah akuongeze knowledge
Mashaallah Allah akuhifadhi inshaallah.
Maashaalah Allah akulipe sheikh tunashukuru sana kwa elimu unayotupa allaah atujaalie tufaidike na elimu ulioneemeshwa na allaah mtukufu
Mashallah Allah ampe umri shekh huyu hakika elmu hapa ipo
Mashaallah
Wafunze au tufunze Mungu atakulipa inshallah
Manshallah nakukubali sana sheikh wangu
ALHAMDULILLAH Allah akupe mema
MashAllah Mwenyezi Mungu akuzidishie
Maa shaa Allah ❤❤❤❤
Marshallah Ustadh jazakallahu kheri
Maashallaa ribarikiwe tumbo lililo kuzaaa
Mashaallah😊
الحمد لله رب العالمين،جزاك الله خيراً
MASHALLAH
Mashaa-Allah... Shekhe Yuko Vzuri Sana...Je...yupo mskiti gani?
The miracle of the miracles
Mashaallaa
Ishalah
Allah akbar ahsante
Mashaallah
Quran
Huyu bila shaka ni mwalimu wa sheikh Dr sule me ndo kwanza nimsikie Leo Ila ukweli ni kwamba 99.9999% nahisi ni mwalimu wa Dr sule
Ukweli
Allahu Akbar
Kama sikosei anaitwa sheikh hassan kisingo
Naomba jina la sheikh huyu
SHEIKH ANAITWA SHEIKH
ABBAS ANAPATIKANA MARKAZI KUU GONGOLAMBOTO DARE ES SALAAM
Suleiman Abbas
dah hatari sana Quran ni muongozo bac tuufate!! subhanaka
Inamaana mpaka leo ulikuwa hujui ndg yng Qor-an ukiisoma vzr ukailewa utajifunza mambo mengi ni KITABU ambacho hakina mfano tumebezi kwenye maisha ya kidunia mambo ya mwenyez Mungu hatutaki kuyafata tunafeli na tunabaki kuwa wajinga
Sheikh anapatikana msikiti upi jamaniiii????
Kwanza kabisa nimshukuru m/mungu kumleta mtu kama huyu na tunamuomba m/mungu atuletee wengi kama hawa kwa mapenzi yake, Ila mimi ninamuomba sheikh atuelezee kua majini ni akina nani kiasilia maana mimi huwa natatizika kuhusu habari hizi za majini
Neno Mungu huwa linaandikwa kwa herufi kubwa zingatia hilo Inshallaah 🙏
th-cam.com/video/5UXoluZxSac/w-d-xo.html MUINGILIANO KATI YA DINI YA KIKATOLIKI NA UISLAMU HIZI ZOTE NI DINI MOJA
th-cam.com/video/5UXoluZxSac/w-d-xo.html UKATOLIKI NA UISLAMU NI DINI MOJA
Hawa ndo watu wanaopaswa kupewa muda zaidi kwenye media sio wale wakina mwamposa na maji yao ya kikafiri
nahapa tusemeje mkuu tutafsirie 😂😂😂😂 wazee ivi jina la Yesu ni lipi.?? ukielewa hapa utajua kilichosemwa.
Marko 16:15.,16.,17.,18.
15. Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa. 17. Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; 18. watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Atujakuelewa ulichongea