LIFE WISDOM : NAMNA YA KUANZA UPYA BAADA YA KUFELI - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 34

  • @everose276
    @everose276 10 หลายเดือนก่อน +9

    Nina jambo langu lilitaka kuniangusha mwaka jana,na sijui uliongozwa na roho maana nilikutana na wewe na ndio ukawa ukombozi wangu. Kwa sasa nimeinuka na nipo napambana tena hadi nifanikiwe.Asante Joel.

  • @AmosAiyasa
    @AmosAiyasa 10 หลายเดือนก่อน +7

    Kila siku naongeza thamani kupitia life wisdom series. Be blessed bro

  • @AmaniRashidi-i9b
    @AmaniRashidi-i9b 10 หลายเดือนก่อน +4

    From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante ❤

  • @danielmboje9209
    @danielmboje9209 10 หลายเดือนก่อน +3

    Waaoooh I am the First to Listen!
    Mungu azidi kukuinua kwa Viwango vya juu zaidi ili Watu wa Mungu tuzidi kufunguliwa katika Maisha yetu.
    Mungu azidi kukutunza na kukustawisha kaka Joel ili uifanye kazi yake.
    Nakutamkia Ushindi Daima🎉🎉

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 10 หลายเดือนก่อน +6

    Waiting 🥇

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukulinda coach Joel naendelea kujifunza asante sana

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 10 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka joel kwa somo zuri binafs ninahitaji kuanza upya ili nifikie ndoto zangu. Kwani niliiishi maisha ya wengine na sasa nimejikuta nipo njia panda natakiwa kuanza ukurasa mpa. Na hatua nilokwishaanza ni kusoma mafundisho yako mazuri kila siku asb na muda wowote ninapopata nafasi naitumia kusoma mafundisho yako. Na pia nitahitaji vitabu kwa ajili kujifunza zaidi. Ubarikiwe sana.

  • @johnwangubo3342
    @johnwangubo3342 10 หลายเดือนก่อน +1

    Thank kila siku napata maarifa juu ya maisha pia ata mm nilishatokewa na hali hiyo lkn kupitia vitabu vyako nilifanikiwa God bless you

  • @Sanga_jr_24
    @Sanga_jr_24 10 หลายเดือนก่อน +3

    Greatness ✊🏿

  • @MaickoNyalusi
    @MaickoNyalusi 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongeze kaka joeli
    Naenda kuanza upya sasa

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mafanikio ni mchakato👏🏆👏

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 10 หลายเดือนก่อน +1

    👏👏👏 another day another blessings 🙏🙏🙏endelea kubarikiwa coach

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 10 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka Joel.🙏🙏 Nitanyanyuka Kwa jina la Yesu. Nimejifunza. Na Nitasimama Tena.

  • @magrethjohn2395
    @magrethjohn2395 10 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa sana kaka

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 10 หลายเดือนก่อน +2

    Somo💪🏆💪

  • @gilbertbaya1546
    @gilbertbaya1546 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kenya watching....

  • @JojoLomalisa
    @JojoLomalisa 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umeniamsha usingizini brother

  • @ClementLeonard-h9m
    @ClementLeonard-h9m 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sante kaka azina ya vijana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 10 หลายเดือนก่อน

    Hallelujah, 👌🏽👌🏽💃

  • @hawakizenga864
    @hawakizenga864 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa❤

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka Yangu hakika Mungu akubariki, maana nina vingi nilivyo pata toka nianze kukufatilia

  • @OmanOman-c9d
    @OmanOman-c9d 10 หลายเดือนก่อน

    Shukran joel

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 5 หลายเดือนก่อน

    Asante 🙏🙏

  • @upendodickson9222
    @upendodickson9222 10 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks 🙏

  • @isacksolomon5309
    @isacksolomon5309 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nawait😊😊😊

  • @JoyceHaule-o8c
    @JoyceHaule-o8c 10 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks

  • @MarikaPaul-lp2nd
    @MarikaPaul-lp2nd 10 หลายเดือนก่อน

    See u 2025 bro....... Inshallah ❤

  • @YohanaNestory-io9eo
    @YohanaNestory-io9eo 3 หลายเดือนก่อน

    🙌👏

  • @MaickoNyalusi
    @MaickoNyalusi 10 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @EliasMaduhu-l7p
    @EliasMaduhu-l7p หลายเดือนก่อน

    I stand up again🫡🫡

  • @ndabag9004
    @ndabag9004 หลายเดือนก่อน

    Nakutafta sana private sikupati kiongozi...

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 10 หลายเดือนก่อน

    Huu mwaka lazima nitoke nilipo kwama Kwa muda mrefu. Piga uwa galagaza. Ninakubali kuanza upya.

  • @DamianJulius
    @DamianJulius 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nawait😊😊