GB 64 AWAKA CHAMA AMEIHUJUMU SIMBA KWA MUDA MREFU, AENDE ZAKE, FAGIO LA CHUMA BADO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
  • Chama mwamba wa lusaka
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 170

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 2 วันที่ผ่านมา +13

    Chama bora alivyoachwa alijiona mkumbwa kuliko simba

  • @stellamboya8673
    @stellamboya8673 2 วันที่ผ่านมา +5

    Nimefurahi sana simba kumuuachia chama alishaichoka simba tunampenda ila inatosha

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 วันที่ผ่านมา +22

    mie ni SIMBA nakubal kuwa chama ni mchezaj hodari lkn kibri kilimzid kujiona mkubwa kuliko timu na pia alikua hana tn mapenz na simba, ivo nmefurah kuondoka. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️

    • @manmanonline6394
      @manmanonline6394 2 วันที่ผ่านมา +1

      Simba nguvu moja❤❤❤❤❤

    • @danielpeter8085
      @danielpeter8085 วันที่ผ่านมา

      Ata mm nafurah kuondokà...alizingua sana

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 วันที่ผ่านมา

      Mzeee saidi kashasema nyie mnaosema chama Bora alivoo ndo ka ni afadhali ni waongooo hhhaaaah mzee said 4rever

    • @LindaMbilinyi
      @LindaMbilinyi วันที่ผ่านมา +1

      Kbsaa chama alishajiona yeye ni Bora zaid acha tuitengeneze team yetu

  • @MartinDismas-ou5oy
    @MartinDismas-ou5oy 2 วันที่ผ่านมา +4

    Mashabiki Wenzangu Poleni kwani tumeondokewa na Chama kimpira. Msijali Sana tutapoa tu. Watu wanaoshughulikia Usajili wafanye KWELI watusajilie kweli.Atajuta tu baadaye msihofu..SIMBA NGUVU MOJA..❤❤❤❤

    • @Nestory-zm3nh
      @Nestory-zm3nh วันที่ผ่านมา

      Oya kwahiyo ww ulitaka siondoke yeye ninani kwanza mtu mwenyewe migomo kila siku aensde zake mbona time imefanya vizuri mechi za mwisho bila chama ten mm nimefurahi sana

  • @mohamedmseka5644
    @mohamedmseka5644 2 วันที่ผ่านมา +10

    Nimefulahi sana simba kuachana na.chama simba nguvu moja

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 วันที่ผ่านมา +5

    Mwecheni chama aende jamani. Mbona mayele aliondoka yanga bw. Sisi tunahitaji vijana wapya na Kocha wetu Mgunda. Mo wala usiangaike na makocha wa nje wanatupoteza fedha zetu. Weke vijana wazuri. KWELI KAKA MANENO YAKO YOTE ni SAHIHI WALA SIO NONGWA❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍

  • @DulaPila-bn4kg
    @DulaPila-bn4kg 2 วันที่ผ่านมา +5

    Nakukubali sana gb ume nyooka sana kwa maelezo

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 2 วันที่ผ่านมา +3

    Aende tu hawezi kufia simba km mafisango ndo mchezaji alofia simba na tukaumia mno

  • @linusjohn4790
    @linusjohn4790 วันที่ผ่านมา +2

    Kabisa kk upo very clear mkuu

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f 2 วันที่ผ่านมา +6

    Aondoke kiburi sana

  • @user-kq8ec3yq1m
    @user-kq8ec3yq1m 2 วันที่ผ่านมา +3

    Aende zake katuflotisha sana

  • @user-xh8sh9pu4s
    @user-xh8sh9pu4s 2 วันที่ผ่านมา +7

    Kaka nakulubali sana

  • @manmanonline6394
    @manmanonline6394 2 วันที่ผ่านมา +7

    SIMBA nguvu moja❤❤❤❤❤

  • @user-nf4zs6cu3j
    @user-nf4zs6cu3j 2 วันที่ผ่านมา +9

    Maneno ya mkosaji yanga hawana ela ya kumsajili chama

  • @RamadhanIbrahimMaganyila-ff6jy
    @RamadhanIbrahimMaganyila-ff6jy 2 วันที่ผ่านมา +6

    Uko sawa kabisa

  • @ThobiasKarima-rn3hw
    @ThobiasKarima-rn3hw 2 วันที่ผ่านมา +2

    Gb64 kaka umeongea vizuri sana....

  • @charlesmahuna
    @charlesmahuna 2 วันที่ผ่านมา +4

    Chama Simba ilikupenda lakini ulijivuna nakumbuka hata pre season ilopota uturuk ulisumbua uongozi na ukaenda peke yako, nenda yanga ukavune ulichokipanda, utatukumbuka saaana . Acha tusafishe ghara

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 วันที่ผ่านมา

      nikweli kabisa acha waende wawo cyo wa kwanza kuichezea simba simba ni temu kubwa

    • @LindaMbilinyi
      @LindaMbilinyi วันที่ผ่านมา +1

      Aende tu

  • @user-um8if8mi5w
    @user-um8if8mi5w วันที่ผ่านมา +1

    Hapa Ndio Naamini Hkn Mlevi Mwenye Akili

  • @user-ju5xi2jm7w
    @user-ju5xi2jm7w วันที่ผ่านมา +3

    GB 64 umeongea vema Chama aende tu misimu mitatu Simba haijapata kombe na yy alikuwepo aende tu tulishamchoka

  • @nuru.simkoko
    @nuru.simkoko 2 วันที่ผ่านมา +4

    Chama bora ameondoka kaa alianza kiburi sana

    • @JemesKasase
      @JemesKasase 2 วันที่ผ่านมา +1

      Lekin umetumia were!

  • @mohamedmseka5644
    @mohamedmseka5644 2 วันที่ผ่านมา +2

    Chama hana jipya aende tu mchezaji hata kukimbia hawezi kama bata bhana ndambwa ndambwa

  • @AliAchimoAchimoAlifa
    @AliAchimoAchimoAlifa วันที่ผ่านมา +1

    Chama sio Simba aende zake

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila9458 วันที่ผ่านมา +1

    Chama kawaacha sio nyie😂😂

  • @abdrazakimamlo7655
    @abdrazakimamlo7655 วันที่ผ่านมา

    Safi gb uko pamoja na mimi na uongozi wetu

  • @LindaMbilinyi
    @LindaMbilinyi วันที่ผ่านมา +1

    Me nawaambia yawezekana tukaumia kwenye hal ys kibinadamu lkn ukwel ni kwamba chama acha aende alishajiona bora kuliko simba,,acha tuitengeneze simna yetu sasa,,alishakuwa kibur mnooo na kujions bila yeye hakuna simba kitu ambacho si kwel

  • @JoharyHumbe-fb5ke
    @JoharyHumbe-fb5ke วันที่ผ่านมา

    Safi sana ende tuuuuu huko

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 วันที่ผ่านมา

    sisi wanasimba ukwel chama tunampenda sana na ndoo shida kumbwa nyuma mwiko wana mhonga ili aiharibu timu yetu bora aondoke ametutesa sana

  • @GodfreyJailos
    @GodfreyJailos วันที่ผ่านมา

    Acha aende simba ijipange vizuri

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v 2 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo chama mwaka 1 tu mtamwona

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 2 วันที่ผ่านมา +1

    GB 64 daa we shda kubwa unafungua kinoma hujawah nifrisha at kdg

  • @bakarimbasha6542
    @bakarimbasha6542 วันที่ผ่านมา

    Big up Mo

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 2 วันที่ผ่านมา +2

    Wengi waliotoka Simba leo wako wapi?
    Kina Morison na wenzake

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 2 วันที่ผ่านมา +2

    Kiukweli chama Bado inatuuma na sajili hizi ata zizielewi daah

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

      WACHEZAJI WAMEJAA DUNIA NZIMA

    • @Mrisho-bd1lg
      @Mrisho-bd1lg วันที่ผ่านมา

      inakuuma wewe

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 วันที่ผ่านมา

    MOJA ya watu waliyo turahi kuondoka KWA CHAMA manura na inonga nimimi yani Safi Sana hayo b
    NDIO mamuzi magumu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 2 วันที่ผ่านมา +1

    Chama hataitwa na tena chipolopolo tunza hii sms yangu

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 2 วันที่ผ่านมา +1

    NI MAAMUZI SAHIHI KUMUACHA CHAMA,NAIONA SIMBA MPYA YENYE KASI NZ USHINDI

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

      AYUHAAA SAFI SANA

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d วันที่ผ่านมา

    Kazeeka mlija wa yanga umeondoka muhujumu mbwa chiba na guu lake bovu

  • @SalumAuka
    @SalumAuka วันที่ผ่านมา

    Yanga bingwa tena asee,waache waendelee kudanganyana mamae😂😂😂😂

  • @CosmassEmmanuel
    @CosmassEmmanuel วันที่ผ่านมา

    Kweli Chama ni mchezaji mzuri sana,kuondoka simba, aliona mashine Kali kuliko yeye kutoka huko kwao Zambia sio wazee kama yeye,ndio maana kaswepa mapemaaaa,kwaheriiiii Chama nenda na kibuti chako 🐕

  • @Abdubunda
    @Abdubunda 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kaisha huyo acha aende Nyuma mwiko

  • @JanuaryJoseph-c8p
    @JanuaryJoseph-c8p วันที่ผ่านมา

    Nakuunga mkono

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 วันที่ผ่านมา

    Mdudu mangungu jeee

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

    TUMNYAKUWE AZIZI KI WATASHONA MIDOMO MACHOGO HAO

  • @user-nu3ne8ul5d
    @user-nu3ne8ul5d วันที่ผ่านมา

    Aondoke kaiujumu sana simba yetu

  • @makamelila
    @makamelila 2 วันที่ผ่านมา +1

    Simba oyeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @manmanonline6394
    @manmanonline6394 2 วันที่ผ่านมา +2

    Acha kirusi kiende

  • @FatumaAmis
    @FatumaAmis 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kabisa

  • @hamadyasin7429
    @hamadyasin7429 วันที่ผ่านมา

    Mm mwenyewe nimefurah kuondoka kwake

  • @ConfusedEucalyptusTree-zb3vx
    @ConfusedEucalyptusTree-zb3vx 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Gb we mwongo xnaaaaa hamia uko azm

  • @eunicerichard5179
    @eunicerichard5179 วันที่ผ่านมา

    Jamani ndoto yangu imetimia chama kuondoka simba alikuwa anakibur

  • @rajaburajabu8005
    @rajaburajabu8005 วันที่ผ่านมา

    Chama aende tu Simba nikubwa kuliko yeye,kwanza alikua anaanzisha migomo ya wachezaji,kujiona anaweza kutupangia nacho taka,hongera kwa viongozi kwa kileta hizo mashine mpya za kazi,yani natamani vyura TUKUTANE nao hata kesho kwa sajiri hii mwaka wetu

  • @hamzaibrahimu
    @hamzaibrahimu 2 วันที่ผ่านมา +4

    Zanzaibar finest Feisal, Feisal ,Feisal Salum Feitoto Abdala 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌☝️💥💥💥💥💥💥💥

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 atakuja kwenye mkutano mkuuu

    • @hamzaibrahimu
      @hamzaibrahimu 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@mwanangusana 😀😀😅

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@mwanangusanaHATA WEWE NJOO 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @mwanangusana
      @mwanangusana วันที่ผ่านมา +2

      @@salimmalaka256 hiv ndo tunapenda ndugu yangu ... Yale matusi achana nayo , utani wa jadi Bila kuporomosha matusi inawezekana , .... Hapa tupo pamoja tutakuja na akina mayele , Feisal na Manzoki kwenye mkutano mkuuu 🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 วันที่ผ่านมา

      @@mwanangusana OK

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 วันที่ผ่านมา

    Maneno ya mkosaji

  • @user-fg1rf2cc4b
    @user-fg1rf2cc4b วันที่ผ่านมา

    Huyu hasa ni msanii tu alisema chma alihujumu wp leo anasema ni muhujum mkubw chama maneno ya mkosaj hayo

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n 2 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani mm kama shabiki wa lunyasi nimefurahi uyo sura ya mbuzi kuondoka simba

    • @LindaMbilinyi
      @LindaMbilinyi วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😅😅😅

  • @caristuskabibi3470
    @caristuskabibi3470 วันที่ผ่านมา

    Upo sawa

  • @user-he3wt8vk8z
    @user-he3wt8vk8z วันที่ผ่านมา

    Umekuzwa unaona nawe star? Mshamba wa kiingereza.

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh วันที่ผ่านมา

    Na mangungu nae asafishwe aondoke anatafuta matatizo

  • @Mrisho-bd1lg
    @Mrisho-bd1lg วันที่ผ่านมา

    CHAMA aende2 kwanza mchezaji Gani hajawahi kuwa majeruhi

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 วันที่ผ่านมา

    Mwamba kigeugeu kwelikweli na bado atasema sana

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 วันที่ผ่านมา

    Haya maneno ni "Fungu la kukosa"

  • @AlexiaMilao
    @AlexiaMilao 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli bangi mbaya ww leo umebadilika ndio maana wana simba wemzako walikuacha polisi hawakukutolea dhamana polisi

  • @UswegeMwaigomole
    @UswegeMwaigomole 2 วันที่ผ่านมา

    Wewe ulinazingua simba hiii tutapoteana ....ttzo ni viongozi ambao wanawasajili wakina jobe /fred/......wewe jamaa duuu ni mnafiki sana chama ndo unamsema ivyo duuu wewe jamaa

  • @israelnibigira4990
    @israelnibigira4990 2 วันที่ผ่านมา

    Chama ni mbemba njooni niwape story zawa bemba nipo Zambia yaani ndivyo walivyo

  • @TrebaMagambo
    @TrebaMagambo 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Maneno ya Mfamaji 😂😂😂

  • @maikonyondo-gr7gd
    @maikonyondo-gr7gd วันที่ผ่านมา

    Katika siku zote leo umenikosha umeongea sahihi kabisa

  • @rubensamson8681
    @rubensamson8681 วันที่ผ่านมา

    Hawa ndo yanaropoka tu mpk mashabiki wte simba tunaonekana hatujielewi Mchezaji ni kama bidhaa kuna mda anaangalia mwisho wake

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 วันที่ผ่านมา

    Gb hapo huwa nakukubali sana umenyooka sana walikuweka ndani police ajili yasimba wewe kweli nisimba dam

  • @user-zz4iu9tg9o
    @user-zz4iu9tg9o 2 วันที่ผ่านมา

    Uyu jamaa kumbe ndio maana walimuweka ndani, anamatatizo yaakili mimi simba chama katufanyia mengisana

  • @user-gz3es9eb8c
    @user-gz3es9eb8c วันที่ผ่านมา

    G64 uko sahihi

  • @castrocastro9615
    @castrocastro9615 2 วันที่ผ่านมา

    We pimbi.
    Ulisema Chama akiondoka Simba utahamia Azam. Ondoka tuachie timu yetu

  • @user-he3wt8vk8z
    @user-he3wt8vk8z วันที่ผ่านมา

    Ulisema ndo aliyescout kina Mutale Leo mhujumu ila wewe Kenge.

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp วันที่ผ่านมา

    Ww kumbe mjinga izo gb zako za uongo unashindwa kumuheshim mchezaji kisa kuondoka ktk team yako ww si ndie uloukulia mjina 1 ww

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Like za kelele za karume apa 🤙

  • @user-he3wt8vk8z
    @user-he3wt8vk8z วันที่ผ่านมา

    Mtoe mwaliko Corona irudi usije ukaishia kubweka.

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 2 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna wajinga wengi Simba, muda si mrefu wataanza kumtukana Chama

  • @user-he3wt8vk8z
    @user-he3wt8vk8z วันที่ผ่านมา

    Mfa maji.

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi วันที่ผ่านมา

    yy na manula ndo walikuwa wanaigeuka simba wakwendreeeeeeeeeeeee tu ss tunataka wachezaji wapya na wazuri zaidi wao

  • @hassanimsizilo
    @hassanimsizilo วันที่ผ่านมา

    Kaka umesema kweli cha ninani? Wakumbushe wanasimba tulipo ifunga azamu chuma 3 chama enonga kibu walikuepo?

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp วันที่ผ่านมา

    Hlf unapenda kujisifia ujinga wakat uongoz wako umezidiwa mpka leo wapo ktk maongezi watu wamemtangaza mjinga kwel hlf ww unapenda kubadilika kuanzia leo singali tena video yk

  • @user-pv3hw5ib5w
    @user-pv3hw5ib5w 2 วันที่ผ่านมา

    Akili ya kazi unaitoa wapi ww , taarabu hiyo.

  • @dennisngonyani1795
    @dennisngonyani1795 2 วันที่ผ่านมา

    VP HUKO MO KAFIKISHA BILLIONI NGAP 85 AU 290 ...MSISANAU KUULIZANA

  • @debbykasitu6990
    @debbykasitu6990 2 วันที่ผ่านมา

    Ewaaaaaa huyu sasa nimemuelewa.

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 2 วันที่ผ่านมา

    Wewe ujitambuwi ndiyo maana walikuweka jela fala wewe simba awakujuwi

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sio tena mwamba wa Lusaka ni mwamba wa lushwa

  • @donatusalfred582
    @donatusalfred582 วันที่ผ่านมา

    GB 64 USIJIZIME DATA IMEUMANA AISEE

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 2 วันที่ผ่านมา

    Si ulisema TAJIRI amerudi,,,tulishawazoweaa kwa porojo zenu makolo

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp วันที่ผ่านมา

    Au kushaanza kutumwa mpumbazu ww

  • @debbykasitu6990
    @debbykasitu6990 2 วันที่ผ่านมา

    Umeongea point wewe,umesahau na Benchikha pia alimkataa Chama sababu ana kibri

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco4311 2 วันที่ผ่านมา +3

    Chawa.

  • @user-wg2vl1rh4l
    @user-wg2vl1rh4l 2 วันที่ผ่านมา

    Acha ushamba weweee ,apo aloihujuma simba ni wachezaji au Viongozi kwa Kauli yako GB.

  • @user-zx3kv9hb7p
    @user-zx3kv9hb7p วันที่ผ่านมา

    Jana tu ulisema amuwezi kutoa silaha kwa adui leo umeipinga kauli yako nahisi una matatizo ya akili uko kama mauzinde

  • @heribuberwa2372
    @heribuberwa2372 2 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa chenga kweli
    Wewe si ndiye ulisema Chama hawezi kutoka Simba? Si ulisema unahamia Azam?
    Hizi bangi

  • @user-nf4zs6cu3j
    @user-nf4zs6cu3j 2 วันที่ผ่านมา +2

    Maneno ya mkosaji ulisema tajili ameludi chama hawezi kuondoka kwamba yanga hawana ela achena unafik

    • @siamekennedy3540
      @siamekennedy3540 2 วันที่ผ่านมา

      Kumbe GB 64 kigeugeu? siji kumwamini tena muongo mkubwa huyo. Anatoa ahadi na hawezi kutekeleza. Nimemshusha hadhi sana kumbe mpuuzi tu

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 2 วันที่ผ่านมา

    😃🤣😃🤣🤣🤣💃

  • @MuhamedIssa-kw2qh
    @MuhamedIssa-kw2qh 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe jamaa chenga sana

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 2 วันที่ผ่านมา +2

    We kinembe ulisema unaenda azam nenda xax

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

      TOPOLOOO MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

  • @jumahamad9463
    @jumahamad9463 2 วันที่ผ่านมา +1

    NENDA WEWE UKASHABIKIA AZAM

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

      NENDA WEWE MATOPOLO MACHOGO FC WEWE

  • @saidikambi9597
    @saidikambi9597 2 วันที่ผ่านมา

    Yani nimewashangaa chama kuwatoa jasho chama mitaani uto kinye mmmh bado sana

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 2 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Gb hanatofauti na sigara ya nyota popote unaweza kuwasha moto.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

      NDIO MZURI HUYO TOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂