mie ni SIMBA nakubal kuwa chama ni mchezaj hodari lkn kibri kilimzid kujiona mkubwa kuliko timu na pia alikua hana tn mapenz na simba, ivo nmefurah kuondoka. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
Mashabiki Wenzangu Poleni kwani tumeondokewa na Chama kimpira. Msijali Sana tutapoa tu. Watu wanaoshughulikia Usajili wafanye KWELI watusajilie kweli.Atajuta tu baadaye msihofu..SIMBA NGUVU MOJA..❤❤❤❤
Oya kwahiyo ww ulitaka siondoke yeye ninani kwanza mtu mwenyewe migomo kila siku aensde zake mbona time imefanya vizuri mechi za mwisho bila chama ten mm nimefurahi sana
Mwecheni chama aende jamani. Mbona mayele aliondoka yanga bw. Sisi tunahitaji vijana wapya na Kocha wetu Mgunda. Mo wala usiangaike na makocha wa nje wanatupoteza fedha zetu. Weke vijana wazuri. KWELI KAKA MANENO YAKO YOTE ni SAHIHI WALA SIO NONGWA❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍
Chama Simba ilikupenda lakini ulijivuna nakumbuka hata pre season ilopota uturuk ulisumbua uongozi na ukaenda peke yako, nenda yanga ukavune ulichokipanda, utatukumbuka saaana . Acha tusafishe ghara
Me nawaambia yawezekana tukaumia kwenye hal ys kibinadamu lkn ukwel ni kwamba chama acha aende alishajiona bora kuliko simba,,acha tuitengeneze simna yetu sasa,,alishakuwa kibur mnooo na kujions bila yeye hakuna simba kitu ambacho si kwel
Kweli Chama ni mchezaji mzuri sana,kuondoka simba, aliona mashine Kali kuliko yeye kutoka huko kwao Zambia sio wazee kama yeye,ndio maana kaswepa mapemaaaa,kwaheriiiii Chama nenda na kibuti chako 🐕
Chama aende tu Simba nikubwa kuliko yeye,kwanza alikua anaanzisha migomo ya wachezaji,kujiona anaweza kutupangia nacho taka,hongera kwa viongozi kwa kileta hizo mashine mpya za kazi,yani natamani vyura TUKUTANE nao hata kesho kwa sajiri hii mwaka wetu
@@salimmalaka256 hiv ndo tunapenda ndugu yangu ... Yale matusi achana nayo , utani wa jadi Bila kuporomosha matusi inawezekana , .... Hapa tupo pamoja tutakuja na akina mayele , Feisal na Manzoki kwenye mkutano mkuuu 🤣🤣🤣
Wewe ulinazingua simba hiii tutapoteana ....ttzo ni viongozi ambao wanawasajili wakina jobe /fred/......wewe jamaa duuu ni mnafiki sana chama ndo unamsema ivyo duuu wewe jamaa
Hlf unapenda kujisifia ujinga wakat uongoz wako umezidiwa mpka leo wapo ktk maongezi watu wamemtangaza mjinga kwel hlf ww unapenda kubadilika kuanzia leo singali tena video yk
Chama bora alivyoachwa alijiona mkumbwa kuliko simba
Kweli kabis
Nimefurahi sana simba kumuuachia chama alishaichoka simba tunampenda ila inatosha
mie ni SIMBA nakubal kuwa chama ni mchezaj hodari lkn kibri kilimzid kujiona mkubwa kuliko timu na pia alikua hana tn mapenz na simba, ivo nmefurah kuondoka. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
Simba nguvu moja❤❤❤❤❤
Ata mm nafurah kuondokà...alizingua sana
Mzeee saidi kashasema nyie mnaosema chama Bora alivoo ndo ka ni afadhali ni waongooo hhhaaaah mzee said 4rever
Kbsaa chama alishajiona yeye ni Bora zaid acha tuitengeneze team yetu
Mashabiki Wenzangu Poleni kwani tumeondokewa na Chama kimpira. Msijali Sana tutapoa tu. Watu wanaoshughulikia Usajili wafanye KWELI watusajilie kweli.Atajuta tu baadaye msihofu..SIMBA NGUVU MOJA..❤❤❤❤
Oya kwahiyo ww ulitaka siondoke yeye ninani kwanza mtu mwenyewe migomo kila siku aensde zake mbona time imefanya vizuri mechi za mwisho bila chama ten mm nimefurahi sana
Nimefulahi sana simba kuachana na.chama simba nguvu moja
💪💪
Mwecheni chama aende jamani. Mbona mayele aliondoka yanga bw. Sisi tunahitaji vijana wapya na Kocha wetu Mgunda. Mo wala usiangaike na makocha wa nje wanatupoteza fedha zetu. Weke vijana wazuri. KWELI KAKA MANENO YAKO YOTE ni SAHIHI WALA SIO NONGWA❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍
Nakukubali sana gb ume nyooka sana kwa maelezo
Aende tu hawezi kufia simba km mafisango ndo mchezaji alofia simba na tukaumia mno
Kabisa kk upo very clear mkuu
Aondoke kiburi sana
Aende zake katuflotisha sana
Kaka nakulubali sana
SIMBA nguvu moja❤❤❤❤❤
Maneno ya mkosaji yanga hawana ela ya kumsajili chama
Uko sawa kabisa
Gb64 kaka umeongea vizuri sana....
Chama Simba ilikupenda lakini ulijivuna nakumbuka hata pre season ilopota uturuk ulisumbua uongozi na ukaenda peke yako, nenda yanga ukavune ulichokipanda, utatukumbuka saaana . Acha tusafishe ghara
nikweli kabisa acha waende wawo cyo wa kwanza kuichezea simba simba ni temu kubwa
Aende tu
Hapa Ndio Naamini Hkn Mlevi Mwenye Akili
GB 64 umeongea vema Chama aende tu misimu mitatu Simba haijapata kombe na yy alikuwepo aende tu tulishamchoka
Chama bora ameondoka kaa alianza kiburi sana
Lekin umetumia were!
Chama hana jipya aende tu mchezaji hata kukimbia hawezi kama bata bhana ndambwa ndambwa
Chama sio Simba aende zake
Chama kawaacha sio nyie😂😂
Safi gb uko pamoja na mimi na uongozi wetu
Me nawaambia yawezekana tukaumia kwenye hal ys kibinadamu lkn ukwel ni kwamba chama acha aende alishajiona bora kuliko simba,,acha tuitengeneze simna yetu sasa,,alishakuwa kibur mnooo na kujions bila yeye hakuna simba kitu ambacho si kwel
Safi sana ende tuuuuu huko
sisi wanasimba ukwel chama tunampenda sana na ndoo shida kumbwa nyuma mwiko wana mhonga ili aiharibu timu yetu bora aondoke ametutesa sana
Acha aende simba ijipange vizuri
Huyo chama mwaka 1 tu mtamwona
GB 64 daa we shda kubwa unafungua kinoma hujawah nifrisha at kdg
Big up Mo
Wengi waliotoka Simba leo wako wapi?
Kina Morison na wenzake
Kiukweli chama Bado inatuuma na sajili hizi ata zizielewi daah
WACHEZAJI WAMEJAA DUNIA NZIMA
inakuuma wewe
MOJA ya watu waliyo turahi kuondoka KWA CHAMA manura na inonga nimimi yani Safi Sana hayo b
NDIO mamuzi magumu
Chama hataitwa na tena chipolopolo tunza hii sms yangu
NI MAAMUZI SAHIHI KUMUACHA CHAMA,NAIONA SIMBA MPYA YENYE KASI NZ USHINDI
AYUHAAA SAFI SANA
Kazeeka mlija wa yanga umeondoka muhujumu mbwa chiba na guu lake bovu
Yanga bingwa tena asee,waache waendelee kudanganyana mamae😂😂😂😂
Kweli Chama ni mchezaji mzuri sana,kuondoka simba, aliona mashine Kali kuliko yeye kutoka huko kwao Zambia sio wazee kama yeye,ndio maana kaswepa mapemaaaa,kwaheriiiii Chama nenda na kibuti chako 🐕
Kaisha huyo acha aende Nyuma mwiko
Nakuunga mkono
Mdudu mangungu jeee
TUMNYAKUWE AZIZI KI WATASHONA MIDOMO MACHOGO HAO
Aondoke kaiujumu sana simba yetu
Simba oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Acha kirusi kiende
Kweli kabisa
Mm mwenyewe nimefurah kuondoka kwake
Gb we mwongo xnaaaaa hamia uko azm
Jamani ndoto yangu imetimia chama kuondoka simba alikuwa anakibur
Chama aende tu Simba nikubwa kuliko yeye,kwanza alikua anaanzisha migomo ya wachezaji,kujiona anaweza kutupangia nacho taka,hongera kwa viongozi kwa kileta hizo mashine mpya za kazi,yani natamani vyura TUKUTANE nao hata kesho kwa sajiri hii mwaka wetu
Zanzaibar finest Feisal, Feisal ,Feisal Salum Feitoto Abdala 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌☝️💥💥💥💥💥💥💥
😂😂😂 atakuja kwenye mkutano mkuuu
@@mwanangusana 😀😀😅
@@mwanangusanaHATA WEWE NJOO 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@@salimmalaka256 hiv ndo tunapenda ndugu yangu ... Yale matusi achana nayo , utani wa jadi Bila kuporomosha matusi inawezekana , .... Hapa tupo pamoja tutakuja na akina mayele , Feisal na Manzoki kwenye mkutano mkuuu 🤣🤣🤣
@@mwanangusana OK
Maneno ya mkosaji
Huyu hasa ni msanii tu alisema chma alihujumu wp leo anasema ni muhujum mkubw chama maneno ya mkosaj hayo
Yaani mm kama shabiki wa lunyasi nimefurahi uyo sura ya mbuzi kuondoka simba
😅😅😅😅😅
Upo sawa
Umekuzwa unaona nawe star? Mshamba wa kiingereza.
Na mangungu nae asafishwe aondoke anatafuta matatizo
CHAMA aende2 kwanza mchezaji Gani hajawahi kuwa majeruhi
Mwamba kigeugeu kwelikweli na bado atasema sana
Haya maneno ni "Fungu la kukosa"
Kweli bangi mbaya ww leo umebadilika ndio maana wana simba wemzako walikuacha polisi hawakukutolea dhamana polisi
Wewe ulinazingua simba hiii tutapoteana ....ttzo ni viongozi ambao wanawasajili wakina jobe /fred/......wewe jamaa duuu ni mnafiki sana chama ndo unamsema ivyo duuu wewe jamaa
Chama ni mbemba njooni niwape story zawa bemba nipo Zambia yaani ndivyo walivyo
Maneno ya Mfamaji 😂😂😂
Katika siku zote leo umenikosha umeongea sahihi kabisa
Hawa ndo yanaropoka tu mpk mashabiki wte simba tunaonekana hatujielewi Mchezaji ni kama bidhaa kuna mda anaangalia mwisho wake
Gb hapo huwa nakukubali sana umenyooka sana walikuweka ndani police ajili yasimba wewe kweli nisimba dam
Uyu jamaa kumbe ndio maana walimuweka ndani, anamatatizo yaakili mimi simba chama katufanyia mengisana
G64 uko sahihi
We pimbi.
Ulisema Chama akiondoka Simba utahamia Azam. Ondoka tuachie timu yetu
Ulisema ndo aliyescout kina Mutale Leo mhujumu ila wewe Kenge.
Ww kumbe mjinga izo gb zako za uongo unashindwa kumuheshim mchezaji kisa kuondoka ktk team yako ww si ndie uloukulia mjina 1 ww
Like za kelele za karume apa 🤙
Chama ana kiburi na hana shukrani.
Mtoe mwaliko Corona irudi usije ukaishia kubweka.
Kuna wajinga wengi Simba, muda si mrefu wataanza kumtukana Chama
Kama mnavyomtukana Feisal
Mfa maji.
yy na manula ndo walikuwa wanaigeuka simba wakwendreeeeeeeeeeeee tu ss tunataka wachezaji wapya na wazuri zaidi wao
Kaka umesema kweli cha ninani? Wakumbushe wanasimba tulipo ifunga azamu chuma 3 chama enonga kibu walikuepo?
Hlf unapenda kujisifia ujinga wakat uongoz wako umezidiwa mpka leo wapo ktk maongezi watu wamemtangaza mjinga kwel hlf ww unapenda kubadilika kuanzia leo singali tena video yk
Akili ya kazi unaitoa wapi ww , taarabu hiyo.
VP HUKO MO KAFIKISHA BILLIONI NGAP 85 AU 290 ...MSISANAU KUULIZANA
Ewaaaaaa huyu sasa nimemuelewa.
Wewe ujitambuwi ndiyo maana walikuweka jela fala wewe simba awakujuwi
Sio tena mwamba wa Lusaka ni mwamba wa lushwa
GB 64 USIJIZIME DATA IMEUMANA AISEE
Si ulisema TAJIRI amerudi,,,tulishawazoweaa kwa porojo zenu makolo
Au kushaanza kutumwa mpumbazu ww
Umeongea point wewe,umesahau na Benchikha pia alimkataa Chama sababu ana kibri
Chawa.
CHOGOOOOOOOOO
Acha ushamba weweee ,apo aloihujuma simba ni wachezaji au Viongozi kwa Kauli yako GB.
Jana tu ulisema amuwezi kutoa silaha kwa adui leo umeipinga kauli yako nahisi una matatizo ya akili uko kama mauzinde
Huyu jamaa chenga kweli
Wewe si ndiye ulisema Chama hawezi kutoka Simba? Si ulisema unahamia Azam?
Hizi bangi
Maneno ya mkosaji ulisema tajili ameludi chama hawezi kuondoka kwamba yanga hawana ela achena unafik
Kumbe GB 64 kigeugeu? siji kumwamini tena muongo mkubwa huyo. Anatoa ahadi na hawezi kutekeleza. Nimemshusha hadhi sana kumbe mpuuzi tu
😃🤣😃🤣🤣🤣💃
Wewe jamaa chenga sana
We kinembe ulisema unaenda azam nenda xax
TOPOLOOO MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
NENDA WEWE UKASHABIKIA AZAM
NENDA WEWE MATOPOLO MACHOGO FC WEWE
Yani nimewashangaa chama kuwatoa jasho chama mitaani uto kinye mmmh bado sana
Huyu Gb hanatofauti na sigara ya nyota popote unaweza kuwasha moto.
NDIO MZURI HUYO TOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂