Mashallah Mungu yawa zidishieni nguvu nasi pia tuwe watu kama nyie wa kulingania maneno ya Mungu na mungu atupe mwisho mzuri kama ilivyo tokea kwa amir said Omar ibn hatabu
Masha'Allah nakupenda bule mazinge wangu. Yani ukianza hii mada najua kwamba ni moto utawawashia. Ila ukweli usemwe kichungu kitemwe na kitamu kimezwe, wambie wakisikia sawa wakikaidi shauli yao lawama kwao si kwako ujumbe umesha warushia tayali.
Ma shaa Allah Yani corona Allah aipeperushe daawa iendelee in shaa Allah. Ukweli Amna binaadam aweza ishi bila mwenza niukweli pastor wanakula watu wao
hivi nyinyi waga huko kwenu waga kunamabadiriko gani maana misikitini nimahari pa kujifuzia ugaid wa mhamad Kwanza hapo mripo majini ya mewajaa hivi mungu gani huyo mnae mwabudu mbwa nyinyi wa mhamad
In shaa Allah mungu awafunguwe macho yao na masikio waelewe waambiwao maanake ukristo ni mtihani wa maisha ya duniani na kesho akhera ni adhabu Allah atuongoze sote njia iliyo nyoka
Tushee hizi video kwa Wingi, lnshaAllah Sema mazinge Hua unanikoshaga Sana tu haswaa maswala hayo dah Alafu sijui Ismail nae ulimuacha wapi swaiba yako
Kwa style hizi na jitihada hizi inshallah baada miaka 10 ukristo kenya utakuwa umeisha na kenya itakuwa madina ya Africa inshallah.. mkitoka hapo mje Tanzania masheikh wetu manake wahadhiri wa tanzania daawa mitaani hawafanyi sijui tatizo nn 😢😩
Mashekhe hawa wa daawa wako na familia zao zinataka kusaidiwa kwa kila hali na matajiri waliojitolea ni wachache kusaidia na watu sasa kwa mtazamo wangu hao wahadhiri watanzania inawezekana wameamua kutafuta kazi za kawaida ile apate kipato cha kuwasaidia family zao ndio maana hatujawasikia kwa mda mrefu sanaaaaaa, wakiristo misaada yao inatolewa na matajiri na wasimamizi kutoka ulaya wa makanisa tafauti tafauti
@@lacroquetalacroqueta6813 hiyo nayo inaukweli, wacha tuchangie sadakatul jaariya, na kama mtu atakua na za ziada basi atapeana mashekhe hata walimu WA madrasa nao pia WA nahitaji kupewa lnshaAllah
Makafiri ingieni hapa mpate sindano kwa walimu wa Kiislamu hawataki kulipwa na mtu Hao katika haya wanasubiri malipo kwa Allah ya kunusuriwa na adhabu siku ya kiama
hivi huyo mungu wenu wanga muhamadi waga amewafuga hakiri hapo mripo majini yamesha wafunga mizim majambazi wa mhamad Sasa kwa ushaur kwa Nini msienderee tu na uganga wenu kuriko kumzihaki mungu
nyinyi masheh wa majini na mizimu Mimi niwashauri jambo moja kwanini nyinyi hamfungiwi wakati Kira jambo mbaya riko kwenu wafuga majin waganga mizim majambazi magaid wa mhamad kwanini badara ya kufuga majini msinge mtafuta mungu wa kweri mbwa nyinyi
MashaAllah show iko mzuri sana na inaelimisha sana.....Maalim nakuuliza mbona hizi nchi zakiislamu kama Saudi,Dubai na zingine huwa Zina mkaribisha sana huyu pope nakumpa heshima...Haya Mambo yanaudhi sana.. Assalamualaikum
Kama namuona mazingee,mwaipopo,dr sule nawengine masheh wakenya na tanzaniya.wote endelezeni kazi hiyo Allah atawalipa.muwabane mbavu mpaka wanyooke waache upumbavu wao
St Paul katika kitabu cha 1st cor 7 utaona hawalazimishi mtu kuowa wala kuolewa. Ni maamuzi ya mtu binafsi. Ukiweza baki single husipoweza owa. Free choice
Hapo kwa catholic sisters ni ukweli ukiwaona vifua vyao vimeanguka, zimeangushwa na nini na hawajazaa?? Pia kuna wakati nilikua nafanya kibarua loreto convent nilishangaa kuona kuna sister alikua ikifika jioni anavaa mini skirt na kutoka kulikua na gari nyeusi BMW inakuja kumshukua jioni anarudi asubuhi, kwani alikua anaenda misa ya usiku peke yake?
I really agree with you but shida juu ya ndugu zetu wakristo ni kupuuza maneno yaliyo yakweli yaliyo fundiswa na Manabii wa ALLAH na kuyafuata maneno ya ukora na wauni wakuu Wa makanisa.Kwanza Mimi mwenyewe nilikua naenda katika kanisa la SDA nilipokuja Nairobi kikazi Kwa bahati nzuri nikatumwa Eastleigh ndio nikawapata warimu Wa kiislam wakifundiza nikaanza kufuatilia hadi nikajua ukweli na kuufuata but ninao challenges mbaya sana Kwa familia lakina nwomba muniombee Dua
Ustadh Waziri mulizungumzia kuhusu kile kiraka cha yesu kwenda kusulubiwa hususwan ulisema mulikuwa mukijitetea ile Cloak wakati ule ilikuwa mukijitetea mukisema saa iliotumika kwa kigiriki na kiroma zimetafautuana sasa inamaana sisi watu wa wakusema cloak kwa kiswahili tunatumia cloak ya kigiriki kwa mfano 12 tunasema saa 6 yaani cloak zetu ile namba tunasema tafauti ilivyo.
Iyo biashara ambayo mko nayo kanisani ipo siku itahomba.mnamchuwa yesu mnamuweka kwenye ibada yabiashara.ndovile aliacha anawausiya?atawakanauyo mnajuwa.na hilo jina mmejipangiya litawabakieni nyinyi wenyewe atajikunguta atawambieni yeye sio yesu.yeye ni issa bin mariam.
Kanisa Katoliki halikuanzishwa na Petro, Kanisa La Katolic Lilianzishwa na Mfalme Constantine, Karne ya Tatu. Na Acha Uwongo Waislamu hawakuwepo mpaka Karne ya 6 hivi. Tatu tuambie Mohamed aliyeanzisha Uislamu alizaliwa Karne gani?
Ww hujui kitu uislam haukuanzishwa muhammad kwan muda alikua mkristo,ibrahim,yusuf,nuhu,je soma ndg acha kupenda kitu kbovu ww ukristo ungekua dini tukuachie ww kwa ujanja gani uliokua nao kwanza kristo Ni jina la mtu ww unafanya dini unaakili kweli
Kk yahya abili mm ninashida ya namba zako nataka nikutumie pesa kwaujezi wa msikiti naomba nambo mi naitwa ziada yasin mi ni mtanzania lla nipo oman nakuomba namba
mtu anae chukia ukweli basi atakuwa na matatizo ndugu yangu usikariri maisha dini unatakiwa usome usiweke ushabiki kumbuka kifo kipo usikubali kuwa mkristo bila kujua kitu na mwisho unapo ongea ongea kwa uthibitisho wa maandiko kweli ukrusto sio dini ni biashara tu
Kingine masheikhe zangu kwanini wakiristo wanaaminishwa picha ya msanii wa filam kuwa ndio yesu hadi wameiweka kwenye makanisa wakati sio yesu hilo nalo wanalichukuliaje
Masha Allah masheikh wetu,Allah awaepushe na hasad na awajaalie kila la kheir.Nawependa kwa ajili ya Allah..
Mashallah Mungu yawa zidishieni nguvu nasi pia tuwe watu kama nyie wa kulingania maneno ya Mungu na mungu atupe mwisho mzuri kama ilivyo tokea kwa amir said Omar ibn hatabu
Maashaallah mashekhe zetu mungu akuhifadhini
Masha'Allah nakupenda bule mazinge wangu. Yani ukianza hii mada najua kwamba ni moto utawawashia. Ila ukweli usemwe kichungu kitemwe na kitamu kimezwe, wambie wakisikia sawa wakikaidi shauli yao lawama kwao si kwako ujumbe umesha warushia tayali.
wewe sarum majini mhamad utafuga majini mupaga rini mbwa wewe
Allahu Akbar Mwenyezi Mungu awape moyo ya kulinda Uislam.
Malipo yenu Kwa ALLAH in sha ALLAH
Mungu awasamehe
Allah awalinde sana awape umri mrefu wenye kheir Nina furahishwa na Daawa yenu hua nawafwata kila siku Ma shaa Allah na wapenda kwa ajili ya Allah .
Asalam Aleykum please English subtitles next video please Kenya Daawah online tv In Sha Allah
Mashallah alshabab, daawa kibao. A salaam aleikhum waramaturah wabarAkhat
MashaAllah mashekhe wetu, sitashindwa kusikiliza
Ma shaa Allah Yani corona Allah aipeperushe daawa iendelee in shaa Allah. Ukweli Amna binaadam aweza ishi bila mwenza niukweli pastor wanakula watu wao
Amiin
Masha Allah wallah Uislam raha Mazinge atia chumvi kweli😃
Lkni nkweli twawaona sana
Nahicho kilemba nacho😃😃
Taqbeer Allahu Akbr 🤲
Masha'llah masheikh Wangu Nawapenda.
Sheikh Yahya Issa Mupo wapi Masheikh wangu na mm ningependa kuhudhuria live kuwasalimia mashekhe wangu.
Assalaam haleikum warahmatulilah wabarakath ..ma'sheikh wetu mnaongoza swalla zima la Imani
hivi nyinyi waga huko kwenu waga kunamabadiriko gani maana misikitini nimahari pa kujifuzia ugaid wa mhamad Kwanza hapo mripo majini ya mewajaa hivi mungu gani huyo mnae mwabudu mbwa nyinyi wa mhamad
MashaAllah. Ni furaha kubwa masheikhi wanafundisha mambo sahihi. Allah InshaAllah atawalipa
Maa shaa Allaah shukran Jazeelan wa JazaakumuLlaahu khayr
Masha Allah. Mambo mazuri ila location sio. Hatuwaiskii vizuri upepo mwingi San tunakosa uhondo.
Allah awaifadhi maustadh wetu
Aslm alaykum ya brothers, mm namuombea kwa Allah ampe na kumruzuku mwisho mwema kwa KAZI munayoifanya mmungu awahifadhi dhidi ya shari za shwaitan
Mashallah masheikh wetu nawapenda sanaaa, sheikh Mazinge hua wanipunga sana ukiwapasha pia kuna shamba la mananasi
Hahah uliiona hiyo
@@salmaissa9793
Ndio,hupenda kuhudhuria mihadhara kwetu ujamaa akija
😀😀😀
ALLAHUMA swalli wasallim wabaarik aleihi
Mashaa ALLAH. ALLAH awahifadhi masheikh wetu ila tutaepuka aje hii Calender
MashaAllah nasikia raha mwenyezi Mungu aendelee kumuongoza na amjalie muda mrefu
Masha Allah mashekhe wetu tunawapenda Allah awabariki sana apo dunia na aheera
Kazi mnayo fanya ni ngumu sana, Mungu atawalipa.
Jazakumu Llaahu khairan
Nawapenda sana hawa waadhili endeleeni kutu elimisha
Mashaallaah yarab tuhifadh na utulinde pamoja na mashekh wetu wote amiin
Allah awastiri na awaongoze masheh zangu msiogope mtu ogopeni mungu tu ukweli uonyeshwe.nauongo ufutwe
kanisa hili kweli n la uongo.
Mashallah hakika inafurahisha sana
In shaa Allah mungu awafunguwe macho yao na masikio waelewe waambiwao maanake ukristo ni mtihani wa maisha ya duniani na kesho akhera ni adhabu Allah atuongoze sote njia iliyo nyoka
MASHAALLAH!!!!!!! Umeongea Ukweli Kabisa
Tushee hizi video kwa Wingi, lnshaAllah
Sema mazinge Hua unanikoshaga Sana tu haswaa maswala hayo dah
Alafu sijui Ismail nae ulimuacha wapi swaiba yako
Shukrani mashekhe mungu awajaze ilmu mungu awape malipo mema
Mazinge wamkumbuka sio huyo waziiri 2011 makadara ground mombasa Akibishana na ww na ww ukamwambia utakuja tu kusilimu ndo huyo hapo Ashasilimu Ahamdulilah
wewe mazinge nakupa miezi usipo kuja kutubu na hayo majini yako ya taperi mhamad utakufu
Mashallah
Kumbe sheikh wanafikiria kama watoto
Masha llah Allah atawalipaa ya rabbiy
Asalaam aleykum, MASHEKH KUNA MAZINGE WA TZ NAOMBENI MUUNGANE NAYE ILI DAAWA IWEZE KUFANYIKA TANZANIA HASA MKOA WA KIGOMA, nitafurah sana
Nipo kigoma
Kwa style hizi na jitihada hizi inshallah baada miaka 10 ukristo kenya utakuwa umeisha na kenya itakuwa madina ya Africa inshallah.. mkitoka hapo mje Tanzania masheikh wetu manake wahadhiri wa tanzania daawa mitaani hawafanyi sijui tatizo nn 😢😩
Amina lnshaAllah
Inshaallah Aamiiin
Mashekhe hawa wa daawa wako na familia zao zinataka kusaidiwa kwa kila hali na matajiri waliojitolea ni wachache kusaidia na watu sasa kwa mtazamo wangu hao wahadhiri watanzania inawezekana wameamua kutafuta kazi za kawaida ile apate kipato cha kuwasaidia family zao ndio maana hatujawasikia kwa mda mrefu sanaaaaaa, wakiristo misaada yao inatolewa na matajiri na wasimamizi kutoka ulaya wa makanisa tafauti tafauti
Kweli kabisa wakuje Tanzania
@@lacroquetalacroqueta6813 hiyo nayo inaukweli, wacha tuchangie sadakatul jaariya, na kama mtu atakua na za ziada basi atapeana mashekhe hata walimu WA madrasa nao pia WA nahitaji kupewa lnshaAllah
Makafiri ingieni hapa mpate sindano kwa walimu wa Kiislamu hawataki kulipwa na mtu Hao katika haya wanasubiri malipo kwa Allah ya kunusuriwa na adhabu siku ya kiama
hivi huyo mungu wenu wanga muhamadi waga amewafuga hakiri hapo mripo majini yamesha wafunga mizim majambazi wa mhamad Sasa kwa ushaur kwa Nini msienderee tu na uganga wenu kuriko kumzihaki mungu
Mazingira mazuri Ila upepo unazingua
nyinyi masheh wa majini na mizimu Mimi niwashauri jambo moja kwanini nyinyi hamfungiwi wakati Kira jambo mbaya riko kwenu wafuga majin waganga mizim majambazi magaid wa mhamad kwanini badara ya kufuga majini msinge mtafuta mungu wa kweri mbwa nyinyi
Msipendelee kuongolea nje upepo unasababisha sauti haitoki vizuri
Asalaam aleikum warhamatullah wabarakatuh masheikh namuomba tafadhali mufike meru in sha Allah
is to good to be a Muslim
Welcome mr to be a muslim coz is the way to ALLAH
Hapo ndipo nachukia waesilamu sababu hawatambui Yesu kristu kuwa bwana na mokozi wa maisha ya wanadamu
yesu ni wa waislamu sio wa wa kristo kwa sababu kuna ushahidi wa maandiko
Mashaallah mashaallah nawapenda kwa ajili ya Allah
Wagalatia hawaelewi kwakweli inasikitisha ila Alihamdulillah unajitahidi kuwaelimisha baadhi yao wanaongoka
MashaAllah show iko mzuri sana na inaelimisha sana.....Maalim nakuuliza mbona hizi nchi zakiislamu kama Saudi,Dubai na zingine huwa Zina mkaribisha sana huyu pope nakumpa heshima...Haya Mambo yanaudhi sana.. Assalamualaikum
I wish mugemutambua Yesu kristu ndio mungeelewa. Na yesu ndie njia ya ukweli ya kwenda mbinguni
Kwakweli masheh zetu nawapendeni kama roho yangu mzidi kuipiganiya dini ya allah.malipo yenu yapo.
Sasa kwasababu wametowa siri ndio mana mnamtukana Muhammad mbona hamnaga adabu.na watazidi kusema hamtowaziwiya kitu.
Sheikh yahya naipataje hii nasheed jaman naipenda sana
Nyinyi mnazini wapi hata nyinyi wasanii
Nilikua napenda muongeze dakika yani ifike 45 basi masheikh Wangu
Huyo sheikh mazinge namkubali sana ni mkali wa intelligence wa pungufu wa akili
Mazinge sisemi KITU😂😂
MI atha siwezi mbavu zangu,, lkni sheikh asema ukweli sio kichekesho
@@salmaissa9793 M mependa hichi kilemba alvokifunga😁😁😁
sheikh yahya nakushukuru sana
Kama namuona mazingee,mwaipopo,dr sule nawengine masheh wakenya na tanzaniya.wote endelezeni kazi hiyo Allah atawalipa.muwabane mbavu mpaka wanyooke waache upumbavu wao
Assalaam alaykum w.w great work brothers sauti kidogo balaa
18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu NITALIJENGA KANISA LANGU; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Mathayo 16:18
Maneno ya yesu hayo ama?
@@maherzain615 ndio akimwambia Petro
@@johnsombi545 mbona ye mwenye alikienda kwa sina gogi.angelijenga akiwa ye mwenyewe
Ndugu hii ni hatari kubwa tuache kujiingiza kwenye imani za watu wengine.
Naerimika sana
St Paul katika kitabu cha 1st cor 7 utaona hawalazimishi mtu kuowa wala kuolewa. Ni maamuzi ya mtu binafsi. Ukiweza baki single husipoweza owa. Free choice
Jiulize ww mwenyewe binafs unakula unashiba unaweza kuhimili iyo hali kama binadamu
Mohamedi alianzisha uisilamu huko leo mnaongea uongo na ushabuki
Hapo kwa catholic sisters ni ukweli ukiwaona vifua vyao vimeanguka, zimeangushwa na nini na hawajazaa?? Pia kuna wakati nilikua nafanya kibarua loreto convent nilishangaa kuona kuna sister alikua ikifika jioni anavaa mini skirt na kutoka kulikua na gari nyeusi BMW inakuja kumshukua jioni anarudi asubuhi, kwani alikua anaenda misa ya usiku peke yake?
Hahahaaah
MashaAllah
Siku hizi watu wanafanya comedy,wake mchezo na mwenyezi mungu
Saf ila jitahidini kukuaa sehem zisizo na upepo inaboa sana
Nyiye niwa huni waimani
Shida waya esilamu ni hawafuati agano jipya ndio maana hawatambui Yesu kristu
Dhambi sio kuzini tu,Kila binadamu ni mtenda dhambi.dhambi ni dhambi tu.
Biblia takatifu na Quruani ni vitabu viwili vya Imani tofauti hivyo Imani unaamini wewe sio lazima mtu mwingine aiamini
I really agree with you but shida juu ya ndugu zetu wakristo ni kupuuza maneno yaliyo yakweli yaliyo fundiswa na Manabii wa ALLAH na kuyafuata maneno ya ukora na wauni wakuu Wa makanisa.Kwanza Mimi mwenyewe nilikua naenda katika kanisa la SDA nilipokuja Nairobi kikazi Kwa bahati nzuri nikatumwa Eastleigh ndio nikawapata warimu Wa kiislam wakifundiza nikaanza kufuatilia hadi nikajua ukweli na kuufuata but ninao challenges mbaya sana Kwa familia lakina nwomba muniombee Dua
Hamna kitu mnachokijua!! Ninyi ni wachekeshaji tu!!
Mazinge alf zile movie za freemason siku hizi utangezi
Mukobize munachambuwa msichokijua nikweli akilizenuzimeishiahapo zaubinadamu.
Nyinyi mumutambue kwanza Yesu kristu
Yesu sisi tunamtambuwa sana kushinda nyinyi.na tena anatupenda sana sisi nduguzake waislam kwasababu tunamuweka nafasiyake halali Allah alieye mpa.
Ustadh Waziri mulizungumzia kuhusu kile kiraka cha yesu kwenda kusulubiwa hususwan ulisema mulikuwa mukijitetea ile Cloak wakati ule ilikuwa mukijitetea mukisema saa iliotumika kwa kigiriki na kiroma zimetafautuana sasa inamaana sisi watu wa wakusema cloak kwa kiswahili tunatumia cloak ya kigiriki kwa mfano 12 tunasema saa 6 yaani cloak zetu ile namba tunasema tafauti ilivyo.
waisiram wamesabisha ushoga maana majini ya ukahaba ya mejaa
Wapi nduthi yeye pia next episod akuwe bana
Kwanza catholic sio serikali sema ni chama cha siasa ulimwenguni period
Iyo biashara ambayo mko nayo kanisani ipo siku itahomba.mnamchuwa yesu mnamuweka kwenye ibada yabiashara.ndovile aliacha anawausiya?atawakanauyo mnajuwa.na hilo jina mmejipangiya litawabakieni nyinyi wenyewe atajikunguta atawambieni yeye sio yesu.yeye ni issa bin mariam.
Waislam tunatisha!!!kwakweli mjiamini,ndio mana tunaogopwa tunaitwa ni wachawi.sababu ya Nini? Elim nyingi kubwa.
Kanisa Katoliki halikuanzishwa na Petro, Kanisa La Katolic Lilianzishwa na Mfalme Constantine, Karne ya Tatu. Na Acha Uwongo Waislamu hawakuwepo mpaka Karne ya 6 hivi. Tatu tuambie Mohamed aliyeanzisha Uislamu alizaliwa Karne gani?
Ww hujui kitu uislam haukuanzishwa muhammad kwan muda alikua mkristo,ibrahim,yusuf,nuhu,je soma ndg acha kupenda kitu kbovu ww ukristo ungekua dini tukuachie ww kwa ujanja gani uliokua nao kwanza kristo
Ni jina la mtu ww unafanya dini unaakili kweli
Kk yahya abili mm ninashida ya namba zako nataka nikutumie pesa kwaujezi wa msikiti naomba nambo mi naitwa ziada yasin mi ni mtanzania lla nipo oman nakuomba namba
Allah awaongoze endeleen na dawa Wala msichoki.
Nawakubali MaSheikhe watu
Mmejaa fitina, mbona nyie wenye vikofia wanalawiti hamsemi?
Kama Quruan yenyewe haifundishi mambo mazuri ya Imani Shekhe ataweza kufundisha mambo mazuri ?
hakuna kitabu duniani kinacho fundisha mazuri kama qur-an sema huja soma
Nawachekaga Sana😂😂😂 Ila bas tyu endeleen kumhubir huyo Mungu wen wachuki
mtu anae chukia ukweli basi atakuwa na matatizo ndugu yangu usikariri maisha dini unatakiwa usome usiweke ushabiki kumbuka kifo kipo usikubali kuwa mkristo bila kujua kitu na mwisho unapo ongea ongea kwa uthibitisho wa maandiko kweli ukrusto sio dini ni biashara tu
😂😂😂😜😜
Kingine masheikhe zangu kwanini wakiristo wanaaminishwa picha ya msanii wa filam kuwa ndio yesu hadi wameiweka kwenye makanisa wakati sio yesu hilo nalo wanalichukuliaje
Shetani ako na nguvu ya huu ule ulimwengu bro
Kinshansa Ni Congo bhana hahahaha wazee washakarabara bakosa okamata Ni usanii mtupu
Hakuna kitu hapo nyie Kama amuamini mbaki Hivyo hivyo sawa
Umechapia hamuna kitu hapo umejaribu kuelezea ila bado jaribu usome tena
Chochote kisichopatikana kwenye biblia ni ushirikina, Washirikina wapo dini zote
Tunaomba sauti kipindi kizuri mashee wetu
🤣🤣🤣🤣