ASKOFU KILAINI ALIVYOPANGUA MASWALI MAGUMU ALIYOULIZWA/UTASHANGAZWA NA MAMBO HAYA/AMGUSIA PAPA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 11

  • @KBUILDERS996
    @KBUILDERS996 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana baba asikofu kwa mafundisho yako mazuri nakutia moyo endelea kutetea imani ya kweli ya kanisa katoliki

  • @johntalam2718
    @johntalam2718 ปีที่แล้ว

    John Talam kutoka Kenya Jimbo la Eldoret. Nampongeza sana askofu. swali langu. kila ijumaa kuu mti wa msalaba unaletwa na wakristu wanaalikwa kuuabudu. je hii inamaanisha kuabudu miungu?

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 ปีที่แล้ว

    Kiongozi unatueleza vizur sana nashukuru ila tunaomba uchambuwe na ufafanuzi zaidi sisi atujuwi tunaitaji kujuwa majibu niya mkato san

  • @georgekigufa9670
    @georgekigufa9670 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mno baba askofu kwa majibu yako mazuri

  • @Manchory
    @Manchory 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kwake

  • @samwelkadeghe2522
    @samwelkadeghe2522 4 ปีที่แล้ว

    Asante baba askofu

  • @paulrwechungura4958
    @paulrwechungura4958 4 ปีที่แล้ว

    Kusema mh Askofu Kilaini umeiva

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya5801 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @THEWORLD-om1bo
    @THEWORLD-om1bo 3 ปีที่แล้ว

    mafundisho ya uongo...tutakutana siku ya hukumu..!!!

    • @paulrwechungura5342
      @paulrwechungura5342 3 ปีที่แล้ว

      Achana na kanisa KATOLIKI, wewe ni kanisa vibanda