Pamoja na uzuri wake lakini sio eco friendly au rafiki na mazingira sababu zinafunika ardhi kabisa bila kupata mwanya wa kupumua. Pia displacent yake kwa ardhi au utawanyo wa uzito ni negative na inazuia maji kunyonya na ardhi. Zakuungia japokua zinakua zimebana,maji huweza kupita kwenye crevices zilizopo. Lakini kama mtu haujali sana mazingira zakuchora hazina shida kabisa.
Ni kweli kabisa
Pamoja na uzuri wake lakini sio eco friendly au rafiki na mazingira sababu zinafunika ardhi kabisa bila kupata mwanya wa kupumua. Pia displacent yake kwa ardhi au utawanyo wa uzito ni negative na inazuia maji kunyonya na ardhi. Zakuungia japokua zinakua zimebana,maji huweza kupita kwenye crevices zilizopo.
Lakini kama mtu haujali sana mazingira zakuchora hazina shida kabisa.
Nimependa hii nitaweka kwangu
Daa ii channel naipenda mno najifunza mengi 🙏🙏🙏🙏
💯🙏
@@sanukamedia9084 namba za simu unapata wapi
Tuanfikie namba
Kwani naweza kupata hivo vibati kwa sh ngapi kwa maua matano tofauti tofauti?
Unapatikana wap