INATISHA! VIDEO HII CHANZO KANISA HILI KUFUNGIWA |MCHUNGAJI ATUSI BIBLIA HADHARANI |QURAN HAICHEZEWI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Hongera sana serikali yetu kwa kufungia mtu huyu kanisa kwa jinsi anavyofundisha likini na jinsi anvyoikufuru kitabu cha mungu maana kitabu cha mungu kinamuongozo wote wa jinsi ya kuhubiri inakuaje mtu huyu leo anaikufuru kitabu kitakatifu cha mungu wetu huyu mtu hafai hata kuitwa mtumishi asanteni sana serikali yetu iliogundua hili
Asante kwa serikali ya Tanzania ya wachamungu kulifunga kanisa la uongo. Mimi naomba lifungwe milele
Ee Mungu uturehemu, sawasawa na fadhili zako...
Utusamehe Ee Mungu🙏🙏😭😭
Mungu hadhihakiwi! Huyu atakiona muda si mrefu,na hata hiyo biashara yenu ya vipodozi itakufa
Naishukuru sana Serikali ya TZ kwa kumfungia Kanisa, huyu Mjumbe wa Shetani, maana tangu nizaliwe ndiyo naanza kusikia mahubiri kama kwa kutoka kwa Mjumbe wa Shetani, ingefaa na Jela afungwe.
naipa hongela selekali safi sana wafungiwe kabisa huyu ametumwa na shetani kukufulu biblia
Aaaaa atakaheruhusu kanisa hilo kufunguria namtuma maraika mikael amtandike bakola zakumtosha katika jina la yesu
Serikali imefanya uamuzi sahihi tena imemvumilia sana, basi tu.
Mungu mwema aondoke inchini
Mungu asimame mwenyewe. Kanisa hili lifungiwe kbs sbb wanahubiri kitu kingine sio Kristo/ Mke wake ameonekana youtube akitaka Mashaga wapate raha.... Hapana hapana
Biblia ndiyo kitabu chenye umri mrefu hapa ulimwenguni na wale waliotaka kuiangamiza ilishuhudia mazishi yao mfano kipindi Cha zama za giza kati ya 538AD Hadi 1798hivyo hatakuwa wa kwanza kuipinga Biblia kwa kuwa kwa mujibu mtume Petro haikuletwa Duniani kwa mapenzi ya mwanadamu Bali walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na roho mtakatifu.
SI atumie Kitabu chake kuliko kufanya dhihaka Kitabu chetu kitakatifu Biblia.Niliwahi kusikiliza mafundisho yake ya matoleo hakika yalikuwa ya kupotosha Kabisa nilishangaa kuona watu wamejaa wanamsikiliza.Mungu tusaidie wewe ni wa huruma
Ako na Pepo mchafu
Hao wako wengi. Na hao watu uliowaona siyo kwamba wote ni waumini wanaomini ila wengi wao ni watu wamoja na hao hao ambao wamepewa hela ili wasimame kwenye maeneo mengi mengi yaafrika ili kutengeneza mpenyo wakuingoza ideas za ushoga.
Wana maombi wote wa duniani kote, tunatakiwa kuelekeza fimbo ya Mungu kuwachapa hao vibaraka wa ushoga. Wenzao wameanzisha huduma wanayoiita NEEMA JUU YA NEEMA. Na wengine wao wamejiita majina mengine tofauti tofauti ila ukiwasikiriza wote wanachonena ni kitu cha kufanana. Ni lazima Mungu wetu awachape. Wanamaombi wote tusimame vizuri dhidi ya kundi hili.
Wameshiba zaka na sadaka za masikini wanaanza dharau. Dawa ni moja hakuna kutoa sadaka. Ni bora kuwasaidia masikini, kwa kuwalisha, na kuwavalisha. Amesema nilikuwa mgonjwa hamkuja kuniona, nilikuwa uchi hamkunivika nguo,nilikuwa na na njaa hamkunipa chakula ni heri kutenda yaliyo mema kuliko kusiliza watu kama hao
Jitu jinga sana hili,siyo aombe radhi,bali afungiwe ye si haikubari Bible.
Na mungu asaindie lifungwe milele amina
Pastor feki
Nimelia machozi,inauma sana,angejua Mungu anailinda biblia kuliko kitu chochote angefanya maasi yake yote sio kuitukana biblia,neno LA Mungu aliye hai,zama za giza mawakala wa shetani walifanya kila waliloweza kuhakikisha biblia inatoweka lakini hawakuweza kwa kuwa Mungu anailinda,angejifunza hats kwa ile clip ambayo ilionyeshwa nyumba imeungua na vitu vyote biblia pekee ikabaki bila kuguswa na moto wakati laptop ambayo biblia hiyo ilikuwa juu yake imeungua kabisa Mungu amrehemu maana huku in kumkufuru Mungu na neno lake yeye mwenyewe ndio kaburi na Manisa lake ni kaburi pia.
Bibilia cio kitabu Cha mungu bibilia ni neno la kigiriki lnalomaanisha mkusanyiko wa vitabu so bibilia kapewa nabii gn au mtume gn sbb nabii mussa kapewa tawrat na daud kapewa zabur na ISSA ama yesu kapewa injil na Quran kapewa mtume Muhammad s.a.w Sasa bibilia kapewa nani toa point
Huyo ana roho ya mpinga kristo.
Tena no dhahili
Amuombe radhi Mungu mwenye kitabu chake.
Huyu anapita
Kitab kipi maana pasta ameongelea biblia na sio injili😢
mtamchukia paschal Cassian lakini Kuna siku mtamkumbuka mtumishi wamungu huyu ambaye amekuwa akikemea maovu yanayo fanywa na wahubili tumefika Mahalia ambapo wahubili wanalikanganya neno la mungu madhabahuni bila hofu ya mungu
Mungu uturehemu Mungu uturehemu. Kila pango asilopanda baba wa Mbinguni litang'olewa
Huyo mama sio grace zoazoa vipodoz
Dunia imevamiwa mtaelewa tu mwenye dunia anaangalia tu amenyamaza kwa muda ila majibu yanakuja tujitakase na kuomba sana
Allah SW anawaumbuwa Sasa Ukweli unajidhihirisha.
Hosea 4 : 6,
Zefania 2: 3
Karibuni ktk Uislamu
Mungu Rehemu kizazi hiki YESU tuhurumie tunaelekea kubaya. Sanaa
🤣🤣🤣 kutachangamka
Amejiunga na ibilisi Ivo ameambiwa amtukane mungu
@@melikiedward448 kabisaaa
Huyu jamaa nimpotoshashaji sanaa na nimsanii sana
Eh hamna dini nyny
Eh nyny mnagombna na kweli bc mfungieni papa, jamaa kazungumza kweli
Mungu si wakuchezea sasa hivi ammepooza mwili mzima
Shida ni kengeza
haoni mandishi vizuri
@@rashidkihunga2938 🤣🤣🤣🤣
Huyo ni pepo amemwingilia kinywani pake
Tumkemee kwa Jina la Yesu Kristo
Shindwa kabisa
Yani tumefikia hapo tz Mungu wangu Mungu wangu uturehemu ss na vizazi vyetu Mungu nakusihi hasira yako isitupate ss na familia zetu hawa watumishi feki nashetani mawakala wakipepo watumishi wa matumbo alikua anafanya biashara wakristu kuweni macho mnakimbilia miujiza badala yakumtafuta Mungu wakweli tubuni tubuni isijekua kama Brazil Mungu turehemu tumekosa wanao wafungwe wanyongwe tena uwanja wa taifa
Kitabu cha mpinga kristo ndicho anachomaanisha kuwa anakisubiria. Huyu saa ya neema ni agent wa shetani.
Tubu uokolewe umekiuka mbele MUNGU
@@richimuniko3578 umemuelewa Rube Fabi?
Devil worshipper mkubwa wewe... ashindwe in Jesus Christ.
Si anatafuta pesa kanisani. Kwaidatu wachungaji wote wanajuaukweri ilatu pesaaa ndiyoinawapeleka kanisani,,, Allhamdulillah kwakua muislam
Kweli biblia ina makosa mengi kimetiwa mkono
Kw kweli ni raha sna kuw Muislamu asntee mungu kw neema hii ya Uislamu
@@inesstibenda2832 Siku utakayo jitambua najua ndio utatulia nani wakujitathmin
Nyakati za mwisho
Aaaaaa Bora MAANA hawaeleweki na wanaharibu watu wengi
Shenzi we mtukana Biblia takatifu. Ndomaana una macho Kama ya nguruwe mwitu.
Kazi zao kula pesa za waumini jamani kweli Dunia inakwenda vibaya 😭😭😭
wajinga ndio waliwao
Kuna watu kila siku ni kuhama makanisa 😏
Ilitakiwa kumsikiliza hoja zake na kuulizwa maswali kuwa ana maanisha nn sabab anae tafsiri vibaya ndio uharib maana maana ata ukisoma 8:8 yelemia inasema kalam yenye uongo wa wandishi imefanya torati kuwa uongo
@@mamachris6811 Hivyohivyo kwani awanalazimishwa?! Wanaenda wenyewe
@@alhadajjmohammedsmith9042 ndo maana nikasema " wajinga ndio ........"
Pole zao wameingiliwa Mungu awarehemu sana . Majibu yao yameanza kuonekana
Ni nyakati za mwisho hizi.Tumwombe Sana MUNGU.
Bora wafungiwe tu. Pia wawe makini sio kila mtu mwenye pesa awe mchungaji
Umeona shida hii
Anapesa Wapi huyu
Nilitamani kama tungerudi kama zamani Redio chache tv ya taifa. Na maana tunashuhudia vitu vya ajabu mpaka macho na masikio vimechoka
Kweli kabisa
Ana Pepo mchafu na makengeza yake
Nimecheka kwamba ni kitabu cha ajabu na kaburi la ajabu na kitatokea kitabu kingne kitakachokifunika hk et kisa tu kuna mjinga mmoja alitamka neno flan dah aise naipenda Bible kupta hata maisha yangu kwamaana ndo uzma wangu na ndo Mungu mwenyewe
Kuna mijitu haitakiwi kuishi hata kwa sekunde..na cc wakristo tuamke watu kama hawa tunawapiga panga mpaka mifupa tunaisaga..haiwezekani haiwezekani
Kwajina la Yesu haitafunguliwa tena pepo mkubwa
Mungu akusamehe
Huyo amemkashifu roho mtakatifu awezi samehewa
Sio guru sana, ndio kristo wenyewe ilivyo.
End Time Sign...People Must REPENT CHRIST JESUS IS COMING SOOOOOOON VERYYY
Very soon hakika
Neno la MUNGU ni upanga ukatao kuwili litamkata na hataonekana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Akili Yako mbovu tu
Yaani huyu amemzalau Mungu na dunia nzima, lifungiwe nakamatwe,
[2petro2:1-5] msomaji na asome maana hata hatushangai juu yake kusema hivyo
Sio kufungiwa tuu. Hayo makanisa yabomolewe
Huyu ni Mpinga Kristo mafundisho yao yanapinga amri kumi za MUNGU, yanaruhusu dhambi, walikuwa na club ya mashoga na wasagaji wakafungiwa
Mimi nilidhani kama ana hakili za kumtosha angeleta hicho kitabu chake na afanye nacho kazi bila kuhusisha bibulia.
Msjali ndugu zangu. Hao sisi tuko tunawapeleka kwa Mungu kwa njia ya maombi. Mtashuhudia kipigo hicho atakachowapiga nacho Mungu. Ninyi nyamazeni tu. Sisi hatumpiganii Mungu wetu. Yeye ndiyo mwenye kuwachapa watovu wa nidhamu kama hao walaaniwa.
Si mnamkumbuka Farao? Huyo ni nani hataehafikii robo ya robo ya Farao.
Habar
NEEMA products kama vile sabuni na lotion za zoazoa zinaeneza ushoga
Mwanadamu huyu jamaniii....
Hata hofu ya Mungu Hana....
Yaani vitu vingine naviona live ila naendelea kuona kama niuongo maana ni zaidi ya ushetani Mimi ni muislam ila nimeshtuka kusikia mchungaji akiita bibiliya kaburi nakwamba kunakuja kitabu mpya kitakacho funika uozo wa bibiliya 🧐
Jamani jamani jamani kweli mwisho umefika ifike mahali tuwe na adabu,hivi hiyo aliyesema hayo maneno mtamuona tumpe mda mda utaongea.
Wakristo runajipoteza wenyewe hasa anayeanzisha huduma ukimuuliza umeisomea wp dini jibu utasikia ni kijipaji kutoka kwa Mungu, na ubinafsi na umimi umezidi kl dhehebu
Mchungaji yupo sawa
Sasa ukishasikia mtu anaitwa CHAUREMBO unafikiri hakili zake zikoje? Ni lazima asapoti hadi ujinga. Mungu akuhurumie na kukusamehe.
Mmefanya jambo jema sana
Serikali iko sahihi
Kuna kale kamchungaji chake chenye lafudhi ya kisukuma kanachokataa kutoa SEHEMU YA KUMI
Mnashangaa nn hamuoni hili mchungaji anakengexa??
Safi sana.
Haa mchg ni docta!!!huyu mke wake anapaswa ablid mfululizo miaka ya kutosha na mume wake abebe mimba .kwa namna anavyokufukuru
Hawa watu wamejikinai sana daah
ASUBIRI KITABU CHAKE TASISI HAITAFUNGULIWA MANA HANA KITABU CHA KUTUMIA . ZUMARIDI SIO MKRISTO NA SIO MCHUNGAJI NIMFALME
Huyu hata hivyo Vipodizi vyake ni Hatari, nashawishika kudhani na kusema vitakuwa na Vichocheo (Hormones) za kufanya Wanaume wawe Mashoga na Wanawake wawe Wasagaji.
😂🤣umenena
Huyu ni illuminate, ni kweli shetani ana mpango wa kuibadilisha biblia
Akamatwe huyu mtu ni hatari Kwa taifa letu
Na macho yake hayo
Huyu anatakiwa kukamatwa,,maana anatengeneza taharuki nchini,,pia anadharirisha biblia,,ni bora umkosoe mtu au mtumishi sio kitabu,,yaani unamlenga moja kwa moja mwenye kitabu na waumini wake,,Sasa watu wakifuata mawazo yake hautakuwa salama,lifutwe kabsa kanisa lake,
Huyu ni wapi Yehovaaaaa Jitukuze ona haya ana Nini huyu koma kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai.
Huyu simchungaji,hili ni pepo kamili la kuzimu,huduma haribifu hii ifungiwr na huyu anayejiita mchungaji afunguliwr mashtaka.
Mmmmmh na hayo makengezaaaaaa mmmh atari sana duni kwisha
Yesu ni dimoni tu, dini zote ni Uangamivu. Qur'ani yenyewe ina mkanganyiko. Maana ni shetani mwenyewe aliye nyuma ya dini zote duniani.
MACHO KUMCHUZI YANAMCHANGANYA HUYU PEPO. AFUNGIWE TU HAMNA MUNGU HAPO. NDIO HAYA MAJITU TUKIYACHEKEA NDIYO YALIYOANDALIWA KUCHOCHEA NDOA ZA JINSIA MOJA.
Kumbe na wewe umeshawaelewa. Hongera sana.
Nabii wa uongo huyo afungiwe
Uyu jamaa nilishangaa et ni mchungaji wakat alikuwa tarime miaka ya nyuma msera tuuu ghafra na sikia yuko dar benk frani leo mjungaji kweli wana cheza na mungu serikari mko makin
Bidhaa yake ya zoazoa imekosa soko,ameamua kuhamia huku 😂
qur'an inalindwa na mungu,biblia kila siku inatoleo jipya utapel tu
Kama anaikashifu biblia ambayo ni msingi mkuu wa mafundisho ya kikristo kulikuwa na sababu gani kuanzisha kanisa.kulikuwa na mfaransa mmoja aliyeikashifu biblia aliyejulikana kwa jina la Voltare lakini kwa maajabu ya Mungu baada ya kifo chake nyumba alimoishi ndimo ilimofungwa mitambo ya kuchapisha Biblia.
Ataombaje radhi ni shoga ila lazima Mungu ajilipizie kisasi
ASANTE YESU, MUNGU HADHIHAKIWI,NA AFUNGIWE KABISA MAANA HUYU NI AGENT WA SHETANI.
Nyakati za mwisho
Niakili ganii kitabu kakikuta anajifanya anaufahamu sana duuu
Eeeeeee Mungu wngu utulinde sisi hatuwezi bila wewe 😭😭😭😭
Hatari
Kitabu Cha dini ni kaburi duuu ww ufe kabisaa shetani ww
Wanajiita Grace club, club na church ni vitu viwili tofauti
Nami nakumbuka kwenye vipodoz ila uovu umezidi kila MTU anafanya atakavyo waweke mashart magumu yaufungua kanisa
Kama kagame au sio
Kweli wapuuzi ni wengi dunia sasa kama bibilia ni kabuki wewe kanisa lako linafundisha kitu gani??
Nilimsikia tangu miaka 4 iliyopita akikosoa injili ya Luka. Nikamtumia message aniualize nimfundishe,hakunijibu. Atengue kauli haraka aje tumfundishe.
Watasubiri sana.
Huyu nipepo kabisaa
Hawa Ni WAJUMBE wa IBILISI, ndio maana WANATUKANA BIBLIA TAKATIFU, WAFUASI wa YESU KRISTO Hatutakubali huu upuuzi
Amesema kwel hakuona Ayaa inayosema (ukristo n Dini ya Mungu) au itaje tu (Ukristo) nyinyi hamuoni n kaburi la jehanam kwel l
Hili tabu
Ww haujitambui kama huyo mpumbavu mwenzako nyie wote nimaagent washetan9
Kama kweli wewe ni msomaji wa biblia, ni wapi ulipokuta pameandikwa kwamba tufuate dini? Au unataka kuingiza mada za kiislamu katika Ukristo? Wewe ng'ang'ana na dini. Ila sisi tunang'ang'ana na Yesu Kristo. Na ndiyo maana tunaitwa Wakristo. Sisi habari za dini usituulize. Maana hakuna andiko katika biblia linalotutaka tuingie kwenye dini. Kama unalo, karibu kwa mjadala. Mambo ya dini wapelekee Waisilamu wenzako.
Binadamu mnataka nini duniani jamani kukufuru mmeweka mbele na kupoteza watoto duniani kwanini?
Anasema ukweli huo bhana safi Sana mchungaji kipo kitabu kitakachokuja kuipindua bibilia
Na wewe ndo wale wale muda wenu umefika wote mnaomdhihaki Mungu.Ukweli upi unaouna wewe hapo?
Aliyoishika ni biblia kweli au ni kitabu tu cheusi haki Mungu amsamehe
Safikabisa serikali yetu
Kwakweli ukristo unachezewa sana
Hamn dini apo
Kwakweli motoni kutachangamka..🔥
Usikose mbinguni mana kutanoga sana❤
Kama biblia unaipinga kwanini uendelee kujiita wewe kuwa ni kanisa? Tuko siku za mwisho wote waliojipenyeza kwa siri ndani ya kanisa wote watawekwa wazi. Biblia ni neno la Mungu na kamwe haliwezi badilishwa na muhuni kama huyu.
Nilisikikiza ushuhuda wa mtumishi mmoja alieitumikia kuzimu kwa muda mrefu anasema kuna biblia mpya kutoka kuzimu inafanyiwa mkakati wa kuja duniani kwa hiyo inaanza kuandaliwa mazingira namna hii...
Hata hili ni neno la Mungu?
1 Wakor 1:25 Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.
Kuweni macho watanzania huyu hata vitu vyao siyo vya kutumia vinayoka kuzimu mapepo haya
@@deboraleonard3441 na ndiyo maana siku za nyuma watu walihubiri makanisani wakiwashauri watu wasitumie vipodozi na hayo manywere ya bandia kwamba yanatoka kuzimu. Ila kwakuwa dunia imejijaza maswali watu "ooo, inathibitikaje? Unatuthibitishiaje?"
Mmmhu. Ni hatari tupu.
@@Sheba4651 Ndiyo. Majini yanachemka.
Ni wewe ndo umeoza na maisha yako pamoja na na maneno yako
Yupo mngine mbeya
Mfaransa Voltare naye alidai kuandika kitabu ambacho kuenea kwake kungeifuta kabisa Biblia Duniani lakini hicho kitabu chake hakipo ila Biblia inaendelea kuchapishwa kwa lugha za mataifa na makabila mbalimbali
Tunaiomba Selikali ulifungie lile kanisa la Arusha la Mhuni anayepiga hera kwa waumini huku akiwaongoza watu kwenda jehanamu