Swadakt uko Mwalimu kamili, wewe big Farida binti Juma. Mungu wetu ule ambaye tumuabudu akuzidishiye kila la kheri, akulipe Dunia yako na Ahera yako In shallah.
Swadakta sister farida kwanza nakupa salamu za siku nyingi sana.kweli ujumbe umefika dada .uko juu sana sister n.a. nakubaliana kabisa n.a. mtazamo wako sister farida
asalaam alekum dadngu umenielimisha sana hapa.siku hizi ndowa zina haribika na mpango wakando..usipokuwa na subir utaiwacha tu ila ndowa ni subira tu kwa allah..ndungu zangu tuketini kwa ndowa tupate pepo kesho inshaallah
Thanks agreat lady teach them dada, you could come on our country actually,you can many of them because those words you are talking a lot them they have pressure
Big farida shukran habibty kipenz bint juma maneno kuntu hayo lazima tusafiane njia laa sio hivyo kwanza mwanamme ukimfatilia sn utapata presha isiyo julikana kubwa tuongeze vikorombezo kwenye ndoa zetu endelea kutuelimisha sis💖💖👊
Lat John.inategemea hii ni sheria ya din wala mm binafs siipingi na mwanamme kutoka nje kuwa na hawara na kuongeza mke wa pili au watatu ni vitu tofaut haijalish kakosa nn ndani ni sheria na uadilifu akisha amuwa bs
Lat John cheria haina makosa mwanaume kuowa wake 4 kuna hekima nyingi ndani yake . Kuna wanao owa kwa kua kuna vitu wame vikosa kwa wake zao wengine huowa kwa kua ni sheria Na wengine huowa kwa kua hawataki kuzini nnjee ya ndoa
Shukuran kwa maelezo ingawa hapo pa kusema kwamba mwanamke ana nyota sidhani ni ukweli. Kwa kuwa anaweza kuwa msafi na kuwa anapendeza kwa sababu ya ujana wake au rangi yake au mavazi au zote nk. hadi baadhi ya watu wakasema ana nyota [nzuri]. Lakin huu ni msemo tu waliouzua baadhi ya watu. Na kunao watu wanaotumia fursa ya kule kuwa wapo watu wanaoamini kuhusu nyota basi wakawa wanawatoza fedha wasiojua ili kuwatabiria wakidai wanatumia ilimu ya nyota. Wa Allahu aalam. Na kama ulivyoeleza nadhani baadhi ya wanawake [na pia wanaume] wasipotahadhari wanaweza kuingia kwenye ndoa kabla ya kujitayarisha vyema. Kisha wanakuwa hawaelewi mambo muhimu kuhusu kile wanachohitajika kukitekeleza pale ili kuboresha ndoa zao. Kwa hivyo ni muhimu kwa imaam wa msikiti wa karibu kuwafahamisha Wazazi wajue kwamba wao ndio waalimu wa kwanza wa watoto wao. Kwa hivyo wajue kuna matayarisho ya ki akili wanayohitajika kuwafundisha watoto hao hasa wanapotimia umri fulani wa kutambua mambo. Na kuna pia matayarisho ya ki tabia, lakini wazazi hawawezi kuyaelewa ikiwa hawakusoma vyema mafundisho ya Qur'an na Sunnah kuhusu ndoa. Kwa hivyo inakuwa ni muhimu waelimishwe na imaam wa Msikiti wao, ili wajue majukumu yaliyo juu yao kuhusu kuwapatia vijana malezi mema ambayo yana ndani yake matayarisho kwa sababu ya ndoa. Wa Allahu aalam.
Maryam Hussein ku digest maudhi ni silaha ya mtu kujiprotect dear hata ukielemewa ukaamua kuomba talaka kusamehe kuna leta amani na utulivu wa nafsi wa hali ya ju. Kuna wakati mume anakuumiza maksudi mume huyo yafaa kukuona ukulia all the time?no ....
Swadakt uko Mwalimu kamili, wewe big Farida binti Juma. Mungu wetu ule ambaye tumuabudu akuzidishiye kila la kheri, akulipe Dunia yako na Ahera yako In shallah.
ABDU NUR Aamiyn thuma Aamiyn
Swadakta sister farida kwanza nakupa salamu za siku nyingi sana.kweli ujumbe umefika dada .uko juu sana sister n.a. nakubaliana kabisa n.a. mtazamo wako sister farida
Nakupenda da farida cjawah chukia elimu unayoitoa maana una2saidia sn ktk kudumisha ndoa zetu
asalaam alekum dadngu umenielimisha sana hapa.siku hizi ndowa zina haribika na mpango wakando..usipokuwa na subir utaiwacha tu ila ndowa ni subira tu kwa allah..ndungu zangu tuketini kwa ndowa tupate pepo kesho inshaallah
saumu sudi in sha Allah
Umenisaidia kutema sumu dada asante sana..mungu akubariki
zainab Makame tubarikiwe sote dear
Muzuri sana
Dada laitikama wanawake wagesikia haya uyasemayo aki ndoa zingegaa sana ubalikiwe
Waaaaaaah!Elimu ya hali yajuu shukran dada..Naweza pia elimisha rafiki yangu aliyonamatatizo hayo.
Amishjuma ukielimika nakitu basi ni vyema kuaelimisha wenzio
Mawaidha mufti kabisa farida.congratulation
Ahsante Dada,kun kitu nimejifunza mnoo,ahsante navifanyia kz kweny ndoa yngu sasa
Assalam alaykum , somo lako la mwisho lili kuwa ni la mada gani.
Ahsant Bint Juma
Ukweli mtupu sister farida love u
Haswaaa unachokisema mm Nina tabia ya kuweka kitu moyoni
Shukran dadangu Inn shaa Allah mungu ukupe afya nakupenda kwajili ya ALLAH
Diya Osman Ahsante dear ilove you to 😗
Shukurani Dada kwamsaada wako allah akuzidishie kila lakher nimekupenda
Masha Allah my lovely sister we learning more and more from you my dear jazakallah khair sweet 😘😘😘😘u are the Queen of the queen
Habiba Muhina Ahsante mpenzi
Thanks agreat lady teach them dada, you could come on our country actually,you can many of them because those words you are talking a lot them they have pressure
Amen
Big farida shukran habibty kipenz bint juma maneno kuntu hayo lazima tusafiane njia laa sio hivyo kwanza mwanamme ukimfatilia sn utapata presha isiyo julikana kubwa tuongeze vikorombezo kwenye ndoa zetu endelea kutuelimisha sis💖💖👊
RAMILI MOE afuan mpenzi wa mie
RAMILI MOE sio mahawara mjue dn yetu ya kiislam inandoa mpaka nne, je mtu akioa mke wapil kakosa vtu ndan, naiyo sheria ya din inamokosa au
Lat John.inategemea hii ni sheria ya din wala mm binafs siipingi na mwanamme kutoka nje kuwa na hawara na kuongeza mke wa pili au watatu ni vitu tofaut haijalish kakosa nn ndani ni sheria na uadilifu akisha amuwa bs
RAMILI MOE ,na uhawara ndo mwanzo wa nyumba ndogo, kwadunia ya sasa wanaanza uhawara ndo ndoa inafaata mke wa pil mpaka wanne,
Lat John cheria haina makosa mwanaume kuowa wake 4 kuna hekima nyingi ndani yake . Kuna wanao owa kwa kua kuna vitu wame vikosa kwa wake zao wengine huowa kwa kua ni sheria
Na wengine huowa kwa kua hawataki kuzini nnjee ya ndoa
Shukraan . Jazaaka Allahu khair . Allah atakulipa mazuri . Amiiiiiin
Imraan Hussein aamiyn thuma Aamiyn
MashaAllah TabarakaAllah....
God bless you so much
Shukuran kwa maelezo ingawa hapo pa kusema kwamba mwanamke ana nyota sidhani ni ukweli. Kwa kuwa anaweza kuwa msafi na kuwa anapendeza kwa sababu ya ujana wake au rangi yake au mavazi au zote nk. hadi baadhi ya watu wakasema ana nyota [nzuri]. Lakin huu ni msemo tu waliouzua baadhi ya watu. Na kunao watu wanaotumia fursa ya kule kuwa wapo watu wanaoamini kuhusu nyota basi wakawa wanawatoza fedha wasiojua ili kuwatabiria wakidai wanatumia ilimu ya nyota. Wa Allahu aalam. Na kama ulivyoeleza nadhani baadhi ya wanawake [na pia wanaume] wasipotahadhari wanaweza kuingia kwenye ndoa kabla ya kujitayarisha vyema. Kisha wanakuwa hawaelewi mambo muhimu kuhusu kile wanachohitajika kukitekeleza pale ili kuboresha ndoa zao. Kwa hivyo ni muhimu kwa imaam wa msikiti wa karibu kuwafahamisha Wazazi wajue kwamba wao ndio waalimu wa kwanza wa watoto wao. Kwa hivyo wajue kuna matayarisho ya ki akili wanayohitajika kuwafundisha watoto hao hasa wanapotimia umri fulani wa kutambua mambo. Na kuna pia matayarisho ya ki tabia, lakini wazazi hawawezi kuyaelewa ikiwa hawakusoma vyema mafundisho ya Qur'an na Sunnah kuhusu ndoa. Kwa hivyo inakuwa ni muhimu waelimishwe na imaam wa Msikiti wao, ili wajue majukumu yaliyo juu yao kuhusu kuwapatia vijana malezi mema ambayo yana ndani yake matayarisho kwa sababu ya ndoa. Wa Allahu aalam.
Asant sana my dear
l love you
Wape vidonge big farida.
daaaaah kweli kabisa sana..naomba namba zako dada
Big up my sister we learn more from you
rafana sadiki thank you
Mashallah
شكرا برك الله فيك وجزاك الله خير حبيبتي حقي أحبك في الله
Diya Osman aaah dear kiarabu apo nahisi nimeuzikana😂😂😂😂
big farida tafsir yake anakwambia asante allah akubarik na allah akujaze kher habibty na kwa haki anakupenda kwa ajili ya allah 😀
Maryam Hussein ku digest maudhi ni silaha ya mtu kujiprotect dear hata ukielemewa ukaamua kuomba talaka kusamehe kuna leta amani na utulivu wa nafsi wa hali ya ju. Kuna wakati mume anakuumiza maksudi mume huyo yafaa kukuona ukulia all the time?no ....
Zuhura Salum Ahsante dear wallah msg yako ndo kuiona😓
big farida hahahaha asante na ww hamna tabu.
mashaallah
nice
Asante my dada maneno matamu
Muna Hasani Muna Hasani Ahsante pia dear
mawaida nzuri pongezi.
Asante sana dada
roxy Mashikura u well come
Asante sis jazakallah khayran jazylah
Zuhura Salum afuan mpenzi allah atujaze kheri sote
big farida Amin
Shukran siz Farida
Mum Kmamy afuan dear
Asalamu alekum my sister farida pls nitumie number yako
Asante sana dada
Amissi Hakizimana afuan brother