Izi Habari Zinaitaji Intaneti Nzuri Izi Weifa Zimechoka Ulaya Zinakuja Tanzania Kula Pesa Azina Uduma Nzuri Zinachuna Pesa Zijenge Ulaya Serikali Kwanini Mnaluusu Weifa Mbovu Na Mnajua Wazi Watanzania Bado Washamba Kwanini Na Viongozi Msiutoe Huo Ushamba Msiangalie Kodi Zao Wakati Uduma Zao Mbovu Wananoa Mwisho Wananchi Wanalia Na Chama Tawala
Watanzania wanajiumiuza tuu tumaini makonda atawasaidia Badala yake anaongeza matatizo makubwa kwa wanachi kwa nini nasema hivyo makosa yanafanywa na viongozi makonda anatuma tena waamuzi hao hao wakae pembeni wajadiliene wakati wote viongozi wanajuana sasa makonda anawasadia wanachi au anawatengenezea zaidi uadui wa wananchi na hao.viongozi bora hata yabaki huko hiko mahakani hawasadii wananchi ni shida juu ya shida makufuli ni makufuli makonda hana uwezo km makufuli anataka sifa tuu
Wewe huwezi kuona impact yake kwa sababu unadhani Makonda anafanya siasa ..lakini nakuhakikishia kuna watu watatumbuliwa kimya kimya ..Makonda anafikisha ujumbe kwa wakubwa
Izi Habari Zinaitaji Intaneti Nzuri Izi Weifa Zimechoka Ulaya Zinakuja Tanzania Kula Pesa Azina Uduma Nzuri Zinachuna Pesa Zijenge Ulaya Serikali Kwanini Mnaluusu Weifa Mbovu Na Mnajua Wazi Watanzania Bado Washamba Kwanini Na Viongozi Msiutoe Huo Ushamba Msiangalie Kodi Zao Wakati Uduma Zao Mbovu Wananoa Mwisho Wananchi Wanalia Na Chama Tawala
Makonda wafanyakazi wa serikali wanadhulumu wananchi vibaya wanaingiza watu chaka kwakutumia sheria
Waha🙌🙌🙌
Hii ni shida ya makada wa chama cha Ccm kupewa nafasi za serikali.
Sasa apewe nani, Serikali ni ya CCM ni lazima apewe nafasi mwana CCM kutekeleza ilani yao, kutokuwajibika ni issue nyingine.
Watanzania wanajiumiuza tuu tumaini makonda atawasaidia
Badala yake anaongeza matatizo makubwa kwa wanachi kwa nini nasema hivyo makosa yanafanywa na viongozi makonda anatuma tena waamuzi hao hao wakae pembeni wajadiliene wakati wote viongozi wanajuana sasa makonda anawasadia wanachi au anawatengenezea zaidi uadui wa wananchi na hao.viongozi bora hata yabaki huko hiko mahakani hawasadii wananchi ni shida juu ya shida makufuli ni makufuli makonda hana uwezo km makufuli anataka sifa tuu
Wewe huwezi kuona impact yake kwa sababu unadhani Makonda anafanya siasa ..lakini nakuhakikishia kuna watu watatumbuliwa kimya kimya ..Makonda anafikisha ujumbe kwa wakubwa
Waha tunapenda ubishi
Makonda kazi yako ninzuri ila inaishia mjini nenda na vijijini kuna shida
Mijinga Sana hii mijitu najuta kuzaliwa kigoma
Msenge kabisa wewe na huenda sio wa kigoma
Mijitu ni wewe na ukoo wako
Wewe ni ngombe unaacha kumwamini mungu unaamwamini kamchape nonsese
Yani waha wenzangu wameniangusha
Mi ni muha ila nakuuuunga mkono