MAPYA YAIBUKA! MTANDAO wa WIZI wa 'HANDSOME BOY' WANASWA kwenye CCTV, MENEJA HOTELI ZNZ ASIMULIA A-Z
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- MAPYA YAIBUKA! MTANDAO wa WIZI wa 'HANDSOME BOY' WANASWA kwenye CCTV, MENEJA HOTELI ZNZ ASIMULIA A-Z
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Daaah Jamaa kajidharirisha sana kwa media!!Unafichaje sura nchi nzima wanakujua ww mwizi😭😭
"kajidhalilisha"
Huyo kaibana saana dar kwenye mwendo kasi kaibia saana watu kwenye madaladala ni kijana wa magomeni mikumi ni mteja wa unga anajulikana saana huyo ibra pia ni mchicha mwiba huyo mshenzi saana
Mungu tuhurumie sisi wenye watoto wakiume wawe vijana wema kwakifupi mzazi anaumia sana lkn hana lakufanya kijana ndo ameshaharibikiwa
Ameen
Yaani ndugu xixi wazazi tunaumia sana
Kbisa ndgu yngu tuwaombee
Hata wakike waombewe
Da Vijana tufanye kazi tutapoteza maisha mapema kwas ya uvivu na tamaa.
Kutoka kwenye kujaza kifua na maburichi Hadi wiz wa sim ,mabinti kuweni Makin na kuchagua wenza Kuna vitu vya msingi Sana vya kuangalia Lkn siyo mwonekano
Kweli kabisa love
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenichekesha haswa mabirichi ettii
@@valeriachipeta774 yan nimecheka sana iyo maburichi😂😂😂
Ndio mjifunze
Tabia mbaya yani ss wazazi tunalea watoto kwa kung'ang'ana ili wajitume ili kesho watusaidie but unapata kijana na nguvu zake anajimaliza sababu ya tamaa na uvivu.. God have mercy on our children 👏
Mnawalea Kwa kuwapenda sio kuwafundisha nidhamu
utakuta binti anajiskia nimepata chali handsome ooh my God 🇰🇪🇪🇺
Daah nikweli asee yaani aibu kubwa
Ataua
Vijana wanataka vitu kwa njia ya urahisi.Fanyeni kazi hamuoni haya.Nguvu mnazo kazi kuiba.
Wamekuchakazaaaa🤔🤔ebwana we km utarudia tena bro utakuwa unaroho ngum sn mana izo sijui nifimbo sijui visu duh Allah akusaidie icho kijitabia kikuondeken pia Allah atunusur vizazi vyetu 👏
Nipe namba
Yako
Mmmhu jamani vijana wanapenda kamseleleko hawataki kufanyakazi utafikiri ni walemavu. Mungu kakupa viungo vyote vya mwili kakupa nguvu kwanini usifanyekazi? Hakika siku zao zimetimia.
CCTV camera nzuuri sana wangefunga ata barabaran dar es salaam ingependza
Ktk mji wazanzibar zipo kila kona
Wee wangeziiba
😂😂😂😂@@dotosalim5090
🙆♀️Handsome boy nani Jizi, Kweli za Mwizi ni Arobaini Ogopa 🤔😆😆😡
Hatua kali zichukuliwe wanaaibisha nchi yetu kwa wageni
Unamuibiya mwenzako naye kachoka elewa shingo itagawanyika,maisha magumu kwa kila mtu
Tunapenda ma handsome boy lakini wengi awajitumi kutafuta maisha na awanaga chochote
Wazanzibari ni wapole hawa jamaa wangekamatwa hapa dar mpaka sasa wangekuwa ni marehemu
Huko polisi wamepelekwa bure tu wangemaliza kazi hao hao wananchi
Huyo police anabumba story cctv owner Yuko straight forward hamumunyi kaa police unaonaeeeh umenipata vizuri 😁😁😁😁😁 police bwana
Taarifa ya polisi na manager wa hotel zimetofautiana kidogo.
Piga like kama umeshtukia
We nae fala kafanye kaz like ya mavi
@@mrambadiana9678 kale mavi
😂😂😂😂 tz siami
Ingekuwa wamekamatwa bara, wangekuwa marehemu.
Kabisa
😅😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Ndomaana sinaga imani na hawa mahandsome boy kabisaaaaaa
Hahahahaha kama mimi ,haw cyo watu wazureee kabsaaa
Wengi wezi sasaivi na umariooo basi
YANI NI HATARI SANA UTAKUTA KAMA SI MHALIFU BASI BWABWA YANI KASHAFANYWA MKE WA MTU MAMMAEE 😂😂😂
vijana tusali sana jaman kwennye swala kuna subira ndani yakee
Pia angalieni uwezekano wa kuwa hao walinzi wa sehemu za starehe wanaweza kuwa wanashirikiana na wezi
Hatukatai serikali imechukua maliasili zetu kuwapa wazungu sisi vijana tukabaki hatuelewi lakini tusifikie hatua ya kuiba tujitume tufanye kazi kama kuiba basi tuiibie serikali tusiibiane wenyewe 🙏
Maliasili gani waliochukua?
Ubishoo bila pesa mwili wako lazima utumike
Simu tu inakudhalilisha. Vijana tufanye kazi na tuache maisha ya short cut !🥲😅😂🤣😇🤣🤣
Watu wa Dar kwa wizi...aaah Zanzibar kila sehemu kuna Camera
Uyu jamaa mzanzibar sio wa bongo. Mzanzibar safi.
Ni bongo nimeishi nae kinondoni
Mtu anjiita the don..kumbe udon wa kuiba😀😂😂😂. Ndio maana bija a wote wanaojitutumua kwenye mitandao kiwa wana pesa huwa ni matapeli
Nahuo ndiyoukweli wengi wao ni matapeli
Yaani hii dunia lmefika mwisho unazaaa Mtoto akusaidie cy akuumize au aumize watu matalajio yako mzazi tofauti na Mambo yaliyopo
Dah ndugu zangu vijana wenzangu muekeni mungu mbele bidii nakustaamili.maisha nimagumu ndio hilo twalijuwa.ila uwizi hausaidii uhuni haulipi.rudini kwa mungu shetani yake ndio hayo.ujumbe ni malipo ya mwizi ni mauti
Duh 🙄 haibu iyo anajifanya shalo kumbe jambazi
Vijana wa Dar wavivu kufanya kazingum wanachagua kazi pili nimamariyo sana mwishowe hugeuka wezi kwakutaka vitonga
Sio wa dar tuu sema vijana wa sasa wengi wanapenda mtelezo
Siyo wa dar tuu,kila mahari vijana wamekuwa vibaka mnooo
Iyo kauli futa wez wap dar tup au
@@shukunyoni6865 hajitambui huyo
@@MohammedAli-rh5si watu wakifanya kazizaumachinga wanafukuzwa matokeo ndohayo
Hii ndo hotel bhana big up chief
Wakiambiwa habar ya injili wanaona n ushamba na shetan atawanyoosha san tu mpaka mshike adabu maan Yesu anawaita ili awaondolee Tabia mbaya muwe na tabia njema hamtaki!!!!usharobalo Wa kishamba kumbe wezi,yohana 3:16
Masikini haya maisha ,,,,aisee aisee mungu tusaidie vizazi vyetu inauma ,,,wanaumiza watu 😢😢😢sana sema wakikamatwa pia wanatia huruma snaa sema uwa awakomi mungu tusaidie
Kisa utakuta nayeye anataka aonekane Sasa jaman maisha haya kufanya kazi wanaona nn
Sub hanallah jmn vijana wazur tu kwann msifanye kz.... mtakuja fia mikononi mwawatu bure🤦♂️🤦♂️🤦♂️
Wallah aibu kubwa kwa vijana kama hao
Dawa muwapige mpaka wakome
Mara hatuachi weez
Inalilahi wainailayhi rajuun. Kusema kweli ulimwengu huu una baadhi ya mataifa yenye wanaume makini sana lakini inahuzunisha sana pale wanapokua na vichwa ambavyo hakuna mtu anafaidika nao isipokua vinyozi
🤣🤣🤣doni anatia urumaaaa jamaniiii😀😀😀😀😀😀
Uyu ibra uyu ndo yupo kweny wimbo wa AYA ya marioo,, ety handsome kumbe mwizi.
Kwel kabsa
Ndo yy ndio anakesha sn ktambaa huyu
Masikini daah hakujuwa kama kuna CCTV
Bado wale wa online wa kuiba pesa za watu na kujifanya ni wauzaji simu online hao ipo siku yao nshallah na wakipatana wapigwe lkn wasife yani wapigwe mpka watamni kufaaaa
Wale ambao tuko nungwi baobao ZANZIBAR tuonane huku jaman vile vingereza vya how much ndo ivi😰😰😰
Hahahaha
Umetisha Lucky Rasuli
For real, Roho imeniuma sana, kama Kijana, maana wana kila sababu ya nguvu akili na mwili kuweza kujituma na kuisaidia familia na jamii yake inayomzunguka kwa maendeleo endelevu ya Taifa. Vijana tujitume tupate vyenye haki kadri Mungu alivyotukadiria
Aah jamani boy mzuri hivi
Handsome pochi ziro
Zanzibarnia!
Vya bwerere vya uwa Tamaa mbele Mauti nyuma😂🇰🇪 kichapo cha mbwa hichoo
Jaman
Ibra mdogo wa john cena daah mungu hawape wazazi wao subra kwa maana watoto wote wa kiume mtihani
Kwann mmewapiga kama hawakusumbua mnashitakiwa pia
Kwanza wamehurumiwa sana hao dawa sio kipigo tu ilitakiwa watoke na ukumbusho wa kusimulia ubaya wa wizi angepatikana scopion akawang'oa hata jicho mojamoja. ADHABU HAIKWEPEKI KWA MWIZI .
Wewe mwenyewe mwizi
Afadhali hata wamewabusu busu hao walikuwa wa kupiga kibiriti mamae
@@saidaliy5173 hata wewe ni mwiz pia ..ambaye hajawahi kuiba anyoshe mkono
Huyu mwenye blichi c yupo kwenye video ya wimbo wa marioo AYA🤣
Kwel asee
Ni yeye kbs
Na ana kaa kinondoni B mtaa wa kanazi
Oya live au marioo na yeye mwizi 🤣
Live ata ule wimbo wa nandy wa helicopter
Jmn hawa wengine waenda kulabata zanzibar au wendea wizi tu mtatuogopesha jmn
huyu siyo ZIDANE wa Kigamboni....
Bongo wa mwisho kutoka asisahau kuzima taa kwakweli 😂😂😂kuna maajabu sana hapa😂
Jaman mje mnisubscribe na mimi basi wale wapenzi wa comedy na trending kwa njia ya vituko.😅😅😅🙏🙏
Aibu hii jamani fanyeni kazi vijana ,unacho kipanda lazima ukivune
Ibrahimu unashindwa kutafuta Hera mwenyewe unaiba unajidharirisha acha kuoba bwana haundani na Mambo hayo
Wadada ulifikie htua hv vnavy jifny visanii mvione kawaid mn cioo huyoo tu vijana wengi wanao jihusisha n sanaa waiz wanakutongoz wanajifny wanaupend ukiend kukutan nae wanakuibiaa helaa n cm alf wanakimbiia serikal popot ilipo shughlikien hili swalaa kesi km hii ikij km msanii yoyot kaiba au vibarak vyaooo mchukulie hatua wanatumia majin yaooo kuwaliz watu
Eti anaishi ilala.....wanaume wakinondoni wanakataa kwao🤣
🤣🤣🤣
Anaishi kinondoni
Mbona tunamuona police
Hadi nimeona aibu mimi nikavuta picha mfano ndo angekua mtt wangu ningejificha wapi 😢😢
Vijana wazuri nanguvu zenu mnaji zaririsha mnauramba kwenda kwawatu kumbe wezi hebutazama alivyou ramba kwenye boti jamani utafikilia mtu naheshima zake kumbe anaenda kuiba
Skuzamwizi alobaini kweli nmeamini
Napamic Sana hapa nungwi
Twende nikupeleke
Tamaa mbaya 😂😂😂
😂😂😂mimii nataka anitajie cream Gani anapaka?!
😀😀
😂😂😂😂🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Ohooo kazi ipo
Jick😂😂😂😂
Kuna mwizi hapa nayeye naiyona comment yake akisisitiza tufanye kazi 😅
😂😂😂😂
Handsome alikuwa kwenye wimbo wa nandy kumbe mwizi
😲😲 mwimbo gani?
Hivi kwenye wimbo upi wa nandy
Hupi
Wimbo gan
Ambao kuna helicopter bana,ndo mwenywe wa kinondoni😆😆😆😆
Vijanaa wengi ni matepeli apa mjini na sasaiv Serikali inawazuia kufanya biashara zao basi tutegemee ongezeko kubwa la wizi, uarifu ,unyangany ,utapeli kama huuu.... Tanzania nakupend sn
Mmmh kila jambo Serikali 🙄🤔Wizi nao Serikali JAMANI tuone aibu na tuwe wabunifu siyo Lawama.
Subhannallah, mtihani kwakweli
Asa hapo mtihani gani na wewe? Kila kitu mnasingizia Mtihani.Hakuna mtihani hapo usidanganye watu.
@@allyhassan7522 Kama sio mtihani Ni kitu gani?? Ktk maisha Kila kitu mtihani ima kupasi au kufeli
@@ummyproductnatural4512 Sasa hapo kufaulu au kufeli kukoje? Hakuja mtihani hapo usidanganye watu.
Big up kw meneja
Yupo vizur ibrahim kwa wezi
Aisee poleni lakini mliwaadhibu?? 😂😂😂
Uyu jamaa namjua vizur anaishi kinondon mkwajun na yupo video nyingi tu za bongo na pia rafiki yake Sanaa t.i.d ndio alikuaga anamuita buyoder.
Yeah sahihi wa kinondon huyu
Ukwel mtupu
Yaani nimefurahi kweli ni mshenzii sana huyu anajeuli alinitukanaga mimi huyo sina ham nae mungu kanilipia alhamndulilah
@@husnahassan2708 😁😁😁
Naenda kufanya interview na TID sijui itakuwaje
🙉et handsome boy 😀😀
Mwanangu ibrah
Hawa jamaa ni washamba huwezi kufanya uharifu ili hali una unique dicriptions kama hivo, breach, tatoo etc
Wendio mshamba kwani tatuu ndio nin?
Unakamatwa dakika 0 tu ofcoz mtu atakuelezea fresh
@@deniccgabriel6153 Jiulize kwann Jeshini hawataki mtu mwenye tattoo au kitu cha utambulisho cha kipekee
@@deniccgabriel6153 au na ww n miongon mwao hujaelew nn sasa
@@samwelchacha4836 jamani msimfokee inaelekea hajaelewa unique inamaanisha nn ! 😃😃
Endeleeni kutamani maisha ya watu wa mtandaoni😂😂😂
Duuh huwez htaa kuwadhaniaa mahensom basii😭😭😭
Tamaa zinawaponza
Wamachinga watafutieni sehemu nyengine na watu wa boda boda bila ya hivyo wizi ndio itakua ajira zao na vifo ndio zitakua zawadi zao dah inavyoonekanwa walikua washazoea na issues zao ndio zilikua salam zitawafikia wenzao
Hapo mzazibar anatetewa na mtanganyika atafia jera nipo hapa nimkaa.. lazma uzanzibar uingie ndani
Duuuuhhhh maisha haya ni hapana ni bora kwenda kutafuta kazi yes kazi hakuna lakini tusijikaze kutafuta
Ah mwezi ulopita nilivunjiwa duka mshakaj wangu bishoo flan iv sikuwah kujua kama ni mwiz lakn nashkuru walinisaidia kumkamata na nikampeleka mahakamani akahukumiwa washenzi sana hwa jamaa ogopa hawa vijana wanavaaa vaaa vzr afu hawaelewek wanafnya issue gan washenz sana ni kuwaua tu
Walienda kuiba cocobelo club kwenye gari ya mshkaji wetu na Manchester beach walikuwa ndyo chimbo lao mbwa washenzi ao
Huyu kaka mbona kam wa mabibo
,wa knondon
Basi atakua ndio huyu huyu bhan kuna baa anakaaga mabibo na namjua alikua anatabia ya wizi wa simu hivi hiv ila naona kajiongeza kaamua kua mtalii
Mwizi na mchawi hakuna tofauti wangeuwa tuuu✍️
Washenzi sana hawaa
Na kweli
Hana hata haya mvulana na maguvu yako siukafanye kazi upate pesa aibu tupu
Cm tu inakutoa roho
Hawa masharobaro wanazingua san
Sisi Zanzibar Zenj Err Barr, Unguja hatuna Tabia ya Wizi, Tabia yetu ni Kusagana, Ubasha, na Ushoga, Hili la Wizi ni Wabara ndiyo hupenda Wizi na Ulevi, Acheni Wizi, Bora Uuze chako, Ulichopewa Buree.
Fa masihara na Zanzibar wew chezea kote ila sio zenj 😂😂😂😂
Wizi wa kifala sana manoyaa hawa wasije tena Zanzibar hawa ma ishoo uchwara wanapenda mambo mazuru lkn kazi hawataki.
Uyu mzanzibar safi sio mbongo
Atar kwel
Hadi aibu jamani
NAIPENDA SANA ZNZ YNG.
ona izo cream wanaume wazma
Km hamtafuatilia mahakamani hawatafungwa km walalamikaji msipojitokeza
Jamani wafungwe Mimi nimetapeliwa sh 45
Yupo huru huyu mi nahisi
@@rashidseif6095 unajuwa tuu kusema ungekuwa wewe je
@@elizabethmkude9452 pole sana ndugu
Wapigwe2 sana washa nipiga sim mbwa ao