UNAWEZA KUSHIRIKI NASI IBADA HII KWA NJIA YA SADAKA KUPITIA MPESA: 0764 250135 JINA : KKKT KIMARA. TIGOPESA: 0714 650316 JINA : KKKT KIMARA. UBARIKIWE.
Mimi ni mkatoliki lakini kila jumatatu niko mbele ya TV KUFUATILIA mahubiri yako pia nayarudia kwenye U TUBE. .Natamani Mungu anitendee na malango yangu yafunguke. Mungu akubariki sana.
Nabarikiwa sana na ibada za hapa. Hasa ukuzaji wa watoto kuwafundisha njia ya Mungu kupitia kwaya hadi hao watoto kabisa nabarikiwa sana na kujifunza pia
Pst mastery MUNGU anakupa mafunuo makubwa kiasi Cha kwamba watuunao wafundisha na sisi tunao kusikia MUNGU Atusaidie tuelewe maana ,kumbe matatizo yetu yameanzia mbali sana , hatukujua
Mimi ni mkatoliki lakini kila jumatatu niko mbele ya TV KUFUATILIA mahubiri yako pia nayarudia kwenye U TUBE. .Natamani Mungu anitendee na malango yangu yafunguke. Mungu akubariki sana.
MUNGU amtunze mwalimu mastai
🙏🙏🙏
Amen nabarikiwa kutoka india, Nafurahia hii madhababu
Nabarikiwa sana na ibada za hapa. Hasa ukuzaji wa watoto kuwafundisha njia ya Mungu kupitia kwaya hadi hao watoto kabisa nabarikiwa sana na kujifunza pia
Mbarikiwe sana watu wa mungu mnaimba vizuri neno zuri madhabahu ya kweli asante
Pst mastery MUNGU anakupa mafunuo makubwa kiasi Cha kwamba watuunao wafundisha na sisi tunao kusikia MUNGU Atusaidie tuelewe maana ,kumbe matatizo yetu yameanzia mbali sana , hatukujua
Nimebarikiwa mnooo na hii ibada siku ya leo
AMEN 🙏