Mke wa Baba Levo, Salma aomba msamaha na kumtaka warudiane, 'Marafiki walinidanganya'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti - บันเทิง
Ndoa ni kitu kigumu na pia ni kitu rahisi sana la msingi sisi wanawake hasa ukiwa na watotto atusiwe tunasikiliza maneno ya watu wa nje ku judge ndoa zetu , huyo anekushawishi umwache mumeo utoke kwenye ndoa jee yeye yupo tayari kukuhudumia wewe na watoto wako au ndio uwe strong upambane mwenyewe kutaka kuoneyesha. Rudi nyumbani dada furaha na masikitiko ya ndoa anapaswa kujua ni wewe mwenyewe na mume wako , hakuna mume wala mke alie kamilika sote tuna mazuri na mabaya yetu.
Kabisa 👍
Aroma of Zanzibar &Beyond: umenena ukweli mtu wanawake wengi ujinga una wazidi kukubali watu wa inje waingilie maisha yao ya ndoa
aroma of zanzibar
Kabisa
Mashaallah umeongea maneno mazuri mpk nafurahi umetufundisha mambo mengi tumefungua kiakili.
Babalevo uropokaji wote hakuwahi sema lolote kuhusu mama Ruby, kumbe B levo ni mume bora
Ila kweli jamaa yuko makini sana na hilo aongeeee yote na huyo mwehu mwijaku ila yeye wala kimyaa kuhusu mke wake... 👍👍👍👍
Ndio inavyotakiwa.ukianza kuanika maisha ya ndani ya ndoa basi ndo unafungua mlango wa washenzi na wanafiki kukufanyia husuda.
yaani mm pia ndo nashangaa, kwani waliachana lini
c juz tu wakat anawandaa watto wake alisema analea watt pekeake
Baba levo nakupenda sana Kaka..embu msamehe mkeo mlee familia yenu
Ushauri mnzuri dada.babalevo mtu mnzuri sanaaa...anaenzi familia yake.nampendea apo🙏🙏
Kweli
She's beautiful 😍. Baba Levo take your girl back!!
Mwanamke mzirii mashallah kifaa kizuri baba levo anamiliki dem mzuri kiasi hiki aya jmn tafuteni hela
Kbuka ni Mika saba Dani ya DOA ujaesabu mausiano kabla DOA walipatana kabla hawajawai na kituu like unamuonga Yuko nacho baba love wamevunja wote
Msamehe na mungu anasamehe. Uyu mwanamke nimzima sana na anajitambua kbsa
Angejitambua asingesikiliza marafiki na kukimbia nyumba. Sema tu katendwa uko alikokimbilia ndo anataka kurudi.
@@vanessalaizer4363 umenena
Baba levo ao Mzungu, wivu umemuingia baada ya kuona umepata Mzungu....hachana nae Kajala mwingine
Kweli
Nice one Shemeji.Mama Ruby you are so strong and honest.
Despite him being mrobokaji he never talked ill about his wife anywhere...👏👏👏👏 baba levo kongole take her back pliz
Pole nami nakuombea msamaha. Baba levo akusamehe tu. Asipokusamehe endelea tu kumwomba msamaha kuna siku atakusamehe. Aachane na mzungu wewe ndo wa baba Levo
I love this mm hakuna rafiki humueka karibu na my hubby wala mazoea maana nawajua...
Huyu dada HAFAI KUWA KWENYE MAHUSIANO, alivyotoka kwa baba Levo kama angekuwa na maisha mazuri, asingemuomba msamaha baba Levo sasa ameona baba Levo angalau alhamdulliah ndiyo anajifanya nyo...nyo...nyo...nyo.........jinga sana.
Baba levo safi sana,you are strong man💪🏻💪🏻
Ubarikiwe umefanya jambo la maana umesamehewa in Jusus name Amen 🙏
Hello please respect the name of jesus how can you mispell it rewrite correctly jusus to Jesus
How does Jesus come into this? This is a come we stay arrangement which is basically fornication
Oya wew kama nani
@@mazikumange9130 very true.its JESUS not Jusus
@@mazikumange9130 labda jusus ni mganga wake wa kienyeji jamani au mkuu fulani wa mapepo na sio huyo mnaezania nyie au ni idd Amin jasusiii😂😂😂😂
Kajitambua👏👏
Maskin pole umejitambua 😢rudi ulee watto
Wewe ndio super women hongera sana dadaangu, babalevo nakushauri kamchukue mke mzazi mwenzio wewe ndio mwanamke bora 👍👍
Babalevo msamehe sana
Ndoa tamu wew
Wa nashukuru make mzuri wa baba levo sijaona make kama wewe umejitampua umejua uliko kosea baba Levo masmehe make wako rudianeni mungu atawapariki na maisha mazuri
Yaaan unasikiza marafiki be serious
Tutafika tumechoka sana aisee hii mitandao na ndoa
Mwezi wa kwanza mgumu sana huu tutaona mengi😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
we acha ndugu mpaka uishe nawashauri waje niwape ata buku kumi kumi
😄 🤣 😂 😆 😄
@@johnnsembele4401 tupe basi🤣😂
😄😄baba levo ameupiga mwingi, huyo dada ajifunze
B levo kumbe anapendwa sana 🤣🤣🤣
Baba levo msamehe mama luby
Ni baraka kubwa kuwa na mume mwema maisha magumu huku nje mpende mumeo
Tena magumu
Mmh,kuna kitu anafata huyo
Mwende mkapime afya kwanza msamaha utakua umefika
Please baba leavel forgive your wife and God will bless your family more🇨🇦🇨🇦
More women wako....move on Baba levo !! Huyu dada kaona nyota yako iko juu sasa ataka kurudi mimi sisamehii
Huyo anarudi sababu kakosa alichokuwa anatafuta mazee
@@shuaibsalim9816 hata baba levo kumsamehe mkewe ujuwe aliishi nae tokea baba levo pangu pakavu anamuelewa huyo mwanammke vizuri kuwa ni mwanammke mwema ..ila hakuna mkamilifu .aliishi na babalevo kwa shida na raha hajafata nyota yeyote.
Majuto ni mjukuu,,
Baba Levo msamehe mkeo amekuomba radhi adharani dunia nzima wanamuona plz msamehe tu,maana amejua kosa lake,huyu ndio mke plzzz baba Levo msamehe plzzz!huyo ni mke wa kweli msamehe,maneno mabaya ya watu yalimponza na Sasa amegundua kosa msamehe, ushauri wangu mke ndo anaeijenga nyumba yake na mke mpumbavu anaibomoa nyumba yake mwnyw vitabu vya MUNGU vimeandika!baba Levo nakupenda plz msamehe
Ukiachana na ushauri wa watu uro shauriwa ira ck zote ukiona mwanamke Ameanza kiburi jua huko peke yako
Ndomaanake...mi wangu ameanza hizo mambo...namuangalia tu kwenye side mirror😄
Siku zote mwanamke akijifanya Mjuaji ndo inakuaga hivi tayari umedanganywa tayari umejua Makosa yako sasa, baba levo Mnyalishe huyo mkeo 😅
Ati watu ndio walikushauri?🙄🤔
Masikini 😢siyo masihara mwanamke kufanya ivo yani apo kaumiya zakutosha😢
Kashauriwa tu na mastar rafiki zake..
Sio kweli ,huo msamaha
Ujumbe umefikaaaa Khaaaa
Issue yote mm naifahamu kuna shoga ake huyo bibie alikuwa anamnyatia baba Levo 🤗alivyoona mshua hasomeki baada ya mitego yote akaamua amjaze upepo mwenzio ili wakose wote, pole sana Salma bora umejiongeza rudi mwaya ukamlee familia yako😭💪🙏
Hujasema neno nimejifunza 😁
Wewe tena😆😆😆
@@maloomaalmnsj5111 kaona B la baba kapata mzungu ndo anaanza kujiliza mitandaoni 🤣🤣🤣
dear baba levo, uki kubali itakuwa hujaona yaliyo pitiya kati ya kilandage na kajala.siku iki pita inapita hakuna kurudi.time is the greatest juge in this life.
MZIKI MGUMU SANA SIKU HIZI, MAISHA BINAFSI YA WASANII NDIO YAMEKUWA JUU KULIKO NYIMBO ZAO😂
Hamna kitu hapo mambo magumu kwako ushaona chawa karudi uturuki kua making baba love hawafugiki hao kunguru
😅😅ka gari kamewasha motooo
Wanawake bhana. We na uzuri wako huo ulihisi ungempata nani zaidi ya B level ba!
Nawaonea huruma wasichana wa Tanzania! Sad, Sad!! Focus on yourself love !!
Why?
Ni umasikin maisha ni magumu wadada wakishajiona ni wazur hawafanyi kazi ndo mwisho unakuwa ivo
Diamond kasema "kaka unasinema wewe" sio kaka unasema ww 😂🙂
Kimbe ulikuwa unasikiliza Marafiki?
Life changed
Ushaomba radhi ndio mjifunze mtu anakupenda unachukulia poa
Swadakta
Mkapime afya kwanza
Sisi wanawake tunapenda sana kusikiliza maneno ya watu sijui kwann jaman Insha Allha atakusamehe🙏
Kaona baba levo kapata mzungu anajifanya anampenda dah🤣😂😂
Kwani watoto alikuwa hawaoni ........pesa ndo imekurudisha
🤗🥰🥰🇧🇮
Baba Levo kwa sasa ni levo kweli mi nafikili kipato kimeongezeka ni moja ya sababu kubwa ya baby mama kujirud na kujiona kuwa hakuwa na subra ktk maisha sema Kuomba msamaha ni jambo jema
Ni kweli njaa imemmrejesha
Wala sio kipato wametengana juzi tu akiwa vile tayar
Usisingizie marafiki nawew akili ukuwa nayo uwenda ulivondoka ulihisi mumeo atadhalilika sasa umemuona anaendelea vizuri ajadhalilika unajitia marafiki wakikudanganya umetoka kwwnye ndoa yako uwenda umesota umechacha umeona urudi ndo ukome uwezi kuwacha watoto wadogo vile jmn babalevo samehe saba mara sabini kaka
Kakosea msamaa aombe vizuri
Baba levo anamke mbaya ivyo khaa
MLIACHANA LINI NA KILICHOKUDANGANYA NI KINANI,KIKO WAPI NA JE USHADINYWA NA WANGAPI.JIBU TUKUOMBEE
Baba Levo linapokuja swalúa la familia a nn aliheshimu sana hata maji ya Ombo la mkeo huyo alisema :Hata mm nishamkosea sana mama Rub na kama kagundua kosa lake arudi tuendeleze familia,that is enf.Na wala hakusema arudi waendeleze MIZAGAMUO!!
Mimi niko mukongomani . Baba levo rudisha mkeo. Neno mwisho yangu ndiyo hiyo
Kumbe li” Bar Bar Level “ lina akili.
B.level BAAA
Kwel yamekukuta ndugu yangu tumsameh shemeji yet kaka huyo akiludi atoloki tena msamehe bro b levo baa
Katika wanawake ambao wanajitambua, huyu dada anajitambua sana kwa hichi alichokifanya. Tangu nizaliwe sikuwahi kuona mwanamke akiomba msamaha kwa stye ya aina hii kwa mwenza wake mara tu anapoona amekosea kwani wengi wao wameathiliwa na slogan za haki sawa. Dada umekomaa na umetumia hekima sana.
Katamani safari za dubenga .. wanawake unawajua unawaskia😬... Yaan uhame nyumba uende kupigwa miti harafu urudi😁.. inahitaj ujasiri sana
Kujishusha nivizuri kalee watoto wako pole
Kbx nimemkubali
Mhh, acha nipite kimya🤔
Pole nahisi umejifunza na Ulimwengu umekufunza Binafsi umejitambua Sisi tutakuombea kwa Mwanaume mwenzetu au Kaka yetu akusamehe kwani umejitambua na usije ukarudia kila lakheri na Mwenyezi Mungu awape nafasi nyingine
Naimani ukiludi utakua naheshima yameshakushinda uko utokako, sasa ukamtunze mumeo na ukawee mke mwema ukawe mfano wa kuigwa
Hao hawaelewekagi.wana mioyo miyepesi hubadilika badilika kama kinyonga.
@@ahz6907 kujiendekeza na kutokujitambua
Kushawishika nikawaidasana mbona, tatizo ni namnagani uliondoka kama uliondoka kwa maneno makali huwanimbaya sana
Kabla yaku rudia na waka pime
Xaiz umeona amepata Hela ndo unakumbuka c ungemvumilia kwa yote!! Me naona ba levo akupotezee tu!
Watanzania wanapenda kiki sana...sasa mbona asimtafute mwenyewe wasuluhishe....Jamaa washapiga piga sana na kusepa
sio kiki jamani waliachana kitambo
Natumain baba levo amekusikia si vibaya kuomba msamaha kwa mumeo
Dini tofaut kumbe
Kwaiyo wewe una una ona dini tu
@@fredymushy9674 ndy wanazinituu
Nimekuwa wa 90
BABA LEVO ALIJIBU KUA ARUD WAENDELEZE FAMILIA NA SIO MIZAGAMUA na alimaliza kwa kusema THAT IS ENF.
Hiv baba levo alishawahi kuoa ndio nasikia leo isije watu wamezaa tu kutumia neno la Mke au mume kana watu hawajaoana ni dhambi
Kwa nini usiongee na mumeo moja kwa moja?
Itakuwa kaongea nae tayari,Labda ndo kamshauri arudi mtandaoni aliko mchafua mwanzo ili waja wajue kinacho Endelea
Amepewa amri aongee ndo arudi
@@aishaissa2512
Basi kazi ipo
Kwaiyo ameisha fukunyuliwa adi amechoka ndo anarudi kumulisha mabaki baba levo au ?😂😂😂😂 2023 inaanza na Kasi sana 😂😂😂😂
Yawezekana kamblock
Yaani maisha ya siku izi mwanaume akiwa anakutimizia maitaji na akupingi wala akuongerei vibaya kwa watu kaa utulie. Maana Sasa hivi hali tete mitaani wanataka kualibu vya watu ili wakucheke sasa hawo walivyo kushawishi wameshakukimbia😂🤣
Anataka umaarufu!!! Be levo baba fundi majumba lea watoto wako singo baba
Ali sikiliza wimbo wa dear ex aka jaa kichwa, je uta mrudiya ex wako ama bora kufa!😂😂😂😂
Jamani waturuki ni waasia sio wayuropu!😁
Mkiambiwa kuna mchongo tunasikilizia muwe mnaelewa ! Unaona sasa•
Kashaenda katombwa tombwa huko sasa anataka kumletea mwamba kisonono
Mumefunga ndoa vpi dini tofauti?
Baba Levi anaakili levo
Kwendraaa 😊😊
Walikuwa weshapanga ila ili asamehewe akuombe msamaha mitandaoni huna lolote babalevo
C kwa ubaya lakini huyu dada anataka kurudiana sababu kwa sasa baba levo has got chedaa with him..kwa ufupi ni pesa amefwata
Kwanza nianze kwa kusema Baba Levo aende akipime DNA ya yule Mtoto (RUB) waliezaa nae. Namashaka sana nikimtazama yule Mtoto hafanani na Migebuka kabisa!
BABA LEVO USIJICHANGANYE KABISA. HILO NI PEPO.
KWANZA KUNA MAMBO YA MSINGI AMBAYO HAYAWEZI KUCHANGAMANA KATI YAKO NA BALEVO!.
Yule dogo asa DNA ya nini pale,,mtoto baba levo mtupu,,haswa lipua,kama konzi
🤣🤣🤣🤣pore mama Kajitambua jmn🤣🤣🤣wamama waimasiku jmn
Babe Levo msameheme kajua kosa lake.kufanya kosa si kosa kosa ni kurudia kosa🙏🙏🙏
Siugeomba kimya kimya tu
Comment ya Diamond: Kaka una cinema wewe (kaka unasnema wewe)
Herí wariduyane kabisa mwanamuke akisha ona makosa aliyo fanya akayaomba msamaa mumpe tu
Baba levo msamehe wifi yetu kaka
Shetani ana shida kila anaye tumia upumbavu ana mzingishia Shetani
Akapambane aache ujingaaa
Maisha si mchezo mchezo yatakuwa yamempiga kisawa sawa
Wanawake mnapokua kwenye ndoa hua mnakua na vichwa viwili viwili mkiachwa mnaanza kusahau kichwa kimoja
Walikuzagamua but its understandable😂
Hujui kama mnje kumgumu shost unaowaona wanainjoy ujue kunasehemu zinaumia