Nafikiri Baba Levo ni Muelewa amesikia na yeye binadamu anafahamu wanakoseana na kusemeheana. Alimradi umetambua kosa lako, na yeye anajua sio Saba ni saba mara sabini. Mungu akupe sawa na haja ya Moyo wako. Mal.2:10-16
Kwa uzoefu wangu huyu kamkimbia Baba levo sababu alimuona baba levo hana issue now anaona anapata vijipesa kaona bora arudi kuja kula maisha cha kisingizio cha watoto wanawake Allah anawaona ila mimi kama mimi Hata kumjibu nisingemjibu
Dah! Fundi Manyumba Msamee Bibi yako sababu ya watoto mushazaa watateseka Alee watoto nimejikuta na Liaa kwa Huruma😢😢😢 wanawake mwasumbuliwa na nini lakinii?🤔
Yani huyu ndio angekua kaingia mziki wangu asingekanyaga Tena kwangu Hawa wajinga Sana wakisha tongozwa na watu huko nje na kudanganywa na vizawadi Basi huona waume zao sio kitu waanachana waume zao kule nako jamaa akishapata anachokitaka aliona halina samani analitimua linaanza kuhaha na kukumbuka lilipo toka
@@marylukumai hakuna kujifunza huyo maisha yamempiga tu ndio maana kakumbuka kambi aliona haifai unaweza msamehe kesho akashikwa Tena masikio na akaondoka Tena
Daaaa ila mtu ukiwa na akili ya kubebewa na watu, ni tabu, ndo maana raisi jakaya aliwahi kusema maneno ya kuambiwa changanya na yakwako,usikurupike TU kutendea kazi maneno ya watu
Huyu itakua Alisha muomba msamaha ,Ila labda kwakuwa alimchafua kwenye mtandao mume wake, inawezekana kamwambia aende akaombe msamaha kwenye mtandao huo huo aliotumia kumchafu, halafu Mambo mengine yatafuata.
Kiki zenu munaendeleza maana mulipofanya kiki ya kuachana ili mupate pesa mukaona watu hawakujali sasa mumerudi na gea nyingine ya kuombana msamaha hii yote ni hizi pesa za TH-cam munazopata muko radhi kujidhalilisha. Ama kweli fedha fedheha na wasiokuwa na haya wana mji wao.
Msamee ndugu yako saba mara sabuni ndiyo maandiko yasemanyo Nami namsaidia kuomba msamaha msamehe na Mungu atakusamehe wewe hakuna binadamu aliyekamilika chini ya jua hakuna.
Wajinga kama babalevo aliyetangaza hadharani kuwa angekuwa mwanamke angemzalia Diamond sasa hapo mwenye tamaa ni yupi? Acheni kujiyoa uhayawani huyo baba levo hsna muda na huyo nibi saa xote yuko nya ya mwanaume mwrnzie kumsifia tu na kama ni kuvumilia bibiye kavumilia tangu hajiwezi hadi sasa vipi amkimbie wakati wa neema? Kuna yaliyoko nyuma ya pazia hivyo kaeni kimya watayamaliza wenyewe hamuna munalolijuwa hapa.
Huyo mwanamke atakua kafanywa sana. Mmmh vina muda basi!!?? Hawataweza kuishi kwa kuwa mwili mmoja....hayo ma spirit aliyoenda kuyaokota huko nje..yatawatenganisha tena. SEX is deeper!! Note: Mwanamke ataachwa isipokua kwa uzinzi tu. #Baba levo jichanganye...TUKO HAPA!!!
Dada kaona baba levo anapata mapesa na madili zaid sasa anataka kurudy wanawake nyieee mmmh 😷 nizibe mdomo mm nisije pata corona ila hamtendy sawa kwa wanaume wenu na Hamna mapenzy ya kweli badilikeni ili mdumu kweny ndoa zenu !! Nishajuuaaa huyo dada kaona levo babaa saivi anapata pesa ndoman anataka kurudy wanawake buana🤣🤣🤣🤣
Baba Levo hakuna mtu mkamilivu ni mungu peke yake,msemehe mkeo aludi nyumbani,pia wewe dada ludi kwa mumewe aacha kusikiliza wajinga ndoa ni ya watu wawili tu.
wewe nimke wa baba levo au ni hawara wababa levo.ulifunga ndoa mwaka gani,mnahalalisha zinaa kwa kusema maneno yatakawagharim siku ya qiyaama.kama mnazini sema hawala yako siyo mume.ili awe mume mngekuwa mmefunga ndoa.miaka saba mnazini halafu unasema nimumeo.tuangalie dunia inapita.tusiwafurahishe wanadam bali tuyende mambo yatakayozifurahisha nafsi zetu pindi tunapoondoka katika dunia hii.
Oh mungu wangu fanya miujiza juu ya hili ,,,simamia watt wapate haki ya malezi ya wazazi wote,,
Rabbi atusamehe wote insha'Allah mwende mkalee watoto wenu Manisha ni mafupi bint yangu
Msamehe mkeo🙏🙏🙏Dunia imemfunza
Nafikiri Baba Levo ni Muelewa amesikia na yeye binadamu anafahamu wanakoseana na kusemeheana. Alimradi umetambua kosa lako, na yeye anajua sio Saba ni saba mara sabini. Mungu akupe sawa na haja ya Moyo wako. Mal.2:10-16
Kama umeona sugu nyeusi kwnye vidole gonga like.
Wewe mshenzi unasikia ya watu mbwa wewe unaona baba levo kakaa vizuri
Usimsamehe wazungu wana love
Ba revo ba fundi manyumba msamehe , uspomsamehe Mimi namhowa!
Baba Levo mdhaifu akirudi kwa huyu danga mkewe ni danga alienda south kudanga
Mama Luby nimzuri kwakweli .mzungu mwenyewe hatii mguu kwa mamaluby
Mm shetani akikupitia ndio unaondoka nae moja kwa moja na unaenda kuishi naye wanawake shikamoo
Msamehee Ila Usijisahau sasa kupiga uchawa pro
Atakusamehe dada hakuna mkamilifu kwenye hiyi dunia isipokuwa Allah
Shetani kapita na mbosso lejea saivi. Njooo KWA B LEVO fund majumba😂😂😂😂
Kwa uzoefu wangu huyu kamkimbia Baba levo sababu alimuona baba levo hana issue now anaona anapata vijipesa kaona bora arudi kuja kula maisha cha kisingizio cha watoto wanawake Allah anawaona ila mimi kama mimi Hata kumjibu nisingemjibu
Safi💪💪💪💪
Ingelikuwa vp Kama baba levo angelikuwa ana maisha mabovu Kama Yale ya zamani kapuku? Uyu dada angerudi kuomba msamaaa ?
Baba levo hatakama humpendi we msamehe tu kwa sababu ya watoto.
Dah! Fundi Manyumba Msamee Bibi yako sababu ya watoto mushazaa watateseka Alee watoto nimejikuta na Liaa kwa Huruma😢😢😢 wanawake mwasumbuliwa na nini lakinii?🤔
January ngumu.ila Mimi Kama mim huo msamaha ingekuwa ngumu Mana simuamin Tena na sijui lengo lake kwann karudi
Baba levo msamehe
Safi sana
Baba levo umusame tu aje aleye watoto wake,ije hakuna furaha musame tena muzungu aĺeyi mutoto
Hii part 2 baada ya kuliwa huko mtaani na kuona hawamthamini ndo unaona ujirudi😄😄wanawake mnafeli Sana.asante umepata funzo huko mtaani
Wamemkopa sana nje kaona bora ajisalimishe
OYA AO MUUWACHE KAMA WALIVYO MM NILISHA MWAMBIA BABA LEVO HIYO PUA NI KUBWA SANA YEYE HAKUNIELEWA
🤣🤣🤣🤣 mungu akusame
Msamehe kasha jilewa huyo ndo mwana mkebor
Yani huyu ndio angekua kaingia mziki wangu asingekanyaga Tena kwangu Hawa wajinga Sana wakisha tongozwa na watu huko nje na kudanganywa na vizawadi Basi huona waume zao sio kitu waanachana waume zao kule nako jamaa akishapata anachokitaka aliona halina samani analitimua linaanza kuhaha na kukumbuka lilipo toka
Umeona broo ee kashatooooooombwa uko nje akatupwa akawa mpweke ndo akaukumbuka uwepo wa ba level,fucking woman like this
@@amanimanase8798 😄😄😄😄😄
Won Robby samehe bure atakua amejifunza
@@marylukumai hakuna kujifunza huyo maisha yamempiga tu ndio maana kakumbuka kambi aliona haifai unaweza msamehe kesho akashikwa Tena masikio na akaondoka Tena
Daaaa ila mtu ukiwa na akili ya kubebewa na watu, ni tabu, ndo maana raisi jakaya aliwahi kusema maneno ya kuambiwa changanya na yakwako,usikurupike TU kutendea kazi maneno ya watu
Kiki za kibongo mtu mzima ushawishiwe kama mtoto mdogo mimi siwezi msamehe mwanamke kama huyo
Ulitombwa huko harafu urudi kwake tena acha ufala usimpelekee uchafu
Kaona leo umepata hela nyingi ndio anaomba msamaha iv babalevo usingepata pesa kama zamani uyo mwanamke angelud?
Baba levo msamehe mkeo.
Mmmmh dada wa kukurupuka
Pesa itafanya uombwe msamaha hata dunia nzima ijue😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣kama kweli yaan 😆😆😆
Mmezidi umalaya ukipewa pesa flani zapamoja mnasahau ndogondogo mnazopewa kilasiku onaulivyokua mdogo kama printon unatia huruma ntamwambia akusamehe alafu urudiagetena mwambwamwe
Wanawake mashetani asamehe kwanini kwanza alimdharau babalevo kwakuwa alikuwa hana hela kaona mwenzake kapata mapeni kidogo eti aomba msamaha...
Huyu msenge haki ya nani anatia hasira yani upo ndani ya ndoa kwa umalaya wako utoke kisha urudi kirahisi hivyo
Focas ya njokooo
Huyu itakua Alisha muomba msamaha ,Ila labda kwakuwa alimchafua kwenye mtandao mume wake, inawezekana kamwambia aende akaombe msamaha kwenye mtandao huo huo aliotumia kumchafu, halafu Mambo mengine yatafuata.
Nikweliii
Chizi uyu
Umalaya tu daaah mimi nanavyo wachukia wanawake hi kwa upande wangu ndo ingekuwa imeisha yaaani ndo basi tena
Kiki zenu munaendeleza maana mulipofanya kiki ya kuachana ili mupate pesa mukaona watu hawakujali sasa mumerudi na gea nyingine ya kuombana msamaha hii yote ni hizi pesa za TH-cam munazopata muko radhi kujidhalilisha. Ama kweli fedha fedheha na wasiokuwa na haya wana mji wao.
Toka umesikia neno kiki basi kila kitu ni kiki kwendraaaaaaa huko na wewe
Huyo anaonekana danga hakuna kitu kingine
Vipi ulio wapea??Sasa??
Marioo...Lete mziki
BABALEVO ACHANA NAE HUYU MPIGE BENCHI
Msamee ndugu yako saba mara sabuni ndiyo maandiko yasemanyo Nami namsaidia kuomba msamaha msamehe na Mungu atakusamehe wewe hakuna binadamu aliyekamilika chini ya jua hakuna.
Huyu kalazimishwa kufanya hivi! Na ni baba levo kamwambia aombe msamaha 💯
Usimshuhudie mtu uongo
@@nissamwapoladi7345 unajifanya humjui Baba levo? Na tz?
@@ummySheikh72 sio anajifanya wewe unauthibitisho na unachoongea
@@shadrackkamugisha4481 hebu niondolee makasiriko utube pls
WANAWAKE NI WAJINGA SANA YANI SANA.
Wajinga kama babalevo aliyetangaza hadharani kuwa angekuwa mwanamke angemzalia Diamond sasa hapo mwenye tamaa ni yupi? Acheni kujiyoa uhayawani huyo baba levo hsna muda na huyo nibi saa xote yuko nya ya mwanaume mwrnzie kumsifia tu na kama ni kuvumilia bibiye kavumilia tangu hajiwezi hadi sasa vipi amkimbie wakati wa neema? Kuna yaliyoko nyuma ya pazia hivyo kaeni kimya watayamaliza wenyewe hamuna munalolijuwa hapa.
Uache ujinga na usirudie tena mpambavu wewe, ndoa zinapotea acheni ujinga ujinga next. Itakula kwako hutosemehewa,
Acha zako ulijua jamaa ataangaika umeona jamaa kakaza unatak kujiludi kafie mbele mshamb ww
Msamehe ila endelea na harakati zako Chawa Pro.maana unaweza kurudi nyuma badae ukajuta
Jaman ndio mjuage wanawake walivyo wachawi anakuchafua mwenyew alaf anaawamisha watu uongo alafu akipata shida analud kwako
upo sawa mwamba wanawake wachawi xn 😅😅😅😅
@@yasiniselemani8672 umeona eeeh! Na wakiongea serikali inawabeba xana
Yani dunia inaenda kasi mno yani huyu huyu aliesema yuko tayari amzalie tajiri mtoto lichawa promax leo linaombwa msamaha
Huyu shetan kaz anayo misara yote had atakubar kaz ipo
Mzungu?? Mualabu
Huyo mwanamke atakua kafanywa sana. Mmmh vina muda basi!!?? Hawataweza kuishi kwa kuwa mwili mmoja....hayo ma spirit aliyoenda kuyaokota huko nje..yatawatenganisha tena. SEX is deeper!! Note: Mwanamke ataachwa isipokua kwa uzinzi tu. #Baba levo jichanganye...TUKO HAPA!!!
Dada kaona baba levo anapata mapesa na madili zaid sasa anataka kurudy wanawake nyieee mmmh 😷 nizibe mdomo mm nisije pata corona ila hamtendy sawa kwa wanaume wenu na Hamna mapenzy ya kweli badilikeni ili mdumu kweny ndoa zenu !! Nishajuuaaa huyo dada kaona levo babaa saivi anapata pesa ndoman anataka kurudy wanawake buana🤣🤣🤣🤣
Mapembelo
Fear women
Absolutely fear women
🍹
Yani anavosisitiza kutajataja hilo neno la mume wangu yan hawa watu sijui huwa wapoje
Hakuna ndoa hapo ilikuwa ni come we stay tu ndoa mchezo.
Maisha huyo yashamshinda
Baba levo mimi binaries namuombea msamaha anastahili msamaha kwani huyo mshazaa lakini uwe muwazi kwa mahusiano mapya umshirikishe update maoni yikes ndipo ujue utaishi naye au hapana nwewe usije ukawa sehehem yakumuumiza mpenzi wako mzungu
Hypergamy ✔️✔️✔️😃😃
Tafuta Wazee Waende kuomba Msamaha....sio Misamaha yakwenye Mitandao.
Mke alikuoa? au mnaitanaitana tuu nyie wazinzi
Baba Levo hakuna mtu mkamilivu ni mungu peke yake,msemehe mkeo aludi nyumbani,pia wewe dada ludi kwa mumewe aacha kusikiliza wajinga ndoa ni ya watu wawili tu.
Fala wewe jitu zima unaongozwa na marafiki mpumbavu wewe Tena fala Sana wewe aliekudanganya uachane na mumeo nayo kakuacha nini pumba wewe kwenda huko
😂😂😂😂😂 wanawake nyie ooooi ooooi itifaki izingatiwe Mimi nani nsietaka hela za chawa na madili yote anayopata
😁😁😁😁
wewe nimke wa baba levo au ni hawara wababa levo.ulifunga ndoa mwaka gani,mnahalalisha zinaa kwa kusema maneno yatakawagharim siku ya qiyaama.kama mnazini sema hawala yako siyo mume.ili awe mume mngekuwa mmefunga ndoa.miaka saba mnazini halafu unasema nimumeo.tuangalie dunia inapita.tusiwafurahishe wanadam bali tuyende mambo yatakayozifurahisha nafsi zetu pindi tunapoondoka katika dunia hii.
Kipindi anasepa 🥺🥺th-cam.com/video/Vmf_5gvtPK4/w-d-xo.html👈