Sio kila kitu kinafanywa ili kidumu milele,, project zingne ni temporary kwa ajili ya muda husika., mfano ni nyimbo za kampeni zinaimbwa kwaajli ya muda husika huwezi kuiimba kwenye kampeni ijayo.
Hata nyimbo za world hubadirika Kila kombelikianza kuchezwa,,,msimu mwingine itatungwa ingine,,,kawaida ,,,hata Ile ya pepe kale outdated,ABAS boss w yanga enzi hiyo absent now.
Watunzi wa nyimbo za Yanga sijui kwanini wanapendaga kutaja wachezaji ndio maana nyimbo zinakuwa nzuri lakini haiimbwi tena msimu mwingine kama akina Mayele
Pamoja na mapungufu yako chid benz mungu akulipe memayako ya kuhehimu dini ya mungu wetu ubarikiwe sana wabilahi taufiq assalamualaikum 🙏🙏🙏🇹🇿🙏
CHID BENZi AKILi Mingi saaana 🧡🖤💚💛💥🔥💯
Chid Benz ana akili Sana💪💪💚
Mimi nimempa shukran kwa sababu amehishimu adhana baraka lAllahu laka
Chid safi sana
Chidi yupo sahihi bora Harmonize angetumia sanaa ya kutaja namba badala ya jina la mchezaji
Sio kila kitu kinafanywa ili kidumu milele,, project zingne ni temporary kwa ajili ya muda husika., mfano ni nyimbo za kampeni zinaimbwa kwaajli ya muda husika huwezi kuiimba kwenye kampeni ijayo.
Mashallah
Next time make sure you moved your hands on the camera screen
Chidi benzi bhnaaa😂😂😂 Nan kajambaa
Chidi huwa ananiacha hoi😂😂😂😂😂😂
ni nyimbo ya msimu na ni kumbukumbu pia kwa wachezaji
Pungu zeni ukali wa maneno hilo ndio kosa
Sasa anakanushaje wakati ni kweli alimkosoa??
😂😂😂😂😂chidi bhana 😂😂😂 huko ndani mmmh mmmmmh 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂EBUTUCHEKE KAMA YEYE😁😁😁😁😁😁
Utaweza?
Hataree😅😂😁😄🤣
Huyu jamaa sometime 😂😂😂
Nani kajamba 😂😂😂😂😂😂
Kumbe alimsema harmonize
Sijui kiu😂
Chid chid bez
Chid bwana mmmmhh
Ila mwaka itatolewa remix mbona munajaji unafikili hawakuka na kutasmini ila nyiie pore sana
Hata nyimbo za world hubadirika Kila kombelikianza kuchezwa,,,msimu mwingine itatungwa ingine,,,kawaida ,,,hata Ile ya pepe kale outdated,ABAS boss w yanga enzi hiyo absent now.
Baaday ya kuongelea swala la show ya tembo na kupromote huko KONDE alipo.. mnasemea ujinga tuu
😂😂
Mmmm😅
Watunzi wa nyimbo za Yanga sijui kwanini wanapendaga kutaja wachezaji ndio maana nyimbo zinakuwa nzuri lakini haiimbwi tena msimu mwingine kama akina Mayele
Chid benz Et Mmm😂
Mwingine😂😂
Harmonize Mzee Popo anategemea uchawi kwenye kazi zake...Hajiamini tena😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
mwingine 😂😂😂
Chidi kahimba matusi
Katunga nyimbo ya msimu ofcause, unataka ya milele ili asipate tena deal 😂😂
Hii nanii yako km FANTA 😂😂😂
Alaf anaskia kuu😂
Chid 😂😂😂😂😂
Meja kapoa kwl anamchora mlaunga alopagawa😂
Huyu jamaa kama sio hayo madawa...angegombania ubunge tungempa...Ofcourse lina akili sana
Chid ,,bhana mbona muda wote anakuwa kama anapoteza kujiamin,,,madawa jaman😔😔😔😔
Madawa ulimpa ww
Mbona anajiamini sana
@@EdwinKihumbe kujiamn sio kulopokwa ,,