Moodewji faya maamuzi tu sasa kwa Elie Mpanzu wewe ni Boss kweri kweri hakuna la kushindikana japo upande wa pili wanakubeza ila wanakujuwa vizuriii mlete Mpanzu Simba tutafurahiii❤❤❤❤❤
Mabosi wetu wa Simba muwe serious mkicheza na usajili tutaumoa mwaka wa nne mfululizo.. .Bosi wa Yanga amesajili majembe pamoja na Yanga kuwa bora sana Dola 250,000 si kitu Kwa Tajiri MO.
Moodewji faya maamuzi tu sasa kwa Elie Mpanzu wewe ni Boss kweri kweri hakuna la kushindikana japo upande wa pili wanakubeza ila wanakujuwa vizuriii mlete Mpanzu Simba tutafurahiii❤❤❤❤❤
Unyama ni mwingi sana oyooo 💪🦁💪💪🦁💪 mpanzu welcome to simba
Mo dewij tufanyie mambo mashabiki tufrahi
Nyinyi mbona mnawatia kihoma na kibaridi hao yangaaaa,magoma tu kawatoa kamasutra za kutosha
huyu jamaa ni mchezaji hasaa
Mpanzu ni wetu ndani ya mnyama
Ata mm namtaka mpanzu bila mpanzu atuendi baba rostam Mozambique nangade
Mabosi wetu wa Simba muwe serious mkicheza na usajili tutaumoa mwaka wa nne mfululizo.. .Bosi wa Yanga amesajili majembe pamoja na Yanga kuwa bora sana Dola 250,000 si kitu Kwa Tajiri MO.
Imeisha iyo
Hii imeenda 😅😅😅
Mpanzu ni bonge la mchezaji kalibu simba
Msilete janja mpanzu aletwe toeni mpunga mchezaji bora huwezi mpata kwa kitonga kwasasa wapo ghari 600 nakuendelea