HOTEL 9 BORA ZA GHARAMA TANZANIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ส.ค. 2017

ความคิดเห็น • 93

  • @kanyawanamachel5369
    @kanyawanamachel5369 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasakwa Lodge singita grumet end beyond ngorongoro na 4 sessions nizamoto

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 4 ปีที่แล้ว +1

    hoteli ghali zaidi ni ile nyumba yangu ya makuti ya mnazi na kitanda cha kamba ya usumba , usingizi murrrrruaa

  • @linahkijiu8306
    @linahkijiu8306 6 ปีที่แล้ว +3

    Mngenipa tenda ya kuwasambazia kuku wa kienyeji ingependeza zaidi

  • @josealute323
    @josealute323 5 ปีที่แล้ว +7

    Kama hujawaelewa Hawa jamaa kama Mimi....
    Hit big like

  • @hamadiswai3835
    @hamadiswai3835 6 ปีที่แล้ว +1

    Mbali na Singita Sabora Lodge, nyingine zote za kawaida sana..
    Kwa Arusha sijaona Mt Meru presidential rooms zao ni 1m, kuna moja hiv Barnaba anaifaham kwenye wimbo wake wa tunafanana kulala usiku mmoja ni 1500USD kwa kichwa mkilala wawili ni 3000$, 6M tsh, The Manor at Ngorongoro..
    Zipo nyingi sana, TEMBEA KISHA FANYA UCHUNGUZI..
    Naamini pia Singita wanayo moja hivi ambayo ndiyo expensive kuliko zote hapa TZ

  • @yuscowakitojo1080
    @yuscowakitojo1080 6 ปีที่แล้ว +3

    Nice song I like

  • @rockynnko1930
    @rockynnko1930 6 ปีที่แล้ว +1

    Yan hotel ya laki na nusu unaweka kwenye list ya hotel za garama TZ. Kwanza hujui hotel na lodges tofauti yake. Then fanya research vizuri kabla ya kupost habari. Hotel ya kuanzia tsh 800000/= per night tena standard room ndio ingeweza kuwa no 10. Izo za laki tano ni kama guest house.

  • @abdallatalib1020
    @abdallatalib1020 5 ปีที่แล้ว +2

    Dahhh, milioni 4 na laki 6 zidisha kwa mwezi mmoja tu napata nyumba ya maana na gari la kutembelea

  • @josephatjohn2390
    @josephatjohn2390 5 ปีที่แล้ว +4

    Unaondoka na kitanda na godoro au unaacha... Au huko usiku unakuwa mrefu Sana zaidi SAA 96?

  • @omarynjelu9191
    @omarynjelu9191 6 ปีที่แล้ว +3

    Yan hili beat ninilikuwa nalitafuta kitambo sanaaa asante mzee baba

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว +1

      omary njelu umefanikiwa kulipakua bro.. au niku tumie.

    • @omarynjelu9191
      @omarynjelu9191 6 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana nimefanikiwa kulipakuwa hadi imenilazimu kusubcribe good work karibuni zanzibar niliingia kucheki hiyo video nilitka kuona je park hayat znz ipo msingeiweka ninge dislike. maana gharama zake kwa mwezi nanunua kiwanja najenga nyumba na nununua hadi magari

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      omary njelu sawa bro Asante

    • @mohameddamka922
      @mohameddamka922 5 ปีที่แล้ว

      sorry nimesahau kusubscribe

  • @pothemawalla66
    @pothemawalla66 4 ปีที่แล้ว +1

    Achakutudanganya Zanzibar Kuna hotel kubwa na Bei ghal ujataja Kama melia ziko mbili Kuna paradise sea Clif na nyingine utafiti wako zero na park haytt Niya kwanzaaa

  • @saedsaed6552
    @saedsaed6552 4 ปีที่แล้ว +1

    Pitia upya takwimu zako.
    Hizo ni hotel za bei ya chini na bei ya kati. Maana kwenye hotel za bei ghari Tanzania kwenye top ten labda hotel mbili tu kati ya ulizozitaja ndio zinaweza kushika nafasi ya Tisa na kumi tena labda.

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 6 ปีที่แล้ว +2

    I like feed song from the alan work

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Ahmed Bob thank Ahmed you can subscribe more for next videos

  • @verahgabriella1915
    @verahgabriella1915 4 ปีที่แล้ว

    I like them

  • @shiragiminotisha4791
    @shiragiminotisha4791 6 ปีที่แล้ว +2

    Anazingua bhana

  • @mbwilotv7816
    @mbwilotv7816 6 ปีที่แล้ว +1

    edo TV nmependa sana majibu yako kwa fans wako, big up

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Mbwilo Tv Asante aisee

  • @zumandaro8412
    @zumandaro8412 6 ปีที่แล้ว +1

    I think umesoma mahali ndio ukaandika! Fanya utafiti then kwenye list yako mpya weka Thanda private island,mnemba island, kukusaidia ingia kwenye website ya leading hotels of the world utapata hotels exp na lodges zake! Thanda island unalipa million 22 tzs sawa na 11000$ per night na unatakiwa ulipe for a week ndio uende. So calculate then tuekee list mpya

  • @calvinluambo1164
    @calvinluambo1164 6 ปีที่แล้ว +2

    mkuu katika zote nimeona moja ndo umepatia japo sio hotel ni logde....... kumbuka kuna hotel (zinakuaga town) na logde (zinakua expose karibu na nature flan tulivu au unaeza sema porin).... tunaomba utuletee hotel then lodge....

  • @barakamwenda7674
    @barakamwenda7674 6 ปีที่แล้ว +1

    Unapuyangaaaaa

  • @carolinamushi5555
    @carolinamushi5555 6 ปีที่แล้ว +1

    kwagara kubwa hivyo Mmm wageji ni kwa wingi sana inaonekana maana garama iko juu sana,lazima itakuwa na wingi mkubwa wa wateja.

  • @peterjohn8745
    @peterjohn8745 5 ปีที่แล้ว

    asee naww unayajua mahotel duh hatar sana

  • @davisalphonce7001
    @davisalphonce7001 6 ปีที่แล้ว +3

    Next time tumia background aong ya kitanzania. Acha hizo za wazungu

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Davis Alphonce okay sawa .. asante kwa maoni

  • @18Ejames
    @18Ejames 6 ปีที่แล้ว

    hata kwa upande wa lodge pia hajui kitu, mfano Endboyond Ngorongoro ni dola 3000.00 sawa na tsh 6,780,000...

  • @hajikhamis1686
    @hajikhamis1686 6 ปีที่แล้ว +1

    This is just stupid, The Manta underwater room hotel is 3.8 mil per night, the manta resort is 1.5 m per night so how can you forget this?

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Haji Khamis its Okay sir we didn't under go deep research we are sorry for showing this

  • @manikamanika5487
    @manikamanika5487 4 ปีที่แล้ว +1

    an kuna channel zingine ni upuuzi mtupu😂😂😂😂😂.....kwann msi ige mfano kwa mwenzenu @ Milard ayo

  • @omanoman-uy9hx
    @omanoman-uy9hx 5 ปีที่แล้ว +3

    mbon hamtaji ziko wap

  • @shabaniibadi4578
    @shabaniibadi4578 4 ปีที่แล้ว

    Umesahau laz lagoon hotel laki 7 kwa siku moja

  • @harrylucas5829
    @harrylucas5829 6 ปีที่แล้ว +1

    Kuna Ngorongoro Crater Lodge ni ghali zaidi ya hizo za mwanzo Tsh 2400000 kwa kichwa kwa siku

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Harry Lucas sawa bro

  • @sifaelmugitu8018
    @sifaelmugitu8018 6 ปีที่แล้ว +1

    Duh! Kwahiyo Hyyat Regency na Serena hazipo kwenye top 9! Siamini

    • @nasramasimba3532
      @nasramasimba3532 4 ปีที่แล้ว

      Sifael Mugitu hamna hotel apo kama hyat regency ile ni kwa ajili ya mikutano sanasana wanaitumia kwa events mbalimbali ila hizi nyengne based on luxuries ndomana unaona ni kubwa na maeneo yake kama yamejitenga tenga

  • @mmueledidiako5789
    @mmueledidiako5789 ปีที่แล้ว

    How much

  • @maryamelyas9382
    @maryamelyas9382 6 ปีที่แล้ว +4

    asante ila ungekuwa unasema hii sh.hizi na iko wapi sio wote twajua maeneo kwa picha

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว +1

      +Maryam Elyas Asante kwa maoni yako next video itakuwa improve na full description usihau ku subcribe for next video

  • @bahatijuma3869
    @bahatijuma3869 6 ปีที่แล้ว

    yap

  • @dwhiteseiya2061
    @dwhiteseiya2061 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hamtaji maeneo zilipo

  • @jamesalex185
    @jamesalex185 6 ปีที่แล้ว +1

    nice

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +James Alex asante aisee

  • @furahinipallangyo1239
    @furahinipallangyo1239 5 ปีที่แล้ว +1

    Unaifaham bei ya #ngurdoto lodge kwel wew mount meru Serena hotel

  • @gidosalapion8222
    @gidosalapion8222 5 ปีที่แล้ว

    Taarifa yako si sahihi, kupata ukweli zaidi nenda app ya Trip advisor, haiwezekani top 9 inaingia hotel ya Laki moja na..... Kuna hotel kama:
    Residence Zanzibar
    Diamond lagema star of the East
    Riu Palace
    Melia
    Hyatt regency Dar es salaam
    Blue bay
    Verde by Azam
    Jipange bro

  • @bushmendatoga4754
    @bushmendatoga4754 6 ปีที่แล้ว +7

    Ungesema namba moja singita properties zikiwemo sasakwa lodge, serengeti house, sabora tented camp, singita mara, singita expolore and faru faru lodge. ikifuatiwa na nyingine kama crater lodge, mnemba, mwiba lodge, legendary lodge in arusha. The residence zanzibar, baraza znz, essque zalu znz, melia, la gemma, star of the east, thanda island, na nyingine

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +bushmen datoga sawa mr. Unaeza Ziona kwa video ijayo asante kwa maoni .. tuma kile ungependa kukiona via rattus922@gmail.com

    • @kenedykitindi8154
      @kenedykitindi8154 6 ปีที่แล้ว

      the best hotel in tanzania according to trip advaiser and ccn hotel bora ni baraza spa and resot hotel from zanzibar

    • @josealute323
      @josealute323 5 ปีที่แล้ว

      Kaka habari yako....
      Naweza kuwasiliana na wewe tafadhali?

  • @hamadiswai3835
    @hamadiswai3835 6 ปีที่แล้ว +2

    Nyongeza kidogo Crater Lodge by &Beyond 4M tsh

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 6 ปีที่แล้ว +1

    Sabora iko Serengeti

  • @stellaghumpi426
    @stellaghumpi426 4 ปีที่แล้ว

    haujatembea bado kuna hotel za milioni zaidi ya 30 kwa night 1

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 5 ปีที่แล้ว

    Mbona zote Zanzibar 😆😆😆

  • @anthonyjoshuaprincess860
    @anthonyjoshuaprincess860 5 ปีที่แล้ว

    Ixi mbona za zanzibar tu zaa dar zipo wapi

  • @elivtv5444
    @elivtv5444 6 ปีที่แล้ว +1

    Du kwa usawa huu bola nilale nje nisubili miaka mitano ijayo

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Askof wa dar haaah!!

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 6 ปีที่แล้ว +1

    mkonge mbona sijaiyona

  • @aika.massawe5365
    @aika.massawe5365 6 ปีที่แล้ว +1

    paah

  • @stevefarm5057
    @stevefarm5057 6 ปีที่แล้ว +1

    mbona aman 5 star ata mmoja

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 6 ปีที่แล้ว

    #where you put hyyat regency and a Serena?

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      on next list brother

  • @chugahome2591
    @chugahome2591 5 ปีที่แล้ว

    where is the hyatt region the kilimanjaro

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 ปีที่แล้ว +1

    Inshallah ntacom

  • @nusrakajubu8377
    @nusrakajubu8377 6 ปีที่แล้ว +1

    nimepamc Tanzania jmn hoter nzur ila kama auna chapaa utafanyaje

  • @theinsighttanzaniasafaris4424
    @theinsighttanzaniasafaris4424 6 ปีที่แล้ว +2

    Edo Hakuna kitu ulicho jaribu kutufahamisha zaidi ya kutudanganya juu ya hili. Kuna resort kulala tu kwa siku ni zaidi ya 18million sasa wewe hizi takwimu zako cjui umetoa wapi

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +The Insight Tanzania Safaris ilikua ni kwa mtazamo wangu.. unaweza tuma kile ungependa kukiona via rattus922@gmail.com

    • @theinsighttanzaniasafaris4424
      @theinsighttanzaniasafaris4424 6 ปีที่แล้ว +1

      Jaribu kuulizia Diamond lagema bei ya mwisho kabisa Wana charge ngapi then nitakupa Lodge na resort kubwa Tanzania.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 ปีที่แล้ว

    Nice ..can i get your cintacts?

  • @Ibnmoza
    @Ibnmoza 6 ปีที่แล้ว +5

    Fanya Reseach kwanza sio unaandika tu

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Abdulhakiim Maskiry sawa mkuu

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Abdulhakiim Maskiry sawa mkuu

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Abdulhakiim Maskiry sawa mkuu

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Abdulhakiim Maskiry sawa mkuu

  • @fababindawood5842
    @fababindawood5842 6 ปีที่แล้ว

    Hpo mm cyamini kuna htl znz ni garama kubwa kuliko iyo namba 1 tena nyingi tu ingien google muangalie km Resident htl na nyengne.

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +faba bin dawood mkuu hotel zote apo ni za mainland Tanzania..

    • @triplea3463
      @triplea3463 4 ปีที่แล้ว

      Mkuu ya 9-5 zote ni Zanzibar

  • @queenbhanji7223
    @queenbhanji7223 4 ปีที่แล้ว

    White sand hotel cjaiona hapo

  • @magotimtani2180
    @magotimtani2180 6 ปีที่แล้ว +1

    This list Is trash, aiseee, nenda kafanye research tena, Sasakwa lodge kuna room ya $20,000 pale convert kwenye pesa yetu utaona ni bei gani, in short hiyo iko mbali sana na ukweli

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +magoti mtani sawa mkuu

  • @davisalphonce7001
    @davisalphonce7001 6 ปีที่แล้ว +3

    hotel na lodge ni vitu viwili tofauti aisee. Thumbs down

  • @bushmendatoga4754
    @bushmendatoga4754 6 ปีที่แล้ว +1

    Umekurupuka wewe hujui kitu

  • @bahatijuma3869
    @bahatijuma3869 6 ปีที่แล้ว

    yap

  • @carolinamushi5555
    @carolinamushi5555 6 ปีที่แล้ว +1

    kwagara kubwa hivyo Mmm wageji ni kwa wingi sana inaonekana maana garama iko juu sana,lazima itakuwa na wingi mkubwa wa wateja.

    • @edotv9879
      @edotv9879  6 ปีที่แล้ว

      +Carolina Mushi asante mkuu