Edward moringe sokoine alikuwa ni muadilifu sana msicomment kitu ambacho hamkijui kila kiongozi amefanya kazi kwa nyakati zake kuna watu wanatuletea udini hacha kama ijui viongozi wetu wanafanya nini Unafananisha viongozi mnajua julias nyerere kazi alizofanya
Imenikumbusha mbali mnooo kukuta watumishi wenzangu wakilia stasahau pia nimeonna magari tuliojifunza kuyahudumia kombi yalikua ya usalama miaka hiyoooo yohana kaduma juma tesha
Watu hua wanajizima data, jana nimetoka mahakan mshikaj wangu aliandika upuuz kama huu na kupewa sifa, leo mwez wa 3 yupo ndani . Kijana kabla ya kuandika , Tafakari. Nione mjinga sasa, lakin utakumbuka siku 1
Jamn vzr havidum kanisan majambaz ndoyanaishi
Nakumbuka tulimlilia sana
Edward moringe sokoine alikuwa ni muadilifu sana msicomment kitu ambacho hamkijui kila kiongozi amefanya kazi kwa nyakati zake kuna watu wanatuletea udini hacha kama ijui viongozi wetu wanafanya nini
Unafananisha viongozi mnajua julias nyerere kazi alizofanya
Hawa ndo katika viongozi wazalendo na waadilifu wa bara letu la Afrika
Ñilimpenda Sana
Mmm haya kifo chake kilipangwa au kilikuja kimazingira gani ?
Hongera Sana sokoine
Imenikumbusha mbali mnooo kukuta watumishi wenzangu wakilia stasahau pia nimeonna magari tuliojifunza kuyahudumia kombi yalikua ya usalama miaka hiyoooo yohana kaduma juma tesha
Ile Dhana ya watu wa kaskazini hawatakiwa kuwa Marais ndo ilitekelezwa hapa ... ila jamaa ni mtu na nusu aisee
Huyu ndiye kiongozi mzalendo SI kama mwanakwenda na makanjanja wengine
Angekuwepo leo angeitwa dikteta
Nandomaa nyerere analaaniwa na wazanzibari hadi leo
Alikua bado kijana kabisa daaaaa
Vichwa vya kitanzania halisi ndio hisi
Sokoine alikuwa nimtu nanusu hawa ndio viongozi bhana. Alafu anatoka mtu mmoja anasema wazuru wanadumu kivi?
Mamburula ndiyo haya , yanayosema wazuri hawafi.yani nikauli yaajabu kbs kuwahi tokea.
Alishiba makande yule mzee
Huyu bwsna alikuwa ni mcha MUNGU
Wanajituma viongozi wetu watakatifu
Baada ya sokoine amefuata majaliwa, hapa Kat mawazir feki
Watu watatu tu Tz
JPM alifuata nyayo za huyu jamaa!
Unajuwaaaa ivoivooo Tania nzuri uerewa WA maisha ya watu Hawa ndo viongozi WA kweri lakin mungu anajuwa tungekuwa mbari sanaa kiuchumi arooooo
Halafu mnajiongopea kwamba wakati wa Nyerere hakukuwa na upigaji?
sijaona kiongozi km sokoine na mgufuli wengine wanaiga tu na hawatatokea kamwe
Walimuua people sio people
Mimi naona shetani nimama yko mzazi pamoja na babayako
Kiongozi ni SOKOINE na MAGUFULI wakina samia na kikwete ni mashetani wanaotembea
Kama ulivyo shetani ww.
@@yakobokuzenza6837 😂😂😂
Lazima angekua raid baada ya mwNyerere
Kifo chake ilikua in njama za mabeberu Kwa aliegonga gari lake hakua mtanzania.
Watu hua wanajizima data, jana nimetoka mahakan mshikaj wangu aliandika upuuz kama huu na kupewa sifa, leo mwez wa 3 yupo ndani . Kijana kabla ya kuandika , Tafakari.
Nione mjinga sasa, lakin utakumbuka siku 1
Uyu na magufur ndio viongizi bwana sasa iv mafsad watupu