kwa kweli mungu awangazie mwanga wa milele hawa ndg zetu wa msondo ngoma music kwa kututangulia mbele ya haki,hakika tunaheshimu sana kazi zao na tunazikumbuka sana
Kweli kijana wangu mashaka lunyombe hilo ni dongo waziwazi la bichuka maana izi band vijembe vingi wasababishaji ni bichuka na shabani dede ao ndio magwiji wa kuahama hama kidogo na hussein jumbe.
Best Band in Tanzania. ..R.I.P Msondo Legendary. ..Tx Moshi. ..Gurumo na wengne waliotangulia Mbele za haki tunawaombea, Mwenyenzi Mungu awape pumziko jema.
msondo kamili iyo na message hii niliambiwa na mtaalam wa mambo aya mhe j mpalasinge kuwa hilo ni dongo alikuwa anapelekewa hsn rehani bichuka nae kupitia ddc akajibu nyimbo inaitwa tende harua harua
2023 wana msondo ngoma band nawasalimu nyote mlohai na walotutangulia mbele za haki mungu hawarehemu mahala pema peponi mzee wetu, nawapenda sana zilipendwa na zika pendeka kupendeza.watching from mombasa kenya
Itabaki store tu ila mziki ndio unapotea tamaduni zetu vijana wa leo wanaiga asili za wazungu tulindeni hadhina ya kitanzania jamani 2019 bado naikubali dhahabu yetu
Kuanzia Dakika ya tano tunaachana na ujumbe tunzaanza kuburudika na vyombo vya mziki. Kidogo tu, Kidogo eeeh, Kidogo tu, msondo ngoma, Kidogo tu heeee!/Anacheeeeeka
Ngoma safi sana rest in peace mzee ngurumo na TX moshi William na wengine wote wana msondo ngoma kiukweli mlikua faraja ya watanzania mziki mliuweza sana hongereni sana kwa hilo.
Kwa Tanzania bado hawajatokea kama nyinyu hakika msondo mlikua the best pumziken kwa aman wote mliotangulia TX MOSH WILLIAM &NGURUMO &MAINA &SULEMAIN MBWEMBWE
kwa kweli mungu awangazie mwanga wa milele hawa ndg zetu wa msondo ngoma music kwa kututangulia mbele ya haki,hakika tunaheshimu sana kazi zao na tunazikumbuka sana
John Joseph @
kweli walikua juu sana mpaka leo hakuna kama msondo
Mungu huyu basi bwana
Duh huyu ndo mungu anachukua chake kwa muda alopanga
Any one 2024👁️👁️👁️
Like me❤
Zinanikumbusha mbali mno hizi nyimbo
Msondo Ngoma Band has real talented musicians.
2858
Tutawakumbuka. DAIMA......Walio hai na. Waliota gulia. Mbele ya. Haki. Msondo ilikuwa. Baba. Yao
Rlp msondo😂
Who is still watching 2024🎉 old is gold❤
Moshi pumzika sulema pumzika, ngurumo,pumzika,
Ya kale ni dhahabu. Pumzikeni kwa amani wazee wetu watunzi mahiri na waimbaji wazuri kwa mafunzo mengi mliyotupa kwenye nyimbo zenu.
2021tunaingia na msondo gonga like kama unakubaliii
Kweli kijana wangu mashaka lunyombe hilo ni dongo waziwazi la bichuka maana izi band vijembe vingi wasababishaji ni bichuka na shabani dede ao ndio magwiji wa kuahama hama kidogo na hussein jumbe.
Best Band in Tanzania. ..R.I.P Msondo Legendary. ..Tx Moshi. ..Gurumo na wengne waliotangulia Mbele za haki tunawaombea, Mwenyenzi Mungu awape pumziko jema.
31/12/2019
2020 like apa
Tupo hapa rahaa sana,vijana wa sasa hivi wanaimba matope tuu Mara iokote sijui mara Amabokoo daah
ni dhahabu
msondo kamili iyo na message hii niliambiwa na mtaalam wa mambo aya mhe j mpalasinge kuwa hilo ni dongo alikuwa anapelekewa hsn rehani bichuka nae kupitia ddc akajibu nyimbo inaitwa tende harua harua
mashaka lunyombe Hapo
RIP WAPENDWA
Msondoo ngomaaa 100% hakuna kama ninyi mliotangulia MUNGU awapumzishe mahala panapositahili
2021 nipeni like zangu wajameni
2023 wana msondo ngoma band nawasalimu nyote mlohai na walotutangulia mbele za haki mungu hawarehemu mahala pema peponi mzee wetu, nawapenda sana zilipendwa na zika pendeka kupendeza.watching from mombasa kenya
Nawakubal sana waliobaki mjitahid Sana
Kwamungu kila got ripigwa mupumuzike kwa amani.
Mbilia beli wende
Itabaki store tu ila mziki ndio unapotea tamaduni zetu vijana wa leo wanaiga asili za wazungu tulindeni hadhina ya kitanzania jamani 2019 bado naikubali dhahabu yetu
Hivi vyuma vingekuwepo mziki wa dans ungebaki kwenye nafasi yake
Mungu awa rehemu mlio tutangulia jamani ila msondo mlikua kiboko yao
Nostalgia, wazee pumzikeni kwa amani. I ❤ your songs sababu ni mafunzo tupu. From Congo
Mungu awalaze mahari pema peponi amen kwa xababu hawata tokea wazee wet ujumb mzur Kama huu wa hawat tokea kabixa
Heshima kwenu wapendwa msondo ngoma!!!?, MUNGU awapunguzie adhabu ya kabur!!!!!!!!!!.
wewe hachaa tu mambo hayo hayarudi tena simchezo
msondo. ngoma baab kubwa
Kuanzia mashairi, upigaji,uimbaji,uchezaji,vyote ni burudani ,bado tunawakumbuka mlituburudisha sana enzi zenu ,ila jamani huyu mpiga guitar, analicharaza kwelikweli,nimempenda sana,hivi bado yupo hai?06.01.24.bado nasikiliza.
zakaria hawaliobaki hawezi kufikia hii musondo kama hii
Adireo 2o19 ujumbe mpya
Ni Nyimbo za Mwisho mwisho kupigwa wakiwa wote” Duh Mabera Mwana Kigoma, Momba, TX Moshi, Mahina’ Gurumo, Hakika Watanzania bado Wanawakumbuka”
2021 kwa uwezo wa Mungu natizama hii, gonga LIKE kama tupo pamoja
Nipo Senegal 🇸🇳 nasikilinza music 🎶 wanyumbani siku ya uhuru Tanzania 🇹🇿 mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 9mwenzi 12 2022 .Africa
Njoo uluyani kenya na msondo ngoma uchekwe
Unamaanisha nini?
Msondo wosia wenu kwasasa unatufaa sana sisi vijana Wa 2020 hata baadhi yawazee wasasa wamepoteza ladha.
Ewe mwenyezi uwape pumziko tulivu.
kwa kweli msondo ngoma kiboko yao hakuna kama msondo
mambo
kelvin kyando poa
Vipi uko poa ww unaishi wapi kwani
Kuanzia Dakika ya tano tunaachana na ujumbe tunzaanza kuburudika na vyombo vya mziki. Kidogo tu, Kidogo eeeh, Kidogo tu, msondo ngoma, Kidogo tu heeee!/Anacheeeeeka
Who watch this in 2019
Festo wa festo umekubali
Hawa ndio walikuwa wanamuziki maana ujumbe wa Kila wimbo usipime
Nimeangaria uu wimbo nimekukumbuka bibi ang Upumzike kwa amani bibi ang kipenz nimekukumbuka
Hizi ndio ngoma zakusikiliza ambazo Zina mafundisho sio zasasa nyimbo matusi matupu
Hicho ni kijembe alichopigwa Hassan Bichuka baada ya kulazimisha kudai kuondoka kurudi Sikinde
abdalla abdulrahman hahaha ni kweli upo sahihi.
Kweli kabisa kaka ujumbe huo kwa njia ya muzki
Ni kweli Bichuka alirudi sikinde
Romario kaka endeleza jahazi LA msondo nawapenda sana nyimbo zenu ni darasa tosha
Hizi ndizo nyimbo haziwezi potea , sio hizo za vijana wasasa, we underrate our old musics
Umesaport
Ardhi inameza watu doh😤
Burudani adimu sana kipindi hiki dah!
Mabera toka 1972 mpaka leo msondo na roman1982 wapo nakumbuka mbali sana Central bar kibaha bado npo primary RIP mliotangulia
Ngoma safi sana rest in peace mzee ngurumo na TX moshi William na wengine wote wana msondo ngoma kiukweli mlikua faraja ya watanzania mziki mliuweza sana hongereni sana kwa hilo.
Ilikua kama team ya france ya 98 ya zidane...hatareeeeeee
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️。
2019 bado naangalia tuu
wanangu nyieee toka mdogoo nawakubari cz jumbe zenu zinaishi milele ,kazi zenu nzur snaa baba zngu
walale mahala pema peponi hawa watu hakika waliifanya kazi yao vizuri sana May, 2022 gonga like
Sep 2018. Siamini macho yangu. Jopo zima la wanaoimba hapo wamefariki dunia. Mungu wasamehe makosa yao na uwahifadhi. Amin.
Hilo solo la dk mabera sio mchezo
Mungu awape pepo njema huko mbele ya haki mliko
2024kama kawa
Kwa Tanzania bado hawajatokea kama nyinyu hakika msondo mlikua the best pumziken kwa aman wote mliotangulia TX MOSH WILLIAM &NGURUMO &MAINA &SULEMAIN MBWEMBWE
2021 hapa
Inshaallah Mola awape kauli thabiti.
jaman nani ako namimi..2019^hapa machozi yananitoka
ama kweli ya kale ni dhahabu ina mafundisha kwenye maisha kuna wengine imewakuta
Seleman mbwembwe; Tx moshi na Kamanda Gurumo tutawakumbuka daima
Na Othman momba
Msichana mudogo gud.
R. I. P wote mliotangulia mbele ya Khaki
Km
Nakubali sana lispect
2022 HERE
Nyimbo zuri san hii ina mafunzo mazuri sana tutakukumbuka sana legendary wetu
❤❤❤❤❤❤💚💚💚💚💚😭😭😭😭
vp
beats poa sana, hii ni ukweli awoman is a woman ata umulee kama mtoto no pure tu.
Simiyu Dennish
Nashukuru sana nyimbo za zamani zinafudisha Sana jamani
Zilipendwa miziki sijaona kama inaupinzani kwasasa kwa upigaji mziki na kujipanga
Ongereni sana wazee wetu maana ni nyimbo zilikua na maana
Hii ndio miziki bhana 2021 twende sawa hapa
Kumbuka baba angu alikua anawapenda
Inanikumbusha kitambo kweli
Old Is Gold
Pumzken Kwa Aman
23.9.2022 naangalia mziki mzurii
Best songs
Dah baba zangu mungu awalaze mahali pema peponi emen
Otu jazz.pongezi tele kwa music wenu bora.Asante sana kwa kuburudisha inchi zetu africa mashariki.
Wote mbele yahaki
jamani huu ndio muziki,
makame simai nakubali haswa mzee Ngurumo naipenda sana sauti yake ya simba Kamanda mwenyewe
Well well goon sana kutuletea hizi nyimbo .naomba ule wimbo unaosema .ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo.
Nngurumo na moshi nawakumbuka sana awa waze
sema dunian tunapita yan huu wimbo nikiusikiaga tu sehemu unapgwa machozi.huwa yananitoka,,huyu mtot mnenguaji cjui saiv anaisha gani nw2023
2020 like zangu jaman
Kwan hii nyimbo ya mwaka gan mana naisi cjui ckuzaliwa au nilizaliwa Nilikua mdogo sana nimeipenda
Huu wimbo ni wa mwaka 2004.
Bado tunamikumbuk wazee wetu waku vitu vizur mlivyotuachia. Sio Hawa kanyag twende
Ukweli utabaki ukweli hakika msondo ni baba lao
Mi muucrine ila Ngoma naikbali sana
Nikisiliza moyo wangu unatulia nyimbo kama wanayaona yanayo tokea mtaani
Huko TZ, hamna yeyote anayeweza kuendeleza aina ya huu mziki?
Kijana Wa Tx yuko wapi?
Safi sana ujumbe mzuri
Hizi song ni kali
Nimekua sina raha hapa nyumbani., kila siku maneno yako mama hayaishi..
uko wapi wee
0622501048
Mwanamisi kweli kbs mwana vip lkn mzm
Mwanamisi mstari mtamuu huo wallahi
Mwanamisi hahahahaaaa unakknbsha mbali xanaeeee
Kila siku maneno yako mama hayaishi,
2022 January 30 at Tabata damp Dar es salaam
hataree sana hii kitu
Kumbuka Babu musiki wa wazee wazima tuufagilie maleta
Nyimbo zote za wasafi na kile kituo chao cha kurushia matangazo yao na watangazi wote ni nyimbo moja ya walimwengu
nimekubali
RIP. Baba LA mziki
R.I.p wote mbele nyinyi nyuma sisi
Dah Kama unakubali bado gonga like.........