MCHUNGAJI HANANJA AFUNGUKA HAYA KUHUSU USHOGA "BALEHE SIO MCHEZO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 มี.ค. 2023
- MCHUNGAJI HANANJA AFUNGUKA HAYA KUHUSU USHOGA "BALEHE SIO MCHEZO"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Huyu ndio mchungaji pekee nnaemkubali.. hataki pesa.. anasaidia ndugu zetu waliolemewa na kadhia za kidunia.. tubaki na dini zetu.. ila dini zetu zisitufanye tukaacha utu wetu..
Yupo Mentally and Psychologically Fit, Well Spoken Pastor
Mchungaji umeongea Mambo ya Msingi sana kuhusu tatizo Hilo, na kama viongozi wote wa dini wangepaza sauti zao kuhusu tatizo Hilo na nengineyo Kwa sauti kuu, naamini yangepungua hayo! Bahati mbaya sana watumishi wetu wa Mungu sasa wameingia kwenye siasa na kuacha majukumu Yao ya Msingi huku wakimwacha shetani akiwanyakua kondoo wa bwana akiwaangusha dhambini Kwa matendo maovu!
Wapirri nipeni raiki ❤🔥🔥
Mchungaji nakupenda muno unajiamini sana
Anataka ale bata anaenda kubatuliwa😃😃
Inna lilah wainna ilaih rajiun ALLAH atuepushe na hili janga
وَمَا كَانَ جَوَابَ قَوْمِهِۦٓ إِلَّآ أَن قَالُوٓا۟. وَلُوطًا إِذْ قَالَ لِقَوْمِهِۦٓ أَتَأْتُونَ ٱلْفَـٰحِشَةَ مَا سَبَقَكُم بِهَا مِنْ أَحَدٍۢ مِّنَ ٱلْعَـٰلَمِينَ
إِنَّكُمْ لَتَأْتُونَ ٱلرِّجَالَ شَهْوَةًۭ مِّن دُونِ ٱلنِّسَآءِ ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌۭ مُّسْرِفُونَ
أَخْرِجُوهُم مِّن قَرْيَتِكُمْ ۖ إِنَّهُمْ أُنَاسٌۭ يَتَطَهَّرُونَ
Naam akhui صح
🤣🤣🤣ukitaka kula bata utabatuliwaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mchungaji nimekuelewa sana
Mzee big up sanah unaongea point✊
Ila jirani zangu wamezidi huko mitandaoni wadada ndiyo kabisa wameshaharibika hadi kujitangaza kabisa yani ukiingia hapo kichwa kichwa ukiuliza unapigwa mawe hadi ya macho😭😭😪
Vijana wainataji kupatiwa kipaumbele financially ili waweze kujiajilii na kuzalisha ajira
هذا موامبا ، هانجا بامبا الأبالقس حنانجا ، أحبك كثيرًا
Huyu Mzee Biblia kaimeza yote dah!
Ila yote 9 na 10 sasa napenda maneno yake.
Mr Bilionea unanibariki sana.
Huyu mchungajia anaakili sana anasema kweli😂😂😂😂 mashuleni noma hasa bording na baleee za vijana dah noma
Mch, futa neno Seya!
Hananja Ubarikiwe
wa kwanza nipeni laiki zangu...
Sasa like zitakusaidia nini😁😁😁
Ulimpa nani kwani?
Nyoko
Inaandikwa hivi like Sawa baraka
@@mwecmapesa3623 nyoko ni wewe mbuzi ya msitu
Mc jifunze kwa wengine wanaofanya vizuri .
Hananja ana busara tu kakujibu vizuri .
Soma vizuri umri wako una ruhusu na una nia
Big mchungaji bilioneaaa
Ana ana anzaje kukataaa Sasa Msomi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Your the man of century
Mungu ana rehema.
Tumekuelewa mtumish😁
Rich bilioneeeeeaaaaaah
Serikali iko wapi mawaiziri wako wapi, raisi yuko wapi, waziri mkuu yuko wapi, wabunge wako wapi? Daaah nahisi Tanzania inatumbukia shimoni
Mbona hutaji kanisa katoliki maana tuliona wakipeperusha bendera ya mashoga kwenye hospitali yao
Dooh
🤣🤣🤣🤣 🔥🔥. Moto Sana
Ha ha ha
Ziko ndoa za aina tatu hahah
Huyu MWANDISHI HAMJUI VIZURI HANANJA AU ANAJITOA AKILI KTK UULIZAJE WAKE, JITAHIDI KABLA HUJAMUHOJI MTU UPITIE PROFILE YAKE ILI KUEPUKA MASWALI YA KIDWANZI NA KISHAMBA
Maswali mengine ni faida kwa wasikilizaji si kwa ajili yake mwenye
Watu wanongelea ushoga tu mbona hawasemi kuhusu Usagaji wanafikiri Usagaji haupo? Usagaji upo tena ni mbaya Sana watu wanapaswa wakipata nafasi ya kuzungumzia mapenzi ya jinsia moja wanatakiwa waongeleee Ushoga na Usagaji sio Ushoga tu Usagaji unaachwa hivi vyote havifai
Usangaji upo kipenzi ila bora mtt wa kike awe anasagwa kuliko mtt wa kiume kufirwaaa kwa kweli mtihani na inaumiza sana tumbo linaumaaa
@@rizikiabdalla2501 mtoto wa kike akisagwa hahitaji tena mwanamme
Boraaaa vooo kuliko kufirwaaaaa mtihani vooo Allah atuhifadhi
@@rizikiabdalla2501 Hakuna bora hapo yote hayo ni machukizo kwa Mungu ni kuyakemea yote kwa pamoja ise mwanamke akisagwa hatakama alikua na mme hiyo ndoa lazma.ivunjike na vile vile.kwa mwanamme akifirwa au kufira lazma ndoa.iharibike na Kama bado.hawajaowa na kuolewa ujue ni ngumu sana.kuja.kuolewaa na kuoa
Yote ni machukizo Allah amekatazaa sana ktk vitabu vyake na hata mm sivipendi ila mtt wa kiume ni mtihani zaidi
NAHITAJI INTERVIEW NA HUYU MZEE.
Mtafute
@@sheckycobb5240 sawa mkuu
Mnavyoyaongelea haya ipo siku mtayaruhusu na mtaona ni jambo la kawaida, Mungu atusahaulishe juu ya huu ushetani. Tuache kuyapa kipaumbele hayo ya kijinga.
serikali ni pamoja na wewe,hilo suala ni la kila mtu tushirikiane kuanzia pale tulipo ili kutoa wepesi viongozi.sisi huko chini ndo tunaolea na kuficha uchafu huo.
Uyu mzeee bhnaaa😂😂😂😂
Nimezaliwa dar mtanzania, kwani waliozaliwa katika mikoa mingine sio watanzania??
No. Ila ni utambulisho unaweza zaliwa dar na usiwe mtz
Tafta hela maswali kama haya hayana mana
Alimaamisha kukataa kuongelea kabila
Ushoga niushetani na hakuna mjadala kwa hilo . Hakuna haki zabinadamu wala nini bali tunatakiwa kuwa na utu .hakizabinadamu ni Mungu pekee ndio anatakiwa kutetea haki za binadamu wake na sio wazungu . Kama afrika tunajengwa na utu (ubuntu) i am because you are) ukiwa na utu hauwezi ukamfanyia mwenzio mabaya. Kwaufupi USHOGA NI USHETWANI
Kwa maandiko yapi? Thibitisha
@@kachagrill3204 nyie mashoga mtatupomza tuchomwe km Sodoma. Nendeni Ulaya mkafunge ndoa na wazungu. Huku hatuwataki tutawachoma moto kama wezi.
@@kachagrill3204 wewe ni mke?
@@zakiamseka9698 jibu swali sio maelezo! Nimekwambia ni maandiko gani?
@@kachagrill3204 shoga wee hauna haki yakujibiwa kafie uko mbele
Haaaaaaaa,kweli pesa hata ukiwa na sura mbaya mdomo kama umeng'atwa na dondola kama unapesa utapendwa
Kwani vp? Mbona wivu, wivu Ni uchawi, wewe Ni mchawi. Half msg mwenyewe hapo ukipo mwenyewe unanunka kichupi mkojo.khaaa