Safi daimondi ni mfanya biashara makini ila saa nyingine wazungu wanamtumia ili kuharibu . lakini ni mjanja anajua kucheza na akili za watu. hiyo ndio biashara. serekali imsaidie kama hivyo na kama inavyo msapoti.hongera sana mama yetu samia. Huyu dai akitumiwa vizuri na akithaminiwa ni kati ya vijana watakao panga tamaduni potofu nci yetu. kwenye
KINACHOMSAIDIA DIAMOND NI ROHO NZURI NA SIO MCHOYO KWA WANAOMFANYIA KAZI KWA MOYO WOTE WAKUMTAKIA MAFANIKIO NA MAENDELEO YAKE. HATA MI NAJALI ANAYENIJALI LAKINI MNAFKI NATUPA KULEEEE
Kitenge aliwahi mnanga diamond kipindi ruge kafa huyo nandi amejiingiza kwenye mziki na biashara anatakiwa awe na ngozi ngumu kama diamond sasa kitu kidogo anapanic
Kama husemwi utajulikanaje ? Maana ùmaarufu huja kwa kuongelewa nakuongelewa kupo kwa aina mbili huwezi kutenga nisha mabaya na mazuri huwa yako sambamba. Na yeye dai sio malaika ni mwanadamu tu
Simba kabakia mpoki chukua mastaa wote kwenye Radio station za Tanzania ibaki Radio Moja ya kusikiliza wasafi FM ww kijana mwenzetu shida za utafutaji unajua watoe wote ibaki RTD Moja wasafi FM
Ajira means uraji harafu ndio kina fuata kitu kingine ndio maana wafanyakazi ukisikiliza changamoto kubwa kwao ni ku9ngezewa mishahara na kingine watasema kuwa wana omba waboreshewe mazingira ya Kaz over 🙌😄
tunakuomba sheikh mansour ondoa viashiria vya ushoga katika chombo chako pendwa cha wasafi.Huyu jamaa mtangazaji avue shungi au aondoke aende kwa mashoga wenzake
Umemtukana fei kutaka kukimbia yanga. Kitenge na wewe mbio. Na kule munatakiwa murudi. Kama biashara ya fei. KITENGE UMEONA UNAFIKI WAKO WALA HAUKUSUTI SHENZI MKUBWA WEWE
Yes offcourse! He's the best businessman, best musician star so far🔥🔥
Thanks Gerald hando
Asante broo bola umsifie mtu kabra hajafa
Wasafi is only one 🥰🔥🔥🔥
Lioo😊
Hapa kwenye refreshi mwacheni abuu kma allhy hayupo huyu mchaga hafai kbx
Team Daimond a.k.a SHEKHE MANSOOR 😂😂 SIMBAAA weka like 👇
Wasafi inaendelea kuwakubwa zaidi
WCB for life 💕
Wazungu walisema experience is better than paper.
Pigeni kazi kaka tunatamini tasnia ya habar ifike mbali na nyinyi ndio munajukimu hilo. Mtangazaji Bora ni lazima apate jukwaa Bora pia🙏
Mashaallah awa watangazaji ni nawapenda tuu bure
Shekhe mansoun anaakili sana huyu kijana hongera shekhe Mansour
Greatest
Nawakubali sn watu wangu
Wasafi fr life 🎉🎉🎉🎉🎉
Safi daimondi ni mfanya biashara makini ila saa nyingine wazungu wanamtumia ili kuharibu . lakini ni mjanja anajua kucheza na akili za watu. hiyo ndio biashara. serekali imsaidie kama hivyo na kama inavyo msapoti.hongera sana mama yetu samia. Huyu dai akitumiwa vizuri na akithaminiwa ni kati ya vijana watakao panga tamaduni potofu nci yetu. kwenye
Wasafi on top now 🔥🔥🔥
Much respect 🔥🔥
Absolutely right
Nakupenda WCB
Nakubali saaana
KINACHOMSAIDIA DIAMOND NI ROHO NZURI NA SIO MCHOYO KWA WANAOMFANYIA KAZI KWA MOYO WOTE WAKUMTAKIA MAFANIKIO NA MAENDELEO YAKE. HATA MI NAJALI ANAYENIJALI LAKINI MNAFKI NATUPA KULEEEE
Kweli kabisa despite the fact that watu wachache wanahangaika kumshusha sana kwa maskendo mengi ya kupikwa lakini hawatoweza.
He is doing great.
How about baba Mlezi? Charity always begins at home. Genuine kind hearted people they start at home, I rest my case. Diamond? au Kusaga??
@@samniza1763 haya kuhusu kwani wewe unamjua bàba yako? Ulienae si wako ni mlezi kamasutra baba yàko
@@mimikabs5410 0
Kipindi kitakuwa bora sana
🤣🤣 Vichaa wamekutana sasa akiwemo na zembwela kwenye kipindi cha good morning
😂😂😂 kitenge namkubali sana shekhe masour anataka awe...😂😂
Nimesikia tykuuni wa midia bana waah shekh Mansoor aka chibu dangote
WATANGAZAJI WATAMBE TU,,WAMETESEKA SANA.
Gud Gud 👍👊👊
Ila kwenye tiv bado san Yan TV ingekua ndo redio.mambo yangekua 🔥
Tegeta to hapo inasumbua wasaf na nikarbu na Mbez beach
The next one is oscar oscar
Wasaf chama la wanaaaa
safi anko mau
Kweri kaka
Ila kitenge eti wao ni vijana🤣🤣🤣😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila hazeeeki kabisaa
Utzeekaje mbele ya mshikopesa 😂😂😂😂
@@salomewandya7257 hawezi kuzeheka kwani anatumia mawazo yake vizuri hana papara
Eee ndiondiooo🔥🔥
Nikiskiliz Hii nakumbukua ile sentenc ya NANDY kwamba huyu hando asiongee sana ipo sku nandy atamuajiri 🤣🤣
Kweli kabisa kkkkk❤❤❤❤
Kwani Kina Kitenge walikua hawamsemi Diamond? Mbona kawaajiri? Kusemwa ni njia ya kuambiwa ukweli ili ujirekebishe.
@@kilungahamis1270 waambie vilaza hao
Kitenge aliwahi mnanga diamond kipindi ruge kafa huyo nandi amejiingiza kwenye mziki na biashara anatakiwa awe na ngozi ngumu kama diamond sasa kitu kidogo anapanic
Kama husemwi utajulikanaje ? Maana ùmaarufu huja kwa kuongelewa nakuongelewa kupo kwa aina mbili huwezi kutenga nisha mabaya na mazuri huwa yako sambamba. Na yeye dai sio malaika ni mwanadamu tu
Weeeeee mzeeeeee mjingaaaa sana falaaaa rimbukene weee Gerard
Safiiiiii Sana 🤣🤣🔥🔥
Hao presenters ni wazur sana
Pesa ina nguvu bwana famchezo nini watu wamepita na dau nono
Na ninyi ni majembe. Hio wcb inapanda level kuwapata watu bora kama ninyi.
Nimependa the way kitenge ulivyo jibu nice sana ila Hando anakulupuka kujibu
💪💪
Nawatakia heri
Wakongwa kaziniiiii
Eti mimi nikijana kutoka wasafi 🤣🤣🤣🤣
dimondkitenge na dimondando ndanu ya wasafi tupeni raha....😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂😂
🥰🥰🥰🥰
Mtangazaji siyo Hasubuhi ni Asubuhi
Simba kabakia mpoki chukua mastaa wote kwenye Radio station za Tanzania ibaki Radio Moja ya kusikiliza wasafi FM ww kijana mwenzetu shida za utafutaji unajua watoe wote ibaki RTD Moja wasafi FM
Nawacheki nikiwa dubai
🔥🔥🔥🔥
hawa wangekuwa kipindi cha jioni wangefana sana
Ajira means uraji harafu ndio kina fuata kitu kingine ndio maana wafanyakazi ukisikiliza changamoto kubwa kwao ni ku9ngezewa mishahara na kingine watasema kuwa wana omba waboreshewe mazingira ya Kaz over 🙌😄
Swafiiii
𝗺𝗮𝘂𝗹𝗶𝗱 𝘀𝗶𝗼 𝗸𝗶𝗷𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗶 𝘂𝗼𝗻𝗴𝗼𝗼𝗼
😂😂😂😂😂 mzee mwenzangu
😂😂😂hamna mtu apenda uzee
bado yupo kundi ilo....sasa kila siku jion anakimbia km 15 mpk 20...ukitaka kujiridhisha ukakimbie nae wasafi jogging...ndo utajua sio mzee
Uzeee haumtaki🤣🤣
@@salomewandya7257 𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕙𝕒𝕙𝕒
Tupo paleee twasubiri kukuskia ilekauli ya Bora walinazi kuliko walimwengu 🎉
Em nendeni mkajiajiri, hizo nafasi waachieni vijana wanaomaliza vyuo nao wapate ujuzi
🎉👏👏👏
Hiv vucha ni mende kwel
tunakuomba sheikh mansour ondoa viashiria vya ushoga katika chombo chako pendwa cha wasafi.Huyu jamaa mtangazaji avue shungi au aondoke aende kwa mashoga wenzake
Dondi mtoaji ndio maana kila wakimpinga hatetelek
❤❤❤❤❤
Kitenge kwenye Tasnia ya hbar ni kitambo
Mpunga mbele tu baba wakija wengine mpunga juu tunasepa
Nimecheka hapo kidogo kaamua asifanye kosa
Ameludi tena
Mwenyew siherew ya zaman au mpy
@@nasrakambimton9522 amerudi Tena ya zamani hakuwa na hando so hiyo ni mpya kabisa
Mwambieni apunguze sigara hyo,ipo siku nandela atampa ajira aache kumsema
Tatizo la Diamond anaamini kwenye kumaliza mwingine ili ainuke yeye iangalie EFm amemchukua Masanja na amefunika kama ambaye hapaja ondoka mtu
Mwishoo mtajikuta clouds fm nakwambia kwel
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Aise maisha noma ..ebu muone anavyo towa macho kama kicha
Masanja atawafunika hawa kwa kusoma magazeti EFM.Subiri muone.
Masanja ni mbunifj sana kuliko wote na Comedy anaziweza
hata wamuweke nani pale efm hawez kuwazdi wsf ww
Hata huyo Masanja atarambishwa asali we subili utaona kule yupo yupo tu mguu ndani mguu nnje chezea SHEKHE MANSOOR weye 😂😂😂😂😂
Kwenye michezo vp tunakutaka
Kitenge kwahiyo mkataba efm umeisha karejea tena😅😅mpunga
Wazee wa minyama kujipakulia tuu🤣🤣
Tim kubwa inahitaji wachezaji wakubwa
Hapa tusidanganyane hapa ni maslahi tu Wala Hamna lolote sana zitakuwa porojo tu hata majizo akiongeza dau akawataka pia mtatoka hapo na mtamsifia
Mbona hata yeye kazungumzia hayo.maslahi hata wewe yanaweza kukutoa sehemu moja kwenda mwingine
Umemtukana fei kutaka kukimbia yanga.
Kitenge na wewe mbio. Na kule munatakiwa murudi.
Kama biashara ya fei.
KITENGE UMEONA UNAFIKI WAKO WALA HAUKUSUTI SHENZI MKUBWA WEWE
Huyu kitenge akipandishiwa dau atarudi kwa majizo😂😅 mkataba ukiisha tu ataru upande wa pili mbio
Mbona ITV aimg'ang'anii uyo maulidi toka atoke mimi naona ni ushamba wa dharau tuu
Kwani aaaliya alienda wapi hiki kipindi ni chake bana
nazani na yeye amerudi efm soun anatangazwa😃😃😃
Wivu wa mapenz kamkimbia zuchu 😅
hivi hawa vijana wa kiume kuvaa mitandio ya dada zao ni kupromoti ushoga au ndio wanajitangazia kuwa wao sio riski ?
WasalitiGang 😂😂😂😂😂😂 ipo siku watahama ata kwenye nyumba zao
😅
Oya funguwa ofisi kubwa
Masuri wadubai😂
Waganga njaa tu
Watangazaji wenye kilele nyingi kutangazaji wenyewe kelele nyingi
Wanaume wazma mmeweka matumbo mbe kuliko utu kha, haya kesho mkiitwa azam mnapuyanga tena, tena kama huyo kitenge bora akate tu hicho kidoti 😅😅😅
Hayo ndio maisha kesho wakichalala mnaanza kuwacheka waache watafute pesa watoto waende chooni
Sasa wewe unatakaje 😂😂
Wakiitwa Azam wanakwenda ndo biashara
Sasa unaongea utumbo gan aise
Kidoti kimetokea wap sasa😂
Wazee njaaa
Shekh mansuwi 😂😂😂😂
Diamond bhana? Namkubali
Sheikh Mansoor katka ubora wake
Wamehamia kwa wahuni wenzao
Mmepigwa nakitu kizito na majay yule nishida amemleta masanja
we mwehu nin kitu kizito gan xax kitenge umfananixh na masanja labda wakiwa kanisan ndo hat mpit ila xio kwa utangazaj
Na kilch n fulaish n kulud kwa musa mwksu ambae amelud ktlna nã mau kiteng
Musitupe sahani yazamani kwamaana yakesho hamuzijuwi
Pesa nikilaki2
😅😅😅😅 chumviiii
E F M sidhani kama mtaiweza. Bado ni radio bora kuliko wasafi
Safari hii mond kashtuka ..hakuna Cha helkopta wala nn maana hawaaminiki Hawa watu.😳
huyu mtngazaji ni shoga? mbona linavaa mishungi kama mwanamke?tunakuomba wasafi muondoe viashiria vya ushoga katika vipindi vyenu