MAULIDI MINNA NDIO MAHALA KWAKE HASWA KWA KUWA PANA HISTORY KUBWA YA MTUME. OTHMAN MAALIM. MAKKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 มิ.ย. 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
MaashaaAllah. Shukran Sheikh wetu. Maulid katika mji wa Maulid
Mashaallah mwenyezi mungu azipokee hiija zenu
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri,, Mola Awakubaliye mahujaji wote hijja maqbuli inshaallah
Watu wazito hao watu wakubwa waliosomeshwa na wakasomesha hawawezi kufanya jambo la kipuuzi wamefanya jambo lenye mbolea Makka mashaaallah
Maulid atutayaacha mpaka qiyama na tutamsomea maulid mtume peponi inshaallah
Amiin insha Allah
peponi kuna kusoma Maulid
@@user-zr2pn5uv8b mawahabi wapotoshaji ilimu hamna akili hakuna amesema Allah awajalie huko peponi wamsomee maulid ndio mana nyinyi mawahabi wajinga vitu watu wakiongea mwaelewa vengine mungu awaongoze kwenye haki awatowe kwenye uwahabi
Amin 🤲 amin Thuma amin 🤲
ALLAHULmustaanu ,wallahi masuufi muna upumbavu mkubwa sana,, ameyasema haya Al imaam shafii rahimahuLLAHUL Ta'alaa,,, enyi mubtadi'aaa zindukeni tunawanasihi acheni kufanya uzushi kama huo katika viwanja kama hivyo., nani aliyewatangulia katika al salafiiyaa wakawa wamefanya haya?? kisha kwa kibri kabisa unasema utasoma maulidi mpaka peponi ,, ALLAHULmustaaan, peponi???? kabisaaa?? Namuomba ALLAH aniepushe mbaali kabisaaa na watu wa namna kama hii.
Mashaallah mwenyezi mungu azipokee hiija zenu❤
Mashaallh
Masha Allah
Mashaaallah ❤❤❤
Maashaa Allah maashaa Allah maashaa Allah ❤❤❤❤
Maashallah
Alhamdulillah
acha kuongopea watu ujahili wako,nina kuuliza hii dini tumeamrishwa kufuata yale mtume صلى الله عليه وسلم aliyowafundisha wanafunzi wake,
Sasa hayo maulidi ni nani ktk maswahaba wa mtume aliyeanza kuyasoma hapo mina?
mbabebesha watu madhambi!!
Allaha awaongoze kwenye sunna na muachane na ibada za UZUSHI,
S ❤ A ❤ W ❤
Mawahabi ni kizazi kinachotokana na Mayahudi hawataacha kuchukia mambo mazuri ya kumsifia mtume
Kwani kufanya uovu Makka ni dalili kwamba huo uovu si uovu ، Makkah wapo wezi, wapo wazinifu, wapo washirikina, wapo watu bidaa.
Kwa hiyo kufanya jambo la bidaa makkah hamujaanza nyie minaendeleza huo ubishi wenu, na sio dalili kuwa hilo jambo ni sahihi
naam,sahihi
Nani kakwambia Makkah Kuna wazinzi?
ولو كان الدين بالعاطفة، لكان جميع أهل البدع على الحق.
أي و الله...نسأل الله العافية..
naam, لقد قيل لك الحقيقة
Sasa hiyo ni nguzo ya hija au sunna mbona hamuishiwi vituko nyie
Wauliza wakati jibu lako mfukoni mwako.
Sasa kama mtume alifanya maulidi hapo mbona mahujjaj hawafanyi acheni kuwazuga mahujaji kuweni wakweli halafu mnasoma Kwa Siri mnajua mkikamatwa ni kesi wazushi wakubwa kwani ni nani asie mpenda mtume
Nyinyi mawahabi hamumpendi mtume wallah Nyinyi sawa sawa na mayahudi mukisikia mtume s a w yuwasifiwa inawauma na insha Allah kiyama atujalie tumsome maulid kipenzi cha Allah na kipenzi chetu
Uwislamu mzuri wa mtu ni kuto fwatiliya mambo yasiyo muhusu
@@jimjam-xg7rv wambie hao mawahabi wenzako kazi yao kufuatilia watu na kukufurisha waisilamu na kuwatia motoni
jamaa wanawaongopea sana watu wao,, wallahi tena ,, hawa watu ni wakukaa nao mbali sana
Pilipili ala mwingine wewe yakuasha aje
Muogopeni mungu nyie masheikh hebu upumbavu huu kaujaribuni hadharani au msikiti wa madina? Hamuogopi hata kuharibu ibada ya hijjah zenu kwa kumzushia ibada za ajabu ajabu?
Muogope ww Allah usiokua na adabu upumbavu wako na mtume s a w usitukane wanazuoni wake sasa ww kaa na uwahabi wako wakiyahudi
Kwani ww ndio mungu mbona waingilia kazi ya mungu ww hasidi insha Allah Allah amezikubalia ibada zao na awaingize peponi awaweke na kipenzi chetu amiin
@@saba-gv3mj we vipi lete hoja mnafanya ibada mtume hakufanya ndio unaona sawa?
@@saba-gv3mj uwahabi ndio nini?
@selemankishema5780 uwahabi nihicho kikundi chenu kilichoanzishwa na mohammad abdulwahabi mukawauwa waisilamu wenzenu maelfu kwa maelfu saudia ndio nyinyi mawahabi munao pinga maulid kusifiwa kwa mtume s a w alafu nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mtume s a w hajafundisha wala maswahaba hawazijui mumezitoa wapi ww wahabi upende usipende ww wahabi
Hao wenyewe Hawa fanyi sasanyie wazushi kawaidaida yenu mnashindwa kufanya Ibadan mnakalia ubabaishaji
Ibada washafanya na maulid tataaoma ww hasidi usiompenda mtume s a w usituingilie nenda kwa mawahabi wenzako na mayahudi
Hao wenyewe kina nani wenye mtume ndio hao hapo wanamswalia na wanasomeana sifa zake na wanashukuru neema za allah miongoni mwa neema ni bwana mtume muhammadi swalla llahu alayhi wasallam
Hija ya mwaka huu babu kubwa ndio quraani imeamrisha tufanye hivi tumtaje sana allah kama tunavyowataja baba zetu au au zaidi mwenye hoja aje kwenye imel yangu tuonane
Mwakani tubebe na dufu
Hawa wa afrika ndio wenye haqi na mtume muhammadi swalla llahu alayhi wasallam mwakani tunabeba dufu na tutafanya hafla hii ndani ya masjid nnabawi inshaallah
Mashaallah mwenyezi mungu azipokee hiija zenu