FUATILIA VIDEO HII MWANZO HADI MWISHO ILI UYAONE HAYO MATUSI YA WANAMNANDA WALIO MTUSI MWALIMU WETU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 31

  • @khamisjaafar6860
    @khamisjaafar6860 หลายเดือนก่อน +4

    Allah akurehemu sheikh said na akutilie nour kaburi lako hakika kidoti itakukumbuka na athari zako zitabaki milele.

  • @KomboMachano
    @KomboMachano หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akulipe kwa subra na tunamuomba Allah akutie peponi na cc atupe mwisho mwema... Inshaallah

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 29 วันที่ผ่านมา

    allah akupe kauli thabiti babangu kipenzi akika tulikupenda lakini allah amekupenda zaidi

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 7 หลายเดือนก่อน +1

    Subhana Allah 😮😮😮😢😢😢 Hawa vijana Wana laana sio Bure. Allah akuhifadh sheikh Saidi Nyange

  • @AbuuMuawiyya
    @AbuuMuawiyya 29 วันที่ผ่านมา

    Ameena inshaallah

  • @hamidamussa593
    @hamidamussa593 หลายเดือนก่อน

    Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun 🥺 Hao wakataji viuno km Kweli ni waelewa watazidi kuelewa wamememuita shekhe wetu majani lkn majani wamezikwa Makkah Saudi Arabia sijui Wao vigogo khatma Yao itakua ipi... Jamani pumzi zisituhadae...

  • @user-on1mg5ng6n
    @user-on1mg5ng6n หลายเดือนก่อน

    Hao wenye kuimba wimbo huu kwaza wanapaswa kuomba msamaha kwa Allah, pili wastaghafiru Allah kwamakosa waliofanya, pia Waache upuuzi huo ili wapate Radhi za Allah

  • @sairismoses6586
    @sairismoses6586 28 วันที่ผ่านมา

    Innalillah wainailah rajiun allahuma bilkaul thabit

  • @MashibuAjemi
    @MashibuAjemi หลายเดือนก่อน +1

    Umepambana sana sheikh Alla akulipe pepo

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 หลายเดือนก่อน

    Hao vijana ni kama watoto ww bilisi tu wenye kukataa kheir na kujihalalishia kufru zao
    Allah atuongoe sisi na wao
    Amiin

  • @HalimaOmary-xs9jm
    @HalimaOmary-xs9jm หลายเดือนก่อน

    Laanatullah watakukumbuka

  • @fatmasaid3134
    @fatmasaid3134 7 หลายเดือนก่อน

    Allah atakulipia sheikh.....hakika watu wema ni wenye kufanikiwa siku zote.... Nafikiria kama baba angu angefanyiwa haya....... Wallah inauma

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 หลายเดือนก่อน

    Allah amrehemu
    Amiin

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b หลายเดือนก่อน

    Sasa ukiwauliza hio ndio dini

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu sheikh ana hekma sana inna lillahi kazikwa ardhi ya mtume mashaallah

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 27 วันที่ผ่านมา

      Inna lillahi maana yake nini

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 27 วันที่ผ่านมา

      @@aliabdalla9297 "hakika sisi ni wa mungu "

  • @user-fj4ll4gc2p
    @user-fj4ll4gc2p หลายเดือนก่อน

    Yarhamuka L-lahu ya shaykh

  • @KazijaOthman
    @KazijaOthman หลายเดือนก่อน

    Subhanallah

  • @khamissali2076
    @khamissali2076 หลายเดือนก่อน

    Vijana acheni jeuri nyinji ni waislaam mujuwe kufa ipo na moto upo

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x หลายเดือนก่อน

    Amiin

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 6 หลายเดือนก่อน

    Hawana Adabu madufu haraaam wanamtukana sheikh

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 7 หลายเดือนก่อน

    Duu mbona mtihani huu hawa vijana wanatafut matatizo TU kumtukana sheikh

  • @user-sg1bt5sv1l
    @user-sg1bt5sv1l 7 หลายเดือนก่อน

    إنا لله و إنا إليه راجعون

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 6 หลายเดือนก่อน

    Hayo ni mazao ya vyuo vya uzushi na bidaa na kuamini kwako kua ngoma ni halali

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 หลายเดือนก่อน

      Unaingea utumbo kwanye moto unatia petrol. Itakii llah

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 หลายเดือนก่อน

      Heh!Ivo unawaunga mkono hao vijana.Allwah atuongoze kwa kweli tuseme ya kweli.

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u 7 หลายเดือนก่อน

    Shekhe inaonekana wewe sio wahabi kwani ungekuwa wahabi hao vijana ungesema kuwa ni Masufi maana Mawahabi kila anaepiga dufu humuita Sufi wanajifanya kama hawajui kuwa hao wengine huwa sio Masufi

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 หลายเดือนก่อน

    KIDOTI WACHAWI WATUPU HADI HII LEO👁️👁️👀