ADAMU ADAIWA KUMUUA MWANAFUNZI KWA KUMKABA KOO, NAYE AJINYONGA KWA MTANDIO, CHANZO “WIVU WA MAPENZI”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 21

  • @TadeiTz-z4u
    @TadeiTz-z4u 5 วันที่ผ่านมา +7

    Vijana mrudieni mungu ndiye atatuokoa Luka 1:37.Hakuna neno lisilowezekana kwa mungu napia poleni sana wazazi

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 5 วันที่ผ่านมา +4

    Maskini wazazi tunajinyima tunasomesha watt kumbe binti anasomea mapenzi haya sasa umempa donda kubwa mzazi wako😢😢😢

    • @VeronicaRugoyi
      @VeronicaRugoyi 4 วันที่ผ่านมา

      Yaaan we acha tu hiki kizazi cha sasa ni shida😢😢

  • @ManaseMoleli
    @ManaseMoleli 5 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢😢 so sad wote wanategemewa na familia zao

  • @blackboystarbosss
    @blackboystarbosss 5 วันที่ผ่านมา +5

    Oi wanangu tutafute ela tuachane na mapenzi

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ni vizuri zaidi

    • @Nestoemanuel
      @Nestoemanuel 4 วันที่ผ่านมา

      Nakunywa zangu bia za baridi taratibu tabu zote za nin😢😢

  • @ShekhahamedMuhsin
    @ShekhahamedMuhsin 3 วันที่ผ่านมา

    Mapenzi konyo

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa1855 5 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa mwanafunzi kaolewa ila watoto wa 2000

  • @AbdulkarimDadi-v8j
    @AbdulkarimDadi-v8j 4 วันที่ผ่านมา

    Chunga mbili moja kupwewa mwana kulitafuta mwana kulipata hongera yao wote

  • @worldrapamako3960
    @worldrapamako3960 5 วันที่ผ่านมา +1

    Baria katuangusha sana yani wewe unasafirisha demu kutoka kote then unamkill mtoto wa 21 unashindwa kumumud kweli ona sasa now siwezi safirisha femu kutoka twara mpka mara kasma nsije mchinja😢😢😢

  • @estherjuma6358
    @estherjuma6358 5 วันที่ผ่านมา +1

    Daaah 🥺😭

  • @neemajames6313
    @neemajames6313 4 วันที่ผ่านมา

    Mapenz na shule

  • @blackboystarbosss
    @blackboystarbosss 5 วันที่ผ่านมา +2

    Jmn mapenzi Aya yanachangamoto Sana

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff 2 วันที่ผ่านมา

    Ndo maana mimi sitaki mke wala mahusiano

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc วันที่ผ่านมา

      Heeee kwaio utaishi hivyohivyo au?

    • @DansonMtambi-fq2ff
      @DansonMtambi-fq2ff วันที่ผ่านมา

      @NeemaSamson-ti8pc nilichagua kuishi hivi kwa sababu sivunji sheria

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@DansonMtambi-fq2ff hauvunji sheria ipi inamaana utaishi hivyohivyo maisha yako yote bila mahusiano, samahani lakini nauliza sana

    • @DansonMtambi-fq2ff
      @DansonMtambi-fq2ff 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@NeemaSamson-ti8pc kuishi ni kuchagua kwa dini yetu kuoa ni dhambi

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@DansonMtambi-fq2ff mmmmh kwani we upo dini gani? Kuna dini inakataza kuoa

  • @ThabiyaNgumbu
    @ThabiyaNgumbu 4 วันที่ผ่านมา

    Duu