GAMBO ACHAFUA HALI ya HEWA BUNGENI - ''NI AIBU - WAGENI KILA SIKU STENDI ya KISASA HAKUNA''...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- GAMBO ACHAFUA HALI ya HEWA BUNGENI - ''NI AIBU - WAGENI KILA SIKU STENDI ya KISASA HAKUNA''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Hongera sana Mheshimiwa
Aibu sana kwa serikali jamani
Gambo safi sana
Saf sana Gambo
Safi sana mbunge wetu kitaeleweka tu
Gambo anapambana san kwa kwel
Hata sisi Wana Mara tunaomba Mzee wetu Wasira atujengee stendi ya kiwango Bunda au Musoma hapo Wana Mara Tutakukumbuka
Hapo mmeshapigwaa😂😂😂
@KayagwaElisha 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Huyu ndio mbunge kilaza kuliko wote😂😂😂😂
Majibu yako wapi sasa?
Piga Kaz mh gambo
Wabunge wa dickteta Uchwara
Ccm siwakweli na wewe niwalewale huna lote
Kina nani wakweli ndugu yangu, kwani hao unaowahisi ndio wakweli walipo pata nafasi kama ya Gambo walifanikisha nini juu ya mfuko wa jimbo au rudhuku zao? Siasa ndio ilivyo 😂😂😂
Humo hamna mbunge jimbo lake lina kero nyingi za wizi wa fedha za serikali na yeye yupo tu anachoweza ni kupelekea majiko ya gas kwa akina mama kilombero sokoni
Acha siasa wewe
Mwambie na makonda
😅
😂😂😂😂
Huyu mbunge gambo yaani anamambo ya ajabu sana
Kama yapi punguza kasumba muwache apigekazi kasumbatu
Yaaan anauliza Mambo ya msingi unasema hamna kitu ulitaka afanye niniii? Vilaza wapo wengi sana hii nchii
@hamzanjiku5255 kk watu wengine wanakasumba imewajaa mpaka wanakela yani kama anakuwa kalibuyako unaweza kumtia kibao Wana chagua aseme makonda au mtufulani uyo mtu Ata akisema utumbo wawo ewala udini ndio unawasumbua atuwezi kwenda angalia selekalini wawo ndio wamejaa lakini awana Imani wizi ndio wanao ujuwa kama kuiba wawondio wanao ibaa utanisamee kk tunaongea kwauchungu nakasumba zilizo wajaa najuwa loho zitawauma lakini uwo ndio ukweli asaniteni
Gambo anafanya san kaz tuachie uchadema
Mbunge wa same yeye yupo tu anapunga upepo bungeni
😂😂😂
😂😂😂😢
Kama kuna viyoyozi unategemea afanye nini zaidi?