VURUGU ARUSHA, BINTI WA KAZI ARUKA UKUTA, MTU AANZISHA KANISA NDANI KWAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 246

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 หลายเดือนก่อน +17

    Huyo mweny kit namuona yupo perfect sana, Mtu na nusu fulani hv
    Hongera zake🎉

  • @NoviaRaphael
    @NoviaRaphael หลายเดือนก่อน +5

    Daah ashukuriwe mwenyezi MUNGU aliyempa huyo binti akili ya kujiongeza kuruka ukuta maana siyo mchezo linge mkuta jambo masikin 😢😢😢huyo mama hana hata roho ya utu jamani sisi wadada wadada tunapitia mengi kwenye majumba ya watu 😢

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 หลายเดือนก่อน +53

    Utamfungiaje mwadamu anae jitambua ndani jamani hata kama ni House girl bado ni mwadamu apewe haki zake 😢

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 หลายเดือนก่อน +9

    Mwenyekiti mitano Tena ❤❤❤❤

  • @muhammadmwesuamwesua4363
    @muhammadmwesuamwesua4363 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo Mzee Bado sana Kama ni kiongozi hapo hakuna mtu

  • @florahmushi748
    @florahmushi748 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyekiti uko sahii

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 หลายเดือนก่อน +28

    MRUDISHENI HUYO BINTI ARUDI KWAO ATAUAWA.

  • @RamadhaniTsuruu-g6e
    @RamadhaniTsuruu-g6e หลายเดือนก่อน +2

    Ama kwel watu hawana hofu ya mungu

  • @JujuGurugu04
    @JujuGurugu04 หลายเดือนก่อน +13

    Kichaaaaa huyu mzeee ushaona MTU anatoka anafunga milango yote Na kutoka Na funguo😢 tayari jibu analo

  • @WardaYousuf-g2n
    @WardaYousuf-g2n 21 วันที่ผ่านมา

    Subhana Allah

  • @selinalukumay9623
    @selinalukumay9623 13 วันที่ผ่านมา

    Mwenye kiti pole sana kwa Kijiji unachoongoza

  • @NajmaMgallah-g8x
    @NajmaMgallah-g8x หลายเดือนก่อน +22

    Mbn mwenyekit msenge Sanaa, upate uhakik km alikuwa anateswa kwel, kwnz hatuua Moja wapo miezi 4 hajalipwa tayal huko ndo kuteswa

    • @NeemaJanga
      @NeemaJanga หลายเดือนก่อน +1

      Mwenyekiti kama hajielewi

  • @AminaMwimbage
    @AminaMwimbage 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hatari sana

  • @magdalenasirikwa517
    @magdalenasirikwa517 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyeketi upo sawa tuangalie pande zote

  • @Kokafamil
    @Kokafamil หลายเดือนก่อน +2

    Jamani wachaga at nilikua nakula chakula yangu apoo 😂 chakula yenyewe ndio beer. 🙌🏽🙌🏽

  • @ShoseManjira
    @ShoseManjira 19 วันที่ผ่านมา

    Asante lomaaa

  • @fadhroun
    @fadhroun 6 วันที่ผ่านมา

    Uyu mzee msenge

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 28 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢 jamani kazi za ndani ni mateso tuu

  • @Leodimk-n5c
    @Leodimk-n5c หลายเดือนก่อน +40

    Duu 😮😮 Arusha kwa vimbwanga na nyie mmezidi kwa kweli

    • @DeruDeru-p4t
      @DeruDeru-p4t หลายเดือนก่อน +3

      Yaani hatali jamani

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 หลายเดือนก่อน +3

      Wametisha

    • @Rasoulhk98
      @Rasoulhk98 หลายเดือนก่อน +1

      Arusha ya miaka ya sasa imebadilika sana aiseeh

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un หลายเดือนก่อน

      Yaan hapiti wiki cjuw shida nn arusha

    • @MonicaMkasi
      @MonicaMkasi หลายเดือนก่อน +2

      Ni kwa vile Kuna wanahabari wengi.kwako Kuna vimbwanga ila hakuna wanahabari

  • @AishaZuber-z6g
    @AishaZuber-z6g หลายเดือนก่อน +1

    Arusha mpewe mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉mko na vituko kila kukicha

  • @WityPeter
    @WityPeter 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu uyu acha aitwe mungu mungu aziakiwi katika maisha na mtoto uyu bado ana mungu aendeleh kumtumikia asimwache pia nawashukulu wana nchi wote kwa umoja mungu awabaliki

  • @maryassey2804
    @maryassey2804 29 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @Mary-t7b5p
    @Mary-t7b5p หลายเดือนก่อน

    Baba wewe ni kiongozi bora sana naomba uchukue kadi ya kugombea urais baba. Mimi ns familia yangu tutakupa kura na wengine walioguswa na wewe.

  • @marymallumbo8395
    @marymallumbo8395 12 วันที่ผ่านมา

    Hii ni second time, miaka Kama 5 au 6 iliyopita, that very same house Binti aliruka fence na alikua amedhoofika. Binti wa miaka ya nyuma aliokotwa na Mama mmoja mtumishi wa ELCT HQ. I think kuna shida kubwa na Huyo mama wa hio nyumba. Sio sawa asingiziwe yeye tu kila siku

  • @ShabaniSudi-d1x
    @ShabaniSudi-d1x หลายเดือนก่อน +3

    Ni kweli wasikilize pande zote. Hizi dari zinaficha siri nyingi sana

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 25 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mama afungwe

  • @LeonardinaBakuza
    @LeonardinaBakuza หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mama afungwe iwe fundisho watu wapo wungi.jamani tusichukulie shida za Mtu iwe manyanyaso no no

  • @StellahSheshe
    @StellahSheshe หลายเดือนก่อน

    Mwenyekiti misaba tena🙌

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 หลายเดือนก่อน +9

    😂😂😂mfanyakazi eti kama ametoka jehanamu

  • @davidjohn8908
    @davidjohn8908 หลายเดือนก่อน +4

    Wanawake Ni hatari sana aise, na Ni wakatili mno!!!

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 หลายเดือนก่อน +2

    Arusha Kuna vijimambo sana

  • @MageMolel-g9i
    @MageMolel-g9i หลายเดือนก่อน

    Kumfungiya tuu ndani inanyesha zairi uyomama ni dikiteta akuna chakuzungumza sheriya ifate mkondo wake maana baazi ya wamama wanawachukuliya watoto wawezao kamavile awajazaliwa kama walivozaa waooo

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 หลายเดือนก่อน +4

    Unachunguzaaa niniiiii huyo mtoto aongope ili iwejeee hapo mwenyekiti umefeliiii kabisaaa unamtetea nini alipwe mshahara wake arudi alipomtowa

  • @AbisnaRashidi
    @AbisnaRashidi 19 วันที่ผ่านมา

    Mjibwenye raaana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 15 วันที่ผ่านมา

    Kessy kaa huko huko mianzn huyo n killer

  • @ScholaMange-ec8ec
    @ScholaMange-ec8ec 12 วันที่ผ่านมา

    Huyo mama achinjwe pasaka

  • @Mur-b2d
    @Mur-b2d 24 วันที่ผ่านมา

    Arusha Arusha Arusha!!!!😮

  • @HajiSultan-y1f
    @HajiSultan-y1f หลายเดือนก่อน +23

    Hivi hawa wandishi wa khabari huwa wana jificha wapi maana likitokea2 jambo washa fika😂😂😂😂😂

    • @Yana_queen1
      @Yana_queen1 หลายเดือนก่อน +5

      Kila kitu mipango ndugu..ht huyo binti kuruka ujue kashauriwa tyr

    • @BarakaKusalula
      @BarakaKusalula หลายเดือนก่อน +3

      Kwa Mitandao hii unajiuliza wanatoka wapi?

    • @nkugi
      @nkugi หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂 hawakawii utafikiri walitarajia tukio

    • @AshaMkenzwa
      @AshaMkenzwa หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 หลายเดือนก่อน

      😂😂​@@Yana_queen1

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani arusha hapafai kuishi kutokana na hii hali ya wananchi na waandishi wa habari
    Kaneno kadogo tu wanakakuza na inaonekana hii wametengeneza tu lakini mama huyo wanamtuhumu bure.

  • @HusnaMTITIKO-w3p
    @HusnaMTITIKO-w3p หลายเดือนก่อน +1

    Bora haka kamejiongeza kabla hakajauliwa 😢 wazazi tunajua family zingine ni dun ila msiachie watoto wenu ovyo ovyo.. halafu mwenye kiti acha ujinga hilo tu mtu kukaa kipekee bila kuwa na ujiran mwema ni moja ya ishara kuwa mtoto alikuwa anateseka

  • @ediphabakunda8759
    @ediphabakunda8759 หลายเดือนก่อน +6

    Mabinti ninavyowajua Wala sitetei upande wwte

    • @JennyMdaki
      @JennyMdaki หลายเดือนก่อน

      Kabisaa mabinti niwasumbufu mnoo hata umpe nini lawama tu hata umpende vipi hawaliziki hata kidogo.kwanza walio wengi akikuta nyumba ya geti kukaa ndani tu hawataki anataka kuzurula nje kuzoea majirani waanze umbea basiii wasichana wa kazi wa miaka hii hawana heshima

  • @mwanaimahassan5166
    @mwanaimahassan5166 หลายเดือนก่อน

    Wewe baba ww unasikia kweli mtoto anachiingea unasema uchunguz uchunguz Gani hapo Tena 😢😢😢😢

  • @IssaKasimu-nv3pj
    @IssaKasimu-nv3pj 29 วันที่ผ่านมา +1

    huyo mama achukuliwe hatuw huyo mama mshenzi sana na wewe acha unafiki hapo unaongea nini

  • @MethodkifokaMethodkifoka
    @MethodkifokaMethodkifoka หลายเดือนก่อน +19

    Huyu mwenyekiti kichwa maji kabisa, ivi mtu kama anaishi vzr anaweza kuluka get, jinga sana

  • @JosephKapinga-v4k
    @JosephKapinga-v4k 13 วันที่ผ่านมา

    Mbona siku zote hamkulipoti kwenye vyombo vya sheria mpaka mtoto asimulie mateso hayo yote majirani wa hovyooo sana

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mwenyekiti chizi 😂😂😂

  • @HappyKiondo-j4q
    @HappyKiondo-j4q หลายเดือนก่อน +6

    Mhhh jaman yamezidi sasa huyo atakuwa malaika mtoa roho😢

    • @MiriamKhalid-z6o
      @MiriamKhalid-z6o หลายเดือนก่อน +1

      Kweli ni malaika mtoa nafsi 😂😂😂😂😂

    • @VumiliaPaul-l7y
      @VumiliaPaul-l7y หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

    • @mamasalhat
      @mamasalhat หลายเดือนก่อน +1

      Sio malaika mtoa roho huyu shetani kabisaaaaaaaa mtoa. Roho

    • @pudensianaosward
      @pudensianaosward หลายเดือนก่อน +1

      Unadhani atakubali huyo mama

  • @SylvesterKameo
    @SylvesterKameo หลายเดือนก่อน +2

    Serikali iingile kati unyanyasaji huu. Nchi hii kuna baadhi ya watu wanaendesha biashara ya utumwa wa binadamu!

  • @zabubamudy126
    @zabubamudy126 หลายเดือนก่อน

    Mwenyekiti yuko sawa

  • @eliannko
    @eliannko หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyekiti yupo saihi

  • @SalumKutta
    @SalumKutta 28 วันที่ผ่านมา

    HIYO MAMA NI MUUMINI WA KWELI?

  • @privellajackson2077
    @privellajackson2077 หลายเดือนก่อน

    Huyo mama siyo mara ya kwanza kutesa wafanyakazi kuna kipindi alikamatwaga tena alivunja wasichana wakazi miguu achukuliwe sheria kali

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 หลายเดือนก่อน

    Arusha wachaga mungu anawaona mnaroho mbaya sanaa lakini tambueni sisi sote tunapita familia acheni kuwapeleka watoto uchagani salome waitigi alikufa kwa kipigo kisa elfu hamsini

    • @sgjjkwbueow
      @sgjjkwbueow หลายเดือนก่อน

      Shida yako una chuki na wachaga, huko Meru wanaishi wameru.

  • @prettyheart45
    @prettyheart45 หลายเดือนก่อน

    yaaan mimamaaa yakichagaaaa kma kichawiiii

  • @florahmushi748
    @florahmushi748 26 วันที่ผ่านมา

    Mmmhh

  • @annkim2690
    @annkim2690 หลายเดือนก่อน

    Dada binti wawenyewe Mungu amemsaidia jamani

  • @EliasiOlendika
    @EliasiOlendika หลายเดือนก่อน +1

    Duuuh jmn kwanini anafanya ivo

  • @ramadhanimsemo4426
    @ramadhanimsemo4426 29 วันที่ผ่านมา

    Hafai huyo mama

  • @Mimi02268
    @Mimi02268 หลายเดือนก่อน +1

    😊
    😊
    😊😊

  • @BakariAlihaji
    @BakariAlihaji หลายเดือนก่อน +2

    Watanzania hao na sio waarabu mbona hamsemi washenzi

    • @zabubamudy126
      @zabubamudy126 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 na kweli leo ingekuwa uwarabu

  • @karimabdul3928
    @karimabdul3928 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyekiti ana walakini huyu

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati หลายเดือนก่อน +3

    Huyo mama ndio mlokole

  • @De_lima98
    @De_lima98 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh anajipongeza na bia

    • @ShabaniSudi-d1x
      @ShabaniSudi-d1x หลายเดือนก่อน

      Sio shehe huyo anavaa barakhashea tu lakini mtu Kama huyo ndio anatuharibia uislamu dini yetu. Tumkemee asivae kofia yetu kwanini yeye Ni mpiga vyombo!!

    • @MudiJaffar
      @MudiJaffar หลายเดือนก่อน

      Hilo ni vazi hatuwezi kumzuia mtu kuvaa

  • @MamaAmina-s8k
    @MamaAmina-s8k หลายเดือนก่อน

    Ashitakiwe

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d หลายเดือนก่อน +1

    Ila nasem kuna mabos wanapat mfanyakaz nzur wanashindw kuishinay na kun mabint wanapat maboss wazur ila mfanyakaz akawa mot wa kuotea mbal pole mdog wangu

    • @JennyMdaki
      @JennyMdaki หลายเดือนก่อน

      Kabisaa kwa mtu ambae hajawahi kuishi na wasichana wa kazi hawezi elewa hii

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 หลายเดือนก่อน

    Alifanya kazi voda kelvin nani?

  • @jacklinengowi-l1n
    @jacklinengowi-l1n หลายเดือนก่อน +23

    Jamani uyu mama ni mara ya pili hii khaaa achukuliwe atua

  • @teddymassawe3583
    @teddymassawe3583 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini anafunga milango?uoni hapo kuna shida?

  • @AkilingongoJohncena
    @AkilingongoJohncena หลายเดือนก่อน

    Mbona mwenyekiti ni kama vile hajahelewa vizuri

  • @EmmanuelSima
    @EmmanuelSima หลายเดือนก่อน

    Sheria ichukue mkondo wake Mr Makonda hayo sio poa wasaidie wanyonge hao

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mtoto muongo ipo interview kasema alikuwa anatumiwa bibi yake mshahara ila mwezi wa 12bado hajampa.

  • @ChristophaDaniel
    @ChristophaDaniel 29 วันที่ผ่านมา

    Wanawake wa kichaga ni wabaya hawafai kuoa duh

  • @JosephAtanazi-hs3gw
    @JosephAtanazi-hs3gw หลายเดือนก่อน

    We mwenyekiti huna akili unafikili huyo mtoto anaweza kudanganya

  • @Benny318m
    @Benny318m หลายเดือนก่อน +1

    Mwwnyekiti kwa akiri yako unahisi atasema ni kweli anamtesa, zaidi anaweza zusha amemuibia chochote ndani kesi ikamgeukia huyo binti

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w 13 วันที่ผ่านมา

    Iyi tu yakutomlipa mshahara wake inadhiihirisha kuwa kuna shida

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mama jini

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug หลายเดือนก่อน

    Huko Oman mnanyanyaswa mnatangazaa hapa mnanyanyaswa hamtangazi

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 หลายเดือนก่อน

      Sa km hawatangazi hii ni nn??au umesikia wapi???

  • @Dipeson700
    @Dipeson700 หลายเดือนก่อน +2

    Ivi mwenyekiti ni kuma et, Shahidi ni muhanga mwenyewe unataka ushahidi kutoka Kwa nani?,,,,,fala kweli

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน

    Pole sana binti, mwandishi niunganishe na huyo msichana, nikae nae tena nitamuendeleza

    • @Happizo
      @Happizo หลายเดือนก่อน

      Agh wapi

    • @ediphabakunda8759
      @ediphabakunda8759 หลายเดือนก่อน

      Huwajui wadada wewe ...utakuta anamapungufu balaaa.sina hamu mm na mabinti

    • @ediphabakunda8759
      @ediphabakunda8759 หลายเดือนก่อน

      Huwajui wadada wewe ...utakuta anamapungufu balaaa.sina hamu mm na mabinti

  • @angelcaezekiel7639
    @angelcaezekiel7639 หลายเดือนก่อน

    MWENYEKIT OYEEE

  • @NeemaMduma
    @NeemaMduma หลายเดือนก่อน

    Wanawake tuwe na huruma mtoto wa mwenzio ni sawa na wako

  • @anastasiawigira9794
    @anastasiawigira9794 หลายเดือนก่อน +3

    Shekhe anajipongeza na kabia kake

    • @DoreenNyange
      @DoreenNyange หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd หลายเดือนก่อน

    Dah jamaa mnafki kweli😂😂😂😂

  • @JamesMmarro-e8f
    @JamesMmarro-e8f 28 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 หลายเดือนก่อน

    Huyo bint ni mkubwa anaelewa Kila kitu .huyu bint hawezi kuwa muongo apewe nauli na mshahara wake arudishwe kwao

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 หลายเดือนก่อน +1

    Ongeeni na huyo mama jamani maana wafanyakazi siku hizi ni changamoto hapo sijajua mnavunja nyumba ili iweje maana haviendani huyo mtoto kaumizwa na huyo mama kwani? Fanyeni uchunguzi mm ninazo kesi nyingi Sana za watoto wa kazi saa nyingine tujue ukweli kabla ya kufanya chochote

    • @JennyMdaki
      @JennyMdaki หลายเดือนก่อน

      Kabisaa wasichana wa kazi wa siku hizi wasumbufu sana

  • @PraygodUrassa-i5z
    @PraygodUrassa-i5z หลายเดือนก่อน

    Kaka wewe ndo mama utakubali.. Uyu mwenyekiti Vipi... Aseee.. Ameshajipongeza nn

  • @MargretPius-v6p
    @MargretPius-v6p หลายเดือนก่อน

    Anajipongeza😂😂😂😂

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 หลายเดือนก่อน +10

    Hakuna haja yakuvunja nyumba ya watu madai mengi ni upuuzi..la maana binti hakupigwa ,kaumia mwenyewe kwa kuruka ukuta alipwe aondoke mengine majirani acheni umbea na wivu 😊 tafuteni pesa

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 หลายเดือนก่อน +1

      Lazima wewe ni shetani kabisa

    • @salamabakari8384
      @salamabakari8384 หลายเดือนก่อน +2

      Yaani na huyu anaroho mbaya kabisa

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe mwenyewe ndo wale wale pumbavu zako

    • @maryrosejoseph9532
      @maryrosejoseph9532 หลายเดือนก่อน +1

      Sio bure utakuwa ndugu wa huyo mama wewe

    • @WityPeter
      @WityPeter 23 วันที่ผ่านมา +1

      Mmmh shindwa Pepo lakuzimu naona nawe ndo mkuu wa maajenty uko kuzimu ume skia ujumbe vizuli or una kulupuka ushindwe katika jina layesu

  • @rogoyassin5
    @rogoyassin5 หลายเดือนก่อน

    MWEKITI WENI KENGE KWAHIYO UNADHANI HUYO MAMA UKIMUULIZA KUHUSU MATESO YA HUYO MTOTO ATAKUBALI? KURUKA UKUTA NITOSHA USHAHIDI 😢

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 หลายเดือนก่อน

    Hili jambo ni la kutengenezwa.

  • @morisgonzalo
    @morisgonzalo หลายเดือนก่อน

    Huyu mwenyekiti anamuogopa huyo mama ukiwa na mwenyekiti ka huyu unaweza kukosa msaada kwake

  • @joycemfuru4752
    @joycemfuru4752 หลายเดือนก่อน

    Watumishi huwa ni waongo na majirani ni wivu umewajaa

  • @EliasiOlendika
    @EliasiOlendika หลายเดือนก่อน

    jmn kwanini anafanya ivo

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 หลายเดือนก่อน

    Wewe mbwa unasema wachaga Wana roho mbaya rekebisha kauli tunajitambua na tuna roho nzuri huyo mpumbavu mmoja asituharibie kabila tunajitambua na tuna hofu ya mungu

  • @RajabuAbdi-rs7sp
    @RajabuAbdi-rs7sp หลายเดือนก่อน +3

    Eeh M/Mungu haya manyanyaso ytaisha lin oko kizazi chako hich

  • @JujuGurugu04
    @JujuGurugu04 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂😂😂😂 ameruka ukuta mm hoi

    • @salmanassor8732
      @salmanassor8732 หลายเดือนก่อน

      Unapofikwa na matatizo ndo utaelewa 😂

  • @MoinamoinaSaid
    @MoinamoinaSaid หลายเดือนก่อน

    Nyumba yihuze pesa zigawanye kwa Nini alimfukuza Kelvin Mume aliojenga hio nyumba ??? sharia china sema lazima nyumba yihuze au ikiwa Kelvin aliojenga kabla yakumuoa huo binti mchawi basi Kelvin amfukuze au yende mahakamani

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat หลายเดือนก่อน

    Mwonekano wa mtoto na maelezo ya mtoto yanajidhihirisha mateso yanayofanyiwa

  • @HenrydoxaMusinde
    @HenrydoxaMusinde หลายเดือนก่อน

    Yani mapepo yote ilikuwa na fukuzwa APA wakati ya ibada imemuganda mama oyu na mapepo ipo ndani