Daah ashukuriwe mwenyezi MUNGU aliyempa huyo binti akili ya kujiongeza kuruka ukuta maana siyo mchezo linge mkuta jambo masikin 😢😢😢huyo mama hana hata roho ya utu jamani sisi wadada wadada tunapitia mengi kwenye majumba ya watu 😢
Mungu uyu acha aitwe mungu mungu aziakiwi katika maisha na mtoto uyu bado ana mungu aendeleh kumtumikia asimwache pia nawashukulu wana nchi wote kwa umoja mungu awabaliki
Hii ni second time, miaka Kama 5 au 6 iliyopita, that very same house Binti aliruka fence na alikua amedhoofika. Binti wa miaka ya nyuma aliokotwa na Mama mmoja mtumishi wa ELCT HQ. I think kuna shida kubwa na Huyo mama wa hio nyumba. Sio sawa asingiziwe yeye tu kila siku
Kumfungiya tuu ndani inanyesha zairi uyomama ni dikiteta akuna chakuzungumza sheriya ifate mkondo wake maana baazi ya wamama wanawachukuliya watoto wawezao kamavile awajazaliwa kama walivozaa waooo
Yaani arusha hapafai kuishi kutokana na hii hali ya wananchi na waandishi wa habari Kaneno kadogo tu wanakakuza na inaonekana hii wametengeneza tu lakini mama huyo wanamtuhumu bure.
Bora haka kamejiongeza kabla hakajauliwa 😢 wazazi tunajua family zingine ni dun ila msiachie watoto wenu ovyo ovyo.. halafu mwenye kiti acha ujinga hilo tu mtu kukaa kipekee bila kuwa na ujiran mwema ni moja ya ishara kuwa mtoto alikuwa anateseka
Kabisaa mabinti niwasumbufu mnoo hata umpe nini lawama tu hata umpende vipi hawaliziki hata kidogo.kwanza walio wengi akikuta nyumba ya geti kukaa ndani tu hawataki anataka kuzurula nje kuzoea majirani waanze umbea basiii wasichana wa kazi wa miaka hii hawana heshima
Arusha wachaga mungu anawaona mnaroho mbaya sanaa lakini tambueni sisi sote tunapita familia acheni kuwapeleka watoto uchagani salome waitigi alikufa kwa kipigo kisa elfu hamsini
Sio shehe huyo anavaa barakhashea tu lakini mtu Kama huyo ndio anatuharibia uislamu dini yetu. Tumkemee asivae kofia yetu kwanini yeye Ni mpiga vyombo!!
Ila nasem kuna mabos wanapat mfanyakaz nzur wanashindw kuishinay na kun mabint wanapat maboss wazur ila mfanyakaz akawa mot wa kuotea mbal pole mdog wangu
Ongeeni na huyo mama jamani maana wafanyakazi siku hizi ni changamoto hapo sijajua mnavunja nyumba ili iweje maana haviendani huyo mtoto kaumizwa na huyo mama kwani? Fanyeni uchunguzi mm ninazo kesi nyingi Sana za watoto wa kazi saa nyingine tujue ukweli kabla ya kufanya chochote
Hakuna haja yakuvunja nyumba ya watu madai mengi ni upuuzi..la maana binti hakupigwa ,kaumia mwenyewe kwa kuruka ukuta alipwe aondoke mengine majirani acheni umbea na wivu 😊 tafuteni pesa
Wewe mbwa unasema wachaga Wana roho mbaya rekebisha kauli tunajitambua na tuna roho nzuri huyo mpumbavu mmoja asituharibie kabila tunajitambua na tuna hofu ya mungu
Nyumba yihuze pesa zigawanye kwa Nini alimfukuza Kelvin Mume aliojenga hio nyumba ??? sharia china sema lazima nyumba yihuze au ikiwa Kelvin aliojenga kabla yakumuoa huo binti mchawi basi Kelvin amfukuze au yende mahakamani
Huyo mweny kit namuona yupo perfect sana, Mtu na nusu fulani hv
Hongera zake🎉
Daah ashukuriwe mwenyezi MUNGU aliyempa huyo binti akili ya kujiongeza kuruka ukuta maana siyo mchezo linge mkuta jambo masikin 😢😢😢huyo mama hana hata roho ya utu jamani sisi wadada wadada tunapitia mengi kwenye majumba ya watu 😢
Utamfungiaje mwadamu anae jitambua ndani jamani hata kama ni House girl bado ni mwadamu apewe haki zake 😢
Mwenyekiti mitano Tena ❤❤❤❤
Huyo Mzee Bado sana Kama ni kiongozi hapo hakuna mtu
Mwenyekiti uko sahii
MRUDISHENI HUYO BINTI ARUDI KWAO ATAUAWA.
Ama kwel watu hawana hofu ya mungu
Kichaaaaa huyu mzeee ushaona MTU anatoka anafunga milango yote Na kutoka Na funguo😢 tayari jibu analo
Subhana Allah
Mwenye kiti pole sana kwa Kijiji unachoongoza
Mbn mwenyekit msenge Sanaa, upate uhakik km alikuwa anateswa kwel, kwnz hatuua Moja wapo miezi 4 hajalipwa tayal huko ndo kuteswa
Mwenyekiti kama hajielewi
Hatari sana
Mwenyeketi upo sawa tuangalie pande zote
Jamani wachaga at nilikua nakula chakula yangu apoo 😂 chakula yenyewe ndio beer. 🙌🏽🙌🏽
Hao sio wachaga ...pumbafuuu😐
Mmm kiongoz😂
Asante lomaaa
Uyu mzee msenge
😢😢 jamani kazi za ndani ni mateso tuu
Duu 😮😮 Arusha kwa vimbwanga na nyie mmezidi kwa kweli
Yaani hatali jamani
Wametisha
Arusha ya miaka ya sasa imebadilika sana aiseeh
Yaan hapiti wiki cjuw shida nn arusha
Ni kwa vile Kuna wanahabari wengi.kwako Kuna vimbwanga ila hakuna wanahabari
Arusha mpewe mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉mko na vituko kila kukicha
Mungu uyu acha aitwe mungu mungu aziakiwi katika maisha na mtoto uyu bado ana mungu aendeleh kumtumikia asimwache pia nawashukulu wana nchi wote kwa umoja mungu awabaliki
Pole sana
Baba wewe ni kiongozi bora sana naomba uchukue kadi ya kugombea urais baba. Mimi ns familia yangu tutakupa kura na wengine walioguswa na wewe.
Hii ni second time, miaka Kama 5 au 6 iliyopita, that very same house Binti aliruka fence na alikua amedhoofika. Binti wa miaka ya nyuma aliokotwa na Mama mmoja mtumishi wa ELCT HQ. I think kuna shida kubwa na Huyo mama wa hio nyumba. Sio sawa asingiziwe yeye tu kila siku
Ni kweli wasikilize pande zote. Hizi dari zinaficha siri nyingi sana
Huyo mama afungwe
Huyo mama afungwe iwe fundisho watu wapo wungi.jamani tusichukulie shida za Mtu iwe manyanyaso no no
Mwenyekiti misaba tena🙌
😂😂😂mfanyakazi eti kama ametoka jehanamu
Wanawake Ni hatari sana aise, na Ni wakatili mno!!!
Arusha Kuna vijimambo sana
Kumfungiya tuu ndani inanyesha zairi uyomama ni dikiteta akuna chakuzungumza sheriya ifate mkondo wake maana baazi ya wamama wanawachukuliya watoto wawezao kamavile awajazaliwa kama walivozaa waooo
Unachunguzaaa niniiiii huyo mtoto aongope ili iwejeee hapo mwenyekiti umefeliiii kabisaaa unamtetea nini alipwe mshahara wake arudi alipomtowa
Mjibwenye raaana
Kessy kaa huko huko mianzn huyo n killer
Huyo mama achinjwe pasaka
Arusha Arusha Arusha!!!!😮
Hivi hawa wandishi wa khabari huwa wana jificha wapi maana likitokea2 jambo washa fika😂😂😂😂😂
Kila kitu mipango ndugu..ht huyo binti kuruka ujue kashauriwa tyr
Kwa Mitandao hii unajiuliza wanatoka wapi?
😂😂😂😂 hawakawii utafikiri walitarajia tukio
😂😂😂
😂😂@@Yana_queen1
Yaani arusha hapafai kuishi kutokana na hii hali ya wananchi na waandishi wa habari
Kaneno kadogo tu wanakakuza na inaonekana hii wametengeneza tu lakini mama huyo wanamtuhumu bure.
Bora haka kamejiongeza kabla hakajauliwa 😢 wazazi tunajua family zingine ni dun ila msiachie watoto wenu ovyo ovyo.. halafu mwenye kiti acha ujinga hilo tu mtu kukaa kipekee bila kuwa na ujiran mwema ni moja ya ishara kuwa mtoto alikuwa anateseka
Mabinti ninavyowajua Wala sitetei upande wwte
Kabisaa mabinti niwasumbufu mnoo hata umpe nini lawama tu hata umpende vipi hawaliziki hata kidogo.kwanza walio wengi akikuta nyumba ya geti kukaa ndani tu hawataki anataka kuzurula nje kuzoea majirani waanze umbea basiii wasichana wa kazi wa miaka hii hawana heshima
Wewe baba ww unasikia kweli mtoto anachiingea unasema uchunguz uchunguz Gani hapo Tena 😢😢😢😢
huyo mama achukuliwe hatuw huyo mama mshenzi sana na wewe acha unafiki hapo unaongea nini
Huyu mwenyekiti kichwa maji kabisa, ivi mtu kama anaishi vzr anaweza kuluka get, jinga sana
Mbona siku zote hamkulipoti kwenye vyombo vya sheria mpaka mtoto asimulie mateso hayo yote majirani wa hovyooo sana
Huyu mwenyekiti chizi 😂😂😂
Mhhh jaman yamezidi sasa huyo atakuwa malaika mtoa roho😢
Kweli ni malaika mtoa nafsi 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Sio malaika mtoa roho huyu shetani kabisaaaaaaaa mtoa. Roho
Unadhani atakubali huyo mama
Serikali iingile kati unyanyasaji huu. Nchi hii kuna baadhi ya watu wanaendesha biashara ya utumwa wa binadamu!
Mwenyekiti yuko sawa
Mwenyekiti yupo saihi
HIYO MAMA NI MUUMINI WA KWELI?
Huyo mama siyo mara ya kwanza kutesa wafanyakazi kuna kipindi alikamatwaga tena alivunja wasichana wakazi miguu achukuliwe sheria kali
Arusha wachaga mungu anawaona mnaroho mbaya sanaa lakini tambueni sisi sote tunapita familia acheni kuwapeleka watoto uchagani salome waitigi alikufa kwa kipigo kisa elfu hamsini
Shida yako una chuki na wachaga, huko Meru wanaishi wameru.
yaaan mimamaaa yakichagaaaa kma kichawiiii
Mmmhh
Dada binti wawenyewe Mungu amemsaidia jamani
Duuuh jmn kwanini anafanya ivo
Hafai huyo mama
😊
😊
😊😊
Watanzania hao na sio waarabu mbona hamsemi washenzi
😂😂😂 na kweli leo ingekuwa uwarabu
Mwenyekiti ana walakini huyu
Huyo mama ndio mlokole
Sheikh anajipongeza na bia
Sio shehe huyo anavaa barakhashea tu lakini mtu Kama huyo ndio anatuharibia uislamu dini yetu. Tumkemee asivae kofia yetu kwanini yeye Ni mpiga vyombo!!
Hilo ni vazi hatuwezi kumzuia mtu kuvaa
Ashitakiwe
Ila nasem kuna mabos wanapat mfanyakaz nzur wanashindw kuishinay na kun mabint wanapat maboss wazur ila mfanyakaz akawa mot wa kuotea mbal pole mdog wangu
Kabisaa kwa mtu ambae hajawahi kuishi na wasichana wa kazi hawezi elewa hii
Alifanya kazi voda kelvin nani?
Jamani uyu mama ni mara ya pili hii khaaa achukuliwe atua
Dah u jamaa ni détective 😅
Kwa nini anafunga milango?uoni hapo kuna shida?
Mbona mwenyekiti ni kama vile hajahelewa vizuri
Sheria ichukue mkondo wake Mr Makonda hayo sio poa wasaidie wanyonge hao
Huyu mtoto muongo ipo interview kasema alikuwa anatumiwa bibi yake mshahara ila mwezi wa 12bado hajampa.
Wanawake wa kichaga ni wabaya hawafai kuoa duh
We mwenyekiti huna akili unafikili huyo mtoto anaweza kudanganya
Mwwnyekiti kwa akiri yako unahisi atasema ni kweli anamtesa, zaidi anaweza zusha amemuibia chochote ndani kesi ikamgeukia huyo binti
Iyi tu yakutomlipa mshahara wake inadhiihirisha kuwa kuna shida
Huyo mama jini
Huko Oman mnanyanyaswa mnatangazaa hapa mnanyanyaswa hamtangazi
Sa km hawatangazi hii ni nn??au umesikia wapi???
Ivi mwenyekiti ni kuma et, Shahidi ni muhanga mwenyewe unataka ushahidi kutoka Kwa nani?,,,,,fala kweli
Pole sana binti, mwandishi niunganishe na huyo msichana, nikae nae tena nitamuendeleza
Agh wapi
Huwajui wadada wewe ...utakuta anamapungufu balaaa.sina hamu mm na mabinti
Huwajui wadada wewe ...utakuta anamapungufu balaaa.sina hamu mm na mabinti
MWENYEKIT OYEEE
Wanawake tuwe na huruma mtoto wa mwenzio ni sawa na wako
Shekhe anajipongeza na kabia kake
😅😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Dah jamaa mnafki kweli😂😂😂😂
😢😢😢😢
Huyo bint ni mkubwa anaelewa Kila kitu .huyu bint hawezi kuwa muongo apewe nauli na mshahara wake arudishwe kwao
Ongeeni na huyo mama jamani maana wafanyakazi siku hizi ni changamoto hapo sijajua mnavunja nyumba ili iweje maana haviendani huyo mtoto kaumizwa na huyo mama kwani? Fanyeni uchunguzi mm ninazo kesi nyingi Sana za watoto wa kazi saa nyingine tujue ukweli kabla ya kufanya chochote
Kabisaa wasichana wa kazi wa siku hizi wasumbufu sana
Kaka wewe ndo mama utakubali.. Uyu mwenyekiti Vipi... Aseee.. Ameshajipongeza nn
Anajipongeza😂😂😂😂
Hakuna haja yakuvunja nyumba ya watu madai mengi ni upuuzi..la maana binti hakupigwa ,kaumia mwenyewe kwa kuruka ukuta alipwe aondoke mengine majirani acheni umbea na wivu 😊 tafuteni pesa
Lazima wewe ni shetani kabisa
Yaani na huyu anaroho mbaya kabisa
Wewe mwenyewe ndo wale wale pumbavu zako
Sio bure utakuwa ndugu wa huyo mama wewe
Mmmh shindwa Pepo lakuzimu naona nawe ndo mkuu wa maajenty uko kuzimu ume skia ujumbe vizuli or una kulupuka ushindwe katika jina layesu
MWEKITI WENI KENGE KWAHIYO UNADHANI HUYO MAMA UKIMUULIZA KUHUSU MATESO YA HUYO MTOTO ATAKUBALI? KURUKA UKUTA NITOSHA USHAHIDI 😢
Hili jambo ni la kutengenezwa.
Huyu mwenyekiti anamuogopa huyo mama ukiwa na mwenyekiti ka huyu unaweza kukosa msaada kwake
Watumishi huwa ni waongo na majirani ni wivu umewajaa
jmn kwanini anafanya ivo
Wewe mbwa unasema wachaga Wana roho mbaya rekebisha kauli tunajitambua na tuna roho nzuri huyo mpumbavu mmoja asituharibie kabila tunajitambua na tuna hofu ya mungu
Mhh
Eeh M/Mungu haya manyanyaso ytaisha lin oko kizazi chako hich
😂😂😂😂😂😂😂 ameruka ukuta mm hoi
Unapofikwa na matatizo ndo utaelewa 😂
Nyumba yihuze pesa zigawanye kwa Nini alimfukuza Kelvin Mume aliojenga hio nyumba ??? sharia china sema lazima nyumba yihuze au ikiwa Kelvin aliojenga kabla yakumuoa huo binti mchawi basi Kelvin amfukuze au yende mahakamani
Mwonekano wa mtoto na maelezo ya mtoto yanajidhihirisha mateso yanayofanyiwa
Yani mapepo yote ilikuwa na fukuzwa APA wakati ya ibada imemuganda mama oyu na mapepo ipo ndani