LORD EYES: NILIKUWA NAMUOGOPA RAY C, HIZO NI NUKSI ZA DRUGS, NILIPENGA YA KWANZA UGIRIKI --- PART II

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 165

  • @conboicannabino
    @conboicannabino ปีที่แล้ว +24

    Nimependa sana hii big brother kufunguka , natamani aweze kushare kwenye miziki yake pia mziki utaishi na ushuhuda wake na ni funzo kwa wengine 🤍💯

    • @danielkenedy4357
      @danielkenedy4357 ปีที่แล้ว +1

      Do something with terror plz connabino

    • @richardjoseph2921
      @richardjoseph2921 ปีที่แล้ว

      Conboi umeongea fact, haswa jitahidi kucheza nae binafsi kumsisitiza afanye hiyo na ni kweli itaishi. Muziki na maisha yetu.

  • @stylishgenius9886
    @stylishgenius9886 ปีที่แล้ว +6

    Ongeleni sana wote,Lord eyes Asante kwa elimu mungu awabaliki sana nimeflai kuona eyes akimtanguliza mungu nice one.

  • @Rare00888
    @Rare00888 หลายเดือนก่อน +2

    Sina mengi gaidi,last time Tumekaa Pamoja A-town tuliongea mengi.!.happy ulivyotapika Ili wajue yanayotusibu..😊Miss u Gang🫡we do recover💯Sempeo rare

  • @DealDeskPro
    @DealDeskPro ปีที่แล้ว +7

    Lord Eyes ni bonge la celeb..nimeipenda sana hii interview..Big up Milard

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly ปีที่แล้ว +7

    Ni kweli kabisa,wizi hujifunzi..wizi ni asili

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 ปีที่แล้ว +5

    MTU WANGU STILL SAUTI IKO VILEVILE ..TRUE LEGEND...LORD EYES

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 ปีที่แล้ว +10

    Pole sana Lord. Thanks for speaking out. Always truth prevails. Yes am Freeeee!

  • @user-op7zl7fo1r
    @user-op7zl7fo1r ปีที่แล้ว +11

    Sema mependa umu lord kajiachiaa uwaga sio muongeaj kabisa

  • @mikemills9615
    @mikemills9615 ปีที่แล้ว +2

    Best interview ever with reality in our daily life.....as community we need to support people addicted in drugs" Ni utumwa mbaya wenye kuleta umaskini mkubwa na mahangaiko makubwa katika maisha"

  • @josehagafilo8820
    @josehagafilo8820 ปีที่แล้ว +1

    Lord eyez ni fimbo sana aisee nakupenda sana tangu enzi zetu mwanangu best interview! Mlitufanya tuenjoy ujana wetu sanaa kabisa. Hawatuwezi nako2nako soldiers iko wazi🎉

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 ปีที่แล้ว +7

    Woohf big up Sana 💪 Lord izz nakuelewa Sana mungu Ni mwema kla wakat mungu ni mwema. weusii awanaga shda na wasanii wasanii ndo wanashda na weusiiii woof kwishaaaaaàaaa

  • @jenadiusnicholaus3238
    @jenadiusnicholaus3238 ปีที่แล้ว +7

    This guy is very genuine🧤

  • @givenlyimo9199
    @givenlyimo9199 ปีที่แล้ว +8

    Best interview of all time

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 ปีที่แล้ว +19

    Lord eyez, pole kakaangu, yaan wanaume kuna muda wanapokea lawama saana, ht Boby Brown alifundishwa drugs na Whitney but walimsema yeye ndo kamfundisha. Hongera mnoo

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 ปีที่แล้ว +8

    Here we go again. Interview ya bei ya juu zaidi with the Terror himself, GAIDI (GUIDE) la RAP. Asanteni AYO TV

  • @millardmbaraka6114
    @millardmbaraka6114 ปีที่แล้ว +4

    Yaani lord hamalizii maneno mwana ni mnyamwezi sana dadeki (swagz)

  • @mushaijamulokozi4620
    @mushaijamulokozi4620 ปีที่แล้ว +12

    Huyu jamaa anavyojibu maswali kijanja sana!!

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS ปีที่แล้ว +2

    The guy is so open. God help him never to return to drugs ever again

  • @Thisisviisugarboy
    @Thisisviisugarboy ปีที่แล้ว +8

    I love this 🔥

  • @magdallenarichard4629
    @magdallenarichard4629 ปีที่แล้ว +5

    Handsome boy

  • @isaacmunisi5559
    @isaacmunisi5559 ปีที่แล้ว +9

    Aisee jembe anaongea kitu ambacho wengi wanapitia au wamepitia, nivyema watu tujifunze mengi kupitia yeye. Ila lord namkubali sana kinoma nimsela sana. hata mimi ni lsaac toka chuga.

  • @alvinchejo7800
    @alvinchejo7800 ปีที่แล้ว +29

    Huyu jamaa ana akili sana hili ni darasa tosha apewe kitengo huyu cha kufundisha

  • @ntimimalamula2104
    @ntimimalamula2104 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana interview zako milladi zinafundisha kinoma

  • @rab792
    @rab792 ปีที่แล้ว +3

    King Eyes Bravo

  • @zuumlondwa9518
    @zuumlondwa9518 ปีที่แล้ว +4

    Nimependa hii interview jamaa uchoki kumsikiliza😂😂

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 ปีที่แล้ว +1

    Mnyanwezi poa sana . True story teller 😄😄👊🏾

  • @babap-dn7wq
    @babap-dn7wq ปีที่แล้ว +4

    Huyu master kumuelewa inahitaji PhD ya Utulivu 😂😂😂😂

  • @mikemills9615
    @mikemills9615 ปีที่แล้ว +1

    I wish lord eyes atunge nyimbo kama nne hivi zenye kueleza uhalisia wa maisha yake" kwa kweli ni balozi tosha wa kupinga madawa ya kulevya na madhara yake"

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni9879 10 หลายเดือนก่อน

    Just for today ,My thoughts will be on my recovery living and enjoying life without drugs,Kweli lord tumeteseka sana na hayo madude ,ila siku Leo , program tukiifanyia kazi inafanya kazi

  • @vincentnkana4921
    @vincentnkana4921 ปีที่แล้ว +1

    God bless you Eyes

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 ปีที่แล้ว +2

    Hii sio interview, hili ni DARASA.

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 ปีที่แล้ว +12

    Ana mdogo wake nilimuona pale Arusha mwaka jana, anatia huruma, ana alama za sindano mwili mzima, amsaidie pia.

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd ปีที่แล้ว +1

      Yupo pande ggani Arusha?
      Nasikiaga watu wakisema tu

  • @richardmagoda5107
    @richardmagoda5107 ปีที่แล้ว

    The best interview

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 ปีที่แล้ว +6

    Kuhusu madawa (heroin) na vitu kaa izo, tuzingatie sana mazee

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 ปีที่แล้ว +2

    Lord eyes 💪🏽💪🏽

  • @violethnatai7890
    @violethnatai7890 ปีที่แล้ว

    Best interview

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 ปีที่แล้ว +2

    anaongea vizuri

  • @mikekileo1186
    @mikekileo1186 ปีที่แล้ว +1

    Siwezagi kuangalia interview ndefu hivi.
    Ila hii ya #Terror na #Mallard_Ayo surely hamu haishi kuangalia. Big up sana homies ✌️

  • @user-op7zl7fo1r
    @user-op7zl7fo1r ปีที่แล้ว +8

    Sema lilord lizur bana me na watt wa Arusha nawapenda sana ❤😂

  • @venerandamangore1384
    @venerandamangore1384 ปีที่แล้ว +1

    Uzuri wa Interview za Lord lazima ucheke 😂 Love me some Terror woooofffff 😂

  • @Empoaka
    @Empoaka ปีที่แล้ว

    Much respect brother Lordy eyes.....
    ,,,,Naifanya Kwa hii ndio reason. 🌼🔋🤲

  • @nicky3025
    @nicky3025 10 หลายเดือนก่อน

    moja ya interview bora sana nmewahi kuangalia

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 ปีที่แล้ว +5

    Jaman mim simuelewi Lord anavyoongea,,au wenzangu mnamuelewa ?? Stor zake??

    • @lucykinabo
      @lucykinabo ปีที่แล้ว

      Yan 😄😄

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 ปีที่แล้ว +2

      Ukikaa Chuga ungeelewa

    • @user-tj7ns1tv9o
      @user-tj7ns1tv9o ปีที่แล้ว +1

      Huelew alaf unasikiliza

    • @abuuayoubayoub9260
      @abuuayoubayoub9260 ปีที่แล้ว +1

      Hata mim nashangaa unasemaje humuelewi na huku umetulia unamsikiza

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 ปีที่แล้ว +5

    Ila huyu kaka mtamu jamani😆

  • @hajisaidy3081
    @hajisaidy3081 ปีที่แล้ว +2

    Lord eye lifestyle yako ni sawa na kile ulichorap kwenye verse yako ya Nightmare.

  • @reinerbrainer811
    @reinerbrainer811 4 หลายเดือนก่อน

    Sema Lord ni muongo sana.. Eti hata Ganja alikuwa havuti???

  • @paschalliving657
    @paschalliving657 ปีที่แล้ว +1

    Mandez wanasem eazy wa waz kadata..matoz wanaeleza wanavyopgwa mambataa...🔥🔥🔥eazy

  • @user-tg4hi2mm4g
    @user-tg4hi2mm4g ปีที่แล้ว +1

  • @Babu_Njenje
    @Babu_Njenje 11 หลายเดือนก่อน

    This man is Arusha's Finest 💪💪💪

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 ปีที่แล้ว +2

    Lordeyez Nako 2 Nako soldier

  • @aminammbaga7736
    @aminammbaga7736 ปีที่แล้ว +3

    Kwahyo sasa hamna anaeona dental formula ya mnako lord

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly ปีที่แล้ว +1

    Dah and all this time mimi najua ni wewe umemfundisha na kumuelekeza ray c huko,

  • @officialtaslima5409
    @officialtaslima5409 ปีที่แล้ว +2

    Yan mwanangu hapo kwenye wa blue nimejikuta nacheka mwenyewe

  • @Patrisami
    @Patrisami ปีที่แล้ว +1

    Bonge la Inteview ✌️✌️✌️

  • @mussaagrey5679
    @mussaagrey5679 ปีที่แล้ว

    Big up sana

  • @jimmykivagi8415
    @jimmykivagi8415 10 หลายเดือนก่อน

    People Places and Things

  • @doubleseven7750
    @doubleseven7750 ปีที่แล้ว +3

    Du oi mi mtu wenu sana namkubali mwamba yupo kibingwa sana

  • @stankim5884
    @stankim5884 10 หลายเดือนก่อน

    Majibu ya lord bwana 😅😅

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba8566 ปีที่แล้ว +1

    Nilikua nawapenda Nako 2 Nako jamani sema nilikuaga zangu mwanza ningekufata aise maana sio kwa u handsome huu duuh!, sema nishaolewa

  • @saleheabdallah5461
    @saleheabdallah5461 ปีที่แล้ว

    Great of all time or havy weight rapper

  • @jenipheremanuel5884
    @jenipheremanuel5884 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana lord eyes

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf ปีที่แล้ว +1

  • @eddytheblayze3810
    @eddytheblayze3810 ปีที่แล้ว +1

    Nahii ndo story ya izzy wa wazi .👊🏾 👑

  • @sinyorithababy1764
    @sinyorithababy1764 ปีที่แล้ว

    OG....usijieleze sana, ukijieleza maana yake unataka kuaminisha watu...nimeipenda hiyo

  • @user-ls3sd9ts4m
    @user-ls3sd9ts4m 4 หลายเดือนก่อน

    Saluut sana kaka mkubwa iizi nako wako maemc wengine wanashidwaga kufunguka kama wewe wakiulizwaga maswali wanajikanyaga kanyaga 2 hawanyoshi maelezo ila nazani watajifunza kupitia wewe kaka mkubwa izi wa wazi saluuti sana👊🏻👊🏻👊🏻

  • @khadijahbanana5602
    @khadijahbanana5602 ปีที่แล้ว

    Lodiii kama lodiii

  • @dattymanne
    @dattymanne ปีที่แล้ว

    Pole sana bro

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 ปีที่แล้ว +1

    Hii n zaid ya darasa

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว +3

    KWANI LODI ANAONGEAJE 😄😄🤗

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 ปีที่แล้ว

    Ili jama interview zake nikali sana sjui kwanin alikua hafanyi interview anafa kua prezent🔥🔥🔥

  • @alfredlaurent1728
    @alfredlaurent1728 ปีที่แล้ว +2

    Yaani mimi nakunywa maji,chakula,juice,sigara na pombe kidogo!! Gaidi ugaidini

  • @user-mg1vf5gv3p
    @user-mg1vf5gv3p ปีที่แล้ว

    Wanaume wachuga ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @baricktumain
    @baricktumain ปีที่แล้ว +1

    King Iz

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 ปีที่แล้ว +6

    Ila kwa ushauri au tungerudisha wakati nyuma mi naona ungeamua kumsaidia Ray C Dah ! Mngekuwa great couple , kama Aika na Nah reel, that’s tru love man! Maybe you didnt see that, butvlife goes on that was your gift you to be with her, she just needed a little polish to shine and be Great, ila dhahabu mpaka ing’ae lazma ipitie motoni ila wewe Lord uliogopa kuungua na moto pamoja na Ray C 😂, One Day I will want to have interview with you, Big up Ayo TV.
    Greeting from Colorado

    • @davidkamando9630
      @davidkamando9630 ปีที่แล้ว

      😂😂 wabongo bana eti great couple... Daah!!

    • @zitongwang6278
      @zitongwang6278 ปีที่แล้ว

      Where is Ray c if I may ask you ??? I have heard she is Paris ? She z clean and married..!!!!

  • @user-uk7jy8vp2f
    @user-uk7jy8vp2f 11 หลายเดือนก่อน

    Vp brother kolabo mtu mzima chindo

  • @willsonjames3659
    @willsonjames3659 7 หลายเดือนก่อน

    Interview kali kinoma

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats ปีที่แล้ว +2

    You have been doing this since way back Millard. Tukabidhi mic wadogo zako. Natamani nikusaidie sana hapa kwanye interview

  • @hamisiali-tq7yx
    @hamisiali-tq7yx ปีที่แล้ว +1

    Mlete chidi Benz hpo millad tumskie kama atafunguka kama lord eyez

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana jamaaangu

  • @user-mu7sa7ex4b
    @user-mu7sa7ex4b ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni9879 10 หลายเดือนก่อน

    Broo ,Rudi kwenye meeting ku share na wanachama, program inasema,We never fully recover,no matter how long we have been clean, complacency is the enemy of the members with substantial clean time.

    • @georgenyoni9879
      @georgenyoni9879 10 หลายเดือนก่อน +1

      We presenter acha uongo nguzo za hip hop hazihusiki hapo,,hizi ndio nguzo za hip hop Dj,Mc, Graffiti ,break dance,Producer

  • @salumchuma7762
    @salumchuma7762 6 หลายเดือนก่อน

    ONE OF THE BEST INTERVIEW...Real Motherfucking G things...Sheets happen

  • @charliemagai8554
    @charliemagai8554 10 หลายเดือนก่อน

    Eri eeeh... marafikiii 😂

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 ปีที่แล้ว

    Leo ni happy tu kwenye kipindi🔥🔥🔥

  • @dearmama7865
    @dearmama7865 10 หลายเดือนก่อน

    albadiri ya kihindi

  • @fauziayassin7987
    @fauziayassin7987 ปีที่แล้ว

    I don’t know y but I think atarudia ila namuombea mungu yy na sisi sote tuondoke kweny ulimwengu wa starehe

  • @user-tj7ns1tv9o
    @user-tj7ns1tv9o ปีที่แล้ว

    Terror 💥

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 10 หลายเดือนก่อน

    Terror kanichekesha bn,eti yaani mm nakunywa maji sana,chakula,sigara na pombe kidogo...!

  • @shabanmaganga9972
    @shabanmaganga9972 8 หลายเดือนก่อน

    Unga mwanzo unakuwa mzuri sana na ukivuta unajisikia poa Sana binafsi nilionja lakini nashukuru Mungu wife nilikuwa nanuogopa Sana haswa nikiwa tz

  • @michongopodcast
    @michongopodcast ปีที่แล้ว +1

    Lord 🙌🏿

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 ปีที่แล้ว

    YES AM FREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 ปีที่แล้ว +1

    Usirudi tena tela

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 ปีที่แล้ว +1

    Gaidi la Rap

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo ปีที่แล้ว +2

    Hivi kwann hamumtafuti bou nako

  • @dicsonmollel5915
    @dicsonmollel5915 ปีที่แล้ว

    Amesafisha meno nni ,amekuwa wack huyo chalii

  • @aishaa2930
    @aishaa2930 ปีที่แล้ว +1

    Jamani huyu kaka amefanana na rafiki yangu ana itwa prospar 😢😢😢😢

    • @seifsaidnshuti9812
      @seifsaidnshuti9812 ปีที่แล้ว +1

      Acha tamaa tulia na prosper wako😅

    • @aishaa2930
      @aishaa2930 ปีที่แล้ว

      @@seifsaidnshuti9812 Sina tamaa ila ni muda sana sijamuona

    • @antildandege4972
      @antildandege4972 10 หลายเดือนก่อน

      @@seifsaidnshuti9812 hahaaa

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 ปีที่แล้ว

    Anavyohadithia jins walivyoanza na ray c m hoi 😂😂😂

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 ปีที่แล้ว

    Hb wa chuga

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 ปีที่แล้ว

    Chakulaa alivyoitamka 😂😂😂

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 ปีที่แล้ว

    Anaongea kiswahil fulan km anajifunza 😂😂😂