LORD EYEZ alivyopangua KESI 28 na kuepuka JELA, alivyomnasa RAY C, ubabe na anavyojizuia kupigana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Sky anapiga story na rapper Lord Eyez kuhusu mambo kibao. Unaweza kuisikiliza EP yake mpya ABCD kwa kubonyeza link hiyo chini
    • Lord Eye - Free Intro ...

ความคิดเห็น • 165

  • @rojas_habibu
    @rojas_habibu ปีที่แล้ว +33

    Mwamba ni kweli, Kuna wakat bado alikuwa kwenye kipind Cha mpito,, Tuko maeneo ya Sanawari Bomani, Lord akapita Yuko stim kinoma alafu machizi tulikuwa tuna zipiga ngoma za N2N Huwez Amini jamaa alitupita kama mita kadhaa mbele alafu akageuza akaja tulipo, akatoa Tano ya kibabe Alafu akajisikilizaaaaaa akiwa amenata hiv,i akiwa every deep felling Alafu akatembea mbele.. Alituachia maumiv kinoma kila m2 alimuombea Atoke Alipo.. Leo Hii Yuko fit Dah watu wa ATown ni faraja kubwa sana...

    • @peasantfarms4616
      @peasantfarms4616 ปีที่แล้ว +1

      Some more million prayers to him and others

    • @pioraphael7324
      @pioraphael7324 ปีที่แล้ว

      Mtu akiwa teja anazingua

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious ปีที่แล้ว +14

    Nimefurahi Sana Kumsikia Huyu Mwamba 💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼 Sky Unatupa Vitu Roho Inapenda.

  • @alfredlaurent1728
    @alfredlaurent1728 ปีที่แล้ว +9

    Hii interview nimeangalia zaidi ya mara tano na bado naiangalia!! Lod iz mnyamwezi sana the real definition of hip hop

  • @richarduhuru6564
    @richarduhuru6564 ปีที่แล้ว +12

    Lord is such a great story teller

  • @titopallangyo6451
    @titopallangyo6451 ปีที่แล้ว +17

    Yah! Lordy Eyes is truly Hip_Hop, I remember him and Nako 2 Nako soldiers in via via 2008, with Mapacha wa Watengwa, those days since early 2005 N2N s was really Dem high, and truly Him was an icon, together with G Nako master press and Bu Nako. In combination big up to Nancy Sumari

    • @abdirizakibrahim1975
      @abdirizakibrahim1975 ปีที่แล้ว +1

      Kweli we jama wa walongi lazima unaijua kaloleni

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper ปีที่แล้ว

      Kweliiii

    • @beatbyrich2891
      @beatbyrich2891 ปีที่แล้ว

      i think unazungumzia 2004 lbda nakumbuka watengwa na TGP walikuwa pamoja sana N2N ilikuwa kama imetengana nawenzao kulikuwa hakuna amani.

    • @davidngao
      @davidngao 8 หลายเดือนก่อน

      Kubwa sana

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 ปีที่แล้ว +5

    nimekubali interview hii Lord Eyeze amechangamka tofauti na kwa mkasi alikua amepoa sana

  • @jumazahoro3537
    @jumazahoro3537 ปีที่แล้ว +5

    Lord umefanana na hardmad

  • @erastongussa2334
    @erastongussa2334 ปีที่แล้ว +1

    Hii interview Lord Eyez amekuwa free, charming and mtulivu, anaongea kwa kujiamini, kueleweka na kwa majibu sahiii, Pia Sky amekuwa presenta mzuri, amemuwekea uhuru, wa kujieleza na imekuwa poa saana.

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 ปีที่แล้ว +15

    Nimependa hiyo kazi itakayokuja kati ya Lord Eyes na Nikki Mbishi.

  • @mariammlangwa6104
    @mariammlangwa6104 ปีที่แล้ว +8

    May God bless you Lord Eyes #TeamArusha

  • @ejulaizerjulaizer128
    @ejulaizerjulaizer128 ปีที่แล้ว +7

    King Izzy, Izzy Nako,Lord Eyez! Real mcs

  • @mosesabwao2673
    @mosesabwao2673 ปีที่แล้ว +2

    Lord Eyez ameni inspire san, big up sana kamanda

  • @Jefa_Adili
    @Jefa_Adili ปีที่แล้ว +5

    I can feel the Saigon spirit in him... Izy yupo very Hype humu!

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 ปีที่แล้ว +4

    Nimeenjoy Sana Sana,lord eyez amejibu kiutu uzima sana

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 ปีที่แล้ว +4

    Hii ni interview bora kabisa ya Lord

  • @petroprenge8716
    @petroprenge8716 ปีที่แล้ว +4

    Nimependa improvement kwenye lights bro Sky, respect to the team!

  • @raphaelmwaura2221
    @raphaelmwaura2221 ปีที่แล้ว +6

    Big up bro kutoka Kenya apa si pingi yani nakukumbali saana 🙏

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 ปีที่แล้ว +3

    Namkubali sana Lord eyez toka kitambo👍🇹🇿.

  • @manyarasoja1082
    @manyarasoja1082 ปีที่แล้ว +1

    My favourite rapper aiseee, one day lazima one track inuke pamoja nae....

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 ปีที่แล้ว +4

    Lord nampendaga bonge la msela namuonaga TIPS havimbo kindesi

  • @tulisanga2023
    @tulisanga2023 ปีที่แล้ว +5

    Hapo zamani kipindi cha ndio zetu.. nilikuwaga najua lord hana bandama yani nimtu ambae uwaga hachek kauzu balaaa.😀😀kumbe mchizi anacheka sana

  • @Qqambaa
    @Qqambaa ปีที่แล้ว +2

    Wewe wewe mchizi wangu yeah Asante sky kw uyu mwamba

  • @jumachillo7329
    @jumachillo7329 ปีที่แล้ว +5

    Lord Eyez King

  • @yourstarboy
    @yourstarboy ปีที่แล้ว +3

    Hii Content imeshiba sana iweke kwenyee podcast either Google podcast au Spotify

  • @Kippsjr95
    @Kippsjr95 ปีที่แล้ว +1

    Bonge la interview..lord eyes mwamba wa kaskazin🙌

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper ปีที่แล้ว +2

    Isaaa, u r always the best❤️❤️

  • @rajabuhamisi6040
    @rajabuhamisi6040 ปีที่แล้ว +2

    namkubali sana king izi azid kutoa kazi mungu ampe afya njema

  • @salummaguo1950
    @salummaguo1950 ปีที่แล้ว +3

    Leo umenikosha Sana bro kumuoji uyu KING

  • @Uyrvanology
    @Uyrvanology ปีที่แล้ว +1

    This is hip hop, nakubali LORD EYES

  • @Winstonfying
    @Winstonfying ปีที่แล้ว +3

    Naaam, naam, Lordy Eyeezz Off Sirrr

  • @octaviantito
    @octaviantito ปีที่แล้ว

    Sema Nako 2 Nako walikuwa noma saaaana, Mchizi wangu remix walivuta wana hip hop wengi saaaana. Hawa jamaa wangekuwa na Manager mwenye maono makubwa enzi hizo wangekuwa on fire sana. Lord Eyez imekuwa poa sana kurudi kwenye hali nzuri.

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 ปีที่แล้ว +4

    Sky walker huwa nakufatiliaga Sana kila ukifanya kipindi hapo,unajua kihoji Sana mb zangu namalizaga hapo

  • @BMT2023
    @BMT2023 ปีที่แล้ว +2

    Noma sana tunasikiliza hii Hawatuwezi niko Shule msingi hatukuwqza tutawacheki mabroh nje ya Tz.

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 ปีที่แล้ว +2

    Ujumbe mkali sana upo mwisho wa interview

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 ปีที่แล้ว +2

    Ukiupenda muziki, unauheshimu muziki.✊️

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 ปีที่แล้ว +2

    Lord anajuwa kuongea point

  • @Jefa_Adili
    @Jefa_Adili ปีที่แล้ว +3

    @34:17 mimi pia HAWATUWEZI ni classic of all time, kwa wimbo huo heshima yangu kwa jamaa kwenye HipHop itasimama hivyo daima hata aje aaamue kuimba taarab.

  • @alfredlaurent1728
    @alfredlaurent1728 ปีที่แล้ว +3

    Lodiiii geneous boy

  • @nicksoncharles8240
    @nicksoncharles8240 ปีที่แล้ว +3

    Sky Nikki mbishi ana Ep Ep yake inaitwa KIGU tunaomba Umualike apo ina mawe ya kutosha

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 ปีที่แล้ว +1

    Oyo brother Isaac, good bless more brother

  • @user-uk7jy8vp2f
    @user-uk7jy8vp2f 11 หลายเดือนก่อน

    Noma sana brother wap but nako

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai1081 ปีที่แล้ว +2

    Real Definition Of Hip-Hop... Izii

  • @losserianchristopher4560
    @losserianchristopher4560 ปีที่แล้ว +3

    Namwitaga Fazaa namkubali Baba wa Ukoo nafurahi sana kumwona akiwa hapo alipo

  • @edrickdominick7774
    @edrickdominick7774 ปีที่แล้ว +3

    Hawatuweze kila sim nitakayo nunua lazima niwenayo iyo ngoma

  • @hchriss7930
    @hchriss7930 ปีที่แล้ว +2

    Ukisikiliza story za Wana hip hop kitambo wakimzungumzia P Funk Majani utagundua alikua n mtu wa Aina gani 🤣

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 ปีที่แล้ว +2

    Lord the best storyteller

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 ปีที่แล้ว +5

    Kama unafeel Hiphop basi we ndio mchiz we ndio mchizi waaangu..moja kati ya mistari aliyoipiga kiumakini sana Lord kipindi kile

  • @shedracelia1267
    @shedracelia1267 ปีที่แล้ว +1

    Lord mi napendaga vibe lako kwenye show ,Kuna Ile show big Sunday live uliuwaaaaaa

  • @gatjimmy2099
    @gatjimmy2099 ปีที่แล้ว +1

    Good one,good kipindi kbs...

  • @princemallya4085
    @princemallya4085 ปีที่แล้ว

    Jamaa unajua sanaa interview zako ni nzuri sanaa na unajua sanaa vtu unahoj vtu unavyovijua kbsaa 🔥🔥 shoutout

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha775 ปีที่แล้ว +2

    Mnyama Izi iko wazi 🔥

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 ปีที่แล้ว +2

    Nakubali verse yako Lord kwenye mchizi wangu remix, na Flow kali kwenye imeisha hio ft Ngosha !!

    • @paulpeter5879
      @paulpeter5879 ปีที่แล้ว +1

      Isikilize tena kuna watuvwamezungunza zaidi ya mchizi wangu mada moja lakini wamezama zaidi. Bonge la dude

  • @ericknkonya5682
    @ericknkonya5682 ปีที่แล้ว +1

    Sky nilikua nawaza interview ya moto sana kwa hilo nakupa credit. But just a thought umeuliza maswali mengi mazuri nilitamani kama mixing mfano hawatuwezi uneweka ile nyimbo au video yake kipande kidg tu kukumbusha watu huku nyie mnaendelea na story. au hata beat tu hivi sio mbaya. Mawazo tu

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว +3

    Hapo kwenye Drugs mwisho msg 👏👏👏Nilitamani kusikia mengi alitokaje huko but anyway big up

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 ปีที่แล้ว +2

    Lordeyes wekeni makubariano sawa na fid mtuletee chakura cha ubongo kila mara naludia neno na blucrin

  • @mastaplan
    @mastaplan ปีที่แล้ว +2

    Ungemuuliza kuhusu Bu Nako

  • @nzalinextlevel4515
    @nzalinextlevel4515 ปีที่แล้ว +3

    Namkubali sana kaka na Nina rap verse yake yote

  • @sundayagrey4769
    @sundayagrey4769 ปีที่แล้ว

    Mi wakwanza ni lord eyez then yaoung afcain. Ila mzee sarungi na mama tedi ni Mungu wangu

  • @najashdawood9680
    @najashdawood9680 ปีที่แล้ว

    Baba hiyo song naikubali kuanzia hiyo beat mpaka lyrics yake...itabaki kama dhahabu hiyo song ..big up man

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 9 หลายเดือนก่อน

    Bonge la Interview Terror Lord Eyes

  • @juvenclemence1490
    @juvenclemence1490 ปีที่แล้ว +1

    Nomah sanah

  • @maundumwingizi8027
    @maundumwingizi8027 ปีที่แล้ว +2

    Bonge moja la interview

  • @alexander19077
    @alexander19077 ปีที่แล้ว

    Bonge moja la interview 🙌 👏 👌 💪

  • @johnmhina4822
    @johnmhina4822 ปีที่แล้ว

    Wooh what an interview..

  • @abuuarushadawg7158
    @abuuarushadawg7158 ปีที่แล้ว +3

    "Fido ni nyoka wangu" facts

  • @sundayagrey4769
    @sundayagrey4769 ปีที่แล้ว

    Kibatala big up

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 ปีที่แล้ว +1

    Madawa ya kulevya yaliathiri sana maisha ya huyu kaka

  • @Mundhir_show
    @Mundhir_show ปีที่แล้ว +2

    Mtu mnoma sna Mjengoni

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 ปีที่แล้ว +3

    DRUG HAIONJWI🤝🤝.

  • @chiticollemans
    @chiticollemans ปีที่แล้ว +2

    He’s funny😅

  • @sundayagrey4769
    @sundayagrey4769 ปีที่แล้ว

    Lord eyez is great of all time in chuga stan. Pleas my men fido be likr ya lord eyez

  • @nicksoncharles8240
    @nicksoncharles8240 ปีที่แล้ว +2

    Tuleteee NIKKI MBISHI ANA EP YAKE INAITWA KIGU

  • @sundayagrey4769
    @sundayagrey4769 ปีที่แล้ว

    Ma bounser ndio wanyonge wetu big up sana men

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 ปีที่แล้ว +2

    Eeeeasssy wa wazi🔥

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 ปีที่แล้ว +14

    Napenda sana jamaa kurudi normal lakini tunaomba Cheed pia arejee kwenye hali yake. InshAllah

    • @CoachHafidh
      @CoachHafidh ปีที่แล้ว +1

      Nakubaliana na ww...alipofanya interview na salama nilinotice alkua hajarecover vzuri. Ila ss yuko fresh

    • @innocentmushi1550
      @innocentmushi1550 ปีที่แล้ว +1

      @@CoachHafidh uliona nini ukahisi haja recover?

    • @CoachHafidh
      @CoachHafidh ปีที่แล้ว +1

      @@innocentmushi1550 alkuwa hahold conversation vzuri...alkua yuaongea sana, quite iirrelevant mpk yuaenda nje ya topic kidogo.

    • @12322879
      @12322879 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo Chidi bado ana usela mavi

  • @gaitanokamage7366
    @gaitanokamage7366 ปีที่แล้ว +2

    Bahatika kukutana na mwamba kiukweli ukimpa hi nikama unajuana nae mwamba hawakuwezi naisikiliza huenda kila siku na mchizi wangu kila siku kila sikuu we ndio mchizi wangu

  • @masungakamihanda4357
    @masungakamihanda4357 ปีที่แล้ว +3

    Usoni sina ngenya Ila moyoni sio mwema

  • @malickbyanaku5828
    @malickbyanaku5828 ปีที่แล้ว +4

    N2N Soldiers & MAPACHA Ndio Crew bora kwangu toka HIP HOP ilipoanza BONGO....

    • @12322879
      @12322879 ปีที่แล้ว +1

      Wewe tunaongea lugha moja kaka 💪

  • @bokabecca5473
    @bokabecca5473 ปีที่แล้ว +1

    people,place &things

  • @nathanaeltweve8304
    @nathanaeltweve8304 ปีที่แล้ว +2

    King Eazy

  • @ishengomarugemarila908
    @ishengomarugemarila908 ปีที่แล้ว

    Nakukubari,

  • @hubimogela9167
    @hubimogela9167 ปีที่แล้ว +4

    Sky big up brother kazi kubwa sana ila kuna jamaa huyu MAWENGE nae umchimbe kiundani maana ni mwamba hatari sanaaa

    • @filbertshayo3782
      @filbertshayo3782 ปีที่แล้ว +1

      Huyo uliyekua unamsemea ni nani kaka

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 ปีที่แล้ว +2

    King Eyez💪💪

  • @ebbychipa8010
    @ebbychipa8010 ปีที่แล้ว +1

    Nimefulai kinoma

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao ปีที่แล้ว

    Vile nliguza Link nlijuwa Ni DMX Wa East Africa huyu Jamaa namkubali:-sana since 2007

  • @sharifakombo701
    @sharifakombo701 ปีที่แล้ว +1

    Kaka najkuta nairudia marakwamara hii hapa nmeiba simu ya mke wangu niangalie tena

  • @africanasplumbing8780
    @africanasplumbing8780 ปีที่แล้ว +1

    Izzy mnyama sana jamaa amekua really sana

  • @Mo_Blaze
    @Mo_Blaze ปีที่แล้ว

    Interview nzuri sana aisee

  • @praygodkweka3951
    @praygodkweka3951 ปีที่แล้ว +1

    Genius

  • @mugheiry
    @mugheiry ปีที่แล้ว +2

    Dakika 31 Mende Akaamua Ajitokeze Pale Na Yeye Aonekane Kwenye Interview

  • @dicksonvalence2392
    @dicksonvalence2392 ปีที่แล้ว +1

    Ngoma ya hatuwez nilikua nasikiliza nikiwa mdogo kulikuwa naikubar sana kwenye mabanda ya sinema

  • @zahirrajab7713
    @zahirrajab7713 ปีที่แล้ว

    Namkubali sana lordeyes

  • @daniellaizer3194
    @daniellaizer3194 ปีที่แล้ว +1

    Great one bro sky .
    Fanya ata mpango umlete Adam mchomvu Na b dozen

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 ปีที่แล้ว

    Daa Yesu hana mbingu Lord ,,mbingu ni ya Allah pekee

  • @henryjohn4781
    @henryjohn4781 ปีที่แล้ว +1

    N2N Soldiers for life

  • @jamesmakyao8103
    @jamesmakyao8103 ปีที่แล้ว

    Keep it up master!

  • @sharifakombo701
    @sharifakombo701 ปีที่แล้ว +2

    Hawajamaa walkuwa wananifanya nipende kwenda lkizo arusha

  • @bizbiz5023
    @bizbiz5023 ปีที่แล้ว +1

    Sky ukiletaga ma mc wakali kama hawa bas huwa unafanya siku iende vzur

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 ปีที่แล้ว

    Woof woof woof woof woof

  • @shukurumbwana2295
    @shukurumbwana2295 ปีที่แล้ว +1

    Safi hommie