Kagera Sugar 0-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 29/08/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
  • Maxi Nzengeli na Clement Mzize wamefunga magoli mawili, Yanga ikishinda 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Dimba la Kaitaba Bukoba, mchezo wa #NBCPremierLeague

ความคิดเห็น • 289

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 15 วันที่ผ่านมา +3

    Yeah two goals, three points... thanks God. 🏆💛🏆💛

  • @BimamuosmanOsman
    @BimamuosmanOsman 15 วันที่ผ่านมา +2

    Alhamdulillah nashukuru Mungu.. wachezaji wetu nawapenda sana wallahi mauwa yenu hayo mchukue🎉🎉🎉🎉🎉 I Love yanga ❤❤❤❤❤ God bless our team and all the players mubarikiwe sana kwa bidding yenu..l love my team yanga nyi hamuogopi ....

  • @novatusaloyce
    @novatusaloyce 15 วันที่ผ่านมา +7

    Nimeipenda passion ya yanga baada ya dube kukosa goli wamemfuata nakumuambia usijilaumi bdo unaweza

    • @ArkamHamad
      @ArkamHamad 15 วันที่ผ่านมา

      Uliwaskia😂😂😂

  • @BullahSambiga
    @BullahSambiga 15 วันที่ผ่านมา +3

    Alihamdulillah kikubwa point 3

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni1978 15 วันที่ผ่านมา +62

    Tumezoea magoli mengimengi aya mawili kama atuhashinda 😂😂

    • @yohanalukindo3737
      @yohanalukindo3737 15 วันที่ผ่านมา +7

      Ndio mwanzo wa anguko

    • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
      @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 15 วันที่ผ่านมา +4

      Umenenaaah

    • @carolimganga4817
      @carolimganga4817 15 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 Kama tumefungwa vile hivi vigoli viwili tumeshazoea 456

    • @Tusajigwe
      @Tusajigwe 15 วันที่ผ่านมา +2

      Tena mmeshind kwa mbindeee😂😂😂

    • @EvahTendwa
      @EvahTendwa 15 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 15 วันที่ผ่านมา +6

    Mzize ni mpambanaji sana,

  • @daggerslick
    @daggerslick 15 วันที่ผ่านมา +4

    Saiv tulikuw tunaongelea 5g anyway muhimu point tatu yanga bingwaaa💚💛🔥

  • @AmaniMasingot
    @AmaniMasingot 15 วันที่ผ่านมา +8

    jaman mashabiki tuwe watu mpila ebu tuwe tunarizika na ushindi wowt kikubwa haijapoteza na point 3 mkononi sasa mnataka yanga awafanyie nn il mlizike? kiukwer inanishangaza kwakuraumu!!!!!!!!

    • @hamooummar7298
      @hamooummar7298 15 วันที่ผ่านมา

      Umeongea point, ss kama bao zmeptkana mbili na point tumepata tatu kma ipaswavyo, tunafaa kjua c Kila mechi tutapata mabao mengi kama mnavyotka, ikitokea timu imeingia kwenye mfumo atakula tano mashabik mfurahi zaidi, ila huu pia n ushindi wanachi tuwe wamoja ndo kwanza tumeanza🎉

  • @rehemarehema7475
    @rehemarehema7475 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga juuu zaindi sana tukopamoja nawapenda sana❤❤🎉

  • @hoithamacha1503
    @hoithamacha1503 15 วันที่ผ่านมา +5

    Hongerani sana yanga

  • @ZuhuraTwaha-u5n
    @ZuhuraTwaha-u5n 15 วันที่ผ่านมา +3

    Sio matarajio yetu yamagor 2 tulitegemea 5 Leo, ila tunashukulu tumeondoka n point 3 💛💛💛

  • @MagdalineMambo
    @MagdalineMambo 15 วันที่ผ่านมา +1

    Asanteni wanangu kwa kazi nzuri mliyofanya, Mwenyezi Mungu uwabariki sana. Kagera suger kuwa wanapenda sana kupania yanga, Uchawi wao wanaoufanya dhidi ya Yanga umewarudia wenyewe.Thank you god for your protect my team Younger African, Amen Amen🎉❤❤❤❤

  • @chachabonface7788
    @chachabonface7788 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mzize is turning into a beast in front of goal.....I guess the coming of Dube has made Mzize up his game....

  • @user-zu9hs2dr8s
    @user-zu9hs2dr8s 15 วันที่ผ่านมา +3

    kweli mzize ni traika namba1 ligi ya tanzania kwa sasa. muchi respect mzize anataka kubisha na abishe nimemaliza

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 15 วันที่ผ่านมา +6

    Yanga alipoteza nafasi nyingi alikua na uwezo wa kushinda hata 5

    • @sangaelly8548
      @sangaelly8548 15 วันที่ผ่านมา +1

      Uwezo mdogo sana matano ingekuwa ngumu kufunga

    • @mohamedally1594
      @mohamedally1594 15 วันที่ผ่านมา +1

      Asingeweza

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 15 วันที่ผ่านมา +3

    Kagera wagum mno yanga wamepambana mno💚💚💚🖤💛

    • @gregory6165
      @gregory6165 15 วันที่ผ่านมา

      hapana tumepoteza nafasi nyingi sana za wazi, timu inayoitwa ngumu ni ile inayozuia wewe kutengeneza nafasi,

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mzize bonge la mchezaji

  • @TwahirAbdalla-j1e
    @TwahirAbdalla-j1e 15 วันที่ผ่านมา +5

    Dube leo hana bahati😢

  • @KhamisAli-o9r
    @KhamisAli-o9r 15 วันที่ผ่านมา +2

    Uwanja ni mzuri ❤

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda7601 15 วันที่ผ่านมา +4

    Kagera sikuzote pagumu tumshukuru mungu kwa ushindi

  • @LAFAELYPATA
    @LAFAELYPATA 15 วันที่ผ่านมา +1

    Naipenda yanga

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 15 วันที่ผ่านมา +1

    Asante. Sana. Mungu. Wetu. Wa. Mbinguni. Muumba. Ardhi. Na. Mbingu. Mungu. Baba. Umetujibu. Maombi. Yetu. Kwani. Ushindi. Ni. Ushindi. Tu. Kwa. Uwanja. Wa. Kaitaba. Ni. Kumushukuru. Sana. Muumba. Wetu. Amina

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mzize ni fire 🔥 😍

  • @bahatizakalia909
    @bahatizakalia909 15 วันที่ผ่านมา +4

    Nimesikitika sana yanga kushinda goli mbili yan kama tumefungwa

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 15 วันที่ผ่านมา +2

    Tumeshinda lakin hatuna furaha 😂😂😂 goal 2 kweli yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💚💛💪

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul2464 15 วันที่ผ่านมา +12

    Azam naa nyie ifike kipindi muche ushamba TUWEKEEN LIVE TH-cam ISIYO NA MASHARITI BHNA KWANI SI TUNATUMIA MB ZETU NANYIE MNAPATA FAIDA YA VIEWER AU🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

    • @Shebe_traLove
      @Shebe_traLove 15 วันที่ผ่านมา

      Kbs uko sahihi sijuwi kwa nini wako ivo chinchii za Waarabu wana weka live you tube

    • @PeresWatson
      @PeresWatson 15 วันที่ผ่านมา

      Nafikiri Wako kibiashara zaidi kwani wakifanya hivyo itaathiri soko lao la visimbuzi bro

    • @Almas120
      @Almas120 15 วันที่ผ่านมา +1

      Ni biashara kuna azam max online mnaweza angalia huko

    • @SamDevo-wy1cx
      @SamDevo-wy1cx 15 วันที่ผ่านมา

      Hap nakubar uko sahihi

    • @Tee-King
      @Tee-King 14 วันที่ผ่านมา

      Maisha ayako hvyo ligi inalipiwa kuuza matangazo na azam na sio TH-cam ulisha ona wap dunian mpira live unaonyeshwa TH-cam. Watu watalipaje ving'amuz labda ingekuwa ni mpira uzaminiwe na serikali.

  • @qflavreeds
    @qflavreeds 15 วันที่ผ่านมา +8

    Any South African here watching 👀?

    • @jabu7338
      @jabu7338 15 วันที่ผ่านมา

      Mfethu Clement Mzize and Pacome ZouZou yho😮😮Top players

  • @AmidaMangota
    @AmidaMangota 15 วันที่ผ่านมา +3

    Kikubwa point 3

  • @harunichambo4658
    @harunichambo4658 15 วันที่ผ่านมา +5

    Wakwanza apaaah likes za kutosha tafadhali😂😂 kwaniaba ya super sub Mzizeeeeee😂😂😂

  • @juster5478
    @juster5478 15 วันที่ผ่านมา +4

    Amjui izi timu ndogo zinavotupaniaga sasa cha msingi tuna point 3mkononi

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 15 วันที่ผ่านมา +3

    Ushindi ni Ushindi tu hata gori 1 like za mzize ndonizi hapa 😂😂😂😂

  • @user-ig4kv9sk9o
    @user-ig4kv9sk9o 15 วันที่ผ่านมา +4

    Magori mengi tutapata mechi zingine tukumbuke kiwanja Cha Kagera kigumu Sana tushukuru tumepata point tatu

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 15 วันที่ผ่านมา +2

      Halafu tungewafunga 8 MAKOLO wangesema tumenunua

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 15 วันที่ผ่านมา +1

      Team la makolo bovu.. kuna kolo anasema kagera wamedhaminiwa na GSM@@ismailmasoud6001

  • @UmmyMsafiri
    @UmmyMsafiri 15 วันที่ผ่านมา +4

    Kila kitu ni riziki tuwaombee wasipoteze mechi badi

  • @williamsilvester5220
    @williamsilvester5220 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mzize clement

  • @ZenaIbrahim-c5d
    @ZenaIbrahim-c5d 15 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga kazi nzuri

  • @francisjames3785
    @francisjames3785 15 วันที่ผ่านมา +2

    Like za Mzize Hizi hapa😂
    Persistence
    Positioning
    Finishing

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 15 วันที่ผ่านมา +3

    KAgera wanatukaziagaa sana bukobaa

  • @luganopondo1763
    @luganopondo1763 15 วันที่ผ่านมา +2

    Best player maxi nzengel

  • @davidweston2352
    @davidweston2352 15 วันที่ผ่านมา +4

    Simba kutoka kileleni mtasubiri sana

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mzinze kaliamsha dude ana mwambia dube ubaya ubwela

  • @user-ye7wj8gz1l
    @user-ye7wj8gz1l 14 วันที่ผ่านมา +3

    Kagera hongera watitegemea watafunga 6 lakin kimewalamba kwa mbili

    • @GracieTyno
      @GracieTyno 14 วันที่ผ่านมา

      Kwahiyo unawaonea wivu wenzio kupigwa tano kama wewe😂😂😂😂

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 15 วันที่ผ่านมา +3

    Kweli uchawi upo kwenye mpira, sio kwa kukosa huku kwa Dube.😂

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 15 วันที่ผ่านมา

      Kwani alipokuwa Azam ilikuwaje, si hivyo hivyo.

  • @yuppiesherman5213
    @yuppiesherman5213 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mzize is the best player

  • @hansimwamwezi3717
    @hansimwamwezi3717 15 วันที่ผ่านมา +3

    Hi mechi ilikuwa ya kushinda goli 7 mmezingua sana

    • @jamesmartin7026
      @jamesmartin7026 15 วันที่ผ่านมา

      Kipa wao ni man of the match. Aliwaokoa sana

  • @klinsmann7627
    @klinsmann7627 15 วันที่ผ่านมา +4

    Ila sioni shida na dube ....zote shot on target

    • @pappilonfar
      @pappilonfar 15 วันที่ผ่านมา

      Yes kwel kbs n bahat mbaya tu ya game moj moj

  • @husnmjuba4978
    @husnmjuba4978 15 วันที่ผ่านมา +1

    🙀🙆🏿‍♂️Huyu mzizee au jiini shkamoo mzize!

  • @pettermollel2531
    @pettermollel2531 14 วันที่ผ่านมา

    Mzize ❤ on 🔥

  • @nasonchisota6241
    @nasonchisota6241 15 วันที่ผ่านมา +3

    Clear chances wamepoteza yanga, imeniuma sana

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 15 วันที่ผ่านมา +1

      Sio kila chances lazima yawe magoli!

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 14 วันที่ผ่านมา

      Bado hujasema na utasema😂😂😂

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf 15 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa wana kigoma mwijaku atuhambiye muyo bozi iko wapi

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mzize niliwa kusema ya kua ukiweza kutumia nafasi tu hakuna kwa sasa mshambuliaji Africa nzima anaweza akakusogelea ni hilo tu nafasi Tatu mbili tumia utakuja kuona jiweke busy kwenye ufungaji na sasa unaona ulivokua hutupi nafasi safi sana mwana

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mmmmh huyu Dube Leo kawa debe tupu sio kwa kukosa nafasi za wazi hivi harafu 3 zote daaah

  • @ishengomankoko8292
    @ishengomankoko8292 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mzize ni mtu na nusu aisee

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 15 วันที่ผ่านมา +2

    Leo yanga chini ya kiwango

  • @danken4153
    @danken4153 15 วันที่ผ่านมา +5

    uyu dube arudi Azam

    • @user-rz4mi8og1w
      @user-rz4mi8og1w 15 วันที่ผ่านมา

      Watakiwa umsifie kipi nasio kumlaumu debe

    • @user-rz4mi8og1w
      @user-rz4mi8og1w 15 วันที่ผ่านมา

      Kipa amefanya kazi yak

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamri 15 วันที่ผ่านมา +2

    Namba 6 imetuangushag sana aucho leo amezidiwa kwa kiwango kikubwa mno, yaan ameshindwa kuchezesha team hata ile sab ya mudathir ilifanyika kimakosa aloetakiwa kutoka ni aucho, ilitakiwa aingie abuya au aziz andambwile,

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi nimeona wamecheza vizuri sana wote. Ila Dube kidooogo leo katuangusha. Inabidi azidi kutulia.

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 15 วันที่ผ่านมา +4

    Mzize nimeanza kumuelewa

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 15 วันที่ผ่านมา +3

    Nimeamn uchaw upo sy kwa magoli hayo yaliyokoswa😂😂

    • @Prince7850.
      @Prince7850. 15 วันที่ผ่านมา

      Kwa yanga mnasema uchawi kwa simba mnasema timu mbovu

  • @user-bn8km3fu1y
    @user-bn8km3fu1y 15 วันที่ผ่านมา

    Mashabiki wa yanga tuwe tunaridhika,tulichokua tunahitaji zaidi ni point 3,intosha,hongereni wachezaji na mungu aendelee kuwapa nguvu zaidi ya kushinda mechi zinazofuata 9:26 9:26

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kweli Mpira sio NYAU, Yaani tumekosa goli 8 za wazi..duh

  • @erickmsaki9383
    @erickmsaki9383 15 วันที่ผ่านมา +3

    Dk za jioooooooooooooooooooooooooooooooooooooni

  • @LevoBadiboyBernard
    @LevoBadiboyBernard 15 วันที่ผ่านมา +4

    We huogopi

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 15 วันที่ผ่านมา +3

    Sijafurahiwa na matikeo kabisa, maan kushinda kwetu goal 2 ni mambo ambayo sijazoey Mimi

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 15 วันที่ผ่านมา

      syo kla mara nkushnda t kna mda walfeli

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles 15 วันที่ผ่านมา

      Kafunge ww uwanjani kwako kama hujafurahia ww kufikisha mbili mpk mchuzi wa pweza unaanzaje kusema hvy?😂😂😂😂

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 14 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂bd hujasema asaa na utasema

  • @user-kq1dz2jh2j
    @user-kq1dz2jh2j 15 วันที่ผ่านมา +2

    Wananchiiii 💚💛💚💛💚

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 15 วันที่ผ่านมา +2

    Hawana furaha

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 15 วันที่ผ่านมา +2

    Da aisee dube magoli aliyokosa Leo ni balaa

    • @jamesmartin7026
      @jamesmartin7026 15 วันที่ผ่านมา

      Kakosa lakini kipa wao alicheza vizuri sana. Goli 2 si haba

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 15 วันที่ผ่านมา +2

    Aziz na dube Leo hawakua vizuri kiviile tulivyowazoea ila alhamudulilah tumeokota point 3 hivi asisit ya goli la max ni ya pacome ama naona vibaya??

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 15 วันที่ผ่านมา

      Si kweli Ki aziz amekuwa bora sema yale magoal aliiokosa pakome ,dube three goals ndio shida

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 15 วันที่ผ่านมา +7

    UTOPOLO TIMU LENU BOVU HAMNA TIMU NYIE

    • @salamSalehhhhh
      @salamSalehhhhh 15 วันที่ผ่านมา +1

      YAANI MAVI MATUPU

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 15 วันที่ผ่านมา +1

      Kolo Kama kolo unateseka Ukiwa wapi? Kila mtu ashinde match zake

    • @latifamangula6798
      @latifamangula6798 15 วันที่ผ่านมา

      Tafuta yako iliokuwa nzuri pambana na hal yako

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 15 วันที่ผ่านมา

      @@salamSalehhhhh Leo kagera alikua na bahati ya mpra kipind cha kwanza tu angefungwa goli zaidi ya nne

    • @GIRIKIARSENAL
      @GIRIKIARSENAL 15 วันที่ผ่านมา

      Mmeshindwaje ngao ya jamii?

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kagera wamekuwa na zali tuu zilikuwa kamba kama 5 au 6 hivi

  • @NickolasNkeza
    @NickolasNkeza 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi huyu mtangazaji simpendi akitangaza mech huwa haiwi na magoli mengi anagundu

    • @TeddyMsafiri
      @TeddyMsafiri 14 วันที่ผ่านมา

      Unalolote

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 14 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @GracieTyno
      @GracieTyno 14 วันที่ผ่านมา

      Kweli,akotangaza gharib ndo unyama😂😂😂

  • @sakuvedoh_3696
    @sakuvedoh_3696 15 วันที่ผ่านมา +1

    Wamaliziaji shida.. first half...

  • @subiramussa1428
    @subiramussa1428 15 วันที่ผ่านมา +2

    Leo kama tumefungwa😢

  • @HamisiSamweli
    @HamisiSamweli 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga kichwa kila wakat

  • @AlexMbena-z8s
    @AlexMbena-z8s 15 วันที่ผ่านมา +1

    Sema Azam tv kidgo mke zoom camera .naona iko mbli kidgo

  • @jellysazaina8491
    @jellysazaina8491 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kiwango ndo mwisho apo usishangae ndug yetu

  • @soudyruge-fi9xv
    @soudyruge-fi9xv 15 วันที่ผ่านมา +3

    Hii yanga inanifanya nisahau kutafuta hata mpenzi

    • @MchungajiNzelani
      @MchungajiNzelani 15 วันที่ผ่านมา +1

      Wameshinda lakini hawana furaha timu imecheza hovyo semeni ukweli

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 15 วันที่ผ่านมา

      ​@@MchungajiNzelanina nyiye kagera c ndo huwa mnafungwa nae

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 15 วันที่ผ่านมา

      @@MchungajiNzelani tunakosa furaha kwa kuwa wamekosa magoli mengi sio wamecheza vibaya

  • @Java-king255
    @Java-king255 15 วันที่ผ่านมา +1

    Dakika za Jiooooooooooooooooooooon😅😅

  • @user-tk2hd2eh1q
    @user-tk2hd2eh1q 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa nini simba amehangaika kutafuta wa kucheza nae mechi ya kirafiki hadi Sudan hakuwaona Yanga au ndio kutafuta mnyonge hata hivo kashindwa kupata matokeo

  • @YohanaMwàkifuna
    @YohanaMwàkifuna 15 วันที่ผ่านมา +2

    Dule leo katuua maana atujamzoea ivo

  • @mkariwanyota5222
    @mkariwanyota5222 15 วันที่ผ่านมา

    👊👊👊👊👊👊👍👍👍

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera kabombe ---- Hata hivyo,natamani kujua utaratibu wa nani atangaze mechi gani --- Huwa mnaomba au mnapangiwa? Kama mnapangiwa, kuna uhusiano gani na wewe kutangaza mechi nyingi za Yanga na Mpenja kutangaza za Simba " mnatuboa "

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 15 วันที่ผ่านมา +1

    Leo dube hatrick angeondoka nayo kocha akae nae nikama kiwewe Cha kutaka kufunga Kila muda imeanza kumuingia akiwa hivi atajitafutia tu presha😢😢

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 15 วันที่ผ่านมา +2

    Ilikuwa suala la muda tu hatimaye wamekaa

  • @LAFAELYPATA
    @LAFAELYPATA 15 วันที่ผ่านมา

    Yanga juuu

  • @SuzyJohn-rd8vz
    @SuzyJohn-rd8vz 15 วันที่ผ่านมา +6

    Utopolo mnalilia nn sasa tukiwambia vitaroo ni friji bovu mnabisha hata sasa fungen nahio kagera bao 6 msimu huu ni ubata ubwela

    • @samwelikikoti7331
      @samwelikikoti7331 15 วันที่ผ่านมา +1

      we si ulikilula mkono au

    • @simbamwerisimba8594
      @simbamwerisimba8594 15 วันที่ผ่านมา +1

      Sio vitaroo ni Vital'O mbumbumbu wew

    • @Johnethan2021
      @Johnethan2021 15 วันที่ผ่านมา

      Lkn kagera kaonyesha uwanaume co nyie mlipanua tunajiingizia tu bila shidaaaaaa au umemisiiiiiii🤔🤔🤔🤔

    • @Nzota50ty
      @Nzota50ty 15 วันที่ผ่านมา

      Ww huogopii yn ligii bdo mbichi halfu vitalo km ww tu nyie km mbwa jike yanga mbwa dume anajipigia tu😂😂

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 15 วันที่ผ่านมา

      ​@@Johnethan2021😂😂😂😂😂😂hawa wamezoea kuachia Kagera wagumu angalau wanabana

  • @pascalkalima7541
    @pascalkalima7541 15 วันที่ผ่านมา +1

    Walikania Sugar na Wananchi walichukulia rahisi. Ni kupiga kama unaua!!

  • @IsayaKesseni
    @IsayaKesseni 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kachomekeaa na mwiko tena😂😂

  • @BazirBernard
    @BazirBernard 15 วันที่ผ่านมา +1

    Tulizoea Kono la nyani sawa mawili kama atujafunga

  • @ahmedsalehe9489
    @ahmedsalehe9489 14 วันที่ผ่านมา

    Yanga iliuza mechi kwenye kampuni ya kubeti ya Sport bet na Betpawa. Na kuoa fixed odd 0-2.

  • @RachelMdao
    @RachelMdao 14 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kwaki onekana mzize ana pendwa nawa congomani ata maye na mijisifa alihwahi mpenda

  • @SiloohMirro55
    @SiloohMirro55 15 วันที่ผ่านมา

    Pascal kabombe ajisemea yeye tu.. DAKIKA ZA JIOOOOOOOOOOOOOOONNNIIII😄😄😄 huna baya Kaka (Under17 wa kudumu) 👏👏👏
    #azamtvmiaka10Damdam.

  • @mariajames5558
    @mariajames5558 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga hii utaifungaje😅😅

  • @prospermbena4692
    @prospermbena4692 15 วันที่ผ่านมา +1

    YANGA BINGWA TENA yaani mechi ya ugenini tu ufunguzi watu wamekula chuma mbili jamaa wana bahati sana hamna baya mabingwa

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli. Wamekosa goli nyingi

  • @SaidiJuma-u5r
    @SaidiJuma-u5r 9 วันที่ผ่านมา

    Mazee yanyukooo mbwaww mazee mwenyewe

  • @AthumaniKagumi
    @AthumaniKagumi 15 วันที่ผ่านมา +1

    Pameanza kuchangamka

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 14 วันที่ผ่านมา

    Matokeo ni mazuri sana maana hata mechi ya mwisho hapo Kaitaba tulitoka sare

  • @leomika8473
    @leomika8473 15 วันที่ผ่านมา +1

    Chama Ana jipya

  • @MauBonde
    @MauBonde 11 วันที่ผ่านมา

    Mzize aendelee kukaza njumu namuona mbali kwa waarabu simshauri hela atapata ila mpira ndio unakua mwisho ,timu za wamanga fitna nyingi hela utapewa.