Sio bishop anayesema hayo.... Ni Yesu ndiye aliye sema..." Mmoja atanyakuliwa na mwengine ataachwa....". Aliyekufa katika Kristo ana uhai....sio uhai wa kufa kimwili....ni.kiroho anamaanisha. Wewe MUISLAMU lazima uelewe jambo moja.... Injili ya Kristo umesitirika kwa hao wanaopotea... Maana huwezi kumfundisha Mungu kwa Hekima ya kidunia zaidi ya hekima ya kimbinguni. Usitumie ufahamu wako....Tumia Roho wa Mungu utazijua siri zake.
Hujui kitu...unafundisha kwa uelewa wako....unadhani kuwa mwalimu wa historia, ndio kunakufanya udhanie kule kuteuliwa hutokana na wingi wa ufahamu. HEKIMA ya Mungu imepita ufahamu wote wa kibinadamu... Yeye ndiye uitaye kila kitu kwa jina lake....kwasababu ndiye Muumba.
Kweli naona maajabu ya MUNGU....hata wewe unayejiita NABII ELIYA...unamshangaa KRISTO anaposema "Mmoja atatwaliwa na mwengine ataachwa...😂😂. Unafundisha habari za Mpinga Kristo wewe atakaye kuja tawala YERUSALEM... Maana sisi tuliokatika roho tunatawala na BWANA SAYUNI....,. Na ISAYA ametabiri ujio wa mashahidi wa MUNGU....kule NYIKANI. kutakuwa na njia kutoka SAYUNI hadi NYIKANI ambapo.BWANA wa MAJESHI ataletwa HEDAYA na watu warefu na laini, watu watishao tangu mwanzo.
@@AlieMdogo-oi6il asee nikwambie kitu huyu jamaa ni she wa kislamu lkn anawashwa sana na biblia kamaanataka ukristo akabatizwa Ili majini na ushetani umtoke kichwani Ili atuhubirie injili ya Yesu
wanaopigana ni wakristo au waislamu???
mi naona wakristo wanasapoti magogu...
Sio bishop anayesema hayo....
Ni Yesu ndiye aliye sema..." Mmoja atanyakuliwa na mwengine ataachwa....".
Aliyekufa katika Kristo ana uhai....sio uhai wa kufa kimwili....ni.kiroho anamaanisha.
Wewe MUISLAMU lazima uelewe jambo moja....
Injili ya Kristo umesitirika kwa hao wanaopotea...
Maana huwezi kumfundisha Mungu kwa Hekima ya kidunia zaidi ya hekima ya kimbinguni.
Usitumie ufahamu wako....Tumia Roho wa Mungu utazijua siri zake.
Hujui kitu...unafundisha kwa uelewa wako....unadhani kuwa mwalimu wa historia, ndio kunakufanya udhanie kule kuteuliwa hutokana na wingi wa ufahamu.
HEKIMA ya Mungu imepita ufahamu wote wa kibinadamu...
Yeye ndiye uitaye kila kitu kwa jina lake....kwasababu ndiye Muumba.
Napenda kicheko chako😅😅
✅✅❤
Unakaa kimya sana mtumishi wa MUNGU. Mara nyingi napiga simu yako haupokei. Tafadhali nahitaji kuunganishwa kwenye kundi lako la WhatsApp
Nitumie sms WhatsApp +255714750521 tutawasiliana mpendwa
@@nabiiilyaaseliya2551 🙏🙏🙏
😂😂😂😂
Kweli naona maajabu ya MUNGU....hata wewe unayejiita NABII ELIYA...unamshangaa KRISTO anaposema "Mmoja atatwaliwa na mwengine ataachwa...😂😂.
Unafundisha habari za Mpinga Kristo wewe atakaye kuja tawala YERUSALEM...
Maana sisi tuliokatika roho tunatawala na BWANA SAYUNI....,.
Na ISAYA ametabiri ujio wa mashahidi wa MUNGU....kule NYIKANI.
kutakuwa na njia kutoka SAYUNI hadi NYIKANI ambapo.BWANA wa MAJESHI ataletwa HEDAYA na watu warefu na laini, watu watishao tangu mwanzo.
Ni ukweli lazima kila mmoja ajaribiwe imani yake kupitia thiki kuu kama mitume
Nawewe usidangajike hili li jamaa siyo mkiristo halafu wala siyo mkiristo ni tapta wa hatari tangulini mwislamu akawafundisha wakristo
Mm hua simuelewag huyu mtu,nikama kigeugeu
@@AlieMdogo-oi6il asee nikwambie kitu huyu jamaa ni she wa kislamu lkn anawashwa sana na biblia kamaanataka ukristo akabatizwa Ili majini na ushetani umtoke kichwani Ili atuhubirie injili ya Yesu
@@robertphilip385 haelewekag ila tumuache mungu atamnyoosha
Wewe siyo mkiristo achakutuposha ww pambana na korani Yako ikupeleke jehanam
Bwana Robert ni ipi Criteria ya kumjua huyu ni mkristo na huyu siye?? Ama wewe ndiye mwenye Hakimiliki ya Ukristo ??
Tumekuelewa yahudi
@@OmarOmar-vf9dv sawa arabica
WAGALATIA MMEPATIKANA NABII WENU HUYO 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@@williamshitobelo6433 weniwalewale mjinga huamini Kila neno