mhubiri wa kweli katika ufalme wa mungu katika dunia hii lazima uchukiwe... lakini sauti ya mungu acha isikike hakuna wa kuzuia..amani ya mungu iwe nawe.🙏🙏
Hapo uko sawa tatizo umimi umewazidi kilamtu anaongea kwakuonesha ufaham wake na hayuko tayali ku ungana na mwenzake mngesha mshinda shetani kwasababu mko wengi wenye uelewa huo ilasasa Tama zenu nitatizo
Mchungaj umenena ya kweli ila hizi ni siku za mwisho watakuwa na macho na maskio lakini hawataona wala kuskia ila sasa tumekuwa na machawa ambao wapo ccm lengo ni matumbo yao sijui kama wanahubili kweli kanisan na watu wapo wanatoa sadaka na hawatetei waunga ccm tu.
Kabla ya kuja biblia na quran tulikua na utawala wetu chini ya machifu. Hatuhitaji Quran wala biblia peleka huko zikamalize vita Middle East. Mzee the word democracy is made up of demos = people and kratos = power. Katika hilo neno hakuna demon = shetani. Acheni kupotosha wananchi.
Huna ufahamu, Mungu alianza kuabudiwa kabla ya kuja biblia, utawala wa machifu wa kutoa kafara na kutambika haukuwa mzuri hata kama tulikuwa tunajibiwa mahitaji yetu, maana neno la Mungu linasema wakati ule wa ujinga Mungu alizifany kama hazioni na pia Mungu huwanyeshea mvua wema na waovu
mhubiri wa kweli katika ufalme wa mungu katika dunia hii lazima uchukiwe... lakini sauti ya mungu acha isikike hakuna wa kuzuia..amani ya mungu iwe nawe.🙏🙏
Hapo uko sawa tatizo umimi umewazidi kilamtu anaongea kwakuonesha ufaham wake na hayuko tayali ku ungana na mwenzake mngesha mshinda shetani kwasababu mko wengi wenye uelewa huo ilasasa Tama zenu nitatizo
Mchungaj umenena ya kweli ila hizi ni siku za mwisho watakuwa na macho na maskio lakini hawataona wala kuskia ila sasa tumekuwa na machawa ambao wapo ccm lengo ni matumbo yao sijui kama wanahubili kweli kanisan na watu wapo wanatoa sadaka na hawatetei waunga ccm tu.
Hakuna Mungu hapo unachokitafuta utakipata njaa n mbaya sana
Samtime inaongea facts
Uko vizuri kwenye mambo kadhaa,ingawa kuna sehemu huwa unapotea.
Boc wangu nakupa 1000 kabisaa
Kabla ya kuja biblia na quran tulikua na utawala wetu chini ya machifu. Hatuhitaji
Quran wala biblia peleka huko zikamalize vita Middle East. Mzee the word democracy is made up of demos = people and kratos = power. Katika hilo neno hakuna demon = shetani. Acheni kupotosha wananchi.
Huna ufahamu, Mungu alianza kuabudiwa kabla ya kuja biblia, utawala wa machifu wa kutoa kafara na kutambika haukuwa mzuri hata kama tulikuwa tunajibiwa mahitaji yetu, maana neno la Mungu linasema wakati ule wa ujinga Mungu alizifany kama hazioni na pia Mungu huwanyeshea mvua wema na waovu
@@FridayMwassa I'm atheist so keep your god to your chest.