JESHI LA TANZANIA LAWAWASHIA MOTO M23 BAADA YA WANAJESHI WA TANZANIA KUUAWA, M23 YASONGA MBELE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 เม.ย. 2024
  • If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

ความคิดเห็น • 44

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo หลายเดือนก่อน

    Hongera sana jwtz kwa ukakamavu,,,Joseph kony atataga ipo sku,,,,mungu awalinde makamanda wote,,mbele kwa mbele nyuma mwisho,

    • @giuseppemanaos75
      @giuseppemanaos75 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂
      Africa bana Yan Mwafrika anamua mwafrika tunashangilia... niujinga mkubwa sana huu

  • @yahayamoshi6385
    @yahayamoshi6385 หลายเดือนก่อน +1

    Tuwashe moto ,adui amepata nguvu ,hamna kurudi nyuma moto kwa moto ,lazima m23 walipe kwa walichofanya,haiwezekan kamanda kupigwa na mgambo.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo tena sio kulinda aman askar wapambane live bila hvo ni hatar kwa walinda aman

  • @yusuphmakangemakange4474
    @yusuphmakangemakange4474 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ushauri wangu kwa jeshi langu au makamanda wangu wa j w t uko tupo kwakulinda amani sio vita ila kama wanataka mwiba uwachome tukiwashe ao m 23 mazohea yamezidy wazi makamanda wangu kama vp tukiwashe

    • @rappermonster361
      @rappermonster361 2 หลายเดือนก่อน

      Bila shaka wewe ni mwanajeshi au ushawahi pitia mafunzo ya kijeshi

    • @giuseppemanaos75
      @giuseppemanaos75 หลายเดือนก่อน

      Tunashangilia mwafrika kumuu mwafrika kwa masilahi ya wazungu... Ni ujinga mkubwa sana

    • @user-du1ls3zf4s
      @user-du1ls3zf4s 18 วันที่ผ่านมา

      Wakat mwingine kunakauli kinyume unaambiwa aman Ila ukishaingia uwanjani akili kichwan mwako

  • @user-du1ls3zf4s
    @user-du1ls3zf4s 18 วันที่ผ่านมา

    Nyie tupen abar za uwongo tu,Ila uko sio pazur ata kidogo achen tu jaman paskien tun,tunaa ambiw jesh letu lina pigana na m23 ila Mambo ni Siri kali ile Kongo,Siri ya mtungi aijuae kata,Mungu tu awabarik wanajesh wetu japo wanatumikia viapo vyao

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jeshii letu tz malizeni wote awo amani iwepo

  • @nurumvungi2210
    @nurumvungi2210 หลายเดือนก่อน +2

    JESHI LA TANZANIA LA EAWASHIA MOTO M23...hapo mnasema M23 wamesonga mbele...kama haitoshi tumepoteza askari wetu🥲🥲
    Jifunzeni kuandika vichwa vya habari...
    Tumepoteza makamanda wetu na tumerdi nyuma nyie mnasema tumewawashia moto🥲🥲

    • @karenzijumaahmad257
      @karenzijumaahmad257 20 วันที่ผ่านมา +1

      Tunapigwa na kitu kizito, 🤣🤣🤣

  • @user-ic7oo1vt4v
    @user-ic7oo1vt4v 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa walikuwepo 1978,na 1979 wanajua kabisa vita kama kuna njia nyingine ya kufanya kurejesha amani itumike vita mbaya sana

  • @user-tr8bq7pj9q
    @user-tr8bq7pj9q หลายเดือนก่อน

    Shida hawatak jeshi lipigane Et kulinda Amani Aman gan wakati mnapigwa makombora jwtz ingieni rasmi hakuna cha kulinda Amani ni kukichagua mwanzo mwisho Hadi wakae tena kagame ndo gaidi mwenyewe huyu auwawe

  • @francismichael1258
    @francismichael1258 2 หลายเดือนก่อน

    Kdwani vp wapiganaji wettu wanauwawa na waasi harafu wanaangaliwa tu km vp wanajeshi wetu warding kwann wauwawe na waasi harafu waachwe hvhv hao m23 inaniuzunisha kwa kweli

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni muda muafaka wa kuiangamiza Rwanda tusipoteze muda hata sekunde moja

    • @edwardmwambene3748
      @edwardmwambene3748 2 หลายเดือนก่อน

      Niko pamoja nawewe iyo Luanda iangamizwetu na umoja waafrica iteketezwetu na nyukiria

  • @allyduniakhamis22
    @allyduniakhamis22 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo Onesphore sematumba kwanza yaonesha anauasili wa Rwanda na ukifuatilia maongezi yake ayapo sahihi na anapingana na kauli sahihi ya serekali

  • @user-hv4et9fx7t
    @user-hv4et9fx7t 2 หลายเดือนก่อน +1

    Miye ni serge nikiwa South Africa kwa nini wanajeshi hawapambani?

  • @jeromedidas2972
    @jeromedidas2972 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu BARIKI Africa

    • @giuseppemanaos75
      @giuseppemanaos75 หลายเดือนก่อน

      Mungu alisha maliza kazi ya kuibariki Africa. Ila afrika bado tunautete utumwa kuna mwafrika an muua mwafrica kisa barak za Mungu ni ujinga mkbwa. Mm ningekuwa Rais kamwe nisinge peleka Watu wangu huko kwa kisingizio cha Amani

  • @BarakahamisMakola
    @BarakahamisMakola 2 หลายเดือนก่อน

    god be with you soldiers

  • @user-kc4in6zu4v
    @user-kc4in6zu4v 2 หลายเดือนก่อน

    Loooo Mungu aepushe mbali na umwagaji damu pia na mauji ya raia wasio hatia jamani

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa iyo inamaana apo sadc inapambana na taifa la ruanda na m23 was cngo c ndio .Kama ni hivyo ihisheni kikao ruanda na sadc na je ruanda haipo sadc?

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 2 หลายเดือนก่อน

    KWa iyo ruanda anasaidia waas ili iweje .ebu tufafanulieni apo

  • @mwajuma5112
    @mwajuma5112 2 หลายเดือนก่อน

    Wengine wapendwa wetu wapo huko na hatuwapati online hivyo waliouwawa mngeweka picha jaman

  • @JacobJoel-cb3ni
    @JacobJoel-cb3ni 2 หลายเดือนก่อน

    Kwan si wapambane au mbona sielewi hapo wanalindaje aman yan wanatakiwa wapambane wawaondoe kama buki nafaso wenzao

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 2 หลายเดือนก่อน

    Dah kwakweli cjui ni kwnn waafrika tunauwana wenyewe kwa wenyewe

  • @user-qb3kn6iw1m
    @user-qb3kn6iw1m 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini wa congomani upumbafu umewazidi?,serikali yote ya kitshekedi yote wamo ndani ya hiyo siasa ,sababu wafanya siasa wote wanafaidika na vita hivyo katika ulimwengu huu wale hakuna mtuu mpumbavu Kama mucongomani.

  • @veronicamagesa1752
    @veronicamagesa1752 หลายเดือนก่อน

    Jaman yaan

  • @Educationmedia-ih1th
    @Educationmedia-ih1th 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mama angepekeka full mkoko, halafu tuingilie Rwanda Yani tuanze kuwasaka kuanzia Rwanda

    • @karenzijumaahmad257
      @karenzijumaahmad257 20 วันที่ผ่านมา

      Acha bangi haujui unacho kisema kunywa kahawa kijiweni tu.

  • @MohammedSaluwa
    @MohammedSaluwa 2 หลายเดือนก่อน

    Hao m23 wasituchezee niwakuuliwa tu

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 2 หลายเดือนก่อน

    Mama lusu mambo yaishe kama dada arivyo kimbia muji

  • @peterdominick27
    @peterdominick27 2 หลายเดือนก่อน

    warudishe nyumbani watu wetu bhana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 หลายเดือนก่อน +1

    hawa watangazaji ni vimeo, watu wako kwenye vita kwanini wanatoa habari za kinaga ubaga, hii channel inafanya makosa saaana, huwezi kueleza kila kitu kinachojiri kwenye uwanja wa vita, vita ni propaganda hii inapunguza morali kwa wanajeshi walioko nyumba na kuwatia woga

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 2 หลายเดือนก่อน

    Unapoamua kupigana uwezi kupata faida tu. Mfano Rashia na ukeren ata kama kila nchi imepata asala.Muimu kujadiliana akuna kisicho wezekana.

  • @Wabriged
    @Wabriged หลายเดือนก่อน

    Watupeleke na wastaafu wa national service tuna maajabu kibao tuwafanya hamna.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 2 หลายเดือนก่อน

    Wanajeshii watanzania kwendeni Rwanda tukamarize kazi mapema tuludi nyumbani

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 2 หลายเดือนก่อน

      Jeshi la Tanzania 🇹🇿 maybe likaue wa zanzibar uchanguzi una o Kuja ruawanda number 2 Kenya number 1