🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • 🔴#LIVE: PIGO KWA MBOWE, VIONGOZI Wake WENGINE WAJIONDOA CHADEMA, Wamlipua - "Ni Waoga Sana"
    BAADHI ya viongozi wa Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema, wametangaza kujiondoa katika chama hicho leo Mei 28....
    Na Felista Massae
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com....
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 244

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 4 ปีที่แล้ว +26

    Kazi bado sana Mbowe na kampuni yake safari hawaponi.

  • @jamesmtambo6252
    @jamesmtambo6252 4 ปีที่แล้ว +15

    Hujachelewa, karibu CCM

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu amekubariki sana baba mbatia kwa siasa zako za kiungwana nakweli kuvuna matunda haya hongera sana.

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 4 ปีที่แล้ว +13

    Mbowe atakula bata sn kama munamwachia mapene yote mumpeleke mahakamani arudishe hela za umma kama anamatumizi mabaya ya ruzuku

  • @richardodoyo7511
    @richardodoyo7511 4 ปีที่แล้ว +12

    Tatizo la mbowe anakula ruzuku za wanachama wa chadema mwenyewe karibu ccm. Tuwanyoweh

  • @ramlasalim4906
    @ramlasalim4906 4 ปีที่แล้ว +33

    Mbowe kajimaliza mwenyewe huwezi kua kiongozi dikteta na mbabe kwa watu ambao wao ndio source ya wewe kuwepo

  • @tz7976
    @tz7976 4 ปีที่แล้ว +22

    MBowe usirogwe kugombea ubunge mwaka huu utakufa na presha maana sizani kama utapata kura umejitahidi sana labda kura 2🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lucky9285
      @lucky9285 4 ปีที่แล้ว

      Vipi umepanga ukamng"oe kwenye jimbo lake ??au ni mpambe wa wanamme wengine

    • @gabrielbahat9107
      @gabrielbahat9107 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa aisee kwa Dar sidhani chadema kama watapata mbunge hata mmoja! Akishinda mmoja tu ni ushindi mkubwa kwao!

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 4 ปีที่แล้ว +14

    Wale wanaopata makombo hufunua midomo yao "wananunuliwa "sasa kuna mengi tutayaona kwani msimu umefika. Tumbo la chura lilipasuka kwa kushindana na ng'ombe...
    CCM DAIMAA.

    • @alihu3752
      @alihu3752 4 ปีที่แล้ว

      Anasema ukweli huyoo hakuna mjinga sie jua hali ilivyo chadema

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 4 ปีที่แล้ว +20

    Mtu na akili zako unamchagua mwanamke sampuli ya Halima Mdee, Ester Bulaya kuwa mwakilishi wako bungeni! Watu wa Dar na Mara mnakosea wapi?!

  • @alloycewilbert8848
    @alloycewilbert8848 4 ปีที่แล้ว +11

    Karibu CCM mkubwa ,

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 4 ปีที่แล้ว +8

    Chadema jiangalieni sana

  • @johnboscohava7340
    @johnboscohava7340 4 ปีที่แล้ว +14

    KILIVUTIA UOGOZI WA KIKWETE SIO KWA RAIS HUYU KAJITOSHEREZA HADI KEROO😂😂😂😂😂

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 ปีที่แล้ว

      Kipindi nchi imejaa mafisadi lazima ccm waachie ngazi mnafiki mkubwa

  • @asalasaad7568
    @asalasaad7568 4 ปีที่แล้ว +29

    Kama unamjua rais wa Rwanda gonga like hapo😀😀😀😀

    • @josephclement3650
      @josephclement3650 4 ปีที่แล้ว

      yani utafikiri ni mtu na mdg wake😂😂😂😁😁😁😁😁😀😀😀

    • @mahamudually357
      @mahamudually357 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 4 ปีที่แล้ว +12

    Mbowe anapiga pesa pale hakuna chama

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 ปีที่แล้ว +19

    Chama kwishaaaaa mboe achia ngazi uwe raia tu maana huwezi kupokelewa popote

    • @husseinyusuph5458
      @husseinyusuph5458 4 ปีที่แล้ว

      Wee watu hatufanani ila ote wangekuwa Kama Mimi mbowe akiitisha mkutano mnaweka viti vizuri alafu kila kiti mnaweka jiwe alafu mnaondoka akija hakuti mtu

  • @mwandymussa6180
    @mwandymussa6180 4 ปีที่แล้ว +7

    Umewapa mawazo mazuri sana ila wanajifanya wajuaji wakati vilaza umeongea vizuri tatizo wachumia tumbo

  • @michaelmusa7250
    @michaelmusa7250 4 ปีที่แล้ว +29

    Kama umeona NCCR-mageuzi kumenoga gonga like hapa👇😁

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 4 ปีที่แล้ว +2

    Muache jembe JPM amepima papaya kimebabi 2020 kupima chadema corona tupu. Kweli JPM hapingani na mtu yoyote hapa duniani zawadi tumepewa na mungu. Kama Yusuf wa misiri myaka yile. Viva JPM God bless JPM God bless Tanzania 🇹🇿.

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 4 ปีที่แล้ว +11

    Sasa naweza amini sasa "Chadema" wanamjua nani alimpiga risasi "Lisu" kwa mwenendo huu

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 ปีที่แล้ว

      Lissu alipigwa Risasi na utawala wa Magufuli hakuna mwingine anaweza ondoa walinzi kwy majengo na kwenda kufanya shambulio la mauaji

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 ปีที่แล้ว

      Safari njema kuelekea NCCR MAGEUZI

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 4 ปีที่แล้ว +13

    lijualikali ndio mjenga sera

  • @omarmchoya9285
    @omarmchoya9285 4 ปีที่แล้ว +6

    wazo lang laleo nahs hata tundu liss mbowe ndoalihuska ili ajinafas kwenye kula ruzuku za wenzake Ccm oyeeeeee maguful jembe

    • @maimlelwa7894
      @maimlelwa7894 4 ปีที่แล้ว

      Kwa hao wanavyo tafuta sababu hapo ndio wangepenya ila mmechelewa sana

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo4101 4 ปีที่แล้ว +3

    Ushauri wa Mbowe kwenye Corona aisee unaonesha siyo leader material hata nusu

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 4 ปีที่แล้ว +10

    N.C.C.R.MAGEUZI GO BACK TO NOMAL LIKE 1994..🙏🙏🙏🙏

    • @polloz77
      @polloz77 4 ปีที่แล้ว +2

      NCCR ni chama cha upinzani Tanzania next election

  • @michaeltarimo2241
    @michaeltarimo2241 4 ปีที่แล้ว +16

    Namshuri Mwamba Mbowe ajiuzulu uwenyekiti akinusuru Chama, laa sivyo atabaki yeye na familia take. Magufuli hoyeeeeeee

  • @kijubakidiza5181
    @kijubakidiza5181 4 ปีที่แล้ว +5

    Hekima busara na unyenyekevu ndo sifa ya uongozi sema kwa mwaka huu tutayajua mengi mamaaaaaa kweli siku ukiona mgoni anasifiwa ujue mwenye mke kaharibu zaidi

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 4 ปีที่แล้ว +6

    CCM 1

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 4 ปีที่แล้ว +26

    JPM NI BABALAO, MAJALIWA NI BABALAO, MAKONDA NI BABALAO, WELCOME TO CCM

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 4 ปีที่แล้ว

      😁😁😂😁😁

    • @lameckmichaelmagazi6345
      @lameckmichaelmagazi6345 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @daudmakolo5244
      @daudmakolo5244 4 ปีที่แล้ว

      Haya ni mambo ya kawaida sana,yaani sana.lengo kubwa la vyama vya kiimla kama vile ccm ni kuhakikisha kwa gharama yoyote wanaendelea kutawala na sii kuongoza,ili kuficha dhambi na makosa mengi waliyoyafanya,huku wakiendelea kujificha ktk andiko kuwa hakuna mamlaka isiyotokana na Mungu.ccm wanataka kutuaminisha kuwa tz hii hakuna tatizo lolote isipokuwa tatizo ni mbowe na chadema.mbona hatusikii mrema akifuatiliwa naye ni mwenyekiti wa kudumu wa tlp.ujue huyo ameingizwa na kuukubaki mfumo.kwa watu wenye mawazo mapana kama mbowe lissu myika,hawatakiwi kabisa.bahati mbaya watz wengi ni fuata upepo,hawana misimamo.tutayumbishwa sana.nchi inamatatizo lukuki lakini tunaelekezwa kuwa tatizo ni mbowe na chadema!!!!Mungu tukumbuke watz tunahitaji msaada wako baba.

  • @alphoncemwilolezi9131
    @alphoncemwilolezi9131 4 ปีที่แล้ว +11

    Acha waisome no

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 4 ปีที่แล้ว +9

    Pipoooooozi Pwaaaaa!

  • @sarahasajile1271
    @sarahasajile1271 4 ปีที่แล้ว +3

    Karibu ccm

  • @phabianstephano8279
    @phabianstephano8279 4 ปีที่แล้ว +1

    Short and clear

  • @AbdalahKileo
    @AbdalahKileo 4 ปีที่แล้ว +4

    Hongera Mhandisi Mustafa Muro kwa maamuzi yako ya busara.

  • @michaelmakori7324
    @michaelmakori7324 4 ปีที่แล้ว +9

    CCM no 1

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 หลายเดือนก่อน

    Wakati
    Una
    Me,ngi.

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 4 ปีที่แล้ว +10

    Meli inazidi kuzama.

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 ปีที่แล้ว +6

    Kumbe bado umebaki ukawa , bora mngeenda ccm

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana kwasafari ndefu ya kisiasa

  • @deisdediterkomba6369
    @deisdediterkomba6369 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kujua combo ulichopanda sio. Shuka wahi kwenye chombo imara

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 4 ปีที่แล้ว +2

    Hilo genge kabisa lakini watu wakiwa zaidi ya wa3 anatakiwa ashitakiwe. Kingine mutuambie story ya Tundu lisu chadema munajuwa %85.

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 ปีที่แล้ว +8

    2015 mawaziri wakuu walio jiunga na chadomo walikuwa tayari mafisadi!stupid!yote tunayajua na tulikuwa tunayajua!watanzania sio wajinga kihivyo 🇹🇿

  • @emmanuelurassa4852
    @emmanuelurassa4852 4 ปีที่แล้ว

    Chadema hatuoni shida sna Kwanza jiwe alishasema atahakikisha mpk mwaka 2020 hakutakuwa na upinzani tz kwa hyo his no njama tu

  • @JOHN16verse33
    @JOHN16verse33 4 ปีที่แล้ว

    Duh Mwamba kiboko!

  • @hamadali9159
    @hamadali9159 4 ปีที่แล้ว +5

    Kulewa sifa umegusa sehemu sawa

  • @christiankiponda4639
    @christiankiponda4639 4 ปีที่แล้ว +5

    Freeman Aikaeli Mbowe, ni Mtu wa Dhuluma, na Tamaa, hasa Upande wa fedha, huyu freeman Mbowe ni Mhuni, wa Mjini, hafai hata kumkabidhi, Ukuu wa Wilaya, pia Anapenda sana Uchi, hapo kaka Uliingilia, Mapenzi ya Watu, huyu Freema amemdhulumu, Dj Gerald, Kiinua Mgogo chake, alichafanyia kazi pale kwa Miaka Mingi, dhulumu jadi yake, Na kwa nini hataki Mtu achukue kiti chake, anacho ogopa kutoka kwenye kiti, ni yale Madudu, aliyofanya, ameiba pesa nyingi za Chama.

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 ปีที่แล้ว

      Ameiba pesa serikali yako ya ccm kwanini haijamkamata hadi leo toka 2004 acha upuuzi wewe

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana ndiyo siasa

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 4 ปีที่แล้ว +3

    KICHWA CHA NYOKA HAKIWEZI KUBEBA MZIGO, DUU FAFANUA,.
    WAOGA WA DEMOKRASIA, DEMOPHOBIA

    • @jovinusrwegoshora3206
      @jovinusrwegoshora3206 4 ปีที่แล้ว

      Watu muwe waelewa mtu kapata ziro form 6..hataogoza watu litoeni limbowe ndo linavulug

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 ปีที่แล้ว +1

    Chadema wamepata laana kumbeza mzee sumaye .

  • @davidlucas5445
    @davidlucas5445 4 ปีที่แล้ว

    Etwa chadema

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweri baba safii kabisa

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 ปีที่แล้ว

    tanzania upinzani hawendi mbele kwa unafiki maisha mtatawaliwa na ccm kwa ujinga wenu

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 4 ปีที่แล้ว +1

    UNAFAA KUWA MBUNGE,UNA UWEZO WA KUJENGA HOJA.

  • @mbonireamina6497
    @mbonireamina6497 4 ปีที่แล้ว +4

    Mtahama sana lakini hamtakuwa salama atakayekuwa salama ni yule atakayehamia CCM. Nia ya Magufuli iko pale pale kuvimaliza vyama vya upinzani. Ameanza na CHADEMA kitafuatia NCCR maana kitakuwa na nguvu kisha vingine vitafuatia. Hata Mbatia anapoteza mda wake labda afaidi Ruzuku. Magufuli akishammaliza MBOWE anafuatia MBATIA.

    • @lameckadusso7601
      @lameckadusso7601 4 ปีที่แล้ว

      Ninyi mnatetea ugali viongozi wasaliti ni ninyi Tena nawaombea mbaki msichaguliwe

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 4 ปีที่แล้ว +6

      Raisi wetu sio kwamba anamaliza upinzani si kweli ila wamepoteana wao kwa wao kwa kucheza na team bora kama Raisi Magufuli. Usitegemee team ya ndanda ikamshinda barcelona never na bado watahangaika sana kama wasipoungana na raisi na wananchi kwa ujumla . Rais Wetu endelea kuinyoosha nchi bado inapindapinda kidogo

    • @rogermomodesty3568
      @rogermomodesty3568 4 ปีที่แล้ว +1

      Umeongea pumba tu Magufuli unaemtaja ushawai kumsikia akiwaongelea upinzani hata siku moja Rais yeye anapiga Kaz tu, lakin nyinyi hamuishi kumtaja taja ndicho kinachowaua mbwa nyie

    • @Jastus100
      @Jastus100 4 ปีที่แล้ว +1

      Rais hana mambo ya kuongelea chama, na huwa anasema analeta maendeleo kwa watz wote sio ccm tu

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 4 ปีที่แล้ว +2

      Sisi tunaomuelewa rais wetu tunamuombea mazur kwa Mungu azidi kutuongoza vizur na kuipeleka nchi yetu mahali pazur zaid hii nchi ni yakwetu sote inatakiwa tumuunge mkono

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 4 ปีที่แล้ว +2

    Kwann mnafanya hayo sasa?

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 4 ปีที่แล้ว +6

    Saccos kwaeri byee ntakumis kwa vituko vyako

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d วันที่ผ่านมา

    Nenda ccm acha kulalamika

  • @chrisiasbrown2208
    @chrisiasbrown2208 4 ปีที่แล้ว +2

    Naona wanamsafishia tu njia magufuli.. Uchanguzi huu Hawa wapinzani huenda wakaambulia patupu...

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbowe anatakiwa afungwe. Ni muhimu, ni mwizi na mudanganyifu. Kawaibia Watanzania kodi zao. Kakaa kwenye jengo la serikali kwa miaka mingi bila ya kodi kwa mabilioni kakichukuwa chama cha Chadema kama mali yake binafsi. Wakati Dr Slaa alikuwa ni kiongozi chama hiki kilikuwa na chama cha kuheshimika. Sasa kashikikia madaraka MWIZI namba moja.

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 4 ปีที่แล้ว

    Kwa hiyo kila mkivamiwa ni ccm chunguzen kwanza Kwan magufur ana plesha gani kwa mfano adi apige miguu ya mbowe jaman au kateguka kwenye vigae

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +4

    Maskeen MBOWE SO SAD WALLAH

  • @stephenchelele5704
    @stephenchelele5704 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyekit km unaitaji chama kiwe hai tunaomba ujiudhuru

  • @JosiaMsechu
    @JosiaMsechu 3 วันที่ผ่านมา

    Huko unapoenda wao wamekamilika

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa jinsi unavyoeleza kaka nimeaminimi kweli CHADEMA ni chaka la wahuni na watekaji. Yawezekana wanatekana wao kusingizia serikali achana na hao wahuni ndugu watakuua

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 ปีที่แล้ว +1

    Chama bado kipo imara sana.....mnaondoka siyo kama dr slaha au lowasa.....
    Chama ni watu wa chini siyo juu

  • @khadijacharles2433
    @khadijacharles2433 4 ปีที่แล้ว +2

    Sasa hivi nimekuelewa baba

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 ปีที่แล้ว +2

    Tutasikia mengi

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 4 ปีที่แล้ว

    Asante bola ulivyoondoka ccm na atukutaki nenda ukouko ccm tuachie wenyewe

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 4 ปีที่แล้ว

    Mɓwowe uriƙosea ƙuchuƙua mahamuzi ƙaɓula ujayashiriƙisha wenzaƙo jua unapo ƙua ƙiongozi jua unawaongoza wanao ƙuzinɗi ata Erimu

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 2 หลายเดือนก่อน

    NCCR MAGEUZI MBONA PIA PANAWAKA MOTO?? AU MNAENDA CCM? ILA MNAZUNGUKAZUNGUKA TU?

  • @justuswaziri5691
    @justuswaziri5691 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana, ila akili ya kuambiwa pia ongeza na ya kwako

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 4 ปีที่แล้ว

    ukiama chadema unakuwa yuda chapu Neno kuu chadema usaliti

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 3 ปีที่แล้ว

    Siuwende bhana usitupigie kelele

  • @kenethmwangoka981
    @kenethmwangoka981 4 ปีที่แล้ว +5

    vyama vya kihuni havina utaribu wa kinidhamu wanatumia lugha za stend

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 4 ปีที่แล้ว

    Jamaa kuna waikato anasound kama Lowasa.

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 4 ปีที่แล้ว

    Piga kelele kwa ccm yake mtaisoma namba

  • @freebeguronu5948
    @freebeguronu5948 4 ปีที่แล้ว

    Wewe ni mwongo wal ali ndogo

  • @lauriankajugusi3971
    @lauriankajugusi3971 4 ปีที่แล้ว +2

    Chama ni kama dhehebu. Kasisi akikùudhi hutohama dhehebu, kwani huwi dhehebuni kumuabudu kasisi hiyo, Bali Muumba.Kama isingekuwa mwanasiasa malachi, usingemkimbia Mbowe, Bali ungesimamia haki zinazopokwa na mababe hao wachache,ikizingatiwa kuwa hata wao hawakuihasisi chadema. Punguzeni woga km kweli mmeamua kuwa wanasiasa.

    • @issamasimba9813
      @issamasimba9813 4 ปีที่แล้ว

      Wewe ni mwehu umenunuliwa ukaambiwa nenda cuf ili usijionyeshe ccm utaenda badae mbwa wewe

  • @peteryohana7710
    @peteryohana7710 4 ปีที่แล้ว +5

    Upepo wa kisulisuli kweli mhhhhh

  • @jumamaguya622
    @jumamaguya622 4 ปีที่แล้ว

    Kuna pipoooooooz hapo tena nashauli mbowe ajiudhuru kwa mapenzi ukiona watu wako wanakudharau wanakukimbia je Kama kiongoz unaona unakimbiwa jitambue kuwa sera au umalufu wako umekwisha sasa soma nyakati ondoka taratibu chama kimekushinda ila kwa kuwa upo hapo kwa masilai utapuuza haya

  • @mngwaliallykizangwa5888
    @mngwaliallykizangwa5888 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukosefu was adabu,hilo umenena.

  • @honestmrema5190
    @honestmrema5190 4 ปีที่แล้ว +1

    Njaa mbaya sana

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 4 ปีที่แล้ว

      Angebaki chadema asingekuwa na njaa

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 4 ปีที่แล้ว

      Unasema kweli mkuu matusi ni moja ya sera zao hata Wanachoma wake wameambukizwa hicho soma tu comments zao ni matusi tu utajua tu huyu ni chadomo wakifungua midomo yao utashangaa

  • @amanirashid9011
    @amanirashid9011 4 ปีที่แล้ว +1

    nasema nabado

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 4 ปีที่แล้ว +2

    Story zakutunga w utukanwe utishiwe maisha halafu usishitaki police?!

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 4 ปีที่แล้ว

    Mangu baba lao tuliwambia mta elewatu Ila mtachelewa

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 4 ปีที่แล้ว

    Kagame umesomeka vizuri

  • @juliananguma8981
    @juliananguma8981 4 ปีที่แล้ว +1

    Tulishazoea sana

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 ปีที่แล้ว +1

    Wacha waisome namba eee CCM MBELE KWA MBELE. COM MBELE KWA MBELE 🤣🤣🤣

  • @samuelminja1084
    @samuelminja1084 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbowe na lipumba ni zena na betina wajinga sana😂😂😂😂😂😂😂 kwisha kazi yao

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 4 ปีที่แล้ว +1

    Ila angalieni na huko mnakohamia; ni mangis wale wale. Catrevi!

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 4 ปีที่แล้ว

    Mɓowe naƙushauri acha ƙutia nia ƴa ƙugomɓea ƙaa pepeni uƙaturie ƙwanza vinginevƴo utaoofiƙa sana

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 4 ปีที่แล้ว

    Ukitoka Chadema mtu mdogo kama Diwani Muro anatumia dakika 20 kumshambulia Mbowe ujue huyo mtu amenunuliwa na CCM maana ndio target yao. Muro umekaa cdm miaka 5 leo hii ghafla ndio unagundua cdm kuna tatizo na dawa yake ni kuhama haraka haraka. Ungebaki cdm upambane mumo kwa mumo.

    • @bernadiboniphace4844
      @bernadiboniphace4844 4 ปีที่แล้ว

      Vyombo vya abali mnatumika mpaka na Malaya wa kisiasa

  • @peternkohi8830
    @peternkohi8830 4 ปีที่แล้ว

    Hapo hakuna kitu

  • @yohanantunga9657
    @yohanantunga9657 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbowe ni hazina kubwa sana ya tz ningumu kuwa na kiongozi mzalendo kama huyu. Chandema tunawaelewa sana wakiwa bungeni. Wanatutetea wananchi ccm wanaitetea sana serikar

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 ปีที่แล้ว

    Nakuaminia kutomung'unya maneno

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 4 ปีที่แล้ว

    Mta lopoka yote mwaka huu ccm ipo juu

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 4 ปีที่แล้ว

    Nilifikiri kinachozungumzwa kina maana kumbe pumba tupu aise pole sana

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 3 ปีที่แล้ว

    Haka kajamaa naona kama kanabwabwaja bwabwaja tu hata hakaeleweki hakuna mtu wa kukuambia vitu kama hivyo kuwa eti usichangamane na watu hayo ni maneno yako

  • @teonasijoseph3212
    @teonasijoseph3212 4 ปีที่แล้ว

    ila ninyi wanasiasa wote mnapigania matumbo yenu hakuna chama kilicho safi TZ.. kwa ninyi viongozi mlio kwenye hii press why hamkuondoka before mwaka wa uchaguzi, kulikua kuna mwaka jana, mwaka juzii...ACHENI NJAA

  • @hamidumwanganga149
    @hamidumwanganga149 4 ปีที่แล้ว

    Maendeleo gani ulioleta kinondoni yani mungu anakuona uchaguzi hupiti umejipima umeona haufiti kwenye udiwani wako ni bure kabisa tuachie chadema yetu ludi ulikotoka

  • @tariqmussa8099
    @tariqmussa8099 4 ปีที่แล้ว +1

    Waache wakaze shingo kama farao watapotea wote