Bonswa bontravay nan non jezi amen ensemble anfanmi se pou bondye kontinye beni nanm ou e mèsi jezi pou santé a souffle de vie pour diriger wap diriger la vie famille et L'église adore et louranje amen mèsi jezi bon lundi soir
Bonge la nyimbo Mungu awabariki sana wote waliofanikisha kazi hii. Singers 🗣️ sound engineer 🔊 Organist 🎹 composer 🎼 studio 🎙️e.t.c wote kwa pamoja kwa upendo mmeifanya kazi hii kua bora. Hongereni 👏 kwa hilo.
Hakika Mungu ndiye ajuaye Hongereni sana. Hongera Shimanyi.....niwambie kitu wakati wa Mungu ndio sahihi...watawaelewa tu...msichoke kutenda haya mazuri lkn Mungu kwanza na katika roho na kweli....wana Karoli Lwanga big up.
Asee nabarikiwa sana na nyimbo zenu mko vzr sana
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu asanten ila karibuni mwanza jimbon
Nimewapenda mnoo jmn mnoo, kumbe sio kizito tu
Hongereni sana wapendwa Mungu awabariki
Nilichelewa wapi mm, nimeupenda sanaaaa huu wimbo hongereni Sanaa mbarikiwe kaz nzuri
Yesterday is gone ,today is mine what Almighty has gifted me with ,tomorrow belongs to Him!
Mwenyezi Mungu awabariki kwa uimbaji mzuri.
Nyeye wanakwaya mnanikosha balaa
Very nice song plus the attire and sounds
Hii nyimbo inanibariki sana
Bonswa bontravay nan non jezi amen ensemble anfanmi se pou bondye kontinye beni nanm ou e mèsi jezi pou santé a souffle de vie pour diriger wap diriger la vie famille et L'église adore et louranje amen mèsi jezi bon lundi soir
my passion
Wimbo mtamu Sana hongerenii na mung awasimamiee ktika utumishi wenu
Hongereni mmechangamka jmn
Bonge la nyimbo Mungu awabariki sana wote waliofanikisha kazi hii. Singers 🗣️ sound engineer 🔊 Organist 🎹 composer 🎼 studio 🎙️e.t.c wote kwa pamoja kwa upendo mmeifanya kazi hii kua bora. Hongereni 👏 kwa hilo.
Well and good
Tommorrow belongs to Him the Mighty God.
Mimi naja kucheza nao.Jina la mwenyezi Mungu liinuliwe milele yote.
Ujumbe mzuri waimbaji Safi ♥️kikubwa wanadamu tumgeukie Mungu kesho ni fumbo👏💕
Yaaaani this song ❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sichoki kuwasiliza, hakika mko juu. Ujumbe nao ni murua. Mungu awabariki na kuwatia nguvu.
Hongeren sana
Nawapenda,bur
sweet one
Tusifu sana, tusali sana kila wakati ......... hongereni sana wimbo mzuri mno.
Kazi nzuri sana Mungu awabariki 🙏🥰
Nawapenda na nimewamiss
Mbarikiwe sana kwa uimbaji wenye mzuri
moto kama pasi ya makaa. TZ big up. u never dissapoint. nice piece Karoli lwanga
Wimbo mtamu sana ..na mubarikiweni wanachoir..Kenya twawapenda sana 🙏
Wimbo umetukuka
❤...hakuna kweli aijuae kesho yake....
Nimewakubari
Safi sana organist, umenikosha, excellent vocals
Kazi nzur sana Mungu awabariki
Hongera Mwl. Fortune Shimanyi, waimbaji na wote waliosaidia kuifanikisha hii kazi. Mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri.
Hongereni wapendwa ktk kristo
Nice song congratulations may God strengthen your faith to countiue priseing.
Hakuna aijua kesho yake. Mbarikiwe sana wanakwaya. Mungu ni mwema.
Hawa ni mafundi aisee
Beautiful song...Much Love from Kenya.
Gostei
One of the best hekima ya Mungu
Hakika Mungu ndiye ajuaye Hongereni sana. Hongera Shimanyi.....niwambie kitu wakati wa Mungu ndio sahihi...watawaelewa tu...msichoke kutenda haya mazuri lkn Mungu kwanza na katika roho na kweli....wana Karoli Lwanga big up.
Amina kakalucas shirima mungu akubarik. Sana
@@telesiaidani2778Roho yangu Ina jaaimani kwa wimbo huu hogela sana kwa wibaji Munzuri wa mafuzo amen
Likeee
Hongereni kwa mashairi mazuri na sauti tamu.Jina la yesu litukuzwe Daima Amina
Love from india
Good one
Saifi sana nimewapenda sana
Tujaliwe hekima ya Mungu
Hekima Kweli....
Songs of the year, your songs are a great inspiration and a blessing to me
Great very nice🌺🌺🌺🌺🌺🌻🌻🤼🤼🤼
❤❤
God is great this song is very nice i keep in my mind
Amina
Hakika mnasitahili pongezi kazi nzuri sana .....kama ni Album hii ni yamwaka
❤❤😊
Asanteni kwa kutukumbusha kesho yetu ipo mikononi mwake..Nice message over there
Mungu no mwema
Hamjawahi niangusha kwakwel yaan nyie nitakuja kuimba na nyie 😂
Jesus is Lord 🙏
Asanteni❤
I love it 👍👍👍👍👍👍
Sasa tunaomb mziweke audio mark kwa urahisi zaidi
💚💞💐
Nipo Mbeya.. Album yenu naipataje?
Yupo Mungu
Asanteni🎉❤😂
Please translate to English
Mko safi siku 11 tu 2,700 views naomba tusaidiane kusub naona mna account yenu