Tuliahidi tukibarikiwa kwa njia moja au nyingine tutashukuru❤️❤️❤️ Haya tumebarikiwa🤗🤗 SASA TUSHUKURU🎉🎉🎉 Je ungependa kumshukuru Mungu kwa jambo lipi??😊😊
Huu wimbo unanikhmbusha Maisha yangu yalivyokuwa.Hakika hizo hatua zote nimepitia.Nikapata Shule,kazi,mchumba,harusi,mtoto hakika nashukuru.Katika maombi yoteyawezekana yeyote ambaye amekata tamaa kuwa Na uvumilivu yote yawezekena.Nililia Kwa Io safari Lakini polepole Mungu akatenda Kwa wakati wake haikua rahisi...To whoever may it be get encouraged
Oh my, I thank you God for saving my son on Monday early morning accident, the car rolled n ikaisha hivo but my God Our God saved his life, evrytime I remember how that car is, I just cry n praise God with joy filled in my heart. Words are not enough but Mass is a must🙏🏼
Tuliahidi tukibarikiwa kwa njia moja au nyingine tutashukuru❤️❤️❤️
Haya tumebarikiwa🤗🤗 SASA TUSHUKURU🎉🎉🎉
Je ungependa kumshukuru Mungu kwa jambo lipi??😊😊
Very nice ❤❤❤❤
@@SautiTamuthank you ❤
Hongera dada,so nice
@@emeldaakinyi3055 thank you❤️❤️🙏
@@mercymutisomusic anytime mum
Eeh Mungu endelela kututimizia hitaji letu....nakushukuru Kwa kuwa Mimi ni Padre ❤❤.
Sante Kwa yote Moyo Wa shukrani kweli....
Hongera mnoooo Mercy 🎉
Woooow the song is so sweet...Mungu amenijalia nimepata Masomo kazi nimepata Mali nimepata,Na Na jua atanibariki Na mume na familia....🎉❤
Huu wimbo unanikhmbusha Maisha yangu yalivyokuwa.Hakika hizo hatua zote nimepitia.Nikapata Shule,kazi,mchumba,harusi,mtoto hakika nashukuru.Katika maombi yoteyawezekana yeyote ambaye amekata tamaa kuwa Na uvumilivu yote yawezekena.Nililia Kwa Io safari Lakini polepole Mungu akatenda Kwa wakati wake haikua rahisi...To whoever may it be get encouraged
@@paulinemusyoki4197 soo encouraging❤️❤️
Na Mungu azidi kukubariki🙏🙏🙏
@mercymutisomusic amina
From TikTok ❤I love this song 🎉
Keep the 🔥🔥 Bunning doing God's work
Hogera sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
My Sunday school teacher be blessed
What a song ❤❤❤...it is a big inspirAtion
🎉🎉🎉🎉❤aaaaaw am about to misuse this sound congratulations mercy🎉🎉
Baba nashukuru kwa maisha mema🙏🙏
@@Winnylokong Amina🙏🙏
Hongera sana Mercy. Wimbo huu ni nzuri mno.❤🎉
Congratulations the song is very motivating🎉
Tena na tena ,najipata nikiutazama wimbo huu nimshukuru Mungu pamoja nanyi ,,,
Kazi safi sana ,,,,
Baraka tele Mercy na timu nzima hii 🎉
Asante sana❤️❤️
Barikiwa 🙏🙏🙏
Kazi nzuri
Asanteee🎉🎉
Thanksgiving spirit 🎉itutawale
@@PATRICKKYALO.SacredVoicesKenya kabisa🙏🙏🙏
Gratitude increases Blessings...thanks for this beautiful song full of Thanksgiving 🙏
@@paulinewanjiru1954 You are welcome🙏🙏❤️
Congratulations my sister❤🎉🎉beautiful Thanksgiving song ,,keep going ,,you are a blessing to many ,,if humility was a person!!!!❤❤
Thank you so much my sister❤❤❤❤
Hallo ❤❤ wimbo mtamu sana be blessed 🙏 mercy
Thank you so much ❤❤
Hongera Dada mercy mutiso kwa wimbo mzuri sana hakika yapasa Tumshukuru Mungu tunapojaliwa tusisahau kushukuru 🎉🎉🎉🔥🔥🙏
Oh my, I thank you God for saving my son on Monday early morning accident, the car rolled n ikaisha hivo but my God Our God saved his life, evrytime I remember how that car is, I just cry n praise God with joy filled in my heart. Words are not enough but Mass is a must🙏🏼
Congratulations 👏👏 mercy for the talent 🙏...sweet song.....keep it up and going far indeed
@@winfidepurity3401 amen🙏 thank you🙏❤️
Mungu nakushukuru Kwa yote Yale.... Asante Kwa umbali huu
Loving every bit of it🥰. Kazi safi🔥🔥🔥
Thank you so much 🥰🥰🥰🥰
Congrats mercy ❤❤❤my role model🎉🎉🎉
Congratulations 👏🎉 our own mercy mutiso,,great work
Thanks a million🎉🎉
❤❤❤....that's awesome
Niiice mercy ❤❤❤❤❤
Thank you ❤❤❤
Wimbo mtamu Sana Aiseeh 🙏 hongereni saana waimbaji na Mtunzi Piah Mungu Apewe sifa🎉🎉🎉
@@MARIAGORETHDIHOMBO Asantee🙏🙏
Nice song,, 🎉
Congratulations dear mercy 🎉🎉🎉
This one ni 🔥🔥🔥
Thank you so much ❤❤❤🙏🙏
Asante kwa wimbo mzuri Sana wa shukrani❤❤❤
Karibu❤❤❤
Hongera sana my dear sister...Mercy this is wonderful..been your fan for yrs❤🎉🎉🎉
@@wangai-maestrojose thank you so much🙏🙏 barikiwa❤️
Woow in love with this song❤❤❤have listen more than 5times ❤❤❤❤congratulations mercy 🎉
Thank you so much❤❤❤❤
Share widely🙏
Aww ❤❤this one is nice ,congrats mercy 🎉🎉❤
Thank you so much 🙏🙏❤️❤️
Estás de parabéns querida pela canção é uma canção muito linda! Aqui estou a teclar apartir de Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hongera Sana Mutui.. Beautiful song
Exceptionally produced! Keep going dear Mercy.
Thank you so much dear❤❤❤
Moto Moto hongera dada!!!
@@assumptermwende5284 asante sana🙏❤️
Thank you Mercy for this song🙏🔥❤️❤️
You’re welcome ❤️❤️🙏
🙏🙏
Keep up@@mercymutisomusic
Woow❤❤❤I love this mercy....hongera sana
Thank you Mary❤❤❤
Asante kwa wimbo mzuri. Shukrani kwa Mungu kwa kipaji kya uombaji❤❤❤
@@SagesseMwira Amina🙏🙏
Asante sana dada❤️❤️
Glory to God❤ 🙏 congrats Mercy👏
Thank you 🙏 🙏❤️
I just love this song.
Congrats Mercie 🎉🎉🎉...the song is 🔥🔥🔥🔥
Asante sana❤❤❤
Nice song my sister 🙏🙏
@@jacintandeti4728 thank you🙏🙏
❤on fire 🔥
Nice song. Barikiwe
Mmmmmh a very good and sweet song,,, congratulations 🎉🎉❤
Thank you ❤❤❤
Congratulations 🎉 the song is really a blessing.
Thank you🤗🤗
Congratulations Mercie❤️.. Tulikuwa tumekumiss sana🔥🔥
Nipo hapa sasa😊 asantee🙏🙏😊😊
parish mate hogera saaana proud of u. counting u in my prayers
@@josephMutua-gx7oh thank you so much🙏🙏
Kali sana @mercymutisomusic ❤
Beautiful piece 😍😍😍😍❤❤❤good voice
Sound Engineer kudos 👏 💪
Thank you so much🙏🙏😍
Eeeeeeeeeeiiish this one is🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🤗🤗🤗🤗
Hongera sana @MERCY for this nice piece. We're here to support you ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana🙏🙏❤️❤️❤️
What a nice song!Congratulations Mercy.Twakushukuru.
@@benjaminnzioki18 thank you🙏🙏🙏
Kazi poa teacher
@@Dorothy-x7y thank you🙏
Hongera sana dada with your team🎉. Mungu aendelee kubariki talanta yako🎉🎉🎉
Amina🙏🙏
Nashukuru sana🎉
nakushukuru mungu wangu Kwa yote ... kazi safi mercy uzidi kupandishwa
@@veromulee2461 Amina🙏Asantee🤗🤗🙏🙏
Wauh wauh wauh. Its good to say thank you everytime for everything God has done to us
Yes indeed❤❤❤
Hongeera Sana dada yetu 🎉🎉
Asante sana❤❤
indeed it's a nice song❤
Hii imeweza❤️❤️🔥🔥🔥🔥🎵 keep going my girl ❤️❤️👏
Thank you so much my darling ❤❤🥰🥰
Tuliahidi kwa mabo yote tutashukuru,hongera mercy
@@annnzioki3579 asante sana🙏❤️
Congratulations @mercy for the good work of spreading the gospel through your voice❤❤❤❤❤❤❤❤
Thank you❤❤
We thank God🙏🙏
Hongereni sana Mercy na ua team🎉🎉🎉👏 ❤
Asante sana❤❤❤
Wimbo mtamu Sana kwa kweliii❤❤❤🎉Mutisya nakuonaa😂😂🎉
Am so blessed 🙏 barikiwa sana
@@bridgitkatele Amen🙏🙏🤗
Amazing my friend❤
I want sing this song this week and this year for what I have been praying for
Aaawh❤ praise God🎉
Nice and Calm❤❤❤
Kazi Safi sana dadangu@mercymutisomusic endelea hivyo🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana❤❤❤
Nice one👏👏🔥
Kazi nzuri sana dada, mbarikiwe nyote❤
@@PaulineKinyua-up7zs amina🙏🙏❤️❤️
Hongera Dada yetu,
Perfect message👌👌👌❤❤❤
Nashukuru sana🤗
Mbarikiwe❤❤
You always amaze at every release, very nice composition!
Many thanks!❤❤❤
Hongera kwa wimbo msafi..you did it well..🎉
@@PrinceMuk1 Thank you so much🙏🙏❤️
Congratulations 🎉❤ sweetheart
Indeed it's good to give thanks...a sweet song it is
@@charlienjau7896 thank you so much🙏🙏🤗
Well done 🎉❤...Kazi safi
Thank you so much ❤❤
Hongera dada mercy,kazi njema hii,kwa yoote tunashukuru mungu wetu kwa wema wake 🙏
Amina🙏🙏🙏🙏thanks🎉
Congratulations Mercy ❤❤🥳🥳🤗🤗
❤❤❤❤great one dear
Ishi milele dadangu ❤❤❤
I love everything about Mercy 's songs!
Thank you so much 🥳🥳🥳
kazi nzuri dada yangu,,,,, 🥰❤❤
Asante kaka❤❤❤
Hongera Mercy and team👏👏
@@kamuyamary thank you🙏🙏❤️
It is nice work
Sasa Nakushuru a ni song keep going ❤❤❤ your smile 🥰🥰🥰
Thank you so much ❤❤❤❤
Congratulations mercy 🎉 wimbo mzuri ❤
Thank you Sylvia❤❤❤
Congratulations giirrrllll. To more praises to God🎉🎉🎉
Thaaaanks gal💋💋🥰🥰
I love it 😍😍🎉 the song is so sweet, God bless you ❤❤
@@makelinarichard1543 Amen🙏
Thank you so much❤️❤️
Very nice song
Keep it up mercy, wimbo una mafunzo.
@@gorretnjuguna8087 asantee🙏🙏🙏
Naipenda sana...
Safi sana namesake 😊 Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo💃
Hata mimi Nashukuru.
Nice voice, message and the video is on Point
Thank you so much🙏🙏🙏🙏❤
Wimbo mzuri 👏
Hongera sana jaman wimbo mzuri Sana ❤
@@AnnaPaschal-s8r Asantee sana🙏❤️❤️