MOSHI TENA: MADIWANI WAMKATAA MKURUGENZI WAO, WATAKA AONDOLEWE HARAKA SANA - "ANATUDHARAU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2022
  • MOSHI TENA: MADIWANI WAMKATAA MKURUGENZI WAO, WATAKA AONDOLEWE HARAKA SANA - "ANATUDHARAU"
    Madiwani 41 Kati ya 42 wa halmashauri ya wilaya ya Moshi wakiongozwa na mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Morice Makoyi, wameandika barua na kujaza fomu maalum ya kueleza kuwa hawana imani na mkurugenzi wa Halimashauri hiyo, Castol Msigala, na kuipeleka barua hiyo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, wakiiomba serikali Kuu kufanya maamuzi ya kumuondoa mkurugenzi huyo.
    Wakizungumza na waandishi wa habari, madiwani hao wamesema mkurugenzi huyo ni kiburi, Mtata na asiyependa kushauriwa muda mwingi anatumia kuwagawa watumishi na Madiwani badala ya kuwaunganisha.
    "Mkurugenzi ana mambo ya kitoto anaweza akachukua clip ya video akanitumia amemrekodi diwani au mpo kwenye kikao mnajadili maendeleo diwani anarekodi sauti anamtumia na yeye anakutumia tena wewe ni utoto kabisa, watumishi walimu na madaktari hawakai kwenye vituo vyao vya kazi kila siku anawasumbua Halmashauri sijui wanafanya kazi saa ngapi, amekuwa ni mtu anayefanya mambo bila kushirikisha vikao anajiamulia mambo yake mwenyewe.
    "Tulikuwa na ujenzi wa hospitali ya wilaya, mkurugenzi akatukwamisha anasema hatuna fedha wakati kuna MILIONI 500 za kuanza nazo lakini yeye anakwamisha" Amesema Morice Makoyi, Mwenyekiti wa Halmashauri.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 44

  • @nevackkadege6389
    @nevackkadege6389 2 ปีที่แล้ว +4

    Shida kila mmoja wao hapo anataka madaraka ya juu ...achenii tamaa hayo ni maswala ya kukaaa ofisinii na kuyajenga

  • @josephlyimo6968
    @josephlyimo6968 2 ปีที่แล้ว +1

    Mnajitafunawenyewe

  • @jan6703
    @jan6703 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji mzuri sana lakini acha hilo neno VIUNGA unalopenda kutumia mara kwa mara. Maana ya viunga ni maeneo ya nje ya mji, eneo lenye miti ya aina mbalimbali na pia ni aina ya samaki. Huwezi kuwa na viunga vya mahakama au viunga vya ofisi ya mkuu wa mkoa. Please usitupotoshe. Unatangaza vizuri sana kwa hiyo kuwa SAHIHI pia.🙏🙏

  • @munguhashindwijambo2681
    @munguhashindwijambo2681 2 ปีที่แล้ว

    Sema kimeumana,

  • @eliankya3272
    @eliankya3272 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kazibiti dili zao yale yale ya meya wa moshi wakamtengenezea mpaka kashfa ya ushoga

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula ปีที่แล้ว

    Kilimanjzo na Srusha mna matatizo sana

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 4 หลายเดือนก่อน

    Uchu. Wa madaraka mwisho wake hauwi mzuri

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 ปีที่แล้ว

    Dhuluma haijawahi kumwacha mtu slm mliingiaje ?

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 ปีที่แล้ว

    Maandamano?

  • @azizamvungi926
    @azizamvungi926 ปีที่แล้ว

    Acheni tamaa mwenyezi mungu hapendi..mtaziacha hata zikiwa Mali kiasi gani

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 2 ปีที่แล้ว

    Muonyeni tu

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 2 ปีที่แล้ว

    Kabeni, wasichezee pesa.

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 2 ปีที่แล้ว

    Hawa wazee wa Kaskazini ndio wanakwamisha maendeleo. Huyu mzee anaelalamika ni wazi kuna anachotazamia kwenye huo uongozi. Huwezi kusema mkurugenzi ni 'one man show ' kama ameshirikisha wenyeviti kutafuta eneo la kujenga hsptl.

  • @goodlucktarimo5222
    @goodlucktarimo5222 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii ndo shida ya kupata udiwan wa mchongo baba yenu kafa lazima mgombania madarakaa

    • @omaryabunwas9937
      @omaryabunwas9937 2 ปีที่แล้ว

      Na wewe atakufa babako hata wewe utakufa nyau ww

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 ปีที่แล้ว

    Jamani halmashsuri ya Moshi inahitaji uongozi km huu wananchi tunataabika na mengi esp uchumi, sasa halmashauri inapambana na ukrititimba hebu tamisemi malizeni haya mambo ni aibu tuu.mtumishi analipwa na serikali lakini awe tena mungu mtu

    • @rwakyenderajulius3861
      @rwakyenderajulius3861 ปีที่แล้ว

      Walisema wapinzani wanachelewesha maendeleo,Leo wako peke yao vipi tena?

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 ปีที่แล้ว

    Kama hataki kuendana na nyinyi mchomoeni, huyo DED NI jizi kabsa

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus8582 2 ปีที่แล้ว

    Ukabila...ukabila ....ukabila Unawasumbua Kilimanjaro

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 ปีที่แล้ว +1

    Lema aliwaambia mtawatoa mtabaki wenyewe. Mtatsndikama subirini Si mlisema Ushindi wa Kishindo sasa Mioyo ya watu ndio Inadhihirik sasa awamu ile Watu walikuwa na woga SAS hivi Kila MTU ana Uhuru wa kufanya lakee na Badoo tutaona Mengi mwaka.Huuu..

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 ปีที่แล้ว

      We Arona Digital hamna cha lema wala nini hapo ugomvi ni upigaji...mafisadi wanajitanua...acha tu Mungu anawaona😭😭

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 ปีที่แล้ว

    We we unayeongea hivi halmashauri hizi ni za wakurugenzi?

  • @nickmoshi8243
    @nickmoshi8243 2 ปีที่แล้ว

    nawaunga mkono, huyo jamaa ni ngetwa kabisa

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 ปีที่แล้ว

    Yani nyie mlishachanganyikiwa nyie wenyewe mnajikataa je viongozi wenu mtawakubari

  • @bongonews6542
    @bongonews6542 2 ปีที่แล้ว

    Nyie hamuwajui wachaga hao ni chadema magu alifoc ushind nw hayupo mbowe katoka lazma wote watapisha maadui zake

  • @maghanighanichali9519
    @maghanighanichali9519 2 ปีที่แล้ว +2

    Wachaga wanamtaka wa kabila lao .nawajuaga sana hawa jamaa.

    • @lekumolukumay6832
      @lekumolukumay6832 2 ปีที่แล้ว +1

      Swala LA uchaga weka pembeni sikiliza hoja ya madiwani yaan MTU akwishe miradi useme maswala ya ukabila

    • @maghanighanichali9519
      @maghanighanichali9519 2 ปีที่แล้ว

      @@lekumolukumay6832 Hatujasikia kama mlimpa onyo mara ngapi

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 ปีที่แล้ว

      Hapana SII kweli wanataka ukweli siyo kwamba wanamtaka mchagga una Yako tunahitaji mtu mwelewa WA kutenda haki

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian1718 2 ปีที่แล้ว

    Madiwan gani nyie mmejaa fitina na hila kama weu....kwendraaaa

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 ปีที่แล้ว

    Hivi madiwani wanapoongea kwenye vyombo vya habari wengine tunajifunza nini?

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 ปีที่แล้ว

    ..

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 ปีที่แล้ว

    Haya yote ni kutokana na uteuzi wa kujuana, tunaiomba serikali ibadili mfumo, mkurugenzi ateuliwe kwa unaratibu wa usaili(interview) pia iwe kwa mkataba,bila hivo matatizo hatoisha, halmashauri zote ni tatizo

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 2 ปีที่แล้ว

    Wapo wengi kazi imeanza

  • @jesuittemba663
    @jesuittemba663 2 ปีที่แล้ว

    ushamba

  • @bongo39
    @bongo39 10 หลายเดือนก่อน

    Nyie watu vipi kila mtu mnamtoa kasoro huyu hafai huyu hivi wacheni ukoloni wenu wacha watu wafanye kazi nyie madiwani ndio wapigaji wakubwa

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 ปีที่แล้ว

    Wanataka majengo ya kisasa ya kudumu. Ghorofa ndo Safi kabisa. Hakuna kuogopa nyau. Watu wote Hao sio wajinga. Na majengo ya hovyo hovyo Moshi ni mwiko.

  • @stephensmbwambosenkondo797
    @stephensmbwambosenkondo797 2 ปีที่แล้ว +1

    Watumishi wa moshi DC wame kua wakilalamika
    Hata malipo ya haki kisheria Kama likizo na transfer mkurugenzi amekua haruhusu
    Mengi watumishi wamekaa kimya

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 2 ปีที่แล้ว

    Hatutaki mashoga wawe na nafasi yoyote ndani ya Serikali yetu

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 ปีที่แล้ว

    Nitoe wito kwa maDED wote nchini ebu wasikilizeni madiwani

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 2 ปีที่แล้ว

    Wakurugenzi wengi WA Rais magufuli walichukuliwa kutoka mtaani kwa hiyo ni shida sio huko tu halmashauri nyingi zipo hivyo ni hovyo kabisa

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 2 ปีที่แล้ว

      Uteuzi wa nafasi za ukurugenzi wa halmashauri wangekuwa wanateuliwa kutoka nafasi za MA-WEO

    • @emmanuelsimon545
      @emmanuelsimon545 2 ปีที่แล้ว

      Mama alipoingia katoa wakuu wa wilaya na wakurugenzi huyu alimuweka yeye inaonekana hujui hata usemalo