Mwalimu aacha kufundisha na kuanza kuuza Maji mtaani, aonesha vyeti vyake,
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2018
- Bilo Sid Bilo ni kijana anaishi mkoani Kigoma, Baada ya kumaliza masomo yake ya uwalimu mwaka 2015 na kuanza kufundisha moja kati ya shule ya secondary ya wasichana mkoani Kigoma kwa miezi 7 baada ya kukosa ajira serikialini na kuamua kujitolea katika shule hiyo.
- บันเทิง
Safi sana kijana,vijana wengi wanang'ang'ania majina Makubwa wakati halileti hata pesa ya ugali,endelea kupambana utafika mbali💪💪💪
Mashallah, nimekuelewa Teacher, hongera sana
daah pole sana brow mungu atakusaidi utafanikiwa katika mipango yako
Mungu akutie nguvu brother Mungu hawezi kukuacha yupo pamoja nawe
Dah good brother. Hakika umenigusa sana . Wewe ni jembe na InshaAllah utafanikiwa sana kaka.
hongera sanaaa mwalimu. A teacher is a Jeck of all trends
Very good mwalimu mwenzangu ..na mm nimemaliza chuo 2015 na sasa cna mpango wa kuajiriwa coz nimejiajiri mwenyewe
Naomba siri ya mafanikio
Bado 2015 mpo jamn ss i 2016 uwii madam Mie atari
ww ni mfano wa kuigwa kaka mungu akufungulie milango ya baraka na familiy yako mungu aikumbatie .
Nimekuelewa sana brother big up
Mungu akulinde na malengo Yako usiyaweke wazi sana siyo Kila mtu anapenda maendereo Yako kaka.
Big up sana brother, mwenyezi mungu akusimamie.
Safi Sana braza upo vzr
Mungu Azidi kukuinua zaidi brother
Big up.....Sana nimekuelewa sana
mh
Upo vizuri mwl kwa maamuzi mazuri
well done mwalimu tukaze buti
Hongera sana , na mkeo ajivunie
Welldone!
Safi kaka angu
Safi sana kijana unaakili nakupongeza kwa hilo
Huyu ndugu ana akili nyingi na watu wa namna hii ni wachache sana duniani
Umetisha Teacher
Hogera sana brother mungu hatakuacha kamwe.
Noma sana
Vizuri sana we ni mfano wa kuigwa kongore yako
Umetisha bro
Imana iguhezagile
Inspired
daa nimekuelewa sana
safi sana bro. nimejifunza kitu
Kaza buti blo
Amazing
#nyumbatamu kweli ubunifu muhimu hongera sana
Shemeji yng nakukubali saaana na Leo umeniletea maji wewe ni jembeee
Atusajiye Japhet
Big up. Simamia unachokiamini najua utapingwa na wengi ila hatima ya kesho yako iko mikononi mwako.
Umenifungua kichwa kimejaa sumu namimi ngoja nijitose ktk fursa iliyoko mbele yangu ila napuuzia nikilinganisha namazingira niliyopo ingawa malipo siyo kama kazi inavo onekana
ASANTE BRO ACHA NIJITOSE NAMIMI
Rashid Busanya mazingira si tatizo wewe si mti ndugu yangu you can move and change if you have thirty of success
1st comment
Teacher kaza nyie ndio mnatakiwa
#hapa kazi tu😀😀😀😀😀
Hongera sana
Welldone
kazi kazi tu
Hunajitambuwa Sanaa kaka
Hongera
Hongera bro.. Mungu akusimamie una akili saana
Maa shaa Allah
This is so challenging...I've learnt something. .God bless you Bro
asante sana kaka umenifungua
Nice bro
Mungu akutie nguvu napenda wanaume wanaojituma
Tupo
Hata wanawake wanaojutuma pia Wana pendwa Sana.
We tutaenda sawa ndg
Hongera sanaaah kaka...kaz Nzur koz unakula jasho lako big up brother @
Na mimi nilisomea kilimo na mifugo nimejuariji mwenyewe nipo kijijini ninangombe wa maziwa ninashamba la matunda nauza maziwa nauza mapapai maparachichi, ndizi, kuku wa nyama, na mayai nimeweza kufungua biashara yangu kubwa tu mjini ya kuuza kuku wa nyama kwenye friji. Na nimejenga huku huku kijijini nyumba kubwa, nipo huru mimi na kilimo tuu
well done
This is IQ good
حياتك من صنع أفكارك
Maisha yako yanatengenezwa na fikra zako
hatua nzuri
Nimekupenda bure
Wajinga hawatokuelewa brother Mimi nimmoja wawale wenye ndoto yakujiajiri full stop. Salyut to you my young brother 3years later waliokaa kusubiri ajira watarekebisha kauli zao.
Woiiii God Help us
Nunua pikipiki angalau itakusaidia utaokoa muda pia.vizuri kaka
kweli kabisa kamanda
#mtuwanguwanguvu mirrad ayo kama unamkubali mirrad ayo dondosha like yako hapa
Dar niwachache wenye usubutu kama wako . Wengine nawaona wanapenda kulewa sifa za majina na kutoangalia wanachoingiza
Hiyo ndyo Tanzania tunayoitaka
Hongera sana bro heshima sana kwako.
Nzur kaka angu kaza Mungu atakujalia
Usiwafiche brother waambie ukweli hawana hela yakukulipa maana watu waroho kubwa naninauhakika labda wakupe milion moja kwenda juu ndiyo kidogo inaweza kukusha wishi
Safi sana
Ajira jamani zina chelew
Serikali imekupa ajira MBOLIBOLI iringa hongera kwa hilooo......
Ukweli nimekumbuka home kgm pia ongera sana kijana
ww unajielewa kabisa
Kaza buti dogo
Kweli mm nilimuona jirani yangu anauza dagaa kwa baiskeli huko zanzibar nilijua hajasoma kumbe anadigree wallah kaoa na kajenga mjengo kawashinda waaliim
Ndugu yangu Hawa wanouza dagaa mara nyingi huwa ni watu wa kazi za watu Ile kuuza dagaa ni zuga tu 😎😎😎😎😎
Mpaka mueshimiwa atoke
TUTAPATA TABU SANA
Ajira how's, lap top hewa, Noah hewa na bado
Duh kijana jasiri huyu
Ukitoka hapo et dem aje kuomba pesa na yy anapga mkwanja kwako dah
ndo maisha ya Mtanzania inabidi tujiongeze tu
Huyu ni mpambanaji apatiwe ajila afundishe watoto wetu
millardayo hiiinikweli nakamanikweli kuanzialeo najiajiri
Pongezi sana kwa ujasiri
Hongera kijana; Penye nia pana njia!
Mhuu nimechoka ila tu mm niulize swali watu wanatatfa pesa wale wanaozitengeneza wanatatfa nn ikiwa na wao wanatatfa pesa basi hakuna atakae kuajir akakupa mshahara wa kukidhi mahitaji Kwa nchi zetu za afrika zaidi ya majeshi tu huo ndo ukweli ukitaka usitake habari ndo hio
Ni makosa ya mfumo kuanzia wazazi mpaka elimu kwa ujumla. Huyu alisomea fani ile pasipo kujua kama atakosa kazi hivyo huku alipo ni njia mbadala ila ndiko wanakotokea matajiri duniani kote.
Kwakweli amenipa ufunguo mkubwa'akilini' Millard ayo ,km mtaweza kunipatia namba ya huyu mwalim nitashukur kuna kitu naweza shea nae kupiga hatua
KIUKWELI PAMBANA KAKA
Mm mwalim wangu wa english wa secondary sahv kaacha kawa fundi simu kariakoo
constantine manyanda kariakoo tena ufundi simu una hela Sanaa, kama mtu kwa siku atalaza 50 unategemea aajiriwe kufundisha alipwe laki 7 kwa kwezi bado makato
Kujiajir ndio mpango
Only in Tanzania
Matitu_jr kwambaa
uko vzur umeoa2017 nasasa unawatoto wawil
Edina Chami comment of the day
Edina Chami kweli mwalimu kawazidi,hamjui tofauti ya kuoa na kuwa na watoto?Na nyie ni wanawake,sitegemi mwanamke kuuliza hilo.Yaani mnamuona kakosea.......
Mapachaaa
Habibu Mdetele ....Haaaahaaaaa Umeonaaa Watu vilaza Sana....Mwalimu ni Mwalimu tuu...
Magufuli hongera sn kwa kasi hii ipo siku tutatengeneza Rocket kwenda mwezini umetufanya WTZ kuwa wabunifu hakuna vya bwelele shikilia hapo hapo baba maana hamna namna.
Abby Adams. dalili ya umasikini hiyo
Abby Adams 😂😂😂
Kuma yako
Abby Adams kuma mamako unafirwa
Kwani we kipindi unazaliwa ulitokea wapi,,? Mungu akusamehe bure
Umenifungua akili kweli ajira niutumwa huwezi kua namafanikio kwa kutegemea mshahara wa mwisho wa mwez
Duuh
Huyu ni muongo miaka saba
Acha wivu huo
Muongo maana kasema amemaliza chuo2015 alaf kafundisha Islamic school kwa miaka Saba je sahv ni mwaka gani
Robert Gurti miezi bna
Miez7 sio miaka!
Amesema alifanyakazi miezi 7
Miezi 7 mzee baba
Kasema miez Saba so miaka saba
Poa
Maji ni shida jamani kwanini serikali isifunge pampu ili kusambaza maji majumbani? Ni rahisi kutoa mabilioni kununua ndege but ni vigumu kutoa mamilioni kusambasa maji vijijini, huku ndiko mtatugusa sisi wanyonge please serikali yangu tunaomba mlifanyie kazi hilo najua lina wezekana tu.
Abel Mirwatu why kila kitu serikali ??? Kabla serikali haijakufanyia nn jiulize wewe umeifanyia nn serikali
Vyuma vimekaza
Lute King havija no havija kaza acha uvivu
Lute King .Hapendi kuajiliwa, anapenda ajiajili. Ana mipango na mikakati mingi ya mipangirio ya maisha, kiasi yakwamba kuajiliwa alikuwa anaona kama anapoteza muda wa mipangirio yake anayoiwazia haitweza kufanya
Lute King kumamayo wewe
Big up ila mzee baba baik itakutoa shipa so unaonaje ukatafuta njia mbadala ya kufanya hiyo kaz kama kutumia punda had hapo utakapo pata hiyo gari kama unavyotarajia maana hata ufanikiwe vip ukiharibu afya yako ur nothing
Masha'allah kijana anauelewa wake ..atafikia lengo
Nakuupa wasia broo.. Utafika mbali.. Kwa bidii zako.. Lakiin ukipata mtonyo usije msaliti mkeo.. Kufa NA kuzikana