Mwalimu aacha kufundisha na kuanza kuuza Maji mtaani, aonesha vyeti vyake,

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2018
  • Bilo Sid Bilo ni kijana anaishi mkoani Kigoma, Baada ya kumaliza masomo yake ya uwalimu mwaka 2015 na kuanza kufundisha moja kati ya shule ya secondary ya wasichana mkoani Kigoma kwa miezi 7 baada ya kukosa ajira serikialini na kuamua kujitolea katika shule hiyo.
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 148

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 6 ปีที่แล้ว +9

    Safi sana kijana,vijana wengi wanang'ang'ania majina Makubwa wakati halileti hata pesa ya ugali,endelea kupambana utafika mbali💪💪💪

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว +13

    Mashallah, nimekuelewa Teacher, hongera sana

  • @adamgeorge5532
    @adamgeorge5532 6 ปีที่แล้ว +9

    daah pole sana brow mungu atakusaidi utafanikiwa katika mipango yako

  • @rechomakungu5342
    @rechomakungu5342 6 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akutie nguvu brother Mungu hawezi kukuacha yupo pamoja nawe

  • @imanimatabula3109
    @imanimatabula3109 6 ปีที่แล้ว +6

    Dah good brother. Hakika umenigusa sana . Wewe ni jembe na InshaAllah utafanikiwa sana kaka.

  • @deliveranceprayer4902
    @deliveranceprayer4902 6 ปีที่แล้ว +1

    hongera sanaaa mwalimu. A teacher is a Jeck of all trends

  • @silvanustesha8978
    @silvanustesha8978 6 ปีที่แล้ว +9

    Very good mwalimu mwenzangu ..na mm nimemaliza chuo 2015 na sasa cna mpango wa kuajiriwa coz nimejiajiri mwenyewe

  • @gracenyanza432
    @gracenyanza432 6 ปีที่แล้ว +1

    ww ni mfano wa kuigwa kaka mungu akufungulie milango ya baraka na familiy yako mungu aikumbatie .

  • @barnabasbahebe531
    @barnabasbahebe531 6 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa sana brother big up

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde na malengo Yako usiyaweke wazi sana siyo Kila mtu anapenda maendereo Yako kaka.

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 ปีที่แล้ว

    Big up sana brother, mwenyezi mungu akusimamie.

  • @ferdinand1880
    @ferdinand1880 6 ปีที่แล้ว +3

    Safi Sana braza upo vzr

  • @rechomakungu5342
    @rechomakungu5342 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu Azidi kukuinua zaidi brother

  • @lucianachappa1213
    @lucianachappa1213 6 ปีที่แล้ว

    Big up.....Sana nimekuelewa sana

  • @jeremiamunishi9444
    @jeremiamunishi9444 6 ปีที่แล้ว +2

    mh
    Upo vizuri mwl kwa maamuzi mazuri

  • @ditricksilinu6038
    @ditricksilinu6038 6 ปีที่แล้ว +10

    well done mwalimu tukaze buti

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 6 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana , na mkeo ajivunie

  • @jenivavedasto636
    @jenivavedasto636 6 ปีที่แล้ว +5

    Welldone!

  • @beatricejuma1230
    @beatricejuma1230 6 ปีที่แล้ว +4

    Safi kaka angu

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana kijana unaakili nakupongeza kwa hilo

  • @theonestkatanda3054
    @theonestkatanda3054 6 ปีที่แล้ว +10

    Huyu ndugu ana akili nyingi na watu wa namna hii ni wachache sana duniani

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Umetisha Teacher

  • @agnetaagness5857
    @agnetaagness5857 ปีที่แล้ว

    Hogera sana brother mungu hatakuacha kamwe.

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 ปีที่แล้ว +2

    Noma sana

  • @arnoldwillison3821
    @arnoldwillison3821 6 ปีที่แล้ว

    Vizuri sana we ni mfano wa kuigwa kongore yako

  • @pendopius435
    @pendopius435 6 ปีที่แล้ว

    Umetisha bro

  • @joramchubwa3757
    @joramchubwa3757 6 ปีที่แล้ว +1

    Imana iguhezagile

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 6 ปีที่แล้ว +5

    Inspired

  • @saidihussein5707
    @saidihussein5707 6 ปีที่แล้ว +7

    daa nimekuelewa sana

  • @sumakamatula3591
    @sumakamatula3591 6 ปีที่แล้ว

    safi sana bro. nimejifunza kitu

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 ปีที่แล้ว +4

    Kaza buti blo

  • @obby2559
    @obby2559 6 ปีที่แล้ว +1

    Amazing

  • @greatmangii
    @greatmangii 6 ปีที่แล้ว

    #nyumbatamu kweli ubunifu muhimu hongera sana

  • @atusajiyejaphet7463
    @atusajiyejaphet7463 6 ปีที่แล้ว +12

    Shemeji yng nakukubali saaana na Leo umeniletea maji wewe ni jembeee

    • @KigomaTV.
      @KigomaTV. 6 ปีที่แล้ว

      Atusajiye Japhet

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 2 ปีที่แล้ว

    Big up. Simamia unachokiamini najua utapingwa na wengi ila hatima ya kesho yako iko mikononi mwako.

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 6 ปีที่แล้ว +8

    Umenifungua kichwa kimejaa sumu namimi ngoja nijitose ktk fursa iliyoko mbele yangu ila napuuzia nikilinganisha namazingira niliyopo ingawa malipo siyo kama kazi inavo onekana
    ASANTE BRO ACHA NIJITOSE NAMIMI

    • @salummohdnyiga9760
      @salummohdnyiga9760 6 ปีที่แล้ว

      Rashid Busanya mazingira si tatizo wewe si mti ndugu yangu you can move and change if you have thirty of success

  • @jacobtitus5867
    @jacobtitus5867 6 ปีที่แล้ว +2

    1st comment
    Teacher kaza nyie ndio mnatakiwa
    #hapa kazi tu😀😀😀😀😀

  • @fridamwantandi8921
    @fridamwantandi8921 6 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 6 ปีที่แล้ว

    Welldone

  • @selemanteketeke6911
    @selemanteketeke6911 6 ปีที่แล้ว +3

    kazi kazi tu

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 6 ปีที่แล้ว +2

    Hunajitambuwa Sanaa kaka

  • @nkeshimanaemmanuel3066
    @nkeshimanaemmanuel3066 6 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 6 ปีที่แล้ว +3

    Hongera bro.. Mungu akusimamie una akili saana

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 6 ปีที่แล้ว +2

    Maa shaa Allah

  • @jedidaachieng3914
    @jedidaachieng3914 6 ปีที่แล้ว +1

    This is so challenging...I've learnt something. .God bless you Bro

  • @emmanueldionis8822
    @emmanueldionis8822 6 ปีที่แล้ว

    asante sana kaka umenifungua

  • @eneambogo4802
    @eneambogo4802 6 ปีที่แล้ว

    Nice bro

  • @victoriachesco35
    @victoriachesco35 6 ปีที่แล้ว +13

    Mungu akutie nguvu napenda wanaume wanaojituma

  • @frankfrank322
    @frankfrank322 6 ปีที่แล้ว

    We tutaenda sawa ndg

  • @jacksonmkome439
    @jacksonmkome439 6 ปีที่แล้ว

    Hongera sanaaah kaka...kaz Nzur koz unakula jasho lako big up brother @

    • @carolinamushi5555
      @carolinamushi5555 6 ปีที่แล้ว

      Na mimi nilisomea kilimo na mifugo nimejuariji mwenyewe nipo kijijini ninangombe wa maziwa ninashamba la matunda nauza maziwa nauza mapapai maparachichi, ndizi, kuku wa nyama, na mayai nimeweza kufungua biashara yangu kubwa tu mjini ya kuuza kuku wa nyama kwenye friji. Na nimejenga huku huku kijijini nyumba kubwa, nipo huru mimi na kilimo tuu

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 6 ปีที่แล้ว +3

    well done

  • @ndimbumihumphrey8804
    @ndimbumihumphrey8804 6 ปีที่แล้ว +2

    This is IQ good

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 2 ปีที่แล้ว

    حياتك من صنع أفكارك
    Maisha yako yanatengenezwa na fikra zako

  • @eddycharles5199
    @eddycharles5199 6 ปีที่แล้ว

    hatua nzuri

  • @mariammichael9773
    @mariammichael9773 6 ปีที่แล้ว +3

    Nimekupenda bure

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 6 ปีที่แล้ว +15

    Wajinga hawatokuelewa brother Mimi nimmoja wawale wenye ndoto yakujiajiri full stop. Salyut to you my young brother 3years later waliokaa kusubiri ajira watarekebisha kauli zao.

  • @nasiekutarishi3292
    @nasiekutarishi3292 6 ปีที่แล้ว +6

    Woiiii God Help us

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 6 ปีที่แล้ว

    Nunua pikipiki angalau itakusaidia utaokoa muda pia.vizuri kaka

  • @williamfavour2982
    @williamfavour2982 6 ปีที่แล้ว

    kweli kabisa kamanda

  • @kipukatz
    @kipukatz 6 ปีที่แล้ว +1

    #mtuwanguwanguvu mirrad ayo kama unamkubali mirrad ayo dondosha like yako hapa

  • @kakafranc8913
    @kakafranc8913 6 ปีที่แล้ว +6

    Dar niwachache wenye usubutu kama wako . Wengine nawaona wanapenda kulewa sifa za majina na kutoangalia wanachoingiza

  • @pascaltayari6004
    @pascaltayari6004 6 ปีที่แล้ว

    Hiyo ndyo Tanzania tunayoitaka

  • @LukeUrioNEWS
    @LukeUrioNEWS 6 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana bro heshima sana kwako.

    • @priscabanzi2881
      @priscabanzi2881 6 ปีที่แล้ว

      Nzur kaka angu kaza Mungu atakujalia

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 ปีที่แล้ว

    Usiwafiche brother waambie ukweli hawana hela yakukulipa maana watu waroho kubwa naninauhakika labda wakupe milion moja kwenda juu ndiyo kidogo inaweza kukusha wishi

  • @durra6087
    @durra6087 6 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @ELLYSTVONLINE
    @ELLYSTVONLINE 6 ปีที่แล้ว

    Serikali imekupa ajira MBOLIBOLI iringa hongera kwa hilooo......

  • @amanichidyboy2900
    @amanichidyboy2900 ปีที่แล้ว

    Ukweli nimekumbuka home kgm pia ongera sana kijana

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 6 ปีที่แล้ว +4

    ww unajielewa kabisa

  • @queenshomba8412
    @queenshomba8412 6 ปีที่แล้ว +3

    Kaza buti dogo

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 2 ปีที่แล้ว

    Kweli mm nilimuona jirani yangu anauza dagaa kwa baiskeli huko zanzibar nilijua hajasoma kumbe anadigree wallah kaoa na kajenga mjengo kawashinda waaliim

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu Hawa wanouza dagaa mara nyingi huwa ni watu wa kazi za watu Ile kuuza dagaa ni zuga tu 😎😎😎😎😎

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 6 ปีที่แล้ว +2

    Mpaka mueshimiwa atoke
    TUTAPATA TABU SANA

  • @kingommy2393
    @kingommy2393 6 ปีที่แล้ว

    Ajira how's, lap top hewa, Noah hewa na bado

  • @joshuamwambene6041
    @joshuamwambene6041 2 ปีที่แล้ว

    Duh kijana jasiri huyu

  • @cipladapretty8617
    @cipladapretty8617 6 ปีที่แล้ว +2

    Ukitoka hapo et dem aje kuomba pesa na yy anapga mkwanja kwako dah

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 6 ปีที่แล้ว +2

    ndo maisha ya Mtanzania inabidi tujiongeze tu

  • @jeromepetrododomatunawapat3654
    @jeromepetrododomatunawapat3654 2 ปีที่แล้ว

    Huyu ni mpambanaji apatiwe ajila afundishe watoto wetu

  • @rosemongi5084
    @rosemongi5084 6 ปีที่แล้ว +1

    millardayo hiiinikweli nakamanikweli kuanzialeo najiajiri

  • @jacksongithae5173
    @jacksongithae5173 6 ปีที่แล้ว +3

    Pongezi sana kwa ujasiri

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 ปีที่แล้ว

    Mhuu nimechoka ila tu mm niulize swali watu wanatatfa pesa wale wanaozitengeneza wanatatfa nn ikiwa na wao wanatatfa pesa basi hakuna atakae kuajir akakupa mshahara wa kukidhi mahitaji Kwa nchi zetu za afrika zaidi ya majeshi tu huo ndo ukweli ukitaka usitake habari ndo hio

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni makosa ya mfumo kuanzia wazazi mpaka elimu kwa ujumla. Huyu alisomea fani ile pasipo kujua kama atakosa kazi hivyo huku alipo ni njia mbadala ila ndiko wanakotokea matajiri duniani kote.

  • @jafariamiri8452
    @jafariamiri8452 6 ปีที่แล้ว

    Kwakweli amenipa ufunguo mkubwa'akilini' Millard ayo ,km mtaweza kunipatia namba ya huyu mwalim nitashukur kuna kitu naweza shea nae kupiga hatua

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 ปีที่แล้ว

    KIUKWELI PAMBANA KAKA

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 6 ปีที่แล้ว +1

    Mm mwalim wangu wa english wa secondary sahv kaacha kawa fundi simu kariakoo

    • @mickskillstechnology7511
      @mickskillstechnology7511 6 ปีที่แล้ว

      constantine manyanda kariakoo tena ufundi simu una hela Sanaa, kama mtu kwa siku atalaza 50 unategemea aajiriwe kufundisha alipwe laki 7 kwa kwezi bado makato

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 6 ปีที่แล้ว

    Kujiajir ndio mpango

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr5035 6 ปีที่แล้ว

    Only in Tanzania

  • @edinachami1754
    @edinachami1754 6 ปีที่แล้ว +2

    uko vzur umeoa2017 nasasa unawatoto wawil

    • @kautharmohammed7868
      @kautharmohammed7868 6 ปีที่แล้ว

      Edina Chami comment of the day

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 6 ปีที่แล้ว

      Edina Chami kweli mwalimu kawazidi,hamjui tofauti ya kuoa na kuwa na watoto?Na nyie ni wanawake,sitegemi mwanamke kuuliza hilo.Yaani mnamuona kakosea.......

    • @kiddandrew2520
      @kiddandrew2520 6 ปีที่แล้ว

      Mapachaaa

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 6 ปีที่แล้ว

      Habibu Mdetele ....Haaaahaaaaa Umeonaaa Watu vilaza Sana....Mwalimu ni Mwalimu tuu...

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 6 ปีที่แล้ว +12

    Magufuli hongera sn kwa kasi hii ipo siku tutatengeneza Rocket kwenda mwezini umetufanya WTZ kuwa wabunifu hakuna vya bwelele shikilia hapo hapo baba maana hamna namna.

    • @hashimumkunda3482
      @hashimumkunda3482 6 ปีที่แล้ว +1

      Abby Adams. dalili ya umasikini hiyo

    • @mariammichael9773
      @mariammichael9773 6 ปีที่แล้ว

      Abby Adams 😂😂😂

    • @robertgurti309
      @robertgurti309 6 ปีที่แล้ว +1

      Kuma yako

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 6 ปีที่แล้ว

      Abby Adams kuma mamako unafirwa

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 6 ปีที่แล้ว

      Kwani we kipindi unazaliwa ulitokea wapi,,? Mungu akusamehe bure

  • @salumnuhu9066
    @salumnuhu9066 2 ปีที่แล้ว

    Umenifungua akili kweli ajira niutumwa huwezi kua namafanikio kwa kutegemea mshahara wa mwisho wa mwez

  • @menejawamradi4996
    @menejawamradi4996 6 ปีที่แล้ว

    Duuh

  • @robertgurti309
    @robertgurti309 6 ปีที่แล้ว

    Huyu ni muongo miaka saba

  • @robertgurti309
    @robertgurti309 6 ปีที่แล้ว +1

    Muongo maana kasema amemaliza chuo2015 alaf kafundisha Islamic school kwa miaka Saba je sahv ni mwaka gani

  • @shiruclever1679
    @shiruclever1679 6 ปีที่แล้ว +1

    Poa

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 6 ปีที่แล้ว

    Maji ni shida jamani kwanini serikali isifunge pampu ili kusambaza maji majumbani? Ni rahisi kutoa mabilioni kununua ndege but ni vigumu kutoa mamilioni kusambasa maji vijijini, huku ndiko mtatugusa sisi wanyonge please serikali yangu tunaomba mlifanyie kazi hilo najua lina wezekana tu.

    • @fighterm7708
      @fighterm7708 6 ปีที่แล้ว

      Abel Mirwatu why kila kitu serikali ??? Kabla serikali haijakufanyia nn jiulize wewe umeifanyia nn serikali

  • @luteking
    @luteking 6 ปีที่แล้ว +3

    Vyuma vimekaza

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 6 ปีที่แล้ว

      Lute King havija no havija kaza acha uvivu

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 6 ปีที่แล้ว

      Lute King .Hapendi kuajiliwa, anapenda ajiajili. Ana mipango na mikakati mingi ya mipangirio ya maisha, kiasi yakwamba kuajiliwa alikuwa anaona kama anapoteza muda wa mipangirio yake anayoiwazia haitweza kufanya

    • @diamondplatnumzvevo8645
      @diamondplatnumzvevo8645 6 ปีที่แล้ว

      Lute King kumamayo wewe

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia434 6 ปีที่แล้ว

    Big up ila mzee baba baik itakutoa shipa so unaonaje ukatafuta njia mbadala ya kufanya hiyo kaz kama kutumia punda had hapo utakapo pata hiyo gari kama unavyotarajia maana hata ufanikiwe vip ukiharibu afya yako ur nothing

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 ปีที่แล้ว

    Masha'allah kijana anauelewa wake ..atafikia lengo

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 6 ปีที่แล้ว +3

    Nakuupa wasia broo.. Utafika mbali.. Kwa bidii zako.. Lakiin ukipata mtonyo usije msaliti mkeo.. Kufa NA kuzikana