BARIKIWA SANA MTUMISHI.NAKUPENDA DAIMA.NAKUKUBARI SANAA .UMEKUWA MNYENYEKEVU DAIMA .DUMU HIVYOHIVYO BABA.WEWE NI MFANO WA KUIGWA.UKO SAWA. I LOVE U BIG.MUCH RESPECT TO YOU AP.
mungu ni anaakili kuloko wanadamu kumbka unapolima mashamba mengi utavuna sana au bishara nyingi utafanikiwa sana ndivyo ilivyo mungu atavuna mavuno mengi
Mungu ndani ya mtumishi wake D.Maboya.ndugu yangu mimi namkubali sana huyu mtumishi.hana dharau hata kidogo ukipiga unampata na takuhudumia.Mungu ambariki sana .
Matukio mengi yanapata nchi bcoz kanisa limekuwa dhaifu mno, halisimami ktk zamu yake ili Mungu aponye nchi.....ni kweli baba, the church is the hand of God which give him access to act in the world
Andiko la msingi hapo ni Ayubu 31:1 "Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani" Tamaa haiji kwa kuona (kutupia jicho) bali huja kutazama (kukodolea jicho). Askofu anasema tazama kokote, (iwe chini, juu, pembeni) lakini sio msichana anayekutamanisha. Yesu amesema; "amtazamaye mwanamke kwa kumtamani huyo amezini." Matayo 5:28
Umenikumbusha mbali Sana mtumishi wa mungu. Mungu akubariki
My Dady, you are so humble indeed, ni mtu Wa watu, anajichanganya na watu Wa chini kabisa regardless of your HIGH RANK......WE LOVE YOU
Ubalikiwe asikofu by pstr philipo
nimeipenda hii bishop(walikuwa hawampingi Yesu ila walikuwa wananipinga mimi) huu ni unyenyekevu wa hali ya juu,
Apostle Maboya kweli Mungu amekusimisha uinuwe kazi yake. Nakupenda sana unaubaliki moyo wangu sana na Mungu anisaidiye siku moja macho yakuone🙏
Apostle Maboya una moyo imara na uelewa mkuu.. ndio maana nakupenda mzee wangu.. blessed be you Man of God..
Thanks daddy
Mafunzo mazuri thevtwo Generals of Faith. Apostle francis musili and Apostle Dunston Maboya.
BARIKIWA SANA MTUMISHI.NAKUPENDA DAIMA.NAKUKUBARI SANAA .UMEKUWA MNYENYEKEVU DAIMA .DUMU HIVYOHIVYO BABA.WEWE NI MFANO WA KUIGWA.UKO SAWA. I LOVE U BIG.MUCH RESPECT TO YOU AP.
mungu ni anaakili kuloko wanadamu kumbka unapolima mashamba mengi utavuna sana au bishara nyingi utafanikiwa sana ndivyo ilivyo mungu atavuna mavuno mengi
Baba Apostle Maboya wewe ni mbaraka kwawengi na shukuru Mungu kwenema amekupa you are a blessing to me powerful teaching nashukuru sana
Huyu Apostle namkubari sana Mungu ambariki sana
Wow! Askofu wangu. Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi wako🙇.
umeona ehee my Dada
Kazi ya Serikali ni kukusanya Kodi
'Ufunuo mpya unapokuja upinzani unakuwa mkali sana' I have noted..
mhubirin yesu anaokoa nakuponya iyo sawa achen wivu
Mungu akulinde sana nafurahi mafundisho yake
Badala ya Kumkubali Yesu,mnamsifia mwanadam,Give glory to God
Lameck Josephat usipomkubali mtumishi wa mungu pia na mungu haumtambui
kivipi
Mungu ndani ya mtumishi wake D.Maboya.ndugu yangu mimi namkubali sana huyu mtumishi.hana dharau hata kidogo ukipiga unampata na takuhudumia.Mungu ambariki sana .
Kwa kweli uwa unanibariki sana ktk mahubili yakoMungu azidi kukuinua.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂baba jamaniiiiiiii kah
Sio kwa majina yangu ! sema kwa jina langu ,mtanzania jua kiswahili
Ni jina zaidi ya Moja Kaka hicho ndio Kiswahili fasaha
Be blessed
ameeennn preachhh man of Godddd
ukizingatia wote ni wachungaji mnawaonea wivu wenzenu je mnaenda mungu ipi mnadanganya
Barikiwa sana askofu wangu kweli umenena
Habar dada
Nakukubari mtumishi Maboya
God bless you
Mungu akupe nguvu ktk uhamisho
Mungu akubariki Sana.
Matukio mengi yanapata nchi bcoz kanisa limekuwa dhaifu mno, halisimami ktk zamu yake ili Mungu aponye nchi.....ni kweli baba, the church is the hand of God which give him access to act in the world
Asante baba
Namkubali sana huyu mchungajii
Inspiration🙏
"Kumuhubiri mtu mwingine badala ya kumuhubiri Kristo ni kufilisika kimawazo"😊.
Mungu azidi kunitumia ktk Mafunuo
mungu azidi kukubariki
Thank you
That's what i wanted to hear
hakika
umenijenga
mzee
jah
bless
man
Naombaa number zakee plz
tuna barikiwa na mahubiri kutoka kwa mutumishi wake
hahahaha very interesting.
Mzee wetu hakika una NENO LA baraka@nmebarikiwa sana
safi
KAMA TUMETUMWA WOTE NA MUNGU TUSIZALAULIANE
Hiyo kali injili naomba andiko la ukimwona mwanamke angalia chini.
Andiko la msingi hapo ni Ayubu 31:1 "Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani"
Tamaa haiji kwa kuona (kutupia jicho) bali huja kutazama (kukodolea jicho).
Askofu anasema tazama kokote, (iwe chini, juu, pembeni) lakini sio msichana anayekutamanisha.
Yesu amesema; "amtazamaye mwanamke kwa kumtamani huyo amezini." Matayo 5:28
YOTE NI KWELI UNAYO NENA TUNAITAJI WAZEE KAMA HAWA
Hahaha😅, nimecheka kwenye unabii wa kutoroka kufufua mtu
Daah jamaa anaongea sana huyu
siku zote huwa namuelewa sana huyu mtume maboaya
Sura kama radi job 12:12
Nakupataje?
Nimekuelewa mkuu Asante Sana Mungu aendelee kukulinda na kuku bariki siku zote za maisha yako
Kweli wewe nimkweli utakiwi kuo muongo
Barikiwa sana
Fortunata Mfinanga Mungu akubariki
I love the apostle dastan maboya ministry i am a good follower of his work i do wish him along life and iwelcome him at korogwe tanzania
Umekuwa juu na haukuwa na taamaa yapesa hauna ubaguzi umeshika amri ya Yesu kristo yaupendo kwa watu woto endelea mtume
Dastan asnte