Fahamu Historia ya Apostle Dunstan Maboya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ก.พ. 2017

ความคิดเห็น • 71

  • @josephinekendimunene3899
    @josephinekendimunene3899 ปีที่แล้ว

    Umenikumbusha mbali Sana mtumishi wa mungu. Mungu akubariki

  • @Ansel.
    @Ansel. 5 ปีที่แล้ว +3

    My Dady, you are so humble indeed, ni mtu Wa watu, anajichanganya na watu Wa chini kabisa regardless of your HIGH RANK......WE LOVE YOU

  • @philipomsekela1138
    @philipomsekela1138 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubalikiwe asikofu by pstr philipo

  • @johnbruno1043
    @johnbruno1043 5 ปีที่แล้ว +8

    nimeipenda hii bishop(walikuwa hawampingi Yesu ila walikuwa wananipinga mimi) huu ni unyenyekevu wa hali ya juu,

  • @havyarimanafrancoise5750
    @havyarimanafrancoise5750 2 ปีที่แล้ว

    Apostle Maboya kweli Mungu amekusimisha uinuwe kazi yake. Nakupenda sana unaubaliki moyo wangu sana na Mungu anisaidiye siku moja macho yakuone🙏

  • @mathayowilson79
    @mathayowilson79 6 ปีที่แล้ว +7

    Apostle Maboya una moyo imara na uelewa mkuu.. ndio maana nakupenda mzee wangu.. blessed be you Man of God..

  • @njerimukunya169
    @njerimukunya169 3 ปีที่แล้ว

    Mafunzo mazuri thevtwo Generals of Faith. Apostle francis musili and Apostle Dunston Maboya.

  • @ericamwakyokile1889
    @ericamwakyokile1889 5 ปีที่แล้ว

    BARIKIWA SANA MTUMISHI.NAKUPENDA DAIMA.NAKUKUBARI SANAA .UMEKUWA MNYENYEKEVU DAIMA .DUMU HIVYOHIVYO BABA.WEWE NI MFANO WA KUIGWA.UKO SAWA. I LOVE U BIG.MUCH RESPECT TO YOU AP.

  • @emmyngoy9686
    @emmyngoy9686 4 ปีที่แล้ว

    mungu ni anaakili kuloko wanadamu kumbka unapolima mashamba mengi utavuna sana au bishara nyingi utafanikiwa sana ndivyo ilivyo mungu atavuna mavuno mengi

  • @rahabgichana4647
    @rahabgichana4647 5 ปีที่แล้ว

    Baba Apostle Maboya wewe ni mbaraka kwawengi na shukuru Mungu kwenema amekupa you are a blessing to me powerful teaching nashukuru sana

  • @transmadale
    @transmadale 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Apostle namkubari sana Mungu ambariki sana

  • @deboramkonya5079
    @deboramkonya5079 6 ปีที่แล้ว +1

    Wow! Askofu wangu. Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi wako🙇.

  • @ezramnyaki
    @ezramnyaki 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ya Serikali ni kukusanya Kodi

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche352 5 ปีที่แล้ว +2

    'Ufunuo mpya unapokuja upinzani unakuwa mkali sana' I have noted..

  • @emmyngoy9686
    @emmyngoy9686 4 ปีที่แล้ว

    mhubirin yesu anaokoa nakuponya iyo sawa achen wivu

  • @mariahjohn6590
    @mariahjohn6590 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde sana nafurahi mafundisho yake

  • @lameckjosephat9109
    @lameckjosephat9109 6 ปีที่แล้ว

    Badala ya Kumkubali Yesu,mnamsifia mwanadam,Give glory to God

    • @kellythateacher1570
      @kellythateacher1570 6 ปีที่แล้ว

      Lameck Josephat usipomkubali mtumishi wa mungu pia na mungu haumtambui

    • @makwetaevelyn3896
      @makwetaevelyn3896 5 ปีที่แล้ว

      kivipi

    • @ericamwakyokile1889
      @ericamwakyokile1889 5 ปีที่แล้ว

      Mungu ndani ya mtumishi wake D.Maboya.ndugu yangu mimi namkubali sana huyu mtumishi.hana dharau hata kidogo ukipiga unampata na takuhudumia.Mungu ambariki sana .

  • @rachelalinda7007
    @rachelalinda7007 6 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli uwa unanibariki sana ktk mahubili yakoMungu azidi kukuinua.

  • @user-em4wp1ct7s
    @user-em4wp1ct7s 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂baba jamaniiiiiiii kah

  • @tumainikyando8803
    @tumainikyando8803 4 ปีที่แล้ว +2

    Sio kwa majina yangu ! sema kwa jina langu ,mtanzania jua kiswahili

    • @davyadamsontz
      @davyadamsontz 3 ปีที่แล้ว

      Ni jina zaidi ya Moja Kaka hicho ndio Kiswahili fasaha

  • @rogersgeorge2920
    @rogersgeorge2920 4 ปีที่แล้ว +1

    Be blessed

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv3914 6 ปีที่แล้ว

    ameeennn preachhh man of Godddd

  • @emmyngoy9686
    @emmyngoy9686 4 ปีที่แล้ว

    ukizingatia wote ni wachungaji mnawaonea wivu wenzenu je mnaenda mungu ipi mnadanganya

  • @kotridamilinga763
    @kotridamilinga763 6 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana askofu wangu kweli umenena

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 6 ปีที่แล้ว

    Nakukubari mtumishi Maboya

  • @umlickdangali3319
    @umlickdangali3319 5 ปีที่แล้ว +1

    God bless you

  • @edwardhangaya5448
    @edwardhangaya5448 7 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe nguvu ktk uhamisho

  • @Ansel.
    @Ansel. 5 ปีที่แล้ว

    Matukio mengi yanapata nchi bcoz kanisa limekuwa dhaifu mno, halisimami ktk zamu yake ili Mungu aponye nchi.....ni kweli baba, the church is the hand of God which give him access to act in the world

  • @veronicamwalindu4002
    @veronicamwalindu4002 3 ปีที่แล้ว

    Asante baba

  • @josejuma103
    @josejuma103 6 ปีที่แล้ว

    Namkubali sana huyu mchungajii

  • @elmagojr.2657
    @elmagojr.2657 2 ปีที่แล้ว

    Inspiration🙏

  • @deboramkonya5079
    @deboramkonya5079 6 ปีที่แล้ว +1

    "Kumuhubiri mtu mwingine badala ya kumuhubiri Kristo ni kufilisika kimawazo"😊.

  • @heriaminiringo5223
    @heriaminiringo5223 7 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kunitumia ktk Mafunuo

  • @umlickdangali3319
    @umlickdangali3319 5 ปีที่แล้ว +1

    Thank you

  • @emmanuelshuza8901
    @emmanuelshuza8901 6 ปีที่แล้ว +1

    That's what i wanted to hear

  • @vicentboyoboi7998
    @vicentboyoboi7998 6 ปีที่แล้ว

    hakika
    umenijenga
    mzee
    jah
    bless
    man

  • @calvinmudindi9542
    @calvinmudindi9542 6 ปีที่แล้ว

    tuna barikiwa na mahubiri kutoka kwa mutumishi wake

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv3914 6 ปีที่แล้ว +2

    hahahaha very interesting.

  • @nickosimchimba8176
    @nickosimchimba8176 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wetu hakika una NENO LA baraka@nmebarikiwa sana

  • @privatuskitungutu8710
    @privatuskitungutu8710 6 ปีที่แล้ว +1

    safi

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 6 ปีที่แล้ว +2

    KAMA TUMETUMWA WOTE NA MUNGU TUSIZALAULIANE

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 5 ปีที่แล้ว

    Hiyo kali injili naomba andiko la ukimwona mwanamke angalia chini.

    • @felixtufingene5710
      @felixtufingene5710 5 ปีที่แล้ว +1

      Andiko la msingi hapo ni Ayubu 31:1 "Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani"
      Tamaa haiji kwa kuona (kutupia jicho) bali huja kutazama (kukodolea jicho).
      Askofu anasema tazama kokote, (iwe chini, juu, pembeni) lakini sio msichana anayekutamanisha.
      Yesu amesema; "amtazamaye mwanamke kwa kumtamani huyo amezini." Matayo 5:28

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 6 ปีที่แล้ว +2

    YOTE NI KWELI UNAYO NENA TUNAITAJI WAZEE KAMA HAWA

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 8 หลายเดือนก่อน

    Hahaha😅, nimecheka kwenye unabii wa kutoroka kufufua mtu

  • @renatusmatungwa2439
    @renatusmatungwa2439 4 ปีที่แล้ว

    Daah jamaa anaongea sana huyu

  • @kelvinmella3626
    @kelvinmella3626 6 ปีที่แล้ว

    siku zote huwa namuelewa sana huyu mtume maboaya

  • @njerimukunya169
    @njerimukunya169 3 ปีที่แล้ว

    Sura kama radi job 12:12

  • @goldenson4729
    @goldenson4729 6 ปีที่แล้ว +1

    Nakupataje?

    • @marconakomolwashango2390
      @marconakomolwashango2390 4 ปีที่แล้ว

      Nimekuelewa mkuu Asante Sana Mungu aendelee kukulinda na kuku bariki siku zote za maisha yako

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 4 ปีที่แล้ว

    Kweli wewe nimkweli utakiwi kuo muongo

  • @fortunatamfinanga287
    @fortunatamfinanga287 6 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana

    • @rehemabakebura3936
      @rehemabakebura3936 5 ปีที่แล้ว

      Fortunata Mfinanga Mungu akubariki

    • @cleophasmulokozi1360
      @cleophasmulokozi1360 4 ปีที่แล้ว

      I love the apostle dastan maboya ministry i am a good follower of his work i do wish him along life and iwelcome him at korogwe tanzania

    • @marconakomolwashango2390
      @marconakomolwashango2390 4 ปีที่แล้ว

      Umekuwa juu na haukuwa na taamaa yapesa hauna ubaguzi umeshika amri ya Yesu kristo yaupendo kwa watu woto endelea mtume

    • @marconakomolwashango2390
      @marconakomolwashango2390 4 ปีที่แล้ว

      Dastan asnte