BISHOP MABOYA AMCHANA MASHIMO LIVE MBELE YA WAUMINI WAKE,,,TAZAMA HAPA TIMBWILI LAKE...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 33

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 3 หลายเดือนก่อน +1

    MABOYA NI MTU MZURI SANA❤❤❤❤

  • @FaithKibwii
    @FaithKibwii 2 ปีที่แล้ว +1

    I know this man he is really graced

  • @marympemba2137
    @marympemba2137 2 ปีที่แล้ว +3

    Manabii na mitume ndio chumvi ya dunia, amen 🙏🏻 🙏🏻🙏🏻💕💕

    • @musaissa7463
      @musaissa7463 2 ปีที่แล้ว

      miguu ya shetani duniani,"shtuka wew!!!

  • @mwemeziernest5195
    @mwemeziernest5195 2 ปีที่แล้ว +4

    Nyie mitume mnaichanganya dunia na watu,mara mafuta ya upako,chumvi za upako,chupi za upako,maepo,zabibu,nywele,nguo,maji,kucha,na viambatanishi vingine vya upako,hubilini wokovu hacha kupotosha watu kwa masilahi zenu.

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 2 ปีที่แล้ว +2

      Umenena vema maana hawa manabii na mitume wengi wao wamejaa upotoshaji wa kila namna katika masuala ya Injili ya Kweli ya Yesu Kristo.

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 2 ปีที่แล้ว

      Soma mandiko, utumie kama rula Kwa faida Yako.

  • @milley7185
    @milley7185 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaaa usanii huu bwanaaa Massimo ambaye anabwabwajaaaass hamna kanisa mchongO

  • @mtz5582
    @mtz5582 ปีที่แล้ว +1

    Bendera ya Israel nini zile...uboya uboya flani ..sababu ya kutosoma books of knowledge

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 2 ปีที่แล้ว +1

    Uyo haskali anaenda Congo alivaa mizigo uchafu au halshabab

  • @meckynoah7883
    @meckynoah7883 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna namna kwa uyu mashimo kichwan

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 2 ปีที่แล้ว +3

    Siasatu akuna INJILI hapa

  • @bennymkubwa6196
    @bennymkubwa6196 2 ปีที่แล้ว +1

    Nabii mkuu kama ni rafiki Yako mtume Maboya Ili nikuelewe mwambie ukweli kwamba aache kumchanganya MUNGU na mashetani kwa kucheza na kuwasifia watu wanaomtumikia shetani na kazi zake kwa kucheza mziki usiomtukuza MUNGU aliye hai. Umwambia nabiiimkuu kama anavyojiita, kuwa hai watu anaowanunua ahakikishe wanafika mbinguni la!!!??!!?

  • @calistustitus4566
    @calistustitus4566 2 ปีที่แล้ว +5

    Uyu mashimo ukweli anaaibisha ukristo tunaonekana machozi, ukweli ni kwamba mchungaji wa la kweli awezi kumwalika uyo mashimo ni ushuhuda mbovu

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 2 ปีที่แล้ว +4

    Kunakanisa lakwenda mbinguni kunakanisa linalobaki diniani

  • @martinmsacky2069
    @martinmsacky2069 2 ปีที่แล้ว +1

    Duu kama una macho soma sana Biblia.

  • @ebenezermachange1073
    @ebenezermachange1073 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @ev.philipodabali6468
    @ev.philipodabali6468 2 ปีที่แล้ว

    Tunayo hajayakumjua Mungusanaa

  • @FaithKibwii
    @FaithKibwii 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 2 ปีที่แล้ว +3

    Huu ni upumbavu sasa nani kamchana nani ama kweli wa Tanzania bado sana inasikitisha sana

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 2 ปีที่แล้ว +1

    Wachungaji was mishahar tubuni siku in kuja mta juta

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 2 ปีที่แล้ว

    MNA KAMILISHA UNABII WA SIKU ZA MWISHO,HOFU YANGA NI JUU YA WANAO WAFWATA BADALA YA KULIFWATA NENO LA MUNGU.

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 2 ปีที่แล้ว +3

    Ujuha mtupu

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 2 ปีที่แล้ว +1

    na huyo askari aliyejichorachora usoni naye vp?

    • @michaeljonas770
      @michaeljonas770 2 ปีที่แล้ว

      Unajua kila kitu na Radha yake

    • @atugonzalugemalila5142
      @atugonzalugemalila5142 2 ปีที่แล้ว

      Huyo ni komandoo siunajua dunia ilivyotamu hasa kama hauna kristo

  • @mwigarleysaid5406
    @mwigarleysaid5406 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh

  • @rodenyiandrea4473
    @rodenyiandrea4473 2 ปีที่แล้ว +2

    Na wewe mchungaji umepotea