Yaani omani network mbaya sana nabaatisha maombi ikifika kwenye neno haishiki tena ila naimani mungu upo pamoja nasi sote ambao tunamtafuta kwa Imani hata kama mtandao unasumbua ila katusikia naamini atajibu ubalikiwe mtumishi wa mungu
Shalom mtumishi wamungu mi naomba kma utaisoma h naomba maombi maalum kwa ajili ya familia yangu si ukosef WA kaz then magonjwa kakaangu anaumwa sana anashida ya kukojowa angalia s mchana Wala usiku amepimwa kibof but ugonjwa hauonekan
Kupitia Kwa hii mafundiyo pastor hakika nikama umenena tu kwangu mungu na nionekanie katika mawazo yangu Mimi nilisalishwa watoto Wa nne Na Mme mmoja Na akaniacha nimecharibu hata naingia mausiano Na watu lkn tunaachana kabla tukutane Baba wambinguni nireemu nimelia majosi ya uzuni Kwa muda sipati jibu pastor simama Na Mimi usiniache
Hii ni mara ya tatu nasikiza haya maombi na mafundisho ju ndani yangu niliona haya ni ya kwangu 😢nimezunguka place moja hadi sijui niseme nn aki Mungu tusaidie
Maombi ya leo siwezi elezea Mungu anaju Mungu akubariki mtumishi.
Shalom shalom.
Ameen.
Huku network uko vibaya lkn nimeomba na naamin bwana amefanya barikiwa mtumishi shalom shalom
Bwana yesu asifiwe Mimi Gabby uwizera mucungaji nimimi nirikuwa natumika kampala Uganda Kisha natumika kweri najiangariria na mutoto wangu jumimi niko senga Mazda nikosawa kabisa family yangu irikuwa hainijari nanduguzangu Sasa mwahahu mwezi wa 5 bakafanyaa Baraza Mimi sijuwe bakanambia Mimi niace kazi nirudie kutunza mama mugojwa nikasikiya kweri narudia nyuma kweri kimayisha ju Mimi nayikara situmiketena kweri umesema nikasikiya iyineno niyangu kweri niwombeye mungu anishimamiye kwawukweri🙏🙏🙏😭😭😭
Naomba umuombee mdogoangu Allen anaumwamikono
Ibada ya Leo kweli wale unao amini ndo wasaliti MUNGU anisaidie BWANA mapenzi yako yatendeke kwa kila jambo barikiwa sana mtumishi
Mungu mukumbuke musichana wangu ametavuta kazi myaka 4 appati kazi kupitia maombi haya naomba baba ukamkumbuke kwa jina la Jesu Amen 🙏
May GOD visit her
Nakuomba Mungu univushe kwenye hili.swala.gumu Mpaka mwanangu anarudia mwaka nisaidie Yesuuu Yesuuu
Usinipite yesu ! I need you Lord
Yaani omani network mbaya sana nabaatisha maombi ikifika kwenye neno haishiki tena ila naimani mungu upo pamoja nasi sote ambao tunamtafuta kwa Imani hata kama mtandao unasumbua ila katusikia naamini atajibu ubalikiwe mtumishi wa mungu
Naomba uniombee kwa ndoa natalachia kuingia mungu atangulie
Asante Yesu wangu🙏
Amen mungu ni mwema siku zote
MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE KWANGU KWA JINA LA YESU
Asante YESU
Asante sana mutumishi 1:27:02
Amina ❤
Naomba mungu anibaliki
Kwa kweli Mtumishi hayo yote kama umeingia katika maisha yangu naomba uniombee Asante Mtumishi wa mungu
Shalom mtumishi wamungu muombee mtoto wangu amezingiwra na madeni naamini atapona 🙏
Shalom shalo mutumishi w Amungu akubariki namimi nachukuru Mungu kwayote ametenda mwa iyimasaha anaponyesha mutotowangu kurunguria munyumba gaze inarunguza nyumba namuchukuru sanaaaa
NNAKUSHURU MNO MUNGU WANGU
Bwana Yesu naomba wateja wawe wengi mpaka wanazidie🙏
Amen
Amen 🙏
Thank you Father .
I receive the power to speak in your Holy Language with POWER
Shalom mtumishi wamungu mi naomba kma utaisoma h naomba maombi maalum kwa ajili ya familia yangu si ukosef WA kaz then magonjwa kakaangu anaumwa sana anashida ya kukojowa angalia s mchana Wala usiku amepimwa kibof but ugonjwa hauonekan
Naminajiunganisha katika maomba hayo nipo kwenye nyakati ngumu sana madeni na afya yangu
1:27:20 1:27:22
Kupitia Kwa hii mafundiyo pastor hakika nikama umenena tu kwangu mungu na nionekanie katika mawazo yangu Mimi nilisalishwa watoto Wa nne Na Mme mmoja Na akaniacha nimecharibu hata naingia mausiano Na watu lkn tunaachana kabla tukutane Baba wambinguni nireemu nimelia majosi ya uzuni Kwa muda sipati jibu pastor simama Na Mimi usiniache
Mungu usimpite mwanangu john aweze kuongea baba
Niombe nipate kazi
MUNGU WANGU ❤
Asante😊
Neema ya Bwana inanitosha🎉
Amen Amen , I receive Jesus
Ameneee😊
Aminaaa
Hii ni mara ya tatu nasikiza haya maombi na mafundisho ju ndani yangu niliona haya ni ya kwangu 😢nimezunguka place moja hadi sijui niseme nn aki Mungu tusaidie
Asante Mtumishi kwa hayo
Ameeen .
Nina Ndoto kama tano hivi nitakutumia mt.
Naomba uniombee kwa ndoa natalachia kuingia mungu atangulie