LIVE: MAOMBI YA USIKU YA KUMKUMBUSHA MUNGU // MWAMBIE UTAKACHO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Isaya 43:26
Unikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mungu najiunganisha na maombi haya nipate kibali Cha kumpata mweza wa maisha yangu
mungu wangu najiunga na maombi haya leo naomba kibali chakuku amin mungu wangu nipe uvumilivu katika shida zangu hata kama kuna meng yanatokea lakn ipo sikutu nitaimba nyimbo ya shukran kwako baba angu naomba niokowe kwa aibu hii babaangu naomba niponyee magonjwa yangu pia naomba mshumba wangu mpe moyo wauvumilivu asinishoke na visingizio vyangu bali aaminitu kwamba ipo siku tutakuwa pamoja tu baba naomba usiniaibishe kwamana tegemeo langu li mkoni mwako baba nisaidie
Mungu akubariki kwamafudisho Yako nasikiya nafajirika sana 🙏 mimi naomba mungu atusamehe dhambi zetu 😢
Mungu najiungamanisha na maombi haya naomba umrudishe mume wangu ulisema utatenda nakungoja baba unitendee baba amen
Nikumbuke Baba yangu na Mungu wangu hata kama vyote vinaonekana kufika mwisho ila wewe waweza mambo yote ondoa aibu yangu Baba
Munguuu nakushukuruuuu sanaaaaaa kwa yoteeee na naweka nadhirii sintaacha kukutafutaaa ww na hatas nikitendewaaa Bado nitakutafuta we
Asante Yesu kwa haya mafundisho tunashukuru sana kwa mtumishi wako mtumie ikupasavyo. Bariki maombi yetu na mafundisho ya Siri za bibilia. Amen Amen Amen ❤
Ee Mungu wangu usikubari niaibike mbele ya Adui zangu nikumbuke Ee Mungu wangu🙏🙏
Naomba toba kwa ajili ya wazazi walipokea waganga na ardhi ikalaaniwa baraka za Mungu zikaondoka Baba rejesha baraka zako kwa familia yangu na nyumba yangu damu ya Yesu katakase
Naomba toba kwa ajili ya mzaliwa wangu wa kwanza Baba kafanye malango wazi baraka za familia zipitie kwako Yesu
Eeh , Mungu ulisema maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele zako naomba nifanye kuwa mpya......unikumbuke katika hitaji la moyo wng........eeh Mungu wewe uliyemuumba Eva awe msaidizi wa Adam.....nakuomba bwana nipatie nami Adam wng.....Mungu nakukumbusha kwa habari ya mahusiano yatakayopelekea kwenye ndoa
Najiungamanisha namaombi ya usikuhuu mungu naomba unipe aja ya moyo wangu niww baba unanijua vema
Mungu anikumbuke kwa kunibarikia kazi kupitia mtumishi wa Siri za bibilia . Amen ❤
Mungu aniponye, aokowe maisha yangu na familiya yangu !!! Anipe ndowa ya amani na furaha
Mungu wangu sijasahau uliniahidi utanitendea ninakongoja bado ni kiamini ahadi zako ni za milele na Amen in the name of the Farther the Son and the Holy spirit
Baba fanyika baraka kwa mkwe wangu ktk biashara zake Jehova ondoa dhana ya umaskini ktk familia yangu wote tuweke pale juu tunashukuru kwa yote mfalme
Amen,Mungu naomba uzidi kupigania familia yangu pamoja na kazi yangu ,pia nipate Amani ya moyo
Mungu wangu nitendeee wewe ndiyo utanikomboa najiungamanisha na maombi haya ya leo bwana nibariki mbariki na mtumishi anayetulisha neno lako
Mungu kumbuka maombi yangu kuhusu biashara yangu
Nimekwama kwa ndoa...nahitaji ndoa nahitaji amani ndoa yangu itimie kwa jina la Yesu...
Najiungamanisha na maombi haya mungu baba mrejeshe mume wangu vicent kwangu mtoe ktk kifungo Cha Giza alichofungwa nampenda na kumhitaji Sana mungu nakuomba uniguse Sasa
Mungu nakukumbusha kwa habari ya kupata ndoa sahihi nakukumbusha kwa habari ya kuondokana na umaskini kwangu nakukumbusha kwa habari ya afya yangu
Mungu najiunganisha na maombi haya nipate kibali kumpata mwenza wa maisha yangu
nashukuru Mungu kwa kuwa tayar umenirejeshea hashima na kuniondolea roho ya madeni sasa, nikienda sawasawa na neno la mungu kutoka isaya43;26
Unapozuru wengine usinipite jinsi ulipoanza na mimi naomba umalize na mimi in Jesus name I pray.
Mungu nimekuja kwa imani pia maombi ya siku ya leo unikumbuke namimi kwama itaji zangu zote ata kama nimechelewa bado najuwa kama baraka zangu ziko apa nanitapokea majibu ya maombi yangu kwa imani Amen🙏🏽🙏🏽
Amen
Najiunganisha na.madhabahu hii MUNGU nikumbuke mimi na familia yangu Baba
Emungu mwenyezininajikabizi katika mabhabahu hii ninakuomba ucnipite mwokozi wangu umkumbuke mtoto wangu bahati
Baba nakukumbusha kuhusu kijana wangu muweke ktk wito wake uliomuitia Baba maana amekwama hana ajira biashara wala mahusiano Jehova
Emungu mkumbuke mtoto wangu bahati pamoja naanjela bariki biashara yangu
Baba kumbukua biashara yetu Jehova fungua milango wateja waonekane Baba Mungu
MUNGU NAJIUNGANISHA NA MAOMBI HAYA NISAMEHE MAOVU YANGU NIPATE KAZI SERIKALINI, WAZO ZURI LA BIASHARA, UFUNGUE MILANGO YA KIFEDHA KWA RAFIKI YANG YUSUPH, ULINZI KWENYE FAMILIA YANGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMINA.
Re Mungu nipo hapa mwanao nakukumbusha nipatie uzao tena niiniu kibishara mpe toto wangu husna mume wakufanana Nae Na kazi pia
Muinue Mwangi Juma kielimu ajekua daktar au hakimu Na Mwanangu husna muinulie kazi Mungu ninaomba Mungu type Maisha malefu Na mzazi wangu watoto wangu wadogo zangu Mimi Na mume wangu pia
Amen eeee mungu wangu ukasikie kilio chako
Mungu kumbuka nyumba yangu🛐
Mungu wangu unajua Yule dada amekuwa akinipa machozi Kwa ndoa yangu kila saa anatumia mume wangu sms ili wakae wakiniumiza moyo wangu baba naomba ukanyamazishi Kwa Jina la yesu
Baba ulisema kwenye isaya 43:26 neno lako ni ukweli na uzima changamoto zote ktk maisha ya watoto wangu mkwe mimi na wajukuu baba tazama deadline za mahangaiko yetu Jehova
Mungu kumbuka ile kesi simama Baba unitetee nishinde nipate stahiki zangu Baba
Mungu hakika wewe jua haja na kiu ya moyo wangu
Nakukumbusha sawa saw naisaya 43 juu ya biashara yangu baba Niko mbele zako nahitaji nguvu zako
Mungu wangu nikumbuke baba naomba mtoto kwenye ndoa yangu
Ee Yesu usinipite umponye mama yangu koo Aifoo
Asante Mungu wangu wa mbinguni
Mungu kumbuka Sina kosa ingilia kati unajua napitia Nini ktk haya mahusiano. Nikumbuke
Naumba mungu anikumbuke kupitia madhabahu hii
Nakukumbusha Mungu unipe mume sahihi kuanzia leo
Amen and Amen Asante MUNGU 🙏🏼🙏🏼❤️
Mipango yote ya ndoa kwa binti yangu naiacha mikononi mwako Baba kile ulichokianzisha ukakamilishe Mfamle wa amani
Asante yesu
Yesu nikumbuke nipate ajira na mchumbs
Bila mungu nisinge Toboa mungu naajua unaskia sijamsingizia mtu nimeiona Kwa macho yangu lakini naonekana mjinga
BABA KOMBOA ARDHI YA NYUMBA NA FAMILIA YANGU DAMU YA YESU IKANENE MEMA KATIKATI YA MAISHA YANGU NA WATOTO NA WAJUKUU KTK DAMU YA YESU
Baba nitunzie ajira ya mtoto wangu aendelee kua kioo apandishwe cheo na masomo ya masters Baba kampiganie umweke patakatifu patakatifu Baba
Amen Ameeen
Emungumwenyezi ninakuomba unijibu maombi yangu ebwana
AMEN
Mungu nakiunganisha maomb
Ee Bwana wewe wajua hitaji la moyo wangu usinipite usiku wa leo amen
Ukasikie kilio changu🤲🤲🤲🤲🤲
Ee Mungu Baba Kwa jina la Yesu nakukumbusha nahitaji ndoa, kazi nyingine, afya njema
Mungu kubuka family nyangu
Simama nasi eebwana ktlk maombi haya
Ee mungu nikumbuke mtoto wako
Mungu nikumbukuke
Amen👏👏
Ameni
Amen stay blessed 🙏
Ndio bwana
Rekooo Kanda ya mandi' hii ni lugha gn tafadhar na ikiwaa na maana gn
Mungu najiungamanisha na maombi haya naomba umrudishe mume wangu ulisema utatenda nakungoja baba unitendee baba amen
Ameeen
Asante Yesu
Amen
Amen
Amen
Amen