Mungu akutunze kaka hakika umeongea ukweli wanadamu unafiki ndo mwingi kazi yao kuchunguza hatua za wengne wanasindwa kujua mtu kufka alipo Alianzia wapi!!SEMA BABA WAJINGA WAELEWE
2 Wakorintho 6 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
Weee!! Paulo hakumwambia petro kuwa umestahili makofi. Hakua mtumishi wenzie? zaidi ya hayo nyie si wenzie wa mbarikiwa wala hamuwezi kufanana na mbarikiwa.
uyu bro naye ata potosha watu Biblia ina Ruhusu watu kuonyana waho kwa waho wakienda Kinyume ….NURU na GIZA aviwezi Patana Bro acha kuchochea Makosa…..
Akibarikiwa MWAMPOSA mnamuita free mason mnampaka madoa, ila nyie mkibarikiwa mnataka tuwasifiwe, yani watumishi wa Mungu hapa Tanzania wengi ni wanafiki sanaaa wanapenda kuongeleana vibaya wamejaawa chuki tu ili kuwaangusha wenzao. yani acheni unafiki nyie watumishi mnaongoza kwa unafiki sijui mkojeeee?
Good,
Mungu akutunze kaka hakika umeongea ukweli wanadamu unafiki ndo mwingi kazi yao kuchunguza hatua za wengne wanasindwa kujua mtu kufka alipo Alianzia wapi!!SEMA BABA WAJINGA WAELEWE
Sauti uliowekewa itumie dunia ijue sema kweli my brother.
Mbona nawewe upo kwenye 📷 unasema wenzio nakumsifia kapola unatafuta kiki nawewe nyamaza kama unakifua kweli
Tapel razima amtetee mwenzake
Matapeli wanajua kuteteana😅😅😅
Unataka mkifanya makosa watu wasiseme???
Huwezi kuwasifia kina Paulo ama Thimotheo lakini unatumia biblia kuhubiri..
2 Wakorintho 6
14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
Weee!! Paulo hakumwambia petro kuwa umestahili makofi. Hakua mtumishi wenzie? zaidi ya hayo nyie si wenzie wa mbarikiwa wala hamuwezi kufanana na mbarikiwa.
Mbona hata wewe kusema hivyo bado unashughulikia mambo ya watu wengine broooo
uyu bro naye ata potosha watu Biblia ina Ruhusu watu kuonyana waho kwa waho wakienda Kinyume ….NURU na GIZA aviwezi Patana Bro acha kuchochea Makosa…..
Na Wala Giza halikushinda nuru
Be4 tuokoke kila mtu alikuwa Kwa Giza lake ,Giza la ulevi ,usharati etc
Akibarikiwa MWAMPOSA mnamuita free mason mnampaka madoa, ila nyie mkibarikiwa mnataka tuwasifiwe, yani watumishi wa Mungu hapa Tanzania wengi ni wanafiki sanaaa wanapenda kuongeleana vibaya wamejaawa chuki tu ili kuwaangusha wenzao. yani acheni unafiki nyie watumishi mnaongoza kwa unafiki sijui mkojeeee?
Ipm tapeli
😄😄
WAJINGA NDIO WALIWAO