KUUAMSHA ULIMWENGU WAKO WA ROHO (Sehemu Ya Pili) Na Pastor Tony Kapola
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Life Chapel International Church, Morogoro, Tanzania.
Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-
Facebook: / pastortonykapola
Instagram: / pastortonykapola
Subscribe My TH-cam: / @pastortonykapola
Kwa mawasiliano zaidi: +255 659 085 731 au +255 713 702 187
NAMBA YA SADAKA : +255 762 153 539 (NEEMA MASENGA)
Hii ndio huitwa Divine teachings with alot of Divine wisdom 😊
tunaelewa sana kwamaana sisi ni wa Rohoni kitupekee ambacho namuomba Mungu ni hata wale ambao sio wa Rohoni wapate neema ya kuyaelewa aya.... GOD please wape macho na masikio ya Rohoni wapate kuelewa ndipo watakapofanikiwa sana
Kwa Jina la Yesu , kwa neno hili siwezi kuwa maskini
Roho yangu iamke kwa jina la Yesu, Amen
Tuned from Kenya, essential wisdom from God always blessed by your sermons🙏 more grace.
Amen, amen
I love this man of God , kwakweli naona nikielewa kitu kuhusu dini. Nimekuwa naomba tu but naanza nakujuwa what I need to do becz nimepitia mengi sana magumu
Daaah pastor Tony kapola mahubir Yako yamenijenga sana Toka nimeanza kukuftlia nimekua kiimani na nmejifunz vingi!!!! Mungu azidi kukutia nguvu
Walioko upande wetu ni wengi ❤❤❤❤
Macho yangu na yaone nisichokiona.
In Jesus name.
Amen
The teachings are super wonderful....may God help me to keep his word and walk in accordance 🙏🙏
Pastor Tony ur a blessing to our generation
Mtu wa Mungu umenifungua macho!
Amen from 🇰🇪🇰🇪but this is more than a scripture.....this are special teachings that no one knows
Yesu Ako hai
Nimepata pa kutokea umaskini. Sitakuwa maskini tena.
🤔Uyu mtu anafundsha kuutafta muujiza hatoi muujza and tujue t hakuna muujiza unakuja kimuujza put the strategies to find your miracle 🥰
Tunakuelewa lkn tumwite pastor tonny kapola sio Tu MTU ju tunalifahamu jina lake ama mtumishi WA mungu please
Roho yangu amka,, kwa jina la yesu kristo,,
Amen.ulimwengu wangu wa roho umeamka sasa.barikiwa sana dady.from morogoro Ccwc (c.a.g)
I connect my self
The teachings are super powerful,tunatoa katika ulimwengu wa kiroho kwa maneno ili kuleta kile unachotaka Kwa ulimwengu wa nyama....in short confession is possession.iwapo unakiona rohoni unaweza kukileta duniani kwa kukiri🙏🙏
Daaaah!! Wewe ni hatar sanaa Mungu akupe umri mrefu sanaa
Mkono wa Mungu uwe nawe pastor tupate kula chakula cha roho daima
Kama BWANA aishivyo sadaka zang zikawe ukumbusho mbele za MUNGU, nipate matokeo katk ulimweng wa mwil, pastor be blessed forever and ever
Mungu azidi kumlinda Tony kapola kiukwelii toka nianze kumfatilia star bonga nimekuwa kiroho
Macho ya ndani yanafunguliwa Kwa maneno... Ishmael's mother had not seen the well until her inner eyes were opened.🙏
Pastor Mungu wa mbinguni akutunze na kuelewa sana
Nakataa kuaibikaa kwajina la yesuu.
Roho. Yangu ipate uwamsho kwajina la yesu
MUNGU akubaliki San Kila siku napanda utukufu adi utukufu 🙏🙏
Amen mtumishi ubarikiwe kwa somo zuri
God bless you more. thanks man of God. Hallelujah Hallelujah
Pastor your blessings coz everyday I learning the new world of God in spirit of God
Pasta,Pasta una Neema
Amen, nimejifunza kitu
Brother Mimi ni Mseminary...ila Theology uliyonayo nizaid sio ya kawaida...najifunza vingi sana kwako hata wenzangu wamekubaliana na Mimi
It's called revelation
Be blessed man of God nimejifunza mengi kupitia kwako
Jmn najilaum kuchelewa kupata aina hii mafundisho nisingehangaika lkn MUNGU Ni mwema asantee kwa neema hii midhari bado naishii nitang'ang'an na maarifa haya nisijeangamia
Amina baba
Amina 🙏🏿
Amn much love your words
ameen
Asante sana Pastor🎉🎉
I love this pastor
Be blessed man of God pastor Tony 🙏 🥰I learned a lot 🙏 yaani hapo kwenye network hapo😆
Amen revelation thank you pastor
Be blessing pastor
Mmhmmm...
Am blessed
Ulichonacho cha mwisho unakifanyia Nini?....what a revelation 🙏🙏🙏🙏🙏( zeraphath woman)
Amen!!!!
Amen Amen pastor mungu akubariki.
AMEN from zanzibar naangalia
hii ni level nyingine ya mafunuo
Shalom,Hongera kwa masomo ya kweli maana Neno la Mungu ndiyo kweli,( Ninaombi,ingawa ni gumu kwako,ilalitasaidia wengi,Naomba ukihubiri kiswahili usichanganye na kingereza Masomo yako yanatusaidia wengi, upange kama utahubiri kingereza liwe somo la kingereza mpaka mwisho,niombi sio lazima Mtumishi wa Mungu ) Mungu akutunze katika zama hizi za mwisho Endelea kufundisha hii kweli
Nnavyoona hutumia kiingereza kama lugha ya msisitizo au mkazo na mara nyingi anachokizungumza kwa kiingereza anakitafsiri kwa Kiswahili papo hapo.
Binafsi nimependa hata hiyo code mixing👍
Amen powerful
Amen pastor. 🙏
Hooo pastor
Akili nyingi zilizozidi na kuzidi
Naaaam ya ukweli hiyo AMENI kubwa
🙌🏼🙌🏼🙌🏼
I am blessed, God increase you by revelation We receive.
Dady kapola
Be blessed
Blessed
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Jamani huyu kaka yuko sahihi mimi kuna siku uncle Wang aliniadhibu kisa wamekuja tenesco nikawapa stuli wakakata umeme mimi sikuelewa aisee alinipa vibaya mno usiku nikaota marehem mama ananikimbiza anichape watu wanasema muache mtoto,😢kesho mjomba akaniomba msamah yani njozi nyingi zimekuwa zikitokea ngoja niombe sana
🙏🙏🙏
Papaaa
Nimeomba kwelikweli
Pastor ata me kuna ndoto naota Mara nyingi tena namuota mtu uyouyo kiukwelii nataka mungu anifunulie iyo ndoto
Aya wale wapenda miujza ya chapchap ya burebure wanakmbilia kwenye baraka za kpepoo hupokei muujza bure as pastor says fatlia wenye miujza nn walifanya ad muujza ukaja
Amen
P
Amen
Be blessed
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen mr
amen amen amen