Waimbaji : Mt Anthony wa Padua - Maisaka Wimbo : Baba wa Yatima Mtunzi: Leonard Sondi Kinanda : Baraka T Mashibe Studios: Holy Trinity Trainer : Joseph Mgalilaya
Mungu katika Kao lake takatifu huwainua Wanyonge hasa katika Magumu yao,Hakika Mungu ni Mkuu,,,,huu wimbo unanipa tafakari ya kuendelea kumyenyekea,,,Hongera Mwl Leornad Sondi Mtunzi na Waimbaji WanaAnyhony Waadua
Mungu katika kao lake takatifu. Amina sana mbarikiwe sana wapendwa pokeeni maua yenu 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💏by madam teddy kutoka parokia ya familia takatifu kiru❤❤❤❤❤
Kuna mda waweza kuwa na huzuni nqkupoteza tumaini lakini kwa wimbo huu hakika unatoa machozi huku ukifurahia uwepo wa imani ya wakatoliki na umuhimu wakuimba kwaya ungali hai,mbarikiwe sana kwa tafakari nzuri
Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Mungu katika kao lake takatifu, Mungu huwakalisha wapweke nyumbani, huwatoa wafungwa katika hali ya kufanikiwa.
Hongereni sna watoto wa Mungu kazi nzuri sana yenye tafakari nzuri sana.
Hatari sanaa ... Utume uzidi kusonga mbele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🤝🤝
Kazi nzuri Mungu awalindie na kuwatunza katika utume huu wa uimbaji 🔥🔥♥️♥️🎼🎼🎵
🙏🙏
Mungu katika Kao lake takatifu huwainua Wanyonge hasa katika Magumu yao,Hakika Mungu ni Mkuu,,,,huu wimbo unanipa tafakari ya kuendelea kumyenyekea,,,Hongera Mwl Leornad Sondi Mtunzi na Waimbaji WanaAnyhony Waadua
🙏🙏
Hongereni sana wapendwa kwa nyimbo nzuri
Mungu azidi kuisaidia hii kwaya! Wimbo uliojaa tafakari kwaajili ya kwaresma!! Hakika wenye haki watasitawi!!!
Amina !!
Ee Mungu KWa wema wako uliwahifadhi walioonewa!!
🤝
Mwimbieni Mungu lisifuni jina lake,,,Hongereni Wanapadua kwa utume mbarikiwe sana
Mungu katika kao lake takatifu. Amina sana mbarikiwe sana wapendwa pokeeni maua yenu 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💏by madam teddy kutoka parokia ya familia takatifu kiru❤❤❤❤❤
🔥🔥wenye haki watafurahi na kushangilia, kazi nzur
Amina
Hongereni wapendwa Mungu azidi kuwaongoza vema muweze kufikia mbali kwenye utume wenu kadiri ya mapenzi yake
Amina !!
ASANTE sana kwa TAFAKARI ya Kwaresma !!
🙏🙏
Mungu azidi kuwainua 🙏🙏
🙏🙏
Asante sana mtunzi rafiki yangu Sondi pamoja na kwaya
Hongereni Sana wapendwa
wimbo una tafakari nzuri sana
🙏🙏
Asantee sana 🙏
Hongeraaaa sana mmefanya kazi njema.
🙏🙏
Familia yangu hongreni Sana kazi nzuri 👏 Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu zaidi katika utume🙏❤
🙏🙏
Tafakari nzuri hakika
🤝🤝🙏🙏
Hakika Mungu n mwema kwa wote wamwitao, awasaidie wote wenye uhitaji kupitia wimbo huu wausikilizapo wafarijike mpaka wafanikiwe
Ongereni San kwaya yangu
🥺🥺 Mwimbo unatafakarisha mno
Mola awape mafanilio zaidi
Hongereni kwa kazi nzuri pia sauti nzuri daima nitazidi kuwa ombea katika utume wenu mfike mbali
🙏🙏🙏🙏
Kuna mda waweza kuwa na huzuni nqkupoteza tumaini lakini kwa wimbo huu hakika unatoa machozi huku ukifurahia uwepo wa imani ya wakatoliki na umuhimu wakuimba kwaya ungali hai,mbarikiwe sana kwa tafakari nzuri
Amina
Nice
🙏🙏
Mungu azidi kuwa tunza ktkt utume na familia zenu
Amina na wewe Mungu akubariki
💥💥💥💥💥
🤝
🎉🎉🎉
💥
Ee mungo kwa wema wako uliwahifadhi walioonewa
🎉🎉
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏻
😊😊😊