WIMBO : TUMWACHIE MUNGU WAIMBAJI : KWAYA YA MT ANTHONY WA PADUA - MAISAKA , BABATI MTUNZI : D. HARBONA STUDIO : HOLY TRINITY (AUDIO & VIDEO) @kmapmaisaka
Hongereni sana vijana wa Mt Antony wa Padua endelezeni umoja wenu mnaimba vizuri Sana Mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia kwa maombezi ya Mt Antony wa Padua
Huu umenigusa mnoo Kuna mambo najikutaga napambana nayo kumbe n ya Mungu walahi kuanzia leo namuachia Mungu. Asanteni kwa kunitia moyo nawapenda mnoo my family
Hongereni sana vijana wa Mt Antony wa Padua endelezeni umoja wenu mnaimba vizuri Sana Mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia kwa maombezi ya Mt Antony wa Padua
Amina
Amina
Kazi zuri sana Mungu atie mikono yake AMINA
Hongereni Sana wanakwaya ya Mt Anton wa Padua Maisaka kwa kazi nzuri, Mungu awabariki.
Tunashukuru sana Baba🙏
Congratulation to my family
Thanks
Hecko kwenu Kenya twawapata vizuri sana
Hongereni sana Wana Padua
Hakika utume na kazi inaendelea
Mungu azidi kuwaongoza na kuwalinda
Hongeren sana wana Padua maisaka babati mnapiga mwingi kuinjilisha kwa njia ya uimbaji mungu awatangulie katika utume wenu wa uimbaji nawapenda sana
Nawapenda san ndug zang wimbo mzr san
Waoooh mungu awapiganie sana wanakwaya wetu.hongreni sana akinatobias,akinashayo wote kwaujumla.amina
Ongera sna waimbaji st anthony
Mmependeza kazi nzuri👏👏
Huu umenigusa mnoo Kuna mambo najikutaga napambana nayo kumbe n ya Mungu walahi kuanzia leo namuachia Mungu. Asanteni kwa kunitia moyo nawapenda mnoo my family
Kwakwel, tumwachie Mungu atende
Wimbo tamu
Mambo ni 🔥🔥🔥
MUNGU Azidikuibariki Kazi ya Mikono yetu, Familia ya MUNGU 👏👏🙏
Nawaona hongeren
Wooow !!!
Wooow💃💃
Congratulations my brothers and sisters
Hongereni. Nakuona mama Katherine👌👌
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hongereni sana jaman
Ongereni wana wa Padua kazi nzuri big up sana mmependeza Sana. Mungu awatunze katika utume wenu.
Amina
Kazi nzuri hongereni sana
Wow !!
Kazi inaendeleaaaaa
Mungu awabariki wote Waimbaji hakika mwenyezi Mungu awabariki Sana
Amina
Vzr sana kwaya mt Antoni wa Padua nyimbo nzuri nawaombea mfike mbali
Amina
Amina kaka
Amina
Congratulations family ❤❤
Thank you so much 😀
Hongera sana kwa wimbo mzuri,nimebarikiwa sana
Tumtukuze Mungu
Hongereni saaana wapendwa kwa kazi nzuri 🙌🙌🙌🥂🌹🌹🌹🌹🌹
Alas!!🎉 Very nice,, excellent 👍
Thanks for the visit
Hongera sana
Ndugu ktk Kristo 🙏🙏❤️❤️
🎉🎉hongern san
Ahsante sana
Utukufu ni kwa Mungu
Ujumbe mzito kweli
Ahsante, ubarikiwe mno kwa comment
Safi sana kazi yenu nzuri mno. Nawapenda Mungu awatunze na kuwabariki
Amina
😅hongereni sana n myimbo nzuri kupta kiasi 🎉
🙏🙏
Greetings from Oklahoma city, Oklahoma USA. Very beautiful, voices and lovely scenes Keeping you all in prayer
Thanks for your appreciation,glory to God
Thank you very much!
Hongereni sanaaa wanakwaya wa Mtakatifu Anthony wa Padua Babati.🥰🥰
Asante sana
Wekeni basi Ametukuka wapendwa
🤣🤣 sawa
Mko vizuri hongereni sana Mungu aendelee kuwasimamia na kuwalinda