Mheshimiwa Rais Dokta Samia amewapa Vijana dhamana ya Uongozi natumai Kero na Migogoro ya Ardhi itaenda kupata ufumbuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
Kumaliza kero za aridhi nchii hii sio rahisi yako maeneo yanamilikiwa na vigogo wananchi wanayapigia kelele waziri akiingiza kichwa mle ameisha migogoro ya wakulima na wafugaji haiwezi kuisha maeneo ya hifadhi bado vigogo wako humo kuyamaliza si rahisi kivile
@@pastorgodsonjohn8562 Serikali yetu ni Sikivu ndiyo maana Mheshimiwa Rais Dokta Samia ameteua Mawaziri wapya katika Wizara za Ufugaji na Uvuvi, Mali Asili na Utalii zikishirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Kazi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Kuwa mzalendo kwa Nchi yetu Tanzania na tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia kutekeleza Maendeleo. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Kuwa mzalendo kwa Nchi yetu Tanzania na tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia kutekeleza Maendeleo Nchini. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
😂😂😂 YAN APO KUNAWATU ROHO ZINAWAUMA HIYO HAIKUSAIDII PIGA GOTI NAWEWE MUOMBE MUNGU AKUJARIE LA SIVYO UTAISHIA KUISHI MAISHA YA MANUNGUNIKO
Kweli awamu ya nne imerudi mpaka sherehe! JPM ujinga huo hayakuwepo kweli tumepigwa
😊
Kuleni maisha tu mamae zenu ila sisi wa chini tunazidi kuumia dadeq zenu
Duh kweli DPW inalipa
Lakini mh lukuvi aliiweza wizara sijui kwa nini alitoka
Hao wazee wanavyomcheki kama vile"huyu nae anatujua anatuskia?"
FIDDA HUSSEIN NI TAPELI WA NYUMBA ZA WATU DAR.
jery tunakisubili 2025 tutakufanya kama 2015 ukonga hautufai hatakidogo
Badala ya kutoa mwelekeo wa kazi (dira) anaanza kutoa vitisho vya HOVYO. Nampa pole hilo ni koti tu la kuanzima.......
Acha wivu utakuuwa
Tz haya ndio mambo yanayofikiriwa kuwa ya maana, bado tuna safari ndefu sana kupiga hatua
Huku tunabomolewa nyie mlakula maisha tu
Umeapishwa kuiba mali za watanzania bila kuajibika. Vituko.!!!!
Hamna kiongoz hapa ni kiburi tu cha uzima na cheo
Chapa kazi kijana ,walionuna achana nao
mtata huyu ila kichwa sana
Mheshimiwa Rais Dokta Samia amewapa Vijana dhamana ya Uongozi natumai Kero na Migogoro ya Ardhi itaenda kupata ufumbuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
Kumaliza kero za aridhi nchii hii sio rahisi yako maeneo yanamilikiwa na vigogo wananchi wanayapigia kelele waziri akiingiza kichwa mle ameisha migogoro ya wakulima na wafugaji haiwezi kuisha maeneo ya hifadhi bado vigogo wako humo kuyamaliza si rahisi kivile
@@pastorgodsonjohn8562 Serikali yetu ni Sikivu ndiyo maana Mheshimiwa Rais Dokta Samia ameteua Mawaziri wapya katika Wizara za Ufugaji na Uvuvi, Mali Asili na Utalii zikishirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Kazi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Uyu mwana naga masiala tanyoka shez nyie
Aliiba pesa akiwa msitaiki meta wa ilala alichota pesa za vijana Leo anapewa wizara
Aliyenacho ataongezewa,Jerry ulipokuwa diwani wa Ukonga yaleeee majibu kwenye vikao mmmmmm.
Huyu naye taka taka tu kama ile juu
Kuwa mzalendo kwa Nchi yetu Tanzania na tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia kutekeleza Maendeleo. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Ww ulitaka apewe mjombaako
,,
@kainimlowe. .chakutukana viongozi.Wewe asikuwa takataka umeifanyia nini nchi
Wewe mavi tu,itakufaa kihoro na roho yako mbaya.
Mpatieni na posho ya bandari si mauwa tuu na ile ya gesi na madini pia msisahau ila 1 day yes.... CCM mtavuna mnachopanda..
Bandar imekuathir akili ww
Huyu bwana hapana hata wafanyakazi wanaonekana hawajamkubali kabisa
Kila la kheri Msomi
Jerry Slaa PIGA kazi kwa Weledi wako Wote Muheshimishe Mh RAIS aliekuamini Wewe katika wengi
Viongozi wakiwa wengi ni upigaji tu, tumepigwa hiyo piga keleleeeee
Kweli hapo watu wengine wanaonekana wamenyong'onyea haaaaaaaa
Jimbo la ukonga limekushinda utawezaj wizara
Kutetea mkataba wa dp world kwa hoja mfu kumemlipa,nafasi za kuhongana hongana kamwe hazitaleta tija.
Usisahau Wana Ukonga...tulikuchagua kwa kishindo... usisahau!
Kwahy watakaje😂😂
Viongozi wa zama hizi wepesi mno.
Chukua chako mapema 2025 Chali ukonga Bado wapo doria
Hana kitu hapo kiongozi asiyekuwa na maharifa.
Ww mwenye maarfa mbona upo upo tu
msomi huyoo, we si ulikimbia shule , kaa kimya acha watu watumikie taifa
toanamba yako tukupe malalamiko sumetumwa utatue changamoto
Waziri wa kwanza kushindwa 2025😂
KIONGOZI
Maneno kibaoo..utatumbuliwa tu na wewe
Yani huyu anangaa ajabu huyu ni mwizi tu
Kuwa mzalendo kwa Nchi yetu Tanzania na tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia kutekeleza Maendeleo Nchini. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Utukumbuke miundombinu kitunda dsm barabara mbovu hatari