kweli rafiki mkia wa fisi...ukishiriki atakufirisiiii🤣🤣jamaa since day1 mmeenda kutafuta mganga alikwambia ana tamaa iweje umuamini kumpa mali zako ivo bro?but anyway vya shetan huwaga havidumu..kikubwa shukuru uhai unao
WaTanzania wengi ukichunguza utakuta mali zao za ushirikina asikwambie mtu. WaKenya sie ndio wapambanaji wa haki, Asante Davista matar kwa kuwekea mwanga jambo hili....Shetani amewavaa wakavalika !
Pole ndugu mrudie MUNGU na ukubali kua hauna kitu na anza kutafuta upya hakika utafanikiwa nahata kama hakitakua kingi kama mwanzo ila kitakua nichenye kukutosheleza mahitaj na baraka pamoja na amani ndani yake
Pole sana kaka huyo rafiki yako alitaka kukutumia tena ni yeye alikufundisha ushirikina mshukuru Mungu kakutoa kwenye utajiri wakishirikina muombe Mungu atakupa utajiri wa halali usichoke kumuomba Mungu
@@richardcleophace4509 Sasa mali za hvo hazina formula yaani kitendo cha kumkabdhi yule jamaa ake ndo ulkwa mwanzo wa kupotea hivo,,,na hata hyo mwenzake hawezi kukaa nazo ztapotea 2 sbb ili ziwepo znahtaji makubaliano ambayo tyr yameshakiukwa😥
@@salisali3738 hapana mpendwa, shutuma zangu ni kwa ajili ya msimuliaji yeye alitoa mali zote sasa bado anasema ni zakwake, ufahamu wake umefungwa siku ukifunguliwa atajua kuwa hiyo ndo njia ya majini kuchukua mali walizokuwa wamempa. Mpendwa uwe na amani labda ukienda huko na wewe amani itatiweka.
Huyu jamaa akili hana kabisa! Unampa mali rafki yako bure afu we unaanza kuwa ombaomba! Sjawahi kuona! We ulishatibiwa na hukufariki upo unaishi; Sasa unagawaje mali zako? Nampongeza rafki yako huyo! Sasa kama umeshindwa kuendesha mali zako akusaidieje? Wacha ale maisha!
Mpumbavu kweli ww mjinga kabisa kwann usimkabizi mama au ndugu boya kweli story ilikua nzuri unaiharibu mwishoni kamuendee kwamarasta mjinga umeniboa kweli Yani😬.kweli movie ya kihindi ster kafa😂
Bora tafuta nyengine hizo achana nazo japo una dhiki ila vumilia na pambana Allah atajupa nyengine na rafiki utapata mwengine muhimu utulivu wa nafsi yako
Uyo marasta ndo yule tunaemjua sisi au mwingine? N uyo Jamaal hana akili yaani siku ya kufa imepita afu bado kaenda kugawa Mali zake 😅😅😅 ye akadeki bahari tuu
Inawezekanaa ila na yeye bado ni mjinga maana kashindwa kujiongezaaa. Na kama aliweza kujitoa kafara ameshindwaje kumiliki Mali zake ye kama anaweza arudi tu kwa marasta atajua ukweli wa Mali zake na huyo rafiki yake
Mmm pole hapo shatani tu ulimp maan kam millala chuma kimoja ukamuonni joka pole pesa za nguvu za giza ni shid nyumba je mjinga ulipon kif hiy siku huyo si mtu ni jini
Ni mganga ndie alifanya hivo ili ugawe kwa mwingine...Wala sio akili yako..hakuna Cha mganga anaekupa utajiri ukaufurahia kwa ulaini..vya shetani siku zote haziliki... waweza kuta huyo mganga amemfanya rafiki yako akugeuke...nae ipo siku ataanza kulipa na atajutia..tuache tamaa
Mbona unatuwekea vipande vya dakika fupifupi Davister tunaomba tuwekee angalau vipande vya dakika 35 Naomba kuwakilisha.
Asante Sana davi pamoja sana much love from 254
27
Kwanza namshukuru Mungu kwa uzima na mtegemee yeye atakupa zaidi
kweli rafiki mkia wa fisi...ukishiriki atakufirisiiii🤣🤣jamaa since day1 mmeenda kutafuta mganga alikwambia ana tamaa iweje umuamini kumpa mali zako ivo bro?but anyway vya shetan huwaga havidumu..kikubwa shukuru uhai unao
Yaani. na alimbiwa kabisa yan kwamba huyu jamaa yako anatamaa kinyama afu baadae kamkabidhisha mali zote duuuhhhh......shetan shetan tyu
Fulu Stol Tunasonga Nayo Mbere Jamani Kondoo Aliteseka Sana Uyo Akika
WaTanzania wengi ukichunguza utakuta mali zao za ushirikina asikwambie mtu. WaKenya sie ndio wapambanaji wa haki, Asante Davista matar kwa kuwekea mwanga jambo hili....Shetani amewavaa wakavalika !
Wallah tena
Pole ndugu mrudie MUNGU na ukubali kua hauna kitu na anza kutafuta upya hakika utafanikiwa nahata kama hakitakua kingi kama mwanzo ila kitakua nichenye kukutosheleza mahitaj na baraka pamoja na amani ndani yake
Pole sana kaka huyo rafiki yako alitaka kukutumia tena ni yeye alikufundisha ushirikina mshukuru Mungu kakutoa kwenye utajiri wakishirikina muombe Mungu atakupa utajiri wa halali usichoke kumuomba Mungu
Aiseee maisha haya usiyachukulie kitoto
🤣🤣🤣
najma rafiki Hemed suleiman blessed mariam Fatma Fm morn Erici Neema Nasra Riziki Zabiya Amina Abuubakar Aisha upendo salim salim Fundi khulood Credo na wengineo njoon mambo tayar😍🇪🇭🇪🇭
Nimefika pamoja sana
@@fatmaalrshdii7615 Nmefurai kukuona kipenzi 😍😍😍😍
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Mbona jamaa anaonekana Kama anachezea simu usimuliaji wake unakuwa Kama mtu anayefanya mambo mawili kwa wakati mmoja mwambie atulie bana😅😅😅😅
HV uoni kichwa chake kimetazm wap watu WENGINE hawawez kuongea kwa fujo ht iweje
Shukuru Mungu uliponea, mali sahau ulipeana mwenyewe sasa ishi kwa neema ya Mungu na umtambue
Hizo mali zilikua lazma zipotee mana umevunja mikataba,,pole ndugu mrudie Mungu atakpa Mali zisizo na masharti😥,,,
Mashart yaliishia pale kwenye kutoa kafala kondoo bora angebaki naze tyu mwenyewe na kama kupotea bola zingepotelea mkononi pake mwenyewe
@@richardcleophace4509 Sasa mali za hvo hazina formula yaani kitendo cha kumkabdhi yule jamaa ake ndo ulkwa mwanzo wa kupotea hivo,,,na hata hyo mwenzake hawezi kukaa nazo ztapotea 2 sbb ili ziwepo znahtaji makubaliano ambayo tyr yameshakiukwa😥
Namshauri
Arudi kwa marasta
Au mti mkavu akawaeleze
Pengine upo ufumbuzi.
Huna akili pumbav wewe ndio mwenye kujiangamiza halafu mapesa unakwenda kumpa mtu zote huna ndugu au wazee
Kumbuka hixo ni pesa zakishetani hata haxingesaidia
Rudi kwa marasta azifilisi izo Mali mkose wote
Ni kweli bhana aludi kwa marastar afilisi mali izo au amludishie ina uma
Ndio pesa za majini zilivyo huwezi miliki mpaka mwisho lazima ziwe na mwisho
Mali ulimkabidhi usiseme umezurumiwa na ujue mali ya shetani aidumu mrudie Mungu.
@@ednacelemon5950 mbona kama wani shutumu mm 😂😂😂😂😂
@@salisali3738 hapana mpendwa, shutuma zangu ni kwa ajili ya msimuliaji yeye alitoa mali zote sasa bado anasema ni zakwake, ufahamu wake umefungwa siku ukifunguliwa atajua kuwa hiyo ndo njia ya majini kuchukua mali walizokuwa wamempa. Mpendwa uwe na amani labda ukienda huko na wewe amani itatiweka.
@@ednacelemon5950 👍👍👍👍🌹
Mimi huyo rafiki yako ndio nimempenda rafiki wa dhati
Gang Like kama unafatilia hii kitu
Kile ntakuu ambia sahau,uhai wako nii muhimu,kuna jambo litaa mpata,Yule kuku ataa mwandama,pambana, brother,heri jasho lako,kuliko maali ya shetani,uyo shetani amegeuza game uyo rafiki ndie ataliwa
Pamoja davista tunataka story sio unatuletea udaku udaku 🙄🙄🙄
Au mnasemaje wadau
Ndioooooo my
Udaku muhimu sweery 😂😛
Pesa haina undugu ulifanya mistake kubwa sana kumwamini huyo rafiki ako, ungekaa nazo ufe nazo
Huyu jamaa akili hana kabisa!
Unampa mali rafki yako bure afu we unaanza kuwa ombaomba! Sjawahi kuona! We ulishatibiwa na hukufariki upo unaishi; Sasa unagawaje mali zako? Nampongeza rafki yako huyo! Sasa kama umeshindwa kuendesha mali zako akusaidieje? Wacha ale maisha!
Yesu peke yake ndiye jibu tu.
Yaaani hapo ndo ajue ndo kachukuliwa kihivyo,yule mganga alimsaidia ili asife tu lkn kweny Mali ndo zimechukuliwa
Amwachie tu mali, maan alimtaftia mganga na ndo aliempeleka huko tunduma, duuuh huyo marasta ni huyu wa zabron au mwngine
Mwenzake kamwendea kwa mganga 😂😂
Wa pili
Twende sasa pamoja mpaka mwisho wa story💪💪💪💪
Pumbafu kweli huna Mama huna mke huna ndugu kumtesa kote huyo kondoo unamkata kipande kimojakimoja afu Mali unampa msenge huyo tulia hivyohivyo njaa ikuue
Davistar pamoja sana
Ila huo udaku usiulete huku tunataka story
😂😂😂Nimecheka hapo ,eti ningedondoka tu wangenila
🤣🤣
😀😀😀
Huku zambia mishumaa ya rangi zote zipo ni wewe tuu😄😄
🙄
Niagiziee mwekundu na blue niwe nawasha chumban usiku naipenda
Sasa umenusirika kifo tena wapeanaa😀😀😀😀😀😀kubwaa jinga uligeukwaaa lzm mana ujingaa wako tuu
Mpumbavu kweli ww mjinga kabisa kwann usimkabizi mama au ndugu boya kweli story ilikua nzuri unaiharibu mwishoni kamuendee kwamarasta mjinga umeniboa kweli Yani😬.kweli movie ya kihindi ster kafa😂
Kweri
Ata mi nilimshangaa sana
Boya sana dhhuuuuu
Mbuz wa maskini hazai. Cjui hata ndugu hakua nao. Star wa picha kafa kaacha majambazi hai. Natamani kutoa neno bovu ila acha nikaushe tyu
@@richardcleophace4509 😂😂😂😂yalambavu zangu ster kafa majambazi wapo hai😂😂
Hongera kwa kushinda umauti. Sasa si urudi kwa mganga alokusaidia ili afilisike huyo kenge asiona fadhila
Duh kama ndoto leo 23 ipo sk nitakuwa 1 na sialiki jilan war nani dadek🏃♀️
Daaah huyu boya kweli ningekua mie ningeenda kwa marasta nikamfanya kitu kibaya
Uko Lofa Sana Uta Mwamini. Mtu kwenye pesa
Safi kabisa davistar mata👍👍👍
Davista mata naomba namba za huyo kaka ninashida nae
Asante Davistar, tafadhali tupe namba za huyo kaka.
Daaah marafikiikiii😭😭😭
Bila shaka rafiki kakupiga kipande umpe mali zote ila kikubwa uhayi mshukuru Mungu
Mimba ulibeba mwenyewe, ulivyojifungua ukagawa mtt kwa mtu mwingine duuu.
😀😀😀😀
Wa TZ Wanavituko ajabu. Mimi niko 254. Naifatilia sana hi kipindi
Kaka mbona ujataja no zake tumsapoti angalau kidogo
Yani ww Kaka Bora ungekomaa nazo mwenyewe tu..Na ukute kakuloga huyo Kaka loooh marafiki sio watu jamanii😭😭😭😭😭
kabsa 😭😭
Pili njoo mama na mashemej zangu mjee
Mm hapa shem lako 🤗
@@somoeawadh7774 hahaha karibu shemej yangu 😄😄😘
@@hamadwaziri121 Asante shem mahari peleka kwa Davistar kwanza
@@somoeawadh7774 ndio mshenga Davistar usijal shemej kwa hilo
@@hamadwaziri121 Hapo sawa 🤝
Simulizi ya kutunga
Lete ya kwako tuipime
somoe pili Fatma Aiyam Ezakia Lily Rose upo? sapna kevarist doodluck salim salim credo Amina Aisha Mariam zabiya cute emmy Farhat salum Nguwalo Hemed rafki Eric na wengineo njooon mambo tayari 😍😍😍😍🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Nishafika mama 😘😘😘
@@somoeawadh7774 Nmefurai kukuona kipenzi 😘😘😘😘😍😍😍😍😍😍
@@ayshamahariq6665 mm zaidi sweetheart 🥰
@@somoeawadh7774 pamoja kipenzi 😍😍😘😘
Asante nishafika mpenzi😍😍😍😍😘😘😘
Bora tafuta nyengine hizo achana nazo japo una dhiki ila vumilia na pambana Allah atajupa nyengine na rafiki utapata mwengine muhimu utulivu wa nafsi yako
Tupo kwenye game mpaka mwisho wakipindi ngoja nijue marasta anafanya nini
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
Sasa bona asirudi kwa uyo mganga alimtibu amtengeneze rafiki yake amrudishie Mali zake
Eheee kumbe kumekicha sasa😋😋😋😋wanangu wa nguvu njooni uku mambo uwanjani🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Waaaah mpenz wangu 🥰🥰🥰🥰
@@dorcaskidoti249 ohoo wewe nimekumiss mamaangu 😔😔😔😔😔
@@najmasaidi1412 nipo kipenzi changu, uko powa?
@@najmasaidi1412 😍😍😍😍
@@dorcaskidoti249 hofu kwako2 mamy😔😔
Keep up MY brother
D unaoneka siriasi sana vp bb kulikoni
Blooo davistar mata naomb namba yako
hizo mali hazikuwa zako,zilikuwa za shetani ,shukuru tu upo mzima,tafuta za kwako
Yajayo yanafurahisha....kaka Bora uzma kupata Kun mung
Uyo marasta ndo yule tunaemjua sisi au mwingine? N uyo Jamaal hana akili yaani siku ya kufa imepita afu bado kaenda kugawa Mali zake 😅😅😅 ye akadeki bahari tuu
Inawezekana yule rafiki yake kamfanyia kitu😅
Sio akili yakawaida rafikia yake sio mtu kamfanyia jambo
Inawezekanaa ila na yeye bado ni mjinga maana kashindwa kujiongezaaa. Na kama aliweza kujitoa kafara ameshindwaje kumiliki Mali zake ye kama anaweza arudi tu kwa marasta atajua ukweli wa Mali zake na huyo rafiki yake
@@catherinewilliam2153 sio amrudie muumba aendelee na ushirikina tena
@@catherinewilliam2153 ushikina nihatr akili yako yote wanaipumbaza huyo kafany jambo bila idhini yake nimadawa
Ujafa lkn wenyewe ndi wamechukuwa malizao mikononi mwako ila na huyo rafik yako mali hazita du kamweli shetani ni shetani tu bro
Nitumie namba tuwe tunamsaidia hela yakula
Huyo marasta hata kwa yule zablon nilimsikia
Mmm pole hapo shatani tu ulimp maan kam millala chuma kimoja ukamuonni joka pole pesa za nguvu za giza ni shid nyumba je mjinga ulipon kif hiy siku huyo si mtu ni jini
Davista mbona huulizi zile tranker zilileta pesa baada ya kutibiwa
Bora lakini kaka angu fanya kazi upate kwa jasho lako
Mungu ni mwema
Tatizo uwoga wako umekuponza nenda kwa marasta
Ni mganga ndie alifanya hivo ili ugawe kwa mwingine...Wala sio akili yako..hakuna Cha mganga anaekupa utajiri ukaufurahia kwa ulaini..vya shetani siku zote haziliki... waweza kuta huyo mganga amemfanya rafiki yako akugeuke...nae ipo siku ataanza kulipa na atajutia..tuache tamaa
Kabisaa
Unadhani atadumu nazo?Yeye ndio yatamuua we subiri tu
Davista sahv tunataka uwahoji waganga wenywe wanaotoa utajili wa namna hii
Lakini huyu pia sio rafiki mzuri
Pole sana
Devista leo uko makini sanaaa
Kk ulifanya makosa kumpa hela, kama ww uliogopa na ukaamuwa umfanyie hivo hapo yy ndio mwenye mamlaka
Waaa pole
Aisee Marasta🔥🔥🔥🔥
sanaa
@@ikabako2454 kabsa 😂😂😂😂😂
Mm tangu mwanzo nilijua tu huyu kuna mahali atakwama! Unampaje mtu mali kirahisi hivyo? Atafute nauli arudi kwa mganga
Bahati yako rudi kwa kamba ya mungu
Ubinadamu kazi
Fire fire
Vijana Wana haraka ya mali sasa wajione shida ambae wanapitia mashaka na uchungu tubu
Yn wotee nyinyi roho zenu zipo kuzimu.majini wamewaacha kwanza ili ela zao ziendelee kutumiwa na wanadamu
Aiseee hiyo ilikuwa shughli kwa kweli
Ivi davista yule alikuaga na shida kama ya uyu alikuaga bado miezi 4 alishakufa? Yule alifanyaga ili mama yake aishi vizuri alafu mama yake akafa
Kuchelewa nayo 🥺
🤝🤝❤❤❤
@@ayshamahariq6665 💙💙💙
@@somoeawadh7774 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sawa sawa kaka
michezo hiyo ukamkabidhi rafikiako mali ilikua umkabidhi hata ndugu yakoooo.
Wa3leo like jomon
Hahahah hiyo nimekupa
@@credo7837 thx broo
@@zettyhassani2244 pamoja sister
Daah kumbe hukuambulia kitu mahangaiko yote hayo
davist naomba namna zake hyo jamaaa
Uyo jamaa yako nenda kwa yule mganga kamloge arudishe mali zako tahira yule
Chapa nembo Davistar Nakubal
Davistar sio mganga ni marasta.
Davistar ❤😘🇴🇲
😘😘😘😘😘😘😘😘
@@ayshamahariq6665 🙄
@@credo7837 Nmefurai kukuona kipenzi 😍😍
@@ayshamahariq6665 hata mim kumbe upo
@@credo7837 hahaaaa 🤣🤣ww hupewi makopa kopa hasara yako
Siungeuliza mgagha ushauri kabla ya kupeana vitu vyako
huyo jamaa aliyemdhulumu huyu jamaa anaitwa nani?
Nenda kwa maziwa tuuuu yupo Yesu Kristo pale
Huko ndo atapotea kabisa mana wanatumia nguvu za kichawi
@@fadhiliswalehe9286 kabisaa
Dhuuuu, kumbe kulikuwa na viumbe wanakula chenye unakata